• 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Morgan Gibbs-White rasmi amekamilisha uhamisho kwenda Tottenham Hotspur kutoka Nottingham Forest kwa ada ya €67M, hadi 2031.
    #Ads

    #SportsElite
    🚨 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Morgan Gibbs-White rasmi amekamilisha uhamisho kwenda Tottenham Hotspur kutoka Nottingham Forest kwa ada ya €67M, hadi 2031. #Ads #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·11 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Eberechi Eze Anatarajia kujiunga Arsenal, baada ya mchezaji kukubali kusaini mkataba hadi 2029 na chaguo la nyongeza hadi 2030.

    Arsenal iko kwenye mazungumzo na Crystal Palace ili kukamilisha uhamisho huo.

    #Ads

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Eberechi Eze Anatarajia kujiunga Arsenal, baada ya mchezaji kukubali kusaini mkataba hadi 2029 na chaguo la nyongeza hadi 2030. ⚪🔴👀 Arsenal iko kwenye mazungumzo na Crystal Palace ili kukamilisha uhamisho huo. #Ads #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·23 Views
  • Trusted Dog Sitting Services Near You | Book Today
    Find reliable and loving dog sitting services for your furry friend. Whether you're away for a day or an extended trip, our experienced sitters ensure your pet stays happy, safe, and cared for at home or in a sitter’s home. Book your sitter now.

    Visit now :- https://doggynomads.com.au/
    Trusted Dog Sitting Services Near You | Book Today Find reliable and loving dog sitting services for your furry friend. Whether you're away for a day or an extended trip, our experienced sitters ensure your pet stays happy, safe, and cared for at home or in a sitter’s home. Book your sitter now. Visit now :- https://doggynomads.com.au/
    doggynomads.com.au
    Explore trusted pet boarding in Sydney and professional dog sitting services for your furry friend. Safe, caring, and reliable options are available near you.
    0 Comments ·0 Shares ·42 Views
  • Fast Satta Result – Get Real-Time Satta Updates
    Looking for the fastest and most accurate satta results? Get live updates, daily charts, and full result history for Delhi, Faridabad, Gali, Ghaziabad, and more. Your trusted source for quick and reliable satta outcomes.

    Visit now: https://fast-satta-result.com

    #FastSattaResult #SattaKing #SattaResult #TodaySatta #SattaChart #SattaMatka #GaliSatta #FaridabadSatta #GhaziabadSatta #DelhiBazarSatta #Satta2025

    Fast Satta Result – Get Real-Time Satta Updates Looking for the fastest and most accurate satta results? Get live updates, daily charts, and full result history for Delhi, Faridabad, Gali, Ghaziabad, and more. Your trusted source for quick and reliable satta outcomes. Visit now: https://fast-satta-result.com #FastSattaResult #SattaKing #SattaResult #TodaySatta #SattaChart #SattaMatka #GaliSatta #FaridabadSatta #GhaziabadSatta #DelhiBazarSatta #Satta2025
    Angry
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·91 Views
  • https://everpetalflorist.com.au/pages/flower-delivery-chadstone
    https://everpetalflorist.com.au/pages/flower-delivery-chadstone
    Florist Chadstone, Flower Delivery Chadstone, Flowers Online
    everpetalflorist.com.au
    Florist Chadstone. We provide fresh flowers with fast & affordable same day delivery to Chadstone and surroundings. Flowers in Chadstone for all occasions including Valentine's Day, birthday, anniversary and more.
    0 Comments ·0 Shares ·89 Views
  • Grow Your Brand With Best Digital Marketing Agency | Wall Communication

    Visit here: https://www.wallcommunication.com

    Wall Communication is the best digital marketing agency to grow your brand and increase your online presence. Our expert team delivers customized SEO, PPC, and social media strategies to attract targeted traffic and generate leads. With a focus on measurable results, we help your business thrive in a competitive market. Don’t wait — contact Wall Communication today for your free marketing consultation and start growing your brand today!

