• Thierno Barry amekamilisha usajili wake Everton 𝗛𝗘𝗥𝗘 𝗪𝗘 𝗚𝗢 done!

    Villarreal imekula mkwanja €35M + na bonasi .

    (Source: Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨 Thierno Barry amekamilisha usajili wake Everton 𝗛𝗘𝗥𝗘 𝗪𝗘 𝗚𝗢 done! ✅💙 Villarreal imekula mkwanja €35M + na bonasi . 💰 (Source: Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·13 Views
  • BREAKING : Uongozi wa Real Madrid C.F. pamoja na Xabi Alonso wako tayari kwa pamoja kumruhusu Rodrygo Silva de Goes kuondoka Klabuni hapo majira haya ya joto. Wamekubaliana kuwa klabu haitamzuia mchezaji huyo ikiwa ofa inayofaa itatolewa.


    Source: [ MarioCortegana ]

    #SportsElite
    BREAKING 🔴: Uongozi wa Real Madrid C.F. pamoja na Xabi Alonso wako tayari kwa pamoja kumruhusu Rodrygo Silva de Goes kuondoka Klabuni hapo majira haya ya joto. Wamekubaliana kuwa klabu haitamzuia mchezaji huyo ikiwa ofa inayofaa itatolewa. Source: [ MarioCortegana ] #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·5 Views
  • Rangers FC iko mbioni kukamilisha usajiri wa kiungo wa Luton Town Thelo Aasgaard (Norway)

    (Source: Daily Record)

    #SportsElite
    🚨 Rangers FC iko mbioni kukamilisha usajiri wa kiungo wa Luton Town Thelo Aasgaard (Norway) (Source: Daily Record) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·12 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Juventus bado inaendelea na majadiliano na Jadon Sancho, na imemuofa mkataba hadi 2029 na mshahara wa €5 million kwa mwaka pamoja na bonasi zingine, na nyongeza ya mkataba hadi 2030.

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Juventus bado inaendelea na majadiliano na Jadon Sancho, na imemuofa mkataba hadi 2029 na mshahara wa €5 million kwa mwaka pamoja na bonasi zingine, na nyongeza ya mkataba hadi 2030. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·23 Views
  • Hakan Çalhanoğlu anampango wa kuondoka Inter dirisha hili baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na Lautaro Martínez.

    Manchester United na Fulham zimeingia kwenye vita hiyo ya kuinasa saini ya kiungo huyo kwa ada €40m....

    (Source: Orazio Accomando)

    #SportsElite
    🚨 Hakan Çalhanoğlu anampango wa kuondoka Inter dirisha hili baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na Lautaro Martínez. Manchester United na Fulham zimeingia kwenye vita hiyo ya kuinasa saini ya kiungo huyo kwa ada €40m.... (Source: Orazio Accomando) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·23 Views
  • #SportsElite

    - Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye mshambuliaji hatari wa klabu ya Inter Miami pamoja Nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina, Leo Messi.. kupitia katika Ukurasa wake wa Instagram (@leomessi) ‘FIFA BOY’ ame-share picha ya Diogo Jota, ikiwa ni ishara ya KUGUSWA moja kwa moja na msiba huu mzito katika soka. Kudos Legend..!
    .
    .
    - Hakika kwa kuondokewa na mtu kama Diogo Jota, itoshe kusema familia ya mpira tumepata pigo kubwa haswa! 🥹!
    .
    .

    …Endelea kupumzika, Diogo Jota. 🕊
    #SportsElite - Baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye mshambuliaji hatari wa klabu ya Inter Miami pamoja Nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina, Leo Messi.. kupitia katika Ukurasa wake wa Instagram (@leomessi) ‘FIFA BOY’ ame-share picha ya Diogo Jota, ikiwa ni ishara ya KUGUSWA moja kwa moja na msiba huu mzito katika soka. Kudos Legend..! 🤝 . . - Hakika kwa kuondokewa na mtu kama Diogo Jota, itoshe kusema familia ya mpira tumepata pigo kubwa haswa! 🥹! . . …Endelea kupumzika, Diogo Jota. 🕊
    0 Comments ·0 Shares ·84 Views
  • Kiungo wazamani wa FC Barcelona na Sevilla za Hispania ametangaza kustafu Soka akiwa na Umri wa miaka 37, Barcelona na Sevilla ndizo club alizo cheza Kwa mafanikio .

