• #BREAKING

    Klabu imelazimika kuweka rehani vitu vyao vya thamani vyenye thamani ya £7m Ili waweza kufanikisha Mchakato wa kuwasajili wachezaji wao wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili.

    Mpaka kufikia Sasa hakuna mchezaji yoyote mpya wa FC Barcelona ambae ataruhusiwa kucheza mashindano yoyote msimu ujao, kwasababu jina lake halitambuliki na Laliga.

    Wachezaji ambao Laliga haiwatambui mpaka Sasa ni:

    - Marcus Rashford
    - Joan García
    - Roony Bardghi
    - Gerard Martín
    - Wojciech Szcz臋sny.

    Wachezaji wote hawa hawatoshiriki Mchezo wowote wakiwa na FC Barcelona mpaka klabu hiyo ikamilishe taratibu zote za kuwasajili kwenye mifumo ya Laliga,na Laliga wanahitaji Sheria zifuatwe tu,hawahitaji mazungumzo Wala busara.

    Source: [ The AthleticFC ]

    #SportsElite
    #BREAKING 馃敶 Klabu imelazimika kuweka rehani vitu vyao vya thamani vyenye thamani ya £7m Ili waweza kufanikisha Mchakato wa kuwasajili wachezaji wao wapya waliosajiliwa katika dirisha hili la usajili. Mpaka kufikia Sasa hakuna mchezaji yoyote mpya wa FC Barcelona ambae ataruhusiwa kucheza mashindano yoyote msimu ujao, kwasababu jina lake halitambuliki na Laliga. Wachezaji ambao Laliga haiwatambui mpaka Sasa ni: - Marcus Rashford - Joan García - Roony Bardghi - Gerard Martín - Wojciech Szcz臋sny. Wachezaji wote hawa hawatoshiriki Mchezo wowote wakiwa na FC Barcelona mpaka klabu hiyo ikamilishe taratibu zote za kuwasajili kwenye mifumo ya Laliga,na Laliga wanahitaji Sheria zifuatwe tu,hawahitaji mazungumzo Wala busara. Source: [ The AthleticFC ] #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 0 Views
  • 饾棔饾棩饾棙饾棓饾棡饾棞饾棥饾棜: Jadon Sancho amekataa uhamisho wake kwenda Be艧ikta艧, na hayuko tayari kwenda kucheza ligi ya Uturkey.

    Juventus na Dortmund bado wanamfukuzia mchezaji huyo.

    (Source: @berger_pj)

    #SportsElite
    馃毃 饾棔饾棩饾棙饾棓饾棡饾棞饾棥饾棜: Jadon Sancho amekataa uhamisho wake kwenda Be艧ikta艧, na hayuko tayari kwenda kucheza ligi ya Uturkey. Juventus na Dortmund bado wanamfukuzia mchezaji huyo. (Source: @berger_pj) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 20 Views
  • Klabu ya Yanga imekamlisha usajili wa Mchezaji Edmund John kutoka Singida Black Stars

    Edmund John ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wamewasili Rwanda kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Ijumaa

    Edmund raia wa Tanzania anajiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili.


    #SportsElite
    馃毃馃毃Klabu ya Yanga imekamlisha usajili wa Mchezaji Edmund John kutoka Singida Black Stars Edmund John ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wamewasili Rwanda kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Ijumaa Edmund raia wa Tanzania anajiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 33 Views
  • Huwenda Edmund John akatimkia Yanga endapo mzize atauzwa

    #SportsElite
    馃毃Huwenda Edmund John akatimkia Yanga endapo mzize atauzwa #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 16 Views
  • RWANDA,

    #EXCLUSIVE;Beki Frank Assinki amejumuishwa kwenye msafara wa Wachezaji ambao wameondoka leo kwenda nchini Rwanda.

