IMANI KUBWA.
Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana.
#Waebrania 11:1
[1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo.
Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona.
Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi.
Akida alikuwa mfano wa jambo hili.
#Luka 7:7
[7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.
Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone.
Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo.
#Luka 7:7,9
[7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.
[9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.
Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha.
Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote.
#Zaburi 107:20
[20]Hulituma neno lake, huwaponya,
Huwatoa katika maangamizo yao.
Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote.
Mfano mwingine .
Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki .
Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua.
Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini,
Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu.
#Luka 5:5
[5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.
Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika.
#Luka 5:6-7
[6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
.
[7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama.
Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya.
Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako.
Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote .
Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika.
Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote.
Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa.
Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa
NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU.
Nikutakie asubui njema na siku njema .
Naitwa sylvester Mwakabende
Build new eden ministry
0622625340
#build new eden
#restore men position
Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana.
#Waebrania 11:1
[1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo.
Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona.
Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi.
Akida alikuwa mfano wa jambo hili.
#Luka 7:7
[7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.
Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone.
Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo.
#Luka 7:7,9
[7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.
[9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.
Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha.
Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote.
#Zaburi 107:20
[20]Hulituma neno lake, huwaponya,
Huwatoa katika maangamizo yao.
Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote.
Mfano mwingine .
Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki .
Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua.
Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini,
Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu.
#Luka 5:5
[5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.
Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika.
#Luka 5:6-7
[6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
.
[7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama.
Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya.
Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako.
Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote .
Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika.
Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote.
Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa.
Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa
NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU.
Nikutakie asubui njema na siku njema .
Naitwa sylvester Mwakabende
Build new eden ministry
0622625340
#build new eden
#restore men position
IMANI KUBWA.
Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana.
#Waebrania 11:1
[1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.
Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo.
Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona.
Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi.
Akida alikuwa mfano wa jambo hili.
#Luka 7:7
[7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.
Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone.
Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo.
#Luka 7:7,9
[7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.
[9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.
Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha.
Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote.
#Zaburi 107:20
[20]Hulituma neno lake, huwaponya,
Huwatoa katika maangamizo yao.
Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote.
Mfano mwingine .
Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki .
Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua.
Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini,
Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu.
#Luka 5:5
[5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.
Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika.
#Luka 5:6-7
[6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
.
[7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama.
Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya.
Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako.
Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote .
Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika.
Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote.
Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa.
Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa
NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU.
Nikutakie asubui njema na siku njema .
Naitwa sylvester Mwakabende
Build new eden ministry
0622625340
#build new eden
#restore men position
0 Commentaires
·0 Parts
·22 Vue