• 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili kiungo mshambuliaji, Lassine Kouma (21) raia wa Mali akitokea klabu ya Stade Malien ya Nchini kwao na atavaa jezi namba 8 iliyokuwa ikivaliwa na Khalid Aucho.

    #SportsElite
    📝 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili kiungo mshambuliaji, Lassine Kouma (21) raia wa Mali akitokea klabu ya Stade Malien ya Nchini kwao na atavaa jezi namba 8 iliyokuwa ikivaliwa na Khalid Aucho. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1 Ansichten
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Jules Koundé ameongeza kandarasi kuendelea kusalia Barcelona hadi 2030.

    @FabriceHawkins

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Jules Koundé ameongeza kandarasi kuendelea kusalia Barcelona hadi 2030. 🇫🇷 ℹ️ @FabriceHawkins #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·3 Ansichten
  • Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025.

    Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo.

    Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao.

    "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo.

    #SportsElite
    🚨🚨Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Young Africans kwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025. Katika barua yake aliyoituma Julai 25 mwaka huu kwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, Rais Infantino amesema juhudi walizofanya msimu mzima zimewalipa kwa kutwaa ubingwa huo. Pia amesema salamu zake za pongezi ziende kwa kila mwanachama wa Young Africans kwa kuwa wote ni sehemu ya mafanikio hayo makubwa kwa timu yao. "Nakushukuru wewe na Shirikisho lako kwa kazi nzuri ya kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu katika nchi yako, na ninatarajia tutaonana hivi karibu, " amesema Rais Infantino katika sehemu ya barua hiyo. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·6 Ansichten
  • Raheem Sterling yuko kwenye rada za Antonio Conte kwenda Napoli.

    (Source: Calciomercato)

    #SportsElite
    🚨 Raheem Sterling yuko kwenye rada za Antonio Conte kwenda Napoli. (Source: Calciomercato) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·3 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Flamengo imefikia makubaliano Samuel Lino kwenda Atlético Madrid ⚫️
    Na uhamisho huo umegharimu €22M na nyongeza ya €2M..

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Flamengo imefikia makubaliano Samuel Lino kwenda Atlético Madrid 🔴⚫️🇧🇷 Na uhamisho huo umegharimu €22M na nyongeza ya €2M.. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·2 Ansichten
  • Leeds United imetuma ofa ya £26m kwa Feyenoord kumsajili winga Igor Paixao

    #SportsElite
    Leeds United imetuma ofa ya £26m kwa Feyenoord kumsajili winga Igor Paixao 🚨 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·4 Ansichten
  • Fulham wamemjumuisha Raheem Sterling (30) kwenye orodha yao ya usajili majira haya ya kiangazi, huku winga huyo wa Chelsea akiripotiwa kuwa tayari kuhamia kwa majirani wao wa London. (mcgrathmike)

    #SportsElite
    🚨🚨Fulham wamemjumuisha Raheem Sterling (30) kwenye orodha yao ya usajili majira haya ya kiangazi, huku winga huyo wa Chelsea akiripotiwa kuwa tayari kuhamia kwa majirani wao wa London. (mcgrathmike) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·5 Ansichten
  • RASMI

    Cashin amejiunga na klabu ya Birmingham City kwa mkopo wa msimu mzima akitokea Brighton & Hove Albion.

    #SportsElite
    RASMI✅ Cashin amejiunga na klabu ya Birmingham City kwa mkopo wa msimu mzima akitokea Brighton & Hove Albion. 🤝🔵⚪ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·5 Ansichten
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: James Trafford kwenda Man City limekamilika 𝗛𝗘𝗥𝗘 𝗪𝗘 𝗚𝗢 done.

    Burnley itakula £40M kama mauzo ya golikipa huyo..

    (Source: Fabrizio Romano)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: James Trafford kwenda Man City limekamilika 𝗛𝗘𝗥𝗘 𝗪𝗘 𝗚𝗢 done. ✅ Burnley itakula £40M kama mauzo ya golikipa huyo.. (Source: Fabrizio Romano) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·4 Ansichten
  • JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.

    Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns.

    Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids.


