Somo :NGUVU YA NENO NA KULITENDEA KAZI .
Iko siri kubwa sana kwa mtu anaye sikia neno na akalitenda .
Yakobo 1:22-23
[22]Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu.
[23]Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo.
Ili uwe mtu mwenye matokeo lazima uwe mtu wa kulitendea kazi neno la Bwana na siyo kusikiliza peke yake.
Mungu anakutaka unaposikia neno na kuliamini basi lazima uanze kutenda sawa sawa na ufunuo ulio upata.
Mtu wa Mungu ili ubadilishe maisha yako lazima kila siku unapo sikia au kusoma neno lazima upate ufunuo wako peke yako ambao unaenda kuuvhukulia hatua.
Kwani ukisikia neno na kuanza kulitenda Mungu lazima akubaliki kwa kuwa yeye a alitazama neno lake ili akutimizie haja zako.
Wokovu umekuwa kama kitu kigumu sababu kubwa tunasikia lakini hatutendi ,tunapata mawazo lakini yanaishia kuwa mawazo tunajikuta tunabaki kuwa masikini.
Mtu anayesikia neno na asilitende anafananishwa na mtu anaye jitazama kwenye kioo kisha anajicheka.
Mathayo 7:26-27
[26]Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga;
[27]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa.
Kumbe ukisikia na usilitende biblia inakufananisha na mpumbavu aliye jenga nyumba kwenye mchanga.
Unapo hubiriwa na neno likagusa moyo wako mfano kuacha umalaya unakuta unasikia na moyo wako unakwambia kabisa acha lakini unapuuzia neno unafananishwa na mpumbavu kwani wewe umepata neema yakusikia.
Umepata neno la ufunuo kwenye uchumi na inawezekana kabisa kuanza biashara usisubiri sana wewe anza arafu utaona matokeo yanavyo kuja.
Wapo watu walipata ufunuo juu ya biashara wakaogopa kuanza wenzao walianza leo hii wenzao wako mbali wanabaki kuona wenzao wana bahati sana kumbe hapana ni nguvu yu kuchukua hatua.
Siyo kazi ngumu kwa shetani kuona umeota unaongoza watu arafu akakufuata ili akujaribu hata kwa kukutenda kwa akiri .
Kuna mtu kila akijitazama anajiona ameketi na wakuu na ni kweli hata neno la Mungu linasema bwana anaandaa meza katikati ya watesi wako lakini kama utachukua hatua itabakia kuwa ndoto .
Matendo ni muhimu sana baada ya kuliamini neno anza kuliiishi .
Wale watenda kile neno imesema ndio wenye haki ya kupokea siyo wale walio sikia peke yake .
Warumi 2:13
[13]Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.
Mungu akusaidie sana uwe mtu wa kulitendea kazi neno lake ndipo utaona ja kusimulia matokeo ya wokovu wa Bwana.
Ahsante sana mtu wa Mungu , kipekee sana nikutakie juma pili njema yenye mafunuo na utendaji wa neno .
Karibu katika watsap group letu
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).
#build new eden
#restore men position
Iko siri kubwa sana kwa mtu anaye sikia neno na akalitenda .
Yakobo 1:22-23
[22]Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu.
[23]Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo.
Ili uwe mtu mwenye matokeo lazima uwe mtu wa kulitendea kazi neno la Bwana na siyo kusikiliza peke yake.
Mungu anakutaka unaposikia neno na kuliamini basi lazima uanze kutenda sawa sawa na ufunuo ulio upata.
Mtu wa Mungu ili ubadilishe maisha yako lazima kila siku unapo sikia au kusoma neno lazima upate ufunuo wako peke yako ambao unaenda kuuvhukulia hatua.
Kwani ukisikia neno na kuanza kulitenda Mungu lazima akubaliki kwa kuwa yeye a alitazama neno lake ili akutimizie haja zako.
Wokovu umekuwa kama kitu kigumu sababu kubwa tunasikia lakini hatutendi ,tunapata mawazo lakini yanaishia kuwa mawazo tunajikuta tunabaki kuwa masikini.
Mtu anayesikia neno na asilitende anafananishwa na mtu anaye jitazama kwenye kioo kisha anajicheka.
Mathayo 7:26-27
[26]Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga;
[27]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa.
Kumbe ukisikia na usilitende biblia inakufananisha na mpumbavu aliye jenga nyumba kwenye mchanga.
Unapo hubiriwa na neno likagusa moyo wako mfano kuacha umalaya unakuta unasikia na moyo wako unakwambia kabisa acha lakini unapuuzia neno unafananishwa na mpumbavu kwani wewe umepata neema yakusikia.
