Transfer Updates
AS Monaco wamekubaliana na Barcelona kumsajili Ansu Fati mwenye miaka 22.
Mhispania huyo atajiunga na Monaco kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, kisha Monaco watakuwa na chaguo la kumnunua kwa €14M au kumrudisha.
Ansu anafuraha kwamba Barcelona wamejumuisha kipengele cha kurudisha ikiwa Monaco watamudu, kwani ndoto yake ni kurudi Barcelona. Sasa atasafiri kwa uchunguzi wa kimatibabu⚡️
#sportselite
AS Monaco wamekubaliana na Barcelona kumsajili Ansu Fati mwenye miaka 22.
Mhispania huyo atajiunga na Monaco kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, kisha Monaco watakuwa na chaguo la kumnunua kwa €14M au kumrudisha.
Ansu anafuraha kwamba Barcelona wamejumuisha kipengele cha kurudisha ikiwa Monaco watamudu, kwani ndoto yake ni kurudi Barcelona. Sasa atasafiri kwa uchunguzi wa kimatibabu⚡️
#sportselite
🔥🔥Transfer Updates
AS Monaco wamekubaliana na Barcelona kumsajili Ansu Fati mwenye miaka 22.
Mhispania huyo atajiunga na Monaco kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, kisha Monaco watakuwa na chaguo la kumnunua kwa €14M au kumrudisha.
Ansu anafuraha kwamba Barcelona wamejumuisha kipengele cha kurudisha ikiwa Monaco watamudu, kwani ndoto yake ni kurudi Barcelona. Sasa atasafiri kwa uchunguzi wa kimatibabu⚡️📝
#sportselite
