• Alexander Isak amekataa kuchezea Newcastle.

    Amegoma kujumuishwa kwenye kikosi kitakacho cheza dhidi ya Aston Villa au Liverpool pamoja na hilo bado Amegoma kuongeza mkataba kuendelea kusalia klabuni hapo..

    Bado marengo yake ni kuhamia Liverpool tu!

    (Source: Fabrizio Romano)


    #SportsElite
    🚨 Alexander Isak amekataa kuchezea Newcastle. 🇸🇪❌🤍🖤 Amegoma kujumuishwa kwenye kikosi kitakacho cheza dhidi ya Aston Villa au Liverpool pamoja na hilo bado Amegoma kuongeza mkataba kuendelea kusalia klabuni hapo.. Bado marengo yake ni kuhamia Liverpool tu! (Source: Fabrizio Romano) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·62 Views
  • Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 3, Neymar ameweza kucheza mechi 6 mfululizo.

    Mshambuliaji huyo wa klabu ya Santos ameweza kucheza mechi 6 mfululizo kwani alikuwa akisumbuliwa majeraha ya mara kwa mara na kumfanya ashindwe kucheza mfululizo.

    Katika klabu hiyo amecheza mechi dhidi ya Cruzeiro, Juventude, Sport Recife, Intanacional, Mirassol na Flamengo.


    #SportsElite
    🚨⚪⚫Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 3, Neymar ameweza kucheza mechi 6 mfululizo. Mshambuliaji huyo wa klabu ya Santos ameweza kucheza mechi 6 mfululizo kwani alikuwa akisumbuliwa majeraha ya mara kwa mara na kumfanya ashindwe kucheza mfululizo. Katika klabu hiyo amecheza mechi dhidi ya Cruzeiro, Juventude, Sport Recife, Intanacional, Mirassol na Flamengo. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·79 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City imeitupilia mbali ofa ya 70 million euros kutoka Tottenham kumsajili Savinho.

    Mazungumzo bado yanaendelea muda sio mrefu ofa mpya inaweza kutolewa na klabu hiyo...


    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City imeitupilia mbali ofa ya 70 million euros kutoka Tottenham kumsajili Savinho. Mazungumzo bado yanaendelea muda sio mrefu ofa mpya inaweza kutolewa na klabu hiyo... #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·49 Views
  • Leon Bailey anaondoka Aston Villa miaka 28 na anaweza kujiunga na AS Roma au kwenda kuchukua pesa za Saudi Arabia.

    Mpaka sasa amekuwa na career nzuri japo ingeweza kuwa bora zaidi sababu uwezo anao lakini ni moja ya wachezaji muendelezo ni changamoto kwake kwa taifa alillotaka anabaki kuwa mchezaji wenye kipaji zaidi natumai Mason Greenwood akijunga rasmi na Jamaica watakuwa na taifa nzuri na shindani.

    #SportsElite
    🚨🚨Leon Bailey anaondoka Aston Villa miaka 28 na anaweza kujiunga na AS Roma au kwenda kuchukua pesa za Saudi Arabia. Mpaka sasa amekuwa na career nzuri japo ingeweza kuwa bora zaidi sababu uwezo anao lakini ni moja ya wachezaji muendelezo ni changamoto kwake kwa taifa alillotaka anabaki kuwa mchezaji wenye kipaji zaidi natumai Mason Greenwood akijunga rasmi na Jamaica watakuwa na taifa nzuri na shindani. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·86 Views
  • LA MASIA KUHUSU NAMBA TISA SIO SHIDA ZAO

    Hivi La masia inashida gani na namba 9 wakuu? miaka nenda miaka rudi sijawai kuona mshambuliaji namba9 katokea academy yetu? au ni utamaduni wa club kununua mshambuliaji? maana nimewashuhudia hawa wote
    1: Etoo
    2: Ibrahimovic
    3: Vila
    4: Suarez
    5:Aguero
    6:Auba
    7: lewandowski

