UPDATE

Mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024 utakuwa ni kati ya timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' dhidi ya Burkina Faso , mchezo utachezwa Agosti 2 pale Benjamin Mkapa.

#sportselite
UPDATE ๐Ÿšจ ๐Ÿšจ Mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024 utakuwa ni kati ya timu ya taifa ya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 'Taifa Stars' dhidi ya Burkina Faso ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ, mchezo utachezwa Agosti 2 pale Benjamin Mkapa. #sportselite
0 Comments ยท0 Shares ยท8 Views