Nguvu ya damu ya Yesu.
Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano.
Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake.
Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake.
Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.*
Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani.
Ebrania 9:21
"Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo"
Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi.
Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19
Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane .
Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu.
Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi .
Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda
maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11)
kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha.
Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo
Ebrania 10:16-19
16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana,
Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,
Na katika nia zao nitaziandika;
ndipo anenapo,
17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.
Wito wa kuwa Wavumilivu
19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,
Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako.
Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako.
#build new eden
#restore men position
Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano.
Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake.
Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake.
Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.*
Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani.
Ebrania 9:21
"Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo"
Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi.
Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19
Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane .
Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu.
Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi .
Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda
maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11)
kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha.
Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo
Ebrania 10:16-19
16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana,
Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,
Na katika nia zao nitaziandika;
ndipo anenapo,
17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.
Wito wa kuwa Wavumilivu
19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,
Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako.
Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako.
#build new eden
#restore men position
Nguvu ya damu ya Yesu.
Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano.
Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake.
Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake.
Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.*
Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani.
Ebrania 9:21
"Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo"
Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi.
Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19
Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane .
Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu.
Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi .
Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda
maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11)
kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha.
Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo
Ebrania 10:16-19
16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana,
Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,
Na katika nia zao nitaziandika;
ndipo anenapo,
17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.
Wito wa kuwa Wavumilivu
19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,
Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako.
Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako.
#build new eden
#restore men position
0 Kommentare
·0 Anteile
·182 Ansichten