Zaburi 89:35
[35]Neno moja nimeliapa kwa utakatifu wangu,
Hakika sitamwambia Daudi uongo,

Huyu ni Mungu anasema juu ya mtumishi wake Daudi kuwa ameapa kwa utakatifu wake, hakika atamwambia Daudi uongo.

Kwa sababu Daudi aliupendeza moyo wa Bwana n Bwana akajitukuza kupitia Daudi .

Kwa lugha nyepesi ni hivi kuhusu ufalme ukiingia bato na daudi lazima ushindwe uchaguzi kwa sababu Bwana ameapa kumketisha Daudi na familia yake katika enzi ya ufalme.

Zaburi 89:36-37
[36] *Wazao wake watadumu milele,Na kitichake kitakuwa kama jua mbele zangu*

[37]Kitathibitika milele kama mwezi;
Shahidi aliye mbinguni mwaminifu.

Unaona kumbe hata watoto wake watarithi uaminifu wa baba yao kwa kukalia kiti cha ufalme milele.

Haya yanatokea siyo bahati mbaya lazima uwe mwaminifu kwa Bwana.

Wakati watu wanapata
nafasi ya kuomba utajiri kwa Bwana msikilize Daudi aliomba nini.

Zaburi 27:4
[4]Neno Moja nimelitaka kwa BWANA,
Nalo ndilo nitakalolitafuta,
*Nikae nyumbani mwa BWANA*
Siku zote za maisha yangu,
*Niutazame uzuri wa BWANA*,
Na kutafakari hekaluni mwake.

Kumbuka hizi zaburi sehemu kubwa Daudi aliziandika akiwa porini na wala si katika kiti cha kifalme .

Kumbe moyo wa Daudi ulimpenda Bwana kiasi cha Bwana kumuamini yeye kuliko mfalme yeyote ,let say wewe leo unataka ubunge na kiagano ni sehemu ya Daudi lakini unapigwa chini na mtu anaye tumia waganga tatizo haliko kwa Mungu ttizo ni kiwango chako cha kuliamini neno ili ligeuke kuwa lako ni ndogo kuliko hofu yako juu ya kushindwa.

Ukiokoka unapaswa kuaminiwa na Mungu na kuwa sehemu ya agano hili ambalo alimwapia Daudi juu ya *umiliki na utawala na akaapa kwa hakika hatosema uongo*

Bwana anatupenda katika uaminifu wake kiasi ch sisi kuwa ndani ya agano lake.

Zaburi 89:34
*[34]Mimi sitalihalifu agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.*

Agano la Mungu ni hakika ni kukubaliki na kukuachia utawala ni maamuzi yako kuupokea utawala au kuishi nje ya kutawala .

*Kiwango cha uaminifu wako kwa Bwana kitaamua kiwango cha Bwana kukuamini pia .na kujenga makao kwako*

Ok shukrani sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
Simu 0622625340
#build new eden
#restore men position
Zaburi 89:35 [35]Neno moja nimeliapa kwa utakatifu wangu, Hakika sitamwambia Daudi uongo, Huyu ni Mungu anasema juu ya mtumishi wake Daudi kuwa ameapa kwa utakatifu wake, hakika atamwambia Daudi uongo. Kwa sababu Daudi aliupendeza moyo wa Bwana n Bwana akajitukuza kupitia Daudi . Kwa lugha nyepesi ni hivi kuhusu ufalme ukiingia bato na daudi lazima ushindwe uchaguzi kwa sababu Bwana ameapa kumketisha Daudi na familia yake katika enzi ya ufalme. Zaburi 89:36-37 [36] *Wazao wake watadumu milele,Na kitichake kitakuwa kama jua mbele zangu* [37]Kitathibitika milele kama mwezi; Shahidi aliye mbinguni mwaminifu. Unaona kumbe hata watoto wake watarithi uaminifu wa baba yao kwa kukalia kiti cha ufalme milele. Haya yanatokea siyo bahati mbaya lazima uwe mwaminifu kwa Bwana. Wakati watu wanapata nafasi ya kuomba utajiri kwa Bwana msikilize Daudi aliomba nini. Zaburi 27:4 [4]Neno Moja nimelitaka kwa BWANA, Nalo ndilo nitakalolitafuta, *Nikae nyumbani mwa BWANA* Siku zote za maisha yangu, *Niutazame uzuri wa BWANA*, Na kutafakari hekaluni mwake. Kumbuka hizi zaburi sehemu kubwa Daudi aliziandika akiwa porini na wala si katika kiti cha kifalme . Kumbe moyo wa Daudi ulimpenda Bwana kiasi cha Bwana kumuamini yeye kuliko mfalme yeyote ,let say wewe leo unataka ubunge na kiagano ni sehemu ya Daudi lakini unapigwa chini na mtu anaye tumia waganga tatizo haliko kwa Mungu ttizo ni kiwango chako cha kuliamini neno ili ligeuke kuwa lako ni ndogo kuliko hofu yako juu ya kushindwa. Ukiokoka unapaswa kuaminiwa na Mungu na kuwa sehemu ya agano hili ambalo alimwapia Daudi juu ya *umiliki na utawala na akaapa kwa hakika hatosema uongo* Bwana anatupenda katika uaminifu wake kiasi ch sisi kuwa ndani ya agano lake. Zaburi 89:34 *[34]Mimi sitalihalifu agano langu, Sitalibadili neno lililotoka midomoni mwangu.* Agano la Mungu ni hakika ni kukubaliki na kukuachia utawala ni maamuzi yako kuupokea utawala au kuishi nje ya kutawala . *Kiwango cha uaminifu wako kwa Bwana kitaamua kiwango cha Bwana kukuamini pia .na kujenga makao kwako* Ok shukrani sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Simu 0622625340 #build new eden #restore men position
0 Reacties ·0 aandelen ·10 Views