Eberechi Eze apewa jezi namba 10 ndani ya Arsenal
Mashabiki wanatarajia makubwa kutoka kwake akiwa sehemu ya kikosi cha Mikel Arteta.
Eze amesema: "Ninajua majina makubwa yaliyowahi kuivaa jezi hii kabla yangu. Nafasi hii naiona kama baraka kubwa. Kuwa hapa ni heshima, na nitatoa kila kitu nilichonacho kulipa heshima hii."
#AFC #Eze10 #PremierLeague
---------follow Csmahona update
#SportsElite
Mashabiki wanatarajia makubwa kutoka kwake akiwa sehemu ya kikosi cha Mikel Arteta.
Eze amesema: "Ninajua majina makubwa yaliyowahi kuivaa jezi hii kabla yangu. Nafasi hii naiona kama baraka kubwa. Kuwa hapa ni heshima, na nitatoa kila kitu nilichonacho kulipa heshima hii."
#AFC #Eze10 #PremierLeague
---------follow Csmahona update
#SportsElite
🔴⚪✨ Eberechi Eze apewa jezi namba 10 ndani ya Arsenal
Mashabiki wanatarajia makubwa kutoka kwake akiwa sehemu ya kikosi cha Mikel Arteta. 🙌🔥
🗣️ Eze amesema: "Ninajua majina makubwa yaliyowahi kuivaa jezi hii kabla yangu. Nafasi hii naiona kama baraka kubwa. Kuwa hapa ni heshima, na nitatoa kila kitu nilichonacho kulipa heshima hii."
#AFC #Eze10 #PremierLeague
---------follow Csmahona update
#SportsElite
0 Commenti
·0 condivisioni
·5 Views