• Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini.

    WAFUNGAJI :
    Feitoto
    Kitambala

    #SportsElite
    Klabu ya soka ya Azam FC imeanza vyema michuano ya kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuondoka na ushindi ugenini wa Magoli 2 Kwa Sifuri dhidi ya timu ya El-Mereikh kutoka Sudani Kusini. WAFUNGAJI : ⚽ Feitoto ⚽ Kitambala #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·100 Views
  • Kazi imekwisha sasa muda wa kupumzika Mungu akitujaalia tutaonana kesho msichoke Kunisapoti tuzidi kupasua Anga.

    #SportsElite
    ✍️ Kazi imekwisha sasa muda wa kupumzika Mungu akitujaalia tutaonana kesho msichoke Kunisapoti tuzidi kupasua Anga. 🙏 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·64 Views
  • Alexander Anord huwenda akawa nje ya uwanja zaidi ya wiki 6-8 baada ya kuwa majeruhii.

    #SportsElite
    🚨Alexander Anord huwenda akawa nje ya uwanja zaidi ya wiki 6-8 baada ya kuwa majeruhii. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·158 Views
  • Manchester United Yavunja Rekodi ya Mapato ya £666.5m, Licha ya Kukosa Ligi ya Mabingwa Ulaya

    Manchester United imetangaza mapato ya rekodi ya £666.5 milioni kwa mwaka wa fedha 2025, licha ya kutoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UCL). Hata hivyo, klabu hiyo imerekodi hasara ya uendeshaji ya £18.4 milioni, ikilinganishwa na hasara kubwa zaidi ya £69.3 milioni mwaka 2024.

    Kiasi cha £36.6 milioni kilitumiwa kama gharama maalum, ikiwemo kuondoka kwa aliyekuwa meneja Erik ten Hag pamoja na benchi lake la ufundi.

    United pia imeweka historia kwa kupata mapato ya juu zaidi ya siku za mechi, yaliyoongezeka kwa 17%, kutokana na mauzo makubwa ya tiketi na uanachama. Aidha, klabu ilipata mapato ya juu zaidi ya kibiashara, yaliyoongezeka kwa 10%, kutokana na ushirikiano mpya wa jezi kuu na kampuni ya teknolojia Snapdragon.

    Kwa mwaka wa fedha 2026, klabu hiyo imeweka makadirio ya mapato kati ya £640 milioni na £660 milioni, huku EBITDA iliyorekebishwa ikitarajiwa kuwa kati ya £180 milioni na £200 milioni.

    Afisa Mtendaji Mkuu, Omar Berrada, alisema kuwa klabu inaendelea na mikakati ya muda mrefu ndani na nje ya uwanja:

    > "Tunafurahishwa na wachezaji wapya tulioongeza kwenye vikosi vyetu vya wanaume na wanawake. Nje ya uwanja, tunapitia mabadiliko ya kiuongozi na kimuundo, na sasa tuna taasisi iliyo tayari kufanikisha malengo yetu. Kupunguza gharama kutatupa nafasi kubwa ya kuboresha matokeo ya kifedha, jambo litakalosaidia kipaumbele chetu kikuu — mafaanikio uwanjani."

    Manchester United sasa ina matumaini kwamba mafanikio ya kifedha yatasaidia kurejesha ubingwa na heshima uwanjani.