    #SportsElite
    RWANDA,馃嚪馃嚰 馃毃#EXCLUSIVE;Beki Frank Assinki amejumuishwa kwenye msafara wa Wachezaji ambao wameondoka leo kwenda nchini Rwanda. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 32 Views
  • Hizi ndizo sheria mpya za Ligi Kuu Uingereza(EPL);

    Waamuzi sasa wanaweza kueleza maamuzi yao ya VAR kupitia mfumo wa sauti wa uwanjani.

    Ni nahodha pekee anayeruhusiwa kumkaribia mwamuzi wakati wa kujadili uamuzi.

    Mchezaji akipiga penalti mara mbili mfululizo(double-kick), penalti hiyo itarudiwa.

    Kipa haruhusiwi kushikilia mpira kwa zaidi ya sekunde nane; akifanya hivyo, kona itapewa kwa timu pinzani.

    Kocha anaruhusiwa kuzungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ikiwa timu yake inaongoza.

    Kamera zinaruhusiwa kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo (dressing room).

    Mchezaji aliyetolewa uwanjani anaweza kuhojiwa wakati mechi bado inaendelea.

    #SportsElite
    馃懆‍鈿栵笍馃彺鬆仹鬆仮鬆仴鬆伄鬆仹鬆伩Hizi ndizo sheria mpya za Ligi Kuu Uingereza(EPL); 鉁匴aamuzi sasa wanaweza kueleza maamuzi yao ya VAR kupitia mfumo wa sauti wa uwanjani. 鉁匩i nahodha pekee anayeruhusiwa kumkaribia mwamuzi wakati wa kujadili uamuzi. 鉁匨chezaji akipiga penalti mara mbili mfululizo(double-kick), penalti hiyo itarudiwa. 鉁匥ipa haruhusiwi kushikilia mpira kwa zaidi ya sekunde nane; akifanya hivyo, kona itapewa kwa timu pinzani. 鉁匥ocha anaruhusiwa kuzungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ikiwa timu yake inaongoza. 鉁匥amera zinaruhusiwa kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo (dressing room). 鉁匨chezaji aliyetolewa uwanjani anaweza kuhojiwa wakati mechi bado inaendelea. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 23 Views
  • Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Congo DR Malanga Horso Mwaku (21).

    Tayari ameshawaaga FC Lupopo , Mkataba wa miaka 3 umesainiwa tayari .

    Muda wowote kuanzia sasa kuwasili Tanzania ili kujiunga na waajiri wake hao wapya .

    #SportsElite
    馃毃馃毃Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Congo DR Malanga Horso Mwaku (21). Tayari ameshawaaga FC Lupopo , Mkataba wa miaka 3 umesainiwa tayari . Muda wowote kuanzia sasa kuwasili Tanzania ili kujiunga na waajiri wake hao wapya . #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 30 Views
  • 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Nottingham Forest imemrudisha mchezaji wake wa zamani kwenye Timu ya wa awake Chantelle Boye-Hlorkah kwa mkataba hadi Juni 2027.

    Amejiunga na klabu baada ya mkataba wake kutamatika London City Lionesses..

    #SportsElite
    馃毃馃嚞馃嚟 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Nottingham Forest imemrudisha mchezaji wake wa zamani kwenye Timu ya wa awake Chantelle Boye-Hlorkah kwa mkataba hadi Juni 2027. Amejiunga na klabu baada ya mkataba wake kutamatika London City Lionesses.. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 17 Views
  • AS Roma iko kwenye mazungumzo na Aston Villa ili kuipata huduma ya winga Leon Bailey lakini bado Roma haijatuma ofa rasmi..

    (Source: David Ornstein)

    #SportsElite
    馃毃 AS Roma iko kwenye mazungumzo na Aston Villa ili kuipata huduma ya winga Leon Bailey lakini bado Roma haijatuma ofa rasmi.. (Source: David Ornstein) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 21 Views
  • Manchester City imekataa ofa ya €25M na nyongeza €5M kutoka kwa Nottingham Forest kumuhitaji Rico Lewis.

