Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla
Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa.
Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati.
Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake
#SportsElite
Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa.
Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati.
Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake
#SportsElite
đšđšMoja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla âđ§đ·
đPhilippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa.
Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati. đâš
Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake đ
#SportsElite
0 Commentaires
·0 Parts
·3 Vue