    #SportsElite
    ⚽ Manchester United Yavunja Rekodi ya Mapato ya £666.5m, Licha ya Kukosa Ligi ya Mabingwa Ulaya Manchester United imetangaza mapato ya rekodi ya £666.5 milioni kwa mwaka wa fedha 2025, licha ya kutoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UCL). Hata hivyo, klabu hiyo imerekodi hasara ya uendeshaji ya £18.4 milioni, ikilinganishwa na hasara kubwa zaidi ya £69.3 milioni mwaka 2024. Kiasi cha £36.6 milioni kilitumiwa kama gharama maalum, ikiwemo kuondoka kwa aliyekuwa meneja Erik ten Hag pamoja na benchi lake la ufundi. United pia imeweka historia kwa kupata mapato ya juu zaidi ya siku za mechi, yaliyoongezeka kwa 17%, kutokana na mauzo makubwa ya tiketi na uanachama. Aidha, klabu ilipata mapato ya juu zaidi ya kibiashara, yaliyoongezeka kwa 10%, kutokana na ushirikiano mpya wa jezi kuu na kampuni ya teknolojia Snapdragon. Kwa mwaka wa fedha 2026, klabu hiyo imeweka makadirio ya mapato kati ya £640 milioni na £660 milioni, huku EBITDA iliyorekebishwa ikitarajiwa kuwa kati ya £180 milioni na £200 milioni. Afisa Mtendaji Mkuu, Omar Berrada, alisema kuwa klabu inaendelea na mikakati ya muda mrefu ndani na nje ya uwanja: > "Tunafurahishwa na wachezaji wapya tulioongeza kwenye vikosi vyetu vya wanaume na wanawake. Nje ya uwanja, tunapitia mabadiliko ya kiuongozi na kimuundo, na sasa tuna taasisi iliyo tayari kufanikisha malengo yetu. Kupunguza gharama kutatupa nafasi kubwa ya kuboresha matokeo ya kifedha, jambo litakalosaidia kipaumbele chetu kikuu — mafaanikio uwanjani." 📌 Manchester United sasa ina matumaini kwamba mafanikio ya kifedha yatasaidia kurejesha ubingwa na heshima uwanjani. #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·304 Views
  • OFFICIAL Coady Gakpo ameongeza mkataba wa miaka miwili na nusu kubakia Liverpool hadi 2029.

    Source Fabrizio

    #SportsElite
    🇳🇱✍️OFFICIAL Coady Gakpo ameongeza mkataba wa miaka miwili na nusu kubakia Liverpool hadi 2029.🔐 Source Fabrizio #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·420 Views
  • Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    💰🚨 Chelsea imetoa ofa ya €40m kwa Barcelona ili kumsajili Fermin Lopez lakini bado Haijajibiwa.🇪🇸🔵 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·447 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐑𝐚𝐬𝐦𝐮𝐬 𝐇𝐨𝐣𝐥𝐮𝐧𝐝 𝐭𝐨 𝐒𝐒𝐂 𝐍𝐚𝐩𝐨𝐥𝐢

    BREAKING SSC Napoli imefikia makubaliano kamili na Man United kumsajili Rasmus Højlund kwa mkopo wa €6m na chaguo la kumsajili kwa ada ya €44m.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐑𝐚𝐬𝐦𝐮𝐬 𝐇𝐨𝐣𝐥𝐮𝐧𝐝 𝐭𝐨 𝐒𝐒𝐂 𝐍𝐚𝐩𝐨𝐥𝐢 🚨BREAKING SSC Napoli imefikia makubaliano kamili na Man United kumsajili Rasmus Højlund kwa mkopo wa €6m na chaguo la kumsajili kwa ada ya €44m. 🇩🇰 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·523 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐍𝐢𝐜𝐨𝐥𝐚𝐬 𝐉𝐚𝐜𝐤𝐬𝐨𝐧 𝐭𝐨 𝐁𝐚𝐲𝐞𝐫𝐧 𝐌𝐮𝐧𝐢𝐜𝐡

    BREAKING Bayern imefikia makubaliano kamili na Chelsea kumsajili Nicolas Jackson kwa mkopo wenye thamani ya €15m na chaguo la kumsajili kwa €80m

    Source Fabrizio Romano


    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐍𝐢𝐜𝐨𝐥𝐚𝐬 𝐉𝐚𝐜𝐤𝐬𝐨𝐧 𝐭𝐨 𝐁𝐚𝐲𝐞𝐫𝐧 𝐌𝐮𝐧𝐢𝐜𝐡 🚨BREAKING Bayern imefikia makubaliano kamili na Chelsea kumsajili Nicolas Jackson kwa mkopo wenye thamani ya €15m na chaguo la kumsajili kwa €80m🇸🇳 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·623 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Liverpool sasa wako katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Newcastle United Alexander Isak kwa ada ya £130m.

    Source Football Tweets

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Liverpool sasa wako katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa Mshambuliaji kutoka Newcastle United Alexander Isak kwa ada ya £130m. Source Football Tweets #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·546 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚 : Liverpool imepanga kuwasilisha ofa yao Leo kwa Newcastle United yenye thamani zaidi ya £125m kumsajili mshambuliaji Alexander Isak.

