Bruno Fernandes akizungumzia kukosa penalti:

“Nilihuzunika. Kama mpigaji wa penalti una utaratibu wako maalum na mbinu zako unazozifuata. Nilikasirika kwa sababu refa hakuniomba msamaha na hilo ndilo lililonichochea kwa wakati huo... lakini hilo si kisingizio.”

#SportsElite
🚨🚨Bruno Fernandes akizungumzia kukosa penalti: “Nilihuzunika. Kama mpigaji wa penalti una utaratibu wako maalum na mbinu zako unazozifuata. Nilikasirika kwa sababu refa hakuniomba msamaha na hilo ndilo lililonichochea kwa wakati huo... lakini hilo si kisingizio.” #SportsElite
0 Reacties ·0 aandelen ·5 Views