    (Source: Foot Mercato)

    #SportsElite
    馃毃 Manchester City imekataa ofa ya €25M na nyongeza €5M kutoka kwa Nottingham Forest kumuhitaji Rico Lewis. (Source: Foot Mercato) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 15 Views
  • Manchester United iko tayari kutoa kiasi cha £56M kama ada ya uhamisho wa Harry Kane..


    (Source: Football Insider)

    #SportsElite
    馃毃 Manchester United iko tayari kutoa kiasi cha £56M kama ada ya uhamisho wa Harry Kane.. (Source: Football Insider) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 19 Views
  • Barcelona imeumizwa na uhamisho wa Benjamin Sesko kwenda Manchester United.

    Kwani walitarajia kumuuza Robert Lewandowski kwenda Saudi Arabia ndio wamesajili Benjamin Sesko amesema Deco.

    (Source: Sport)

    #SportsElite
    馃毃 Barcelona imeumizwa na uhamisho wa Benjamin Sesko kwenda Manchester United. Kwani walitarajia kumuuza Robert Lewandowski kwenda Saudi Arabia ndio wamesajili Benjamin Sesko amesema Deco. (Source: Sport) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 23 Views
  • Manchester United iko tayari kutoa kiasi chochote cha pesa ili kumsajiri Carlos Baleba dirisha hili .

    (Source: TEAMtalk)

    #SportsElite
    馃毃 Manchester United iko tayari kutoa kiasi chochote cha pesa ili kumsajiri Carlos Baleba dirisha hili . (Source: TEAMtalk) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 17 Views
  • Manchester City imemuongeza mchezaji Maghnes Akliouche kwenye rada zake .

    (Source: Florian Plettenberg)

    #SportsElite
    馃毃 Manchester City imemuongeza mchezaji Maghnes Akliouche kwenye rada zake . 馃嚝馃嚪馃數 (Source: Florian Plettenberg) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 14 Views
  • Iwapo Savinho atajiunga na Tottenham, Manchester City imepanga kumnunua Rodrygo..

    (Source: Fabrizio Romano)

    #SportsElite
    馃毃 Iwapo Savinho atajiunga na Tottenham, Manchester City imepanga kumnunua Rodrygo.. (Source: Fabrizio Romano) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 11 Views
  • Real Madrid pamoja na PSG ziko kwenye mbio za kuiwania saini ya beki Ibrahima Konaté.

    Kiwango cha ada ya uhamisho inaweza kutolewa na vilabu vyote viwili..

    (Source: Diario AS)

    #SportsElite
    馃毃 Real Madrid pamoja na PSG ziko kwenye mbio za kuiwania saini ya beki Ibrahima Konaté. 馃槼馃嚝馃嚪 Kiwango cha ada ya uhamisho inaweza kutolewa na vilabu vyote viwili.. (Source: Diario AS) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 19 Views
  • Real Madrid wametoa taarifa ya KUKATAA VIKALI wazo la kuchezwa kwa mechi ya La Liga kati ya Villarreal na Barcelona huko Miami

    Wazo hilo lilitekelezwa bila kushauriana awali na vilabu vinavyoshiriki La Liga, jambo linalokiuka kanuni muhimu ya "mshikamano wa maeneo" inayosimamia mfumo wa ligi wa mechi za nyumbani na ugenini.

    Mabadiliko ya aina hii yanapaswa kuwa na idhini ya wazi na ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote vinavyoshiriki, pamoja na kutimiza kikamilifu masharti ya kitaifa na kimataifa yanayosimamia uendeshaji wa mashindano rasmi.

    Katika kutetea kanuni hii, Real Madrid imechukua hatua tatu mahsusi:

    1. Kuwasilisha ombi kwa FIFA kuzuia mechi hiyo kuchezwa bila idhini ya awali kutoka kwa vilabu vyote vya La Liga.

    2. Kuwasilisha ombi kwa UEFA kuomba RFEF iondoe au ikatae ombi hilo, ikisisitiza vigezo vilivyowekwa mwaka 2018 vinavyokataza kuchezwa kwa mechi rasmi za mashindano ya ndani nje ya ardhi ya taifa, isipokuwa kwa hali za kipekee na zilizo na sababu za msingi ambazo katika kesi hii hazikutimia.