    Source The Touchline

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚 : Liverpool imepanga kuwasilisha ofa yao Leo kwa Newcastle United yenye thamani zaidi ya £125m kumsajili mshambuliaji Alexander Isak. 💰 🇸🇪 Source The Touchline #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·415 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Leverkusen imekamilisha usajili wa Eliesse Ben (20).

    Bayer Leverkusen ilifikia makubaliano dhidi ya Monaco kumpata winga huyo mwenye thamani ya €30M hadi 2030.


    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Leverkusen imekamilisha usajili wa Eliesse Ben (20). Bayer Leverkusen ilifikia makubaliano dhidi ya Monaco kumpata winga huyo mwenye thamani ya €30M hadi 2030. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·372 Views
  • Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+

    Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana au mlishindwa kumvumilia Captain America

    Au Seria A ni ligi nyepesi sana ?

    #SportsElite
    🚨🚨Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+ 🙌 Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana 😀 au mlishindwa kumvumilia Captain America 😎 Au Seria A ni ligi nyepesi sana ? #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·450 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐅𝐚𝐜𝐮𝐝𝐨 𝐁𝐮𝐨𝐧𝐚𝐧𝐨𝐭𝐭𝐞 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚

    BREAKING Chelsea imefika makubaliano kamili na Brighton kumsajili Facundo Buonanotte kwa mkopo..!

    Source Fabrizio Romano


    #SportsElite
    🇦🇷🚨𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎 : 𝐅𝐚𝐜𝐮𝐝𝐨 𝐁𝐮𝐨𝐧𝐚𝐧𝐨𝐭𝐭𝐞 𝐭𝐨 𝐂𝐡𝐞𝐥𝐬𝐞𝐚 🚨 BREAKING Chelsea imefika makubaliano kamili na Brighton kumsajili Facundo Buonanotte kwa mkopo..! Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·513 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona.

    Source The Touchline T

    #SportsElite
    🔐🚨𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Fermín López amefanya uamuzi wa Kuendelea kubakia Barcelona. Source The Touchline T #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·351 Views
  • Ofa ya klabu ya £25m ya Real Betis ilikubaliwa na Man United Kuhusu kumsajili Antony na tayari Man United ilimpa ruhusa Antony kusafiri kuelekea Spain

    Lakini saa chache baadae Real Betis imebadilishaa msimamo wake na kujiondoa kwenye mazungumzo wakidai kuwa mshahara wa Antony ni mkubwa hivyo hawataweza vinginevyo Man United wapungize Bei ya Antony au Antony apunguze Mshahara wake. .

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    🚨 Ofa ya klabu ya £25m ya Real Betis ilikubaliwa na Man United Kuhusu kumsajili Antony na tayari Man United ilimpa ruhusa Antony kusafiri kuelekea Spain Lakini saa chache baadae Real Betis imebadilishaa msimamo wake na kujiondoa kwenye mazungumzo wakidai kuwa mshahara wa Antony ni mkubwa hivyo hawataweza vinginevyo Man United wapungize Bei ya Antony au Antony apunguze Mshahara wake. 🥴🇧🇷. Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·431 Views
  • Piero Hincape anajiunga na Arsenal kwa mkopo wa €6m na Chaguo la kumsajili kwa ada ya €46m na mkataba wa miaka mitano hadi June mwaka 2030.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🇨🇴🚨Piero Hincape anajiunga na Arsenal kwa mkopo wa €6m na Chaguo la kumsajili kwa ada ya €46m na mkataba wa miaka mitano hadi June mwaka 2030.🔐 Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·448 Views
  • RATIBA YA LEO JUMAMOSI YA AGOSTI 30 - 2025

