LA MASIA KUHUSU NAMBA TISA SIO SHIDA ZAO

Hivi La masia inashida gani na namba 9 wakuu? miaka nenda miaka rudi sijawai kuona mshambuliaji namba9 katokea academy yetu? au ni utamaduni wa club kununua mshambuliaji? maana nimewashuhudia hawa wote
1: Etoo
2: Ibrahimovic
3: Vila
4: Suarez
5:Aguero
6:Auba
7: lewandowski

kuna shida gani wakuu? au ndio utamaduni wetu kununua namba 9


#SportsElite
LA MASIA KUHUSU NAMBA TISA SIO SHIDA ZAO Hivi La masia inashida gani na namba 9 wakuu? miaka nenda miaka rudi sijawai kuona mshambuliaji namba9 katokea academy yetu? au ni utamaduni wa club kununua mshambuliaji? maana nimewashuhudia hawa wote 1: Etoo 2: Ibrahimovic 3: Vila 4: Suarez 5:Aguero 6:Auba 7: lewandowski kuna shida gani wakuu? au ndio utamaduni wetu kununua namba 9 #SportsElite
0 Commentaires ·0 Parts ·104 Vue