    kuna shida gani wakuu? au ndio utamaduni wetu kununua namba 9


    #SportsElite
    LA MASIA KUHUSU NAMBA TISA SIO SHIDA ZAO Hivi La masia inashida gani na namba 9 wakuu? miaka nenda miaka rudi sijawai kuona mshambuliaji namba9 katokea academy yetu? au ni utamaduni wa club kununua mshambuliaji? maana nimewashuhudia hawa wote 1: Etoo 2: Ibrahimovic 3: Vila 4: Suarez 5:Aguero 6:Auba 7: lewandowski kuna shida gani wakuu? au ndio utamaduni wetu kununua namba 9 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·103 Views
  • Klabu ya NEOM ya Saudi Arabia inatarajia kumsajili aliyekuwa mchezaji wa Marseille , Pape Gueye, kulingana na taarifa za RMC Sport. Kiungo huyo wa Villarreal tayari amewasiliana kwa mara ya kwanza na viongozi wa klabu hiyo mpya iliyopanda daraja kwenye Saudi Pro League.

    #SportsElite
    💦Klabu ya NEOM ya Saudi Arabia 🇸🇦 inatarajia kumsajili aliyekuwa mchezaji wa Marseille 🇫🇷, Pape Gueye, kulingana na taarifa za RMC Sport. Kiungo huyo wa Villarreal 🇪🇸 tayari amewasiliana kwa mara ya kwanza na viongozi wa klabu hiyo mpya iliyopanda daraja kwenye Saudi Pro League. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·77 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Kombe la UEFA Super Cup sasa linaenda kuwa la Timu nne na kipute hicho kitapigwa katika ukanda wa Mashariki ya Kati au Marekani,
    inaripoti Telegraph.

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Kombe la UEFA Super Cup sasa linaenda kuwa la Timu nne na kipute hicho kitapigwa katika ukanda wa Mashariki ya Kati au Marekani, inaripoti Telegraph. 🏆👀 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·82 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester United imefungua mazungumzo na Brighton juu ya uwezekano wa kumpata Baleba!!

    (@JacobsBen)

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester United imefungua mazungumzo na Brighton juu ya uwezekano wa kumpata Baleba!! (@JacobsBen) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·76 Views
  • | BREAKING: Barcelona wanahaha kuhakikisha kuwa Joan Garcia na Marcus Rashford wamesajiliwa kwa wakati kabla ya mechi yao ya ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorca !

    #SportsElite
    🚨🚨 | BREAKING: Barcelona wanahaha kuhakikisha kuwa Joan Garcia na Marcus Rashford wamesajiliwa kwa wakati kabla ya mechi yao ya ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorca ! 🔥 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·75 Views
  • Newcastle United tayari wamefikia makubaliano ya £45M dhidi ya Aston Villa ili kumsajiri Jacob Ramsey.

    £38M na nyongeza £5M zaidi

    (Source: Sky Sports)

    #SportsElite
    🚨 Newcastle United tayari wamefikia makubaliano ya £45M dhidi ya Aston Villa ili kumsajiri Jacob Ramsey. £38M na nyongeza £5M zaidi (Source: Sky Sports) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·58 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚:Huwenda Marcus Rashford asicheze kwenye mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorcais kutokana bado hajasajiriwa kwenye mfumo unao watambua wachezaji wa timu flani..

    (Source: MARCA)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚:Huwenda Marcus Rashford asicheze kwenye mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorcais kutokana bado hajasajiriwa kwenye mfumo unao watambua wachezaji wa timu flani.. (Source: MARCA) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·73 Views
  • Vilabu vya Aston Villa, Chelsea, Newcastle United na Tottenham vinahusishwa na kumsajili Rico Lewis lakini huwenda kaongeza mkataba mpya Manchester City.

    (Source: ManCityNews)

    #SportsElite
    🚨Vilabu vya Aston Villa, Chelsea, Newcastle United na Tottenham vinahusishwa na kumsajili Rico Lewis lakini huwenda kaongeza mkataba mpya Manchester City. (Source: ManCityNews) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·54 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Yoane Wissa huwenda akaukosa mchezo wa ufunguzi wa Premier League kati ya Brentford na Nottingham Forest after baada ya kutaka kuondoka klabuni hapo..

    (Source: BBC Sport)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Yoane Wissa huwenda akaukosa mchezo wa ufunguzi wa Premier League kati ya Brentford na Nottingham Forest after baada ya kutaka kuondoka klabuni hapo.. ❌ (Source: BBC Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·72 Views
  • Crystal Palace inapanga kukamilisha usajiri kabla ya dirisha kufungwa na tayari wamegonga hodi kwa Liverpool kumpata kiungo Harvey Elliott.