    14:30 - Chelsea FC Fulham FC

    16:30 - RB Leipzig FC Heidenhein

    16:30 - Weder Bremen Leverkusen

    17:00 - Sunderland Brentford FC

    17:00 - Wolverhampton Everton FC

    17:00 - Tottenham Bournemouth

    17:00 - Manchester United Burnley FC

    17:30 - FC Volendam Ajax Amsterdam

    🏟 18:00 - Madagascar Morocco

    18:00 - Deportivo Alaves Atletico Madrid

    19:30 - Augsburg Bayern Munich

    19:30 - Leeds United Newcastle United

    21:00 - PSV Eindhoven Telstar

    21:00 - Al Akholood Al Ittihad FC

    21:30 - Galatasaray FK Rizespor

    21:45 - Pisa AS Roma

    21:45 - SSC Napoli Cagliari FC

    22:05 - Toulouse Paris Saint Germain

    22:30 - Sporting CP FC Porto

    22:30 - Real Madrid CF Real Mallorca

    #SportsElite
    🚨 RATIBA YA LEO JUMAMOSI YA AGOSTI 30 - 2025 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 14:30 - Chelsea FC ⚔️ Fulham FC 🇩🇪 16:30 - RB Leipzig ⚔️ FC Heidenhein 🇩🇪 16:30 - Weder Bremen ⚔️ Leverkusen 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 17:00 - Sunderland ⚔️ Brentford FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 17:00 - Wolverhampton ⚔️ Everton FC 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 17:00 - Tottenham ⚔️ Bournemouth 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 17:00 - Manchester United ⚔️ Burnley FC 🇳🇱 17:30 - FC Volendam ⚔️ Ajax Amsterdam 🏟 18:00 - Madagascar 🇲🇬 ⚔️ Morocco 🇲🇦 🇪🇸 18:00 - Deportivo Alaves ⚔️ Atletico Madrid 🇩🇪 19:30 - Augsburg ⚔️ Bayern Munich 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 19:30 - Leeds United ⚔️ Newcastle United 🇳🇱 21:00 - PSV Eindhoven ⚔️ Telstar 🇸🇦 21:00 - Al Akholood ⚔️ Al Ittihad FC 🇹🇷 21:30 - Galatasaray FK ⚔️ Rizespor 🇮🇹 21:45 - Pisa ⚔️ AS Roma 🇮🇹 21:45 - SSC Napoli ⚔️ Cagliari FC 🇫🇷 22:05 - Toulouse ⚔️ Paris Saint Germain 🇵🇹 22:30 - Sporting CP ⚔️ FC Porto 🇪🇸 22:30 - Real Madrid CF ⚔️ Real Mallorca #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·570 Views
  • Luka Vuskovic has joined Hamburg SV on loan for the 2025/26 campaign.

    Go smash it, Luka!

    #SportsElite
    Luka Vuskovic has joined Hamburg SV on loan for the 2025/26 campaign. Go smash it, Luka! 👊 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·375 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Lucas Vázquez amejiunga Bayer Leverkusen, akiwa kama mchezaji huru

    #CaroScore #SportsUp

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Lucas Vázquez amejiunga Bayer Leverkusen, akiwa kama mchezaji huru❤️🖤🇪🇸 #CaroScore #SportsUp #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·459 Views
  • Slot: Kuna mfanano mkubwa kati ya Arsenal na Liverpool msimu huu

    Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema:

    “Kuna mfanano mkubwa kati ya timu zote mbili. Mtindo wa uchezaji wa Arsenal haujabadilika sana licha ya usajili mpya.”

    “Labda tofauti ipo kwenye namba 9. (Gabriel Jesus) ni mshambuliaji wa kati halisi, lakini hakupata nafasi sana msimu uliopita. Yule walionaye sasa ni tofauti na Havertz au Trossard.”

    “Gyokeres ni mshambuliaji wa aina ya target man, kwa hiyo labda hapo ndipo kuna tofauti ndogo.”

    #SportsElite
    🔴 Slot: Kuna mfanano mkubwa kati ya Arsenal na Liverpool msimu huu 👉Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema: 🗣️ “Kuna mfanano mkubwa kati ya timu zote mbili. Mtindo wa uchezaji wa Arsenal haujabadilika sana licha ya usajili mpya.” 🗣️ “Labda tofauti ipo kwenye namba 9. (Gabriel Jesus) ni mshambuliaji wa kati halisi, lakini hakupata nafasi sana msimu uliopita. Yule walionaye sasa ni tofauti na Havertz au Trossard.” 🗣️ “Gyokeres ni mshambuliaji wa aina ya target man, kwa hiyo labda hapo ndipo kuna tofauti ndogo.” #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·636 Views
More Results