Hizi ndizo sheria mpya za Ligi Kuu Uingereza(EPL);
Waamuzi sasa wanaweza kueleza maamuzi yao ya VAR kupitia mfumo wa sauti wa uwanjani.
Ni nahodha pekee anayeruhusiwa kumkaribia mwamuzi wakati wa kujadili uamuzi.
Mchezaji akipiga penalti mara mbili mfululizo(double-kick), penalti hiyo itarudiwa.
Kipa haruhusiwi kushikilia mpira kwa zaidi ya sekunde nane; akifanya hivyo, kona itapewa kwa timu pinzani.
Kocha anaruhusiwa kuzungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ikiwa timu yake inaongoza.
Kamera zinaruhusiwa kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo (dressing room).
Mchezaji aliyetolewa uwanjani anaweza kuhojiwa wakati mechi bado inaendelea.
#SportsElite
Waamuzi sasa wanaweza kueleza maamuzi yao ya VAR kupitia mfumo wa sauti wa uwanjani.
Ni nahodha pekee anayeruhusiwa kumkaribia mwamuzi wakati wa kujadili uamuzi.
Mchezaji akipiga penalti mara mbili mfululizo(double-kick), penalti hiyo itarudiwa.
Kipa haruhusiwi kushikilia mpira kwa zaidi ya sekunde nane; akifanya hivyo, kona itapewa kwa timu pinzani.
Kocha anaruhusiwa kuzungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ikiwa timu yake inaongoza.
Kamera zinaruhusiwa kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo (dressing room).
Mchezaji aliyetolewa uwanjani anaweza kuhojiwa wakati mechi bado inaendelea.
#SportsElite
👨⚖️🏴Hizi ndizo sheria mpya za Ligi Kuu Uingereza(EPL);
✅Waamuzi sasa wanaweza kueleza maamuzi yao ya VAR kupitia mfumo wa sauti wa uwanjani.
✅Ni nahodha pekee anayeruhusiwa kumkaribia mwamuzi wakati wa kujadili uamuzi.
✅Mchezaji akipiga penalti mara mbili mfululizo(double-kick), penalti hiyo itarudiwa.
✅Kipa haruhusiwi kushikilia mpira kwa zaidi ya sekunde nane; akifanya hivyo, kona itapewa kwa timu pinzani.
✅Kocha anaruhusiwa kuzungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ikiwa timu yake inaongoza.
✅Kamera zinaruhusiwa kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo (dressing room).
✅Mchezaji aliyetolewa uwanjani anaweza kuhojiwa wakati mechi bado inaendelea.
#SportsElite
0 Comentários
·0 Compartilhamentos
·85 Visualizações