Baada ya kuondoka kwa aliyekuwa nahodha wa Totenham Heung- min Son, meneja wa Totenham Hotspurs amethibitisha rasmi kuwa Cristian Romero ndie atakuwa nahodha mpya wa klabu hiyo.
Romero alijiunga na Totenham mwaka 2022 akitokea Atalanta.
Muda wote amekuwa mchezaji muhimu kwa klabu hiyo na kiongozi mzuri ndani na nje ya uwanja.
Romero pia ni sehemu ya kikosi cha Totenham kilichofanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Europa league msimu uliopita.
#SportsElite
Romero alijiunga na Totenham mwaka 2022 akitokea Atalanta.
Muda wote amekuwa mchezaji muhimu kwa klabu hiyo na kiongozi mzuri ndani na nje ya uwanja.
Romero pia ni sehemu ya kikosi cha Totenham kilichofanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Europa league msimu uliopita.
#SportsElite
Baada ya kuondoka kwa aliyekuwa nahodha wa Totenham Heung- min Son, meneja wa Totenham Hotspurs amethibitisha rasmi kuwa Cristian Romero ndie atakuwa nahodha mpya wa klabu hiyo.
Romero alijiunga na Totenham mwaka 2022 akitokea Atalanta.
Muda wote amekuwa mchezaji muhimu kwa klabu hiyo na kiongozi mzuri ndani na nje ya uwanja.
Romero pia ni sehemu ya kikosi cha Totenham kilichofanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Europa league msimu uliopita.
#SportsElite
0 Comentários
·0 Compartilhamentos
·6 Visualizações