    #SportsElite
    🚨🚨 JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel 🇮🇱ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns. Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·7 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Newcastle bado iko kwenye majadiliano na Brentford FC ili kuipata huduma ya Yoane Wissa.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Newcastle bado iko kwenye majadiliano na Brentford FC ili kuipata huduma ya Yoane Wissa. ⚪⚫ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·4 Ansichten
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yıldız.

    (Source: Gazzetta dello Sport)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yıldız. (Source: Gazzetta dello Sport) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·10 Ansichten
  • Cyril Ngonge amejiunga na klabu ya Torino kwa mkopo kutoka Napoli hadi mwisho wa msimu.

    Mkataba unahusisha ada ya mkopo ya €1M na kipengele cha kumnunua cha €17M mwishoni mwa msimu.

    #SportsElite
    🆕 Cyril Ngonge amejiunga na klabu ya Torino kwa mkopo kutoka Napoli hadi mwisho wa msimu. 🤝🔴⚫ Mkataba unahusisha ada ya mkopo ya €1M na kipengele cha kumnunua cha €17M mwishoni mwa msimu. ✍️ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·5 Ansichten
  • RASMI

    Nathan Ngoy ajiunga rasmi na LOSC Lille kutoka Standard Liège kwa dau la €4.5M.

    Beki huyo mwenye umri wa miaka 22 amesaini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo ya Ufaransa.

    #SportsElite
    📢 RASMI✅ Nathan Ngoy ajiunga rasmi na LOSC Lille kutoka Standard Liège kwa dau la €4.5M. 🔴⚪ Beki huyo mwenye umri wa miaka 22 amesaini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo ya Ufaransa. ✍️💪 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·5 Ansichten
  • Arsenal inapanga kumuongeza mkataba William Saliba ambae anawindwa na Real Madrid.

    (Source: Football Transfers)

    #SportsElite
    🚨 Arsenal inapanga kumuongeza mkataba William Saliba ambae anawindwa na Real Madrid. (Source: Football Transfers) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·4 Ansichten
  • Crystal Palace imefungua milango kwa Marc Guéhi kuondoka klabuni hapo,, baada ya Liverpool kuonesha nia ya kumuhitaji na Liverpool imependekeza ofa ya £45M, Huku akiwa amesalia mkataba wa mwaka mmoja..

    (Source: GiveMeSport)

    #SportsElite
    🚨 Crystal Palace imefungua milango kwa Marc Guéhi kuondoka klabuni hapo,, baada ya Liverpool kuonesha nia ya kumuhitaji na Liverpool imependekeza ofa ya £45M, Huku akiwa amesalia mkataba wa mwaka mmoja.. (Source: GiveMeSport) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·6 Ansichten
  • Tottenham na Newcastle zinaangalia uwezekano wa kumsajili Conor Gallagher, ambae ameshindwa kuonesha kiwango chake Atlético Madrid.

    (Source: The Boot Room)

    #SportsElite
    🚨 Tottenham na Newcastle zinaangalia uwezekano wa kumsajili Conor Gallagher, ambae ameshindwa kuonesha kiwango chake Atlético Madrid. (Source: The Boot Room) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·4 Ansichten
  • Fulham imeulizia usajili wa Kiernan Dewsbury-Hall wa Chelsea.

    (Source: Sky Sports)

    #SportsElite
    🚨 Fulham imeulizia usajili wa Kiernan Dewsbury-Hall wa Chelsea. 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 (Source: Sky Sports) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·5 Ansichten
  • Taarifa Mpya:* Manchester United wamewasiliana tena na Aston Villa kuhusu uwezekano wa kumsajili mshambuliaji *Ollie Watkins!

    #SportsElite
    🔥 Taarifa Mpya:* Manchester United wamewasiliana tena na Aston Villa kuhusu uwezekano wa kumsajili mshambuliaji *Ollie Watkins! 🚨 #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·4 Ansichten
  • 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Atletico Madrid imekamilisha usajili wa David Hancko kutoka Feyenoord.

    Ada ya uhamisho ni €30M + na nyongeza
    Mkataba hadi 2030.

    (Source: Atlético de Madrid)

    #SportsElite
    📝 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Atletico Madrid imekamilisha usajili wa David Hancko kutoka Feyenoord. 🔸Ada ya uhamisho ni €30M + na nyongeza 🔸 Mkataba hadi 2030. (Source: Atlético de Madrid) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·4 Ansichten
Suchergebnis