RASMI: Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Andy Bobwa Boyeli (24) kutoka Sekhukhune United ya South Africa kwa mkopo kwa msimu mmoja wenye kipengele cha kununuliwa mazima kwa $100,000.

Msimu wa 2022/23 akiwa na Power Dynamos,Andy Boyeli alitwaa kiatu cha mfungaji bora wa ligi ya Zambia,baada ya kufunga goli 18,pia msimu huo alitwaa tuzo ya MVP.

#SportsElite
🚨🚨 RASMI: Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji Andy Bobwa Boyeli (24) kutoka Sekhukhune United ya South Africa kwa mkopo kwa msimu mmoja wenye kipengele cha kununuliwa mazima kwa $100,000. Msimu wa 2022/23 akiwa na Power Dynamos,Andy Boyeli alitwaa kiatu cha mfungaji bora wa ligi ya Zambia,baada ya kufunga goli 18,pia msimu huo alitwaa tuzo ya MVP. #SportsElite
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·14 Visualizações