Newcastle tayari imeanza mawindo ya kumsaka mshambuliaji wa Crystal Palace Jean-Philippe Mateta kama mbadala wa Alexander Isak iwapo ataondoka klabuni hapo.

Crystal Palace wanahitaji £40M ili kumuachia mshambuliaji huyo.

(Source: Rudy Galetti)

#SportsElite
🚨 Newcastle tayari imeanza mawindo ya kumsaka mshambuliaji wa Crystal Palace Jean-Philippe Mateta kama mbadala wa Alexander Isak iwapo ataondoka klabuni hapo. Crystal Palace wanahitaji £40M ili kumuachia mshambuliaji huyo. (Source: Rudy Galetti) #SportsElite
0 Commenti ·0 condivisioni ·22 Views