... Mpaka sasa, Young Africans Sports Club wameshatumia zaidi ya Billion moja kwenye usajili wa wachezaji watatu wa kimataifa.
鈻笌Celestine Ecua zaidi ya 300 Million zimetumika.
鈻笌Mousa Balla Conte amewalaza Yanga pesa ambazo hazipungui 500 Million. Hapo ni hela ya kuvunjia mkataba pamoja na signing-on-fee. Japo Signing fee huwa inaweza kulipwa kwa awamu. Inategemeana na makubaliano yao.
鈻笌Mohammed Doumbia amewagharimu Yanga kiasi kisichopungua 250 Million (Signing fee).
#SportsElite
鈻笌Celestine Ecua zaidi ya 300 Million zimetumika.
鈻笌Mousa Balla Conte amewalaza Yanga pesa ambazo hazipungui 500 Million. Hapo ni hela ya kuvunjia mkataba pamoja na signing-on-fee. Japo Signing fee huwa inaweza kulipwa kwa awamu. Inategemeana na makubaliano yao.
鈻笌Mohammed Doumbia amewagharimu Yanga kiasi kisichopungua 250 Million (Signing fee).
#SportsElite
馃檰鈾傦笍... Mpaka sasa, Young Africans Sports Club wameshatumia zaidi ya Billion moja kwenye usajili wa wachezaji watatu wa kimataifa.
鈻笌Celestine Ecua zaidi ya 300 Million zimetumika.
鈻笌Mousa Balla Conte amewalaza Yanga pesa ambazo hazipungui 500 Million. Hapo ni hela ya kuvunjia mkataba pamoja na signing-on-fee. Japo Signing fee huwa inaweza kulipwa kwa awamu. Inategemeana na makubaliano yao.
鈻笌Mohammed Doumbia amewagharimu Yanga kiasi kisichopungua 250 Million (Signing fee).
#SportsElite
0 Commentarios
路0 Acciones
路36 Views