Manchester United ilifanya mawasiliano ya Awali na Wawakilishi wa Golikipa wa Royal Antwerp Senne Lammens mwenye umri wa miaka 23 ili Kumsajili.

Licha ya Mazungumzo ila Utd bado Pia Wanavutiwa na Golikipa wa Aston Villa Emi Martinez ambae kwa sasa Manchester United inamuona kama Ghali sana.

#SportsElite
🚨 Manchester United ilifanya mawasiliano ya Awali na Wawakilishi wa Golikipa wa Royal Antwerp Senne Lammens mwenye umri wa miaka 23 ili Kumsajili. 🇧🇪 Licha ya Mazungumzo ila Utd bado Pia Wanavutiwa na Golikipa wa Aston Villa Emi Martinez ambae kwa sasa Manchester United inamuona kama Ghali sana. #SportsElite
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·21 Visualizações