Real Madrid wanategemea kuimarisha zaidi eneo lao la kiungo kulingana na mapendekezo ya kocha, Xabi Alonso.

Baadhi ya viungo kutoka timu mbalimbali ulaya wapo kwenye orodha ya Real Madrid;

- Rodri (Manchester city)
- Nicolo Barella (Inter Milan)
- Enzo Fernandes (Chelsea)
- Alexis Mac Allister ( Liverpool)

Chaguo namba moja kwa Xabi Alonso ni Rodri wa Manchester city.

#SportsElite
Real Madrid wanategemea kuimarisha zaidi eneo lao la kiungo kulingana na mapendekezo ya kocha, Xabi Alonso. Baadhi ya viungo kutoka timu mbalimbali ulaya wapo kwenye orodha ya Real Madrid; - Rodri (Manchester city) - Nicolo Barella (Inter Milan) - Enzo Fernandes (Chelsea) - Alexis Mac Allister ( Liverpool) Chaguo namba moja kwa Xabi Alonso ni Rodri wa Manchester city. #SportsElite
0 Commenti ·0 condivisioni ·12 Views