Tottenham imeingia kwenye mbio za kumuwania kinda wa FC Porto Samu Aghehowa, pia vilabu kama Arsenal, Newcastle na Nottingham Forest zinavutiwa na mshambuliaji huyo.
Miaka 21 amefunga goli 8 kwenye michezo 10 Porto na ada ya uhamisho wake ni £87M.
(Source: @Caught offside)
Miaka 21 amefunga goli 8 kwenye michezo 10 Porto na ada ya uhamisho wake ni £87M.
(Source: @Caught offside)
🚨 Tottenham imeingia kwenye mbio za kumuwania kinda wa FC Porto Samu Aghehowa, pia vilabu kama Arsenal, Newcastle na Nottingham Forest zinavutiwa na mshambuliaji huyo.
Miaka 21 amefunga goli 8 kwenye michezo 10 Porto na ada ya uhamisho wake ni £87M.
(Source: @Caught offside)
0 Commentarii
·0 Distribuiri
·33 Views