"Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa "
Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa .
Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye .
Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake.
Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi .
Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo.
Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra .
Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo .
Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa
Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi .
Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu.
Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa ..
Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako "
Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#restore men position
Build new eden
Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa .
Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye .
Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake.
Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi .
Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo.
Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra .
Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo .
Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa
Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi .
Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu.
Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa ..
Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako "
Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#restore men position
Build new eden
"Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa "
Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa .
Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye .
Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake.
Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi .
Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo.
Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra .
Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo .
Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa
Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi .
Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu.
Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa ..
Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako "
Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
#restore men position
Build new eden
0 Comments
·0 Shares
·9 Views