    3. Kuwasilisha ombi kwa Baraza Kuu la Michezo(Consejo Superior de Deportes) kuto kutoa vibali vya kiutawala vinavyohitajika bila kuwepo kwa idhini ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote.

    #SportsElite
    鉂屸洈馃嚜馃嚫Real Madrid wametoa taarifa ya KUKATAA VIKALI wazo la kuchezwa kwa mechi ya La Liga kati ya Villarreal na Barcelona huko Miami Wazo hilo lilitekelezwa bila kushauriana awali na vilabu vinavyoshiriki La Liga, jambo linalokiuka kanuni muhimu ya "mshikamano wa maeneo" inayosimamia mfumo wa ligi wa mechi za nyumbani na ugenini. Mabadiliko ya aina hii yanapaswa kuwa na idhini ya wazi na ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote vinavyoshiriki, pamoja na kutimiza kikamilifu masharti ya kitaifa na kimataifa yanayosimamia uendeshaji wa mashindano rasmi. Katika kutetea kanuni hii, Real Madrid imechukua hatua tatu mahsusi: 1. Kuwasilisha ombi kwa FIFA kuzuia mechi hiyo kuchezwa bila idhini ya awali kutoka kwa vilabu vyote vya La Liga. 2. Kuwasilisha ombi kwa UEFA kuomba RFEF iondoe au ikatae ombi hilo, ikisisitiza vigezo vilivyowekwa mwaka 2018 vinavyokataza kuchezwa kwa mechi rasmi za mashindano ya ndani nje ya ardhi ya taifa, isipokuwa kwa hali za kipekee na zilizo na sababu za msingi ambazo katika kesi hii hazikutimia. 3. Kuwasilisha ombi kwa Baraza Kuu la Michezo(Consejo Superior de Deportes) kuto kutoa vibali vya kiutawala vinavyohitajika bila kuwepo kwa idhini ya pamoja kutoka kwa vilabu vyote. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 24 Views
  • Savinho Kutimkia Spurs *

    Tottenham wapo kwenye mazungumzo na Manchester City juu ya kutaka kumsajili Winga wa Brazil Savinho.

    Majadiliano yamefanyika kati ya klabu hizo mbili katika siku za hivi karibuni kuhusu uwezekano wa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 lakini itachukua ofa ya zaidi ya pauni milioni 50 kuwashawishi City kumuuza Staa huyo.

    #SportsElite
    馃毃Savinho Kutimkia Spurs 馃* Tottenham wapo kwenye mazungumzo na Manchester City juu ya kutaka kumsajili Winga wa Brazil Savinho. Majadiliano yamefanyika kati ya klabu hizo mbili katika siku za hivi karibuni kuhusu uwezekano wa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 lakini itachukua ofa ya zaidi ya pauni milioni 50 kuwashawishi City kumuuza Staa huyo. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 20 Views
  • Robert Lewandowski ameifungulia milango Barcelona baada ya kupokea ofa kutoka Saudi Arabia yenye thamani ya €100M.

    (Source: El Nacional)

    #SportsElite
    馃毃 Robert Lewandowski ameifungulia milango Barcelona baada ya kupokea ofa kutoka Saudi Arabia yenye thamani ya €100M. (Source: El Nacional) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 20 Views
  • 饾棗饾棙饾棓饾棢 饾棗饾棦饾棥饾棙: Girona imekamilisha usajili wa Axel Witsel..

    (Source: Girona FC)

    #SportsElite
    馃摑 饾棗饾棙饾棓饾棢 饾棗饾棦饾棥饾棙: Girona imekamilisha usajili wa Axel Witsel.. (Source: Girona FC) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 13 Views
More Results