UPDATE: Muda wowote kuanzia sasa Yanga watamtambulisha Paul Matthews (53), kuwa mkurugenzi wao mpya wa ufundi.
Kocha huyo ana uzoefu mkubwa sana,kwani amedumu SuperSport United kwa miaka 10 huku akifanya kazi kama Chief Scout,Video Analyst na kocha wa makipa.
Jamaa ana leseni B ya UEFA
Paul Matthews Anasifika kwa kuvumbua vipaji vikubwa vya soka mfano yeye ndo alivumbua wachezaji kama Teboho Mokoena,Modiba na Kekana
Jamaa ana jicho la mpira na Yanga wamepita nae shwaaaaaa
#SportsElite
Kocha huyo ana uzoefu mkubwa sana,kwani amedumu SuperSport United kwa miaka 10 huku akifanya kazi kama Chief Scout,Video Analyst na kocha wa makipa.
Jamaa ana leseni B ya UEFA
Paul Matthews Anasifika kwa kuvumbua vipaji vikubwa vya soka mfano yeye ndo alivumbua wachezaji kama Teboho Mokoena,Modiba na Kekana
Jamaa ana jicho la mpira na Yanga wamepita nae shwaaaaaa
#SportsElite
🚨🚨 UPDATE: Muda wowote kuanzia sasa Yanga watamtambulisha Paul Matthews (53), kuwa mkurugenzi wao mpya wa ufundi.
Kocha huyo ana uzoefu mkubwa sana,kwani amedumu SuperSport United kwa miaka 10 huku akifanya kazi kama Chief Scout,Video Analyst na kocha wa makipa.
Jamaa ana leseni B ya UEFA✍️
Paul Matthews Anasifika kwa kuvumbua vipaji vikubwa vya soka mfano yeye ndo alivumbua wachezaji kama Teboho Mokoena,Modiba na Kekana🖐️
Jamaa ana jicho la mpira na Yanga wamepita nae shwaaaaaa😄
#SportsElite
0 Yorumlar
·0 hisse senetleri
·10 Views