SACKED
Fadlu Davids ameondoka Simba SC
Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa.
Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania.
FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo.
Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola
Thank you Fadlu
Ozil Kiiza Morris
Kita A Kita
Fadlu Davids ameondoka Simba SC
Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa.
Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania.
FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo.
Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola
Thank you Fadlu
Ozil Kiiza Morris
Kita A Kita
SACKED
Fadlu Davids ameondoka Simba SC
Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa.
✍️ Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania.
FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo.
Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola
Thank you Fadlu
Ozil Kiiza Morris
Kita A Kita
0 Kommentare
·0 Anteile
·81 Ansichten