    Tutamkumbuka Kwa kua kiungo pekee wa Barcelona Alie kua ana uthubutu wa kupiga Mashuti nje ya box Kwa Ile Barcelona ya Tick-Tack .


    #SportsElite
    🚨✅Kiungo wazamani wa FC Barcelona na Sevilla za Hispania ametangaza kustafu Soka akiwa na Umri wa miaka 37, Barcelona na Sevilla ndizo club alizo cheza Kwa mafanikio .✅ Tutamkumbuka Kwa kua kiungo pekee wa Barcelona Alie kua ana uthubutu wa kupiga Mashuti nje ya box Kwa Ile Barcelona ya Tick-Tack ☑️. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·5 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Real Madrid inatarajia kukamilisha uhamisho wa Álvaro Carreras’ mwezi huu...

    @TheAthleticFC

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Real Madrid inatarajia kukamilisha uhamisho wa Álvaro Carreras’ mwezi huu... @TheAthleticFC #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·30 Views
  • Thierno Barry (22) yuko mbioni kujiunga Everton, @MatteMoretto!

    #SportsElite
    🚨🇫🇷 Thierno Barry (22) yuko mbioni kujiunga Everton, @MatteMoretto! 🔵🔜 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·6 Views
  • #SportsElite Familia ya Diego Jota
    #SportsElite Familia ya Diego Jota
    0 Comments ·0 Shares ·27 Views
  • BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.
    .
    Q Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania:

    “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania,

    Source BBC Sports
    .
    DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL

    🏟 Michezo - 182
    ⚽️ Mabao - 65
    Asisst - 22

    Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki.

    Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii

    R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti
    .
    🗣 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota
    .
    🕊🎙 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu źa rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"
    .
    Weka Alama hii Kama kumuombea Diogo Jota.

    Mungu Atupe mwisho Mwema 🕊.
    .
    #RIPJOTA || #SportsElite #football
    🇵🇹 😢 BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.😢 . Q🚨 Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania: “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania, Source BBC Sports . 🚨 DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL 🏟 Michezo - 182 ⚽️ Mabao - 65 🎯 Asisst - 22 Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki. 😢 Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii😭 R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti 💔 . 🗣 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota . 🕊🎙 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu źa rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"😢 . Weka Alama hii 🙏 Kama kumuombea Diogo Jota. 💔 Mungu Atupe mwisho Mwema 💔🙏🕊. . #RIPJOTA || #SportsElite #football
    0 Comments ·0 Shares ·74 Views
  • Kaoru Mitoma ameuambia uongozi wa Brighton kuwa anatamani kuendelea kusalia klabuni hapo na yuko tayari kuongeza mkataba ijapo kuwa klabu ya Bayern Munich inamuwinda mchezaji huyo..

    (Source: Sky Sports)

    #SportsElite
    🚨 Kaoru Mitoma ameuambia uongozi wa Brighton kuwa anatamani kuendelea kusalia klabuni hapo na yuko tayari kuongeza mkataba ijapo kuwa klabu ya Bayern Munich inamuwinda mchezaji huyo.. (Source: Sky Sports) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·13 Views
  • Jadon Sancho amekubali kupunguza mshahara wake pamoja na marupurupu ili kujiunga na Juventus.

    (Source: @Eurosport_IT)

    #SportsElite
    🚨 Jadon Sancho amekubali kupunguza mshahara wake pamoja na marupurupu ili kujiunga na Juventus. (Source: @Eurosport_IT) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·23 Views
  • Manchester United iko kwenye hatua za mwisho na Aston Villa ili kumsajiri Ollie Watkins.

