Ligi kuu ya Japani yabadilisha sheria ya matokeo ya sare.
Kwa kusherehekea miaka 100 tangu ianzishwe, Uongozi wa Ligi Kuu ya Japani umeamua kufuta sare katika mashindano yake. Hivyo basi, "mechi zote ambazo awali zingeisha kwa sare sasa zitapitiwa penati ili kuamua mshindi" yaani lazima mshindi apatikane.
Kulingana na sheria mpya, "timu inayoshinda kipindi cha penati itapata pointi 2, huku timu iliyopoteza ikipata pointi 1".
Mabadiliko haya yametolewa ili kuongeza ushindani na kutoa matokeo yenye msisimko zaidi kwa mashabiki, huku Ligi Kuu hiyo ya Japani ikisherehekea historia yake ya karne moja.
Toa maoni yako
#Sports
#Habari
Kwa kusherehekea miaka 100 tangu ianzishwe, Uongozi wa Ligi Kuu ya Japani umeamua kufuta sare katika mashindano yake. Hivyo basi, "mechi zote ambazo awali zingeisha kwa sare sasa zitapitiwa penati ili kuamua mshindi" yaani lazima mshindi apatikane.
Kulingana na sheria mpya, "timu inayoshinda kipindi cha penati itapata pointi 2, huku timu iliyopoteza ikipata pointi 1".
Mabadiliko haya yametolewa ili kuongeza ushindani na kutoa matokeo yenye msisimko zaidi kwa mashabiki, huku Ligi Kuu hiyo ya Japani ikisherehekea historia yake ya karne moja.
Toa maoni yako
#Sports
#Habari
Ligi kuu ya Japani yabadilisha sheria ya matokeo ya sare.
Kwa kusherehekea miaka 100 tangu ianzishwe, Uongozi wa Ligi Kuu ya Japani umeamua kufuta sare katika mashindano yake. Hivyo basi, "mechi zote ambazo awali zingeisha kwa sare sasa zitapitiwa penati ili kuamua mshindi" yaani lazima mshindi apatikane.
Kulingana na sheria mpya, "timu inayoshinda kipindi cha penati itapata pointi 2, huku timu iliyopoteza ikipata pointi 1".
Mabadiliko haya yametolewa ili kuongeza ushindani na kutoa matokeo yenye msisimko zaidi kwa mashabiki, huku Ligi Kuu hiyo ya Japani ikisherehekea historia yake ya karne moja.
Toa maoni yako
#Sports
#Habari
0 Comentários
0 Compartilhamentos
43 Visualizações