Tottenham imeingia kwenye mbio za kumuwania kinda wa FC Porto Samu Aghehowa, pia vilabu kama Arsenal, Newcastle na Nottingham Forest zinavutiwa na mshambuliaji huyo.

Miaka 21 amefunga goli 8 kwenye michezo 10 Porto na ada ya uhamisho wake ni £87M.

(Source: @Caught offside)
๐Ÿšจ Tottenham imeingia kwenye mbio za kumuwania kinda wa FC Porto Samu Aghehowa, pia vilabu kama Arsenal, Newcastle na Nottingham Forest zinavutiwa na mshambuliaji huyo. Miaka 21 amefunga goli 8 kwenye michezo 10 Porto na ada ya uhamisho wake ni £87M. (Source: @Caught offside)
0 Comments ยท0 Shares ยท33 Views