    Manchester hawatakuwa tayari kuwalipa Villa kiasi cha £60m kama wanavyo hitaji kutokana na umri wa mchezaji mwenyewe pamoja na thamani kwenye soko la usajili

    (Source: Mirror Football)

    #SportsElite
    🚨 Manchester United iko kwenye hatua za mwisho na Aston Villa ili kumsajiri Ollie Watkins. Manchester hawatakuwa tayari kuwalipa Villa kiasi cha £60m kama wanavyo hitaji kutokana na umri wa mchezaji mwenyewe pamoja na thamani kwenye soko la usajili (Source: Mirror Football) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·40 Views
  • Barcelona imerudi kwenye mfumo wa 1:1

    Javier Tebas amethibitisha kwa raisi wa clabu Joan Laporta imeweza kurudi kwenye mfumo huo

    Barcelona itaweza kufanya usajiri wowote bila kizuizi cha fair play .

    (Source: Diario Sport)

    #SportsElite
    🚨 Barcelona imerudi kwenye mfumo wa 1:1 🔙 Javier Tebas amethibitisha kwa raisi wa clabu Joan Laporta imeweza kurudi kwenye mfumo huo Barcelona itaweza kufanya usajiri wowote bila kizuizi cha fair play . 💰 (Source: Diario Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·61 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Sunderland iko karibu kuinasa saini ya Djordje Petrovic (25) kutoka Chelsea kwa uhamisho €25m
    reports @sachatavolieri. ⚪️

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇷🇸 Sunderland iko karibu kuinasa saini ya Djordje Petrovic (25) kutoka Chelsea kwa uhamisho €25m reports @sachatavolieri. 🔴⚪️ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·38 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona imeacha na golikipa wake Wojciech Szczesny kuanzia sasa atakuwa mchezaji huru..

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona imeacha na golikipa wake Wojciech Szczesny kuanzia sasa atakuwa mchezaji huru..🔴🔵 🔴🔵 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·57 Views
  • Paul Pogba:

    “Wakati niliposimamishwa kucheza mpira na kupoteza umaarufu wangu, watu wengi walitoweka. Lakini mke wangu alibaki kando yangu. Hakuwa pale kwa ajili ya pesa au umaarufu — alikuwa pale kwa ajili yangu.”

    “Niligundua jinsi maisha yanavyoweza kuwa matupu pale kila kitu kinapoporomoka. Mara tu nilipoacha kuwa Pogba, yule mchezaji tajiri na maarufu, baadhi ya watu walianza kuniepuka.
    Lakini mke wangu alinionyesha kweli kuwa ananipenda. Alinisimamia wakati kila mtu alipoanza kunigeuzia mgongo. Kwa sababu yake, niliweza kustahimili.”

    “Leo, niko imara zaidi, ninaona mambo kwa uwazi zaidi. Simu yangu haipigi tena kwa mialiko ya juu juu isiyo na maana. Sasa najua ni nani kweli yupo kwa ajili yangu — na yeye ni mmoja wao.”

    #SportsElite
    🚨 Paul Pogba: “Wakati niliposimamishwa kucheza mpira na kupoteza umaarufu wangu, watu wengi walitoweka. Lakini mke wangu alibaki kando yangu. Hakuwa pale kwa ajili ya pesa au umaarufu — alikuwa pale kwa ajili yangu.” “Niligundua jinsi maisha yanavyoweza kuwa matupu pale kila kitu kinapoporomoka. Mara tu nilipoacha kuwa Pogba, yule mchezaji tajiri na maarufu, baadhi ya watu walianza kuniepuka. Lakini mke wangu alinionyesha kweli kuwa ananipenda. Alinisimamia wakati kila mtu alipoanza kunigeuzia mgongo. Kwa sababu yake, niliweza kustahimili.” “Leo, niko imara zaidi, ninaona mambo kwa uwazi zaidi. Simu yangu haipigi tena kwa mialiko ya juu juu isiyo na maana. Sasa najua ni nani kweli yupo kwa ajili yangu — na yeye ni mmoja wao.” ❤️ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·59 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋:Ratiba ya El Clásico kwa msimu ujao!

    • 26/10/2025
    Santiago Bernabeu

    • 10/05/2026
    Spotify Camp Nou

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋:Ratiba ya El Clásico kwa msimu ujao! • 26/10/2025 📍 Santiago Bernabeu • 10/05/2026 📍 Spotify Camp Nou #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·53 Views
  • #SportsElite
    #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·20 Views
More Results