#Sports view Mwamuzi kutoka Uholanzi amefungiwa MAISHA Kisoka baada ya kuisaidia timu yake kuwa mabingwa wa daraja la 5 la Uholanzi na kupanda Hadi Ligi Daraja la 4.

-Aliwatoa Inje wachezaji 4 Kwa Kadi [Nyekundu , akaongeza dakika 15 na timu ikafunga bao ili kupandisha daraja na kwa bahati mbaya akajisahau akaenda kushangilia ubingwa na timu yake hiyo.....
#Sports view 🎭 Mwamuzi kutoka Uholanzi amefungiwa MAISHA Kisoka baada ya kuisaidia timu yake kuwa mabingwa wa daraja la 5 la Uholanzi na kupanda Hadi Ligi Daraja la 4. -Aliwatoa Inje wachezaji 4 Kwa Kadi [Nyekundu , akaongeza dakika 15 na timu ikafunga bao ili kupandisha daraja na kwa bahati mbaya akajisahau akaenda kushangilia ubingwa na timu yake hiyo.....🧐🥶
Like
Love
4
· 0 التعليقات ·0 المشاركات ·63 مشاهدة