SACKED

Fadlu Davids ameondoka Simba SC

Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa.

Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania.

FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo.
Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola

Thank you Fadlu

Ozil Kiiza Morris
Kita A Kita
SACKED Fadlu Davids ameondoka Simba SC Uamuzi umefanywa na kukubaliwa, faili lake limefungwa. ✍️ Kocha huyo raia wa Afrika Kusini alikeisha ifahamisha klabu hiyo msimamo wake baada ya kupoteza imani na kutojihisi salama tena kufuatia matamshi ya vitisho kutoka kwa baadhi ya viongozi wa juu wa klabu ya Simba SC Tanzania. FADLU anaona kwa usalama wake binafsi haupo na amepoteza kujiamini ndani ya klabu hiyo. Kocha FADLU ataondoka pamoja na benchi lake lote la ufundi isipokuwa kocha Seleman Abdallah Matola Thank you Fadlu Ozil Kiiza Morris Kita A Kita
0 Комментарии ·0 Поделились ·81 Просмотры