• Arsenal wanapanga kumsajili Eberechi Eze (27) mara baada ya kukamilisha dili la Gyökeres, kwa mujibu wa @MiguelDelaney.

    #SportsElite
    🚨🚨Arsenal wanapanga kumsajili Eberechi Eze (27) mara baada ya kukamilisha dili la Gyökeres, kwa mujibu wa @MiguelDelaney. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1 Views
  • ⚪️𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester City bado wanafanya mazungumzo na Newcastle United kumuhitaji beki Tino Livramento.

    Manchester City wako tayari kutoa £50million kwaajili ya beki huyo Tino Livramento.

    Graeme Bailey/ TBR football/ Goal.

    #SportsElite
    ⚪️🔵🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Manchester City bado wanafanya mazungumzo na Newcastle United kumuhitaji beki Tino Livramento. Manchester City wako tayari kutoa £50million kwaajili ya beki huyo Tino Livramento. Graeme Bailey/ TBR football/ Goal. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·2 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City bado wapo kwenye harakati za kumuwinda mchezaji wa Westham United Lucas Paqueta.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City bado wapo kwenye harakati za kumuwinda mchezaji wa Westham United Lucas Paqueta. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·1 Views
  • Arsenal wameweka wazi kuwa hawako tayari kulipa mshahara wa juu unaodaiwa na kambi ya Rodrygo.

    #SportsElite
    Arsenal wameweka wazi kuwa hawako tayari kulipa mshahara wa juu unaodaiwa na kambi ya Rodrygo. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·2 Views
  • Manchester City bado wana nia ya kumsajili mchezaji wa West Ham United, Lucas Paquetá.

    #SportsElite
    Manchester City bado wana nia ya kumsajili mchezaji wa West Ham United, Lucas Paquetá. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·2 Views
  • BREAKING : FC Barcelona wamejipanga kimkakati kuhakikisha wanamsajili Beki kitasa wa Liverpool FC raia wa Ufaransa Ibrahima Konaté katika dirisha hili la usajili.

    FC Barcelona wanaamini ofa waliyoiandaa, haiwezi kataliwa na Liverpool FC

    #SportsElite
    BREAKING 🔴: FC Barcelona wamejipanga kimkakati kuhakikisha wanamsajili Beki kitasa wa Liverpool FC raia wa Ufaransa 🇨🇵 Ibrahima Konaté katika dirisha hili la usajili. FC Barcelona wanaamini ofa waliyoiandaa, haiwezi kataliwa na Liverpool FC #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·3 Views
  • Rodrigo de paul atavaa jezi no.7 kwenye club ya Inter Miami ya marekani, ndoto yake ya kucheza club moja na Messi huenda imetimia, rasmi Messi atakuwa karibu na bodyguard wake kuanzia sasa popote awapo

    #SportsElite
    Rodrigo de paul atavaa jezi no.7 kwenye club ya Inter Miami ya marekani, ndoto yake ya kucheza club moja na Messi huenda imetimia, rasmi Messi atakuwa karibu na bodyguard wake kuanzia sasa popote awapo #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·3 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili kiungo mshambuliaji, Lassine Kouma (21) raia wa Mali akitokea klabu ya Stade Malien ya Nchini kwao na atavaa jezi namba 8 iliyokuwa ikivaliwa na Khalid Aucho.

    #SportsElite
    📝 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili kiungo mshambuliaji, Lassine Kouma (21) raia wa Mali akitokea klabu ya Stade Malien ya Nchini kwao na atavaa jezi namba 8 iliyokuwa ikivaliwa na Khalid Aucho. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·3 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Jules Koundé ameongeza kandarasi kuendelea kusalia Barcelona hadi 2030.

    @FabriceHawkins

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Jules Koundé ameongeza kandarasi kuendelea kusalia Barcelona hadi 2030. 🇫🇷 ℹ️ @FabriceHawkins #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·4 Views
  • Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025.

    Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo.

    Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao.

    "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo.

    #SportsElite
    🚨🚨Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025. Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo. Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao. "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·8 Views
  • Raheem Sterling yuko kwenye rada za Antonio Conte kwenda Napoli.

    (Source: Calciomercato)

    #SportsElite
    🚨 Raheem Sterling yuko kwenye rada za Antonio Conte kwenda Napoli. (Source: Calciomercato) #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·3 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Flamengo imefikia makubaliano Samuel Lino kwenda Atlético Madrid ⚫️
    Na uhamisho huo umegharimu €22M na nyongeza ya €2M..

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Flamengo imefikia makubaliano Samuel Lino kwenda Atlético Madrid 🔴⚫️🇧🇷 Na uhamisho huo umegharimu €22M na nyongeza ya €2M.. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·3 Views
  • Leeds United imetuma ofa ya £26m kwa Feyenoord kumsajili winga Igor Paixao

    #SportsElite
    Leeds United imetuma ofa ya £26m kwa Feyenoord kumsajili winga Igor Paixao 🚨 #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·5 Views
  • Fulham wamemjumuisha Raheem Sterling (30) kwenye orodha yao ya usajili majira haya ya kiangazi, huku winga huyo wa Chelsea akiripotiwa kuwa tayari kuhamia kwa majirani wao wa London. (mcgrathmike)

    #SportsElite
    🚨🚨Fulham wamemjumuisha Raheem Sterling (30) kwenye orodha yao ya usajili majira haya ya kiangazi, huku winga huyo wa Chelsea akiripotiwa kuwa tayari kuhamia kwa majirani wao wa London. (mcgrathmike) #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·6 Views
  • RASMI

    Cashin amejiunga na klabu ya Birmingham City kwa mkopo wa msimu mzima akitokea Brighton & Hove Albion.

    #SportsElite
    RASMI✅ Cashin amejiunga na klabu ya Birmingham City kwa mkopo wa msimu mzima akitokea Brighton & Hove Albion. 🤝🔵⚪ #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·6 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: James Trafford kwenda Man City limekamilika 𝗛𝗘𝗥𝗘 𝗪𝗘 𝗚𝗢 done.

    Burnley itakula £40M kama mauzo ya golikipa huyo..

    (Source: Fabrizio Romano)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: James Trafford kwenda Man City limekamilika 𝗛𝗘𝗥𝗘 𝗪𝗘 𝗚𝗢 done. ✅ Burnley itakula £40M kama mauzo ya golikipa huyo.. (Source: Fabrizio Romano) #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·5 Views
  • JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.

    Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns.

    Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids.


    #SportsElite
    🚨🚨 JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel 🇮🇱ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns. Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids. #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·8 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Newcastle bado iko kwenye majadiliano na Brentford FC ili kuipata huduma ya Yoane Wissa.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Newcastle bado iko kwenye majadiliano na Brentford FC ili kuipata huduma ya Yoane Wissa. ⚪⚫ #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·4 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yıldız.

    (Source: Gazzetta dello Sport)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yıldız. (Source: Gazzetta dello Sport) #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·15 Views
  • Cyril Ngonge amejiunga na klabu ya Torino kwa mkopo kutoka Napoli hadi mwisho wa msimu.

    Mkataba unahusisha ada ya mkopo ya €1M na kipengele cha kumnunua cha €17M mwishoni mwa msimu.

    #SportsElite
    🆕 Cyril Ngonge amejiunga na klabu ya Torino kwa mkopo kutoka Napoli hadi mwisho wa msimu. 🤝🔴⚫ Mkataba unahusisha ada ya mkopo ya €1M na kipengele cha kumnunua cha €17M mwishoni mwa msimu. ✍️ #SportsElite
    0 Commenti ·0 condivisioni ·6 Views
Pagine in Evidenza