Damu ya Yesu kama damu ya Agano.

Waebrania 8:6
*[6]Lakini sasa amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya ahadi zilizo bora*.

Agano ni muunganiko wa uhai baina ya Mungu na watu wake.

Agano pia ni kiapo au makubaliano yaliyoandikwa au ahadi kwa kawaida chini ya muhuri kati ya pande mbili au zaidi hasa kwa ajili ya utekelezaji wa hatua fulani

Mwanzo 22:16
*[16]akasema, Nimeapa kwa nafsi yangu asema BWANA, kwa kuwa umetenda neno hili, wala hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee,*

Agano lazima liambatane na kiapo chenye kushuhudiwa na vitu au watu.

50 Ukiwatesa binti zangu, na ukitwaa wake zaidi ya binti zangu, wala hapana mtu pamoja nasi, tazama, Mungu ni shahidi kati ya mimi na wewe

Ziko aina nyinyi za agano yaweza kuwa

1.MTU NA MTU
2.MTU NA VITU
3.MTU NA SHETANI
4.MTU NA MUNGU
5.MUNGU NA VIUMBE VYAKE .
6.MUNGU NA MTU
7.MTU NA UZAO WAKE

Aina zote hizi ili zitamatike au kutimia lazima ziandikwe katika vipokeleo vya sadaka au wengine wanaita vitunza kumbukumbu.

Yaweza kuwa 1.ARDHI 2.ANGA 3.MAJI 4.MOTO

Agano lazima liambatane na madhabau kwa maana ya ibada na sadaka.

Watu wengi sana wanaishi maisha ya mateso pasipo kujua kumbe ni kwa sababu wanaishi ndani ya agano ambalo pengine hata wao hawalijui.

Sifa za agano
Agano lenye nguvu huwa lazima liwe la damu.

Agano lazima libebe matokeo yaneweza kuwa mema(baraka) au mabaya (laana).

Agano lazima liambatane na maneno au maandishi.

*Agano huvunjwa na agano*

Na ahsante Yesu kwa kuwa yeye ndiye bwana wa agano jipya.

Lengo la Mungu kuja kuleta agano jipya ambalo linamuhusisha Kristo ni kutupa ushindi dhidi ya adui.

Wagalatia 3:29
[29]Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

Lazima tujue kuomba namna ya kutoka katika masgano ambayo siyo mazuri kwetu na tuyakimbie kabisa.

Inawezekana kabisa wala usiogope mana maandiko yanasema
Na imekuwa mtu akiwa ndani ya kristo na amekuwa kiumbe kipya kweli ya kale yote yamesha kwisha kupita

Natumai umejifunza Mungu akituongoza tunaendelea na sehemu ya pili hapa hapa.

Naitwa sylvester Mwakabende kutoka ( build new eden)

#build new eden
#restore men position
Damu ya Yesu kama damu ya Agano. Waebrania 8:6 *[6]Lakini sasa amepata huduma iliyo bora zaidi, kwa kadiri alivyo mjumbe wa agano lililo bora, lililoamriwa juu ya ahadi zilizo bora*. Agano ni muunganiko wa uhai baina ya Mungu na watu wake. Agano pia ni kiapo au makubaliano yaliyoandikwa au ahadi kwa kawaida chini ya muhuri kati ya pande mbili au zaidi hasa kwa ajili ya utekelezaji wa hatua fulani Mwanzo 22:16 *[16]akasema, Nimeapa kwa nafsi yangu asema BWANA, kwa kuwa umetenda neno hili, wala hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee,* Agano lazima liambatane na kiapo chenye kushuhudiwa na vitu au watu. 50 Ukiwatesa binti zangu, na ukitwaa wake zaidi ya binti zangu, wala hapana mtu pamoja nasi, tazama, Mungu ni shahidi kati ya mimi na wewe Ziko aina nyinyi za agano yaweza kuwa 1.MTU NA MTU 2.MTU NA VITU 3.MTU NA SHETANI 4.MTU NA MUNGU 5.MUNGU NA VIUMBE VYAKE . 6.MUNGU NA MTU 7.MTU NA UZAO WAKE Aina zote hizi ili zitamatike au kutimia lazima ziandikwe katika vipokeleo vya sadaka au wengine wanaita vitunza kumbukumbu. Yaweza kuwa 1.ARDHI 2.ANGA 3.MAJI 4.MOTO Agano lazima liambatane na madhabau kwa maana ya ibada na sadaka. Watu wengi sana wanaishi maisha ya mateso pasipo kujua kumbe ni kwa sababu wanaishi ndani ya agano ambalo pengine hata wao hawalijui. Sifa za agano Agano lenye nguvu huwa lazima liwe la damu. Agano lazima libebe matokeo yaneweza kuwa mema(baraka) au mabaya (laana). Agano lazima liambatane na maneno au maandishi. *Agano huvunjwa na agano* Na ahsante Yesu kwa kuwa yeye ndiye bwana wa agano jipya. Lengo la Mungu kuja kuleta agano jipya ambalo linamuhusisha Kristo ni kutupa ushindi dhidi ya adui. Wagalatia 3:29 [29]Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi. Lazima tujue kuomba namna ya kutoka katika masgano ambayo siyo mazuri kwetu na tuyakimbie kabisa. Inawezekana kabisa wala usiogope mana maandiko yanasema Na imekuwa mtu akiwa ndani ya kristo na amekuwa kiumbe kipya kweli ya kale yote yamesha kwisha kupita Natumai umejifunza Mungu akituongoza tunaendelea na sehemu ya pili hapa hapa. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka ( build new eden) #build new eden #restore men position
Yay
1
· 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·251 Views