    Liverpool wanahitaji karibu £40M au ifanyike mabadiilishano kati ya Marc Guehi na Harvey Elliott....

    (Source: Sun Sport)

    #SportsElite
    🚨 Crystal Palace inapanga kukamilisha usajiri kabla ya dirisha kufungwa na tayari wamegonga hodi kwa Liverpool kumpata kiungo Harvey Elliott. Liverpool wanahitaji karibu £40M au ifanyike mabadiilishano kati ya Marc Guehi na Harvey Elliott.... (Source: Sun Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·88 Views
  • Bayern Munich imetuma ofa ya €60M na nyongeza zaidi ili kumpata Nick Woltemade.

    Stuttgart imekataa ofa hiyo na inahitaji kiasi cha €75M.

    Bayern Munich hawako tayari kutoa kiasi hicho

    (Source: Florian Plettenberg)

    #SportsElite
    🚨 Bayern Munich imetuma ofa ya €60M na nyongeza zaidi ili kumpata Nick Woltemade. Stuttgart imekataa ofa hiyo na inahitaji kiasi cha €75M. Bayern Munich hawako tayari kutoa kiasi hicho (Source: Florian Plettenberg) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·90 Views
  • Brighton wanahitaji £120M ili kumuachia Carlos Baleba.


    (Source: The Independent)

    #SportsElite
    🚨 Brighton wanahitaji £120M ili kumuachia Carlos Baleba. (Source: The Independent) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·59 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Newcastle imekamilisha usajili wa Jacob Ramsey kutoka Aston Villa,

    Uhamisho huo umegharimu £40m na Ramsey atasafiri kuelekea Newcastle kwaajili ya vipimo vya afya

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Newcastle imekamilisha usajili wa Jacob Ramsey kutoka Aston Villa, 🤍🖤 Uhamisho huo umegharimu £40m na Ramsey atasafiri kuelekea Newcastle kwaajili ya vipimo vya afya 🔜 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·51 Views
  • Games Fans

    Richarlison amebadilisha maisha ya familia ya mtangazaji wa mitandaoni Lalau, mkazi wa Serra do Mel, eneo la ndani la Rio Grande do Norte.

    Richarlison aliguswa na chapisho la Lalau mwaka 2024, ambapo aliwaomba wafuasi wake kusaidia kukarabati chumba cha nyumba kwa ajili ya ujio wa binti yake mdogo, aliyezaliwa kabla ya wakati.

    Nyumba hiyo ilikuwa katika hali mbaya, bila plasta, ilikuwa inavuja na nyaya zilizo wazi, kuta zenye nyufa, na bila bafu au choo cha maji.

    Mchezaji huyo alimtafuta ili kumsaidia na akaamua kugharamia ukarabati wa nyumba nzima, ambao umekamilika wiki hii.


    #SportsElite
    Games Fans Richarlison amebadilisha maisha ya familia ya mtangazaji wa mitandaoni Lalau, mkazi wa Serra do Mel, eneo la ndani la Rio Grande do Norte. Richarlison aliguswa na chapisho la Lalau mwaka 2024, ambapo aliwaomba wafuasi wake kusaidia kukarabati chumba cha nyumba kwa ajili ya ujio wa binti yake mdogo, aliyezaliwa kabla ya wakati. Nyumba hiyo ilikuwa katika hali mbaya, bila plasta, ilikuwa inavuja na nyaya zilizo wazi, kuta zenye nyufa, na bila bafu au choo cha maji. Mchezaji huyo alimtafuta ili kumsaidia na akaamua kugharamia ukarabati wa nyumba nzima, ambao umekamilika wiki hii. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·53 Views
  • Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu.

    Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu. Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·77 Views
  • Nottingham Forest wako kwenye majadiliano na Rennes juu ya uwezekano wa kumsajili mshambuliaji Arnaud Kalimuendo

    #SportsElite
    Nottingham Forest wako kwenye majadiliano na Rennes juu ya uwezekano wa kumsajili mshambuliaji Arnaud Kalimuendo 🚨 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·38 Views
More Results