Umepata neno la ufunuo kwenye uchumi na inawezekana kabisa kuanza biashara usisubiri sana wewe anza arafu utaona matokeo yanavyo kuja.
Wapo watu walipata ufunuo juu ya biashara wakaogopa kuanza wenzao walianza leo hii wenzao wako mbali wanabaki kuona wenzao wana bahati sana kumbe hapana ni nguvu yu kuchukua hatua.
Siyo kazi ngumu kwa shetani kuona umeota unaongoza watu arafu akakufuata ili akujaribu hata kwa kukutenda kwa akiri .
Kuna mtu kila akijitazama anajiona ameketi na wakuu na ni kweli hata neno la Mungu linasema bwana anaandaa meza katikati ya watesi wako lakini kama utachukua hatua itabakia kuwa ndoto .
Matendo ni muhimu sana baada ya kuliamini neno anza kuliiishi .
Wale watenda kile neno imesema ndio wenye haki ya kupokea siyo wale walio sikia peke yake .
Warumi 2:13
[13]Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.
Mungu akusaidie sana uwe mtu wa kulitendea kazi neno lake ndipo utaona ja kusimulia matokeo ya wokovu wa Bwana.
Ahsante sana mtu wa Mungu , kipekee sana nikutakie juma pili njema yenye mafunuo na utendaji wa neno .
Karibu katika watsap group letu
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).
#build new eden
#restore men position
Somo :NGUVU YA NENO NA KULITENDEA KAZI .
Iko siri kubwa sana kwa mtu anaye sikia neno na akalitenda .
Yakobo 1:22-23
[22]Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu.
[23]Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo.
Ili uwe mtu mwenye matokeo lazima uwe mtu wa kulitendea kazi neno la Bwana na siyo kusikiliza peke yake.
Mungu anakutaka unaposikia neno na kuliamini basi lazima uanze kutenda sawa sawa na ufunuo ulio upata.
Mtu wa Mungu ili ubadilishe maisha yako lazima kila siku unapo sikia au kusoma neno lazima upate ufunuo wako peke yako ambao unaenda kuuvhukulia hatua.
Kwani ukisikia neno na kuanza kulitenda Mungu lazima akubaliki kwa kuwa yeye a alitazama neno lake ili akutimizie haja zako.
Wokovu umekuwa kama kitu kigumu sababu kubwa tunasikia lakini hatutendi ,tunapata mawazo lakini yanaishia kuwa mawazo tunajikuta tunabaki kuwa masikini.
Mtu anayesikia neno na asilitende anafananishwa na mtu anaye jitazama kwenye kioo kisha anajicheka.
Mathayo 7:26-27
[26]Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga;
[27]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa.
Kumbe ukisikia na usilitende biblia inakufananisha na mpumbavu aliye jenga nyumba kwenye mchanga.
Unapo hubiriwa na neno likagusa moyo wako mfano kuacha umalaya unakuta unasikia na moyo wako unakwambia kabisa acha lakini unapuuzia neno unafananishwa na mpumbavu kwani wewe umepata neema yakusikia.
Umepata neno la ufunuo kwenye uchumi na inawezekana kabisa kuanza biashara usisubiri sana wewe anza arafu utaona matokeo yanavyo kuja.
Wapo watu walipata ufunuo juu ya biashara wakaogopa kuanza wenzao walianza leo hii wenzao wako mbali wanabaki kuona wenzao wana bahati sana kumbe hapana ni nguvu yu kuchukua hatua.
Siyo kazi ngumu kwa shetani kuona umeota unaongoza watu arafu akakufuata ili akujaribu hata kwa kukutenda kwa akiri .
Kuna mtu kila akijitazama anajiona ameketi na wakuu na ni kweli hata neno la Mungu linasema bwana anaandaa meza katikati ya watesi wako lakini kama utachukua hatua itabakia kuwa ndoto .
Matendo ni muhimu sana baada ya kuliamini neno anza kuliiishi .
Wale watenda kile neno imesema ndio wenye haki ya kupokea siyo wale walio sikia peke yake .
Warumi 2:13
[13]Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.
Mungu akusaidie sana uwe mtu wa kulitendea kazi neno lake ndipo utaona ja kusimulia matokeo ya wokovu wa Bwana.
Ahsante sana mtu wa Mungu , kipekee sana nikutakie juma pili njema yenye mafunuo na utendaji wa neno .
Karibu katika watsap group letu
https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).
#build new eden
#restore men position
0 Commentarios
·0 Acciones
·16 Views