Klabu ya Yanga imekamlisha usajili wa Mchezaji Edmund John kutoka Singida Black Stars

Edmund John ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wamewasili Rwanda kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Ijumaa

Edmund raia wa Tanzania anajiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili.


#SportsElite
🚨🚨Klabu ya Yanga imekamlisha usajili wa Mchezaji Edmund John kutoka Singida Black Stars Edmund John ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wamewasili Rwanda kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Ijumaa Edmund raia wa Tanzania anajiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili. #SportsElite
0 Commentaires ·0 Parts ·33 Vue