    #digitalmarketing
    #seo
    #socialmedia
    #seoservice
    #cataloguedesigning
    #webdesigning
    Grow Your Brand With Best Digital Marketing Agency | Wall Communication Visit here: https://www.wallcommunication.com Wall Communication is the best digital marketing agency to grow your brand and increase your online presence. Our expert team delivers customized SEO, PPC, and social media strategies to attract targeted traffic and generate leads. With a focus on measurable results, we help your business thrive in a competitive market. Don’t wait — contact Wall Communication today for your free marketing consultation and start growing your brand today! #digitalmarketing #seo #socialmedia #seoservice #cataloguedesigning #webdesigning
    0 Comments ·0 Shares ·411 Views
  • Next-Level Lowrider Display Inspiration

    Turn heads at your next event with unique lowrider car show display ideas found in our exclusive board portfolio.

    https://carshowboards.com/pages/car-show-board-portfolio

    #LowriderDisplayIdeas #CarShowBoards #CustomShowLook #AutoEventStyle

    Next-Level Lowrider Display Inspiration Turn heads at your next event with unique lowrider car show display ideas found in our exclusive board portfolio. https://carshowboards.com/pages/car-show-board-portfolio #LowriderDisplayIdeas #CarShowBoards #CustomShowLook #AutoEventStyle
    carshowboards.com
    Car show boards- The leader in custom car show boards and car show displays. We have unique design cars show brands with one year guarantee. Get in touch with us today
    0 Comments ·0 Shares ·554 Views
  • Winprofx is a leading Forex Trading Company in India offering a powerful and secure platform for currency trading. With real-time market data, expert support, and competitive spreads, we provide everything you need for a smooth trading experience. Our goal is to help traders grow with confidence and explore global forex opportunities. Start your trading journey with a name you can trust in the Indian forex market : https://winprofx.com/
    Winprofx is a leading Forex Trading Company in India offering a powerful and secure platform for currency trading. With real-time market data, expert support, and competitive spreads, we provide everything you need for a smooth trading experience. Our goal is to help traders grow with confidence and explore global forex opportunities. Start your trading journey with a name you can trust in the Indian forex market : https://winprofx.com/
    Trade Forex & CFDs Online | Award Winning Forex Broker | WinproFX
    winprofx.com
    Explore WinproFX for advanced online Forex trading. Our platform offers extensive tools, resources, and support to enhance your trading success. Click to learn more!
    0 Comments ·0 Shares ·254 Views
  • Satta King Ghaziabad result is live now!
    Check your winning number instantly at sattaonlineresult
    Fast updates, accurate charts, and trusted results every day
    Don’t miss today’s draw—track your luck now!
    #SattaKingGhaziabad #GhaziabadSatta #SattaResult #SattaChart #sattaonlineresult

    📣 Satta King Ghaziabad result is live now! Check your winning number instantly at sattaonlineresult 📲 Fast updates, accurate charts, and trusted results every day ✅ Don’t miss today’s draw—track your luck now! 🔗 #SattaKingGhaziabad #GhaziabadSatta #SattaResult #SattaChart #sattaonlineresult
    0 Comments ·0 Shares ·466 Views
  • What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others

    .Example of King Josiah (2 Kings 22)
    Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13).

    He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands.

    To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16)

    Joshua gave the Israelites a choice:

    serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You
    Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to:

    Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others.

    Challenge
    Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More
    If you want to study God’s Word more,
    join this WhatsApp group:
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR

    Sylvester Mwakabende from Build New Eden.
    #BuildNewEden
    #RestoreMenPosition
    What is Revival?Revival is bringing new life to a person’s spirit through God’s power. It’s like waking up something that’s been asleep. Revival brings blessings, grace, and positive changes through the Holy Spirit. It starts with one person and then spreads to others .Example of King Josiah (2 Kings 22) Josiah became king after his father, Ahaziah, who did not please God. When Josiah found the Book of the Law (God’s Word), he read it and saw the mistakes of his ancestors. He decided to make changes:He asked God what to do (2 Kings 22:13). He gathered the leaders of Judah and shared God’s Word with them.He made a promise to God:To follow God.To obey His commands. To keep His teachings with all his heart.After Josiah made this promise, the people of Judah followed his example. He destroyed idols of false gods and removed priests who worshiped them. This brought true revival to his nation.Joshua’s Revival (Joshua 24:15-16) Joshua gave the Israelites a choice: serve God or false gods. He said, “My family and I will serve the Lord.” His decision inspired others to follow God.Revival Starts with You Revival isn’t for everyone at once. It begins with one person who decides to follow God fully. Like Josiah and Joshua, you need to: Let go of old ways that go against God.Make a promise to follow God.Be an example for others. Challenge Ask yourself: Have I decided to follow God like Josiah and Joshua? Or do I still have doubts? True revival starts when you choose to change and follow God.Learn More If you want to study God’s Word more, join this WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR Sylvester Mwakabende from Build New Eden. #BuildNewEden #RestoreMenPosition
    0 Comments ·0 Shares ·734 Views
  • "Simba SC wamepoteza lakini HII WANAVUKA, NO DOUBT. Sioni Al Masry wakileta ubishi kwa Mkapa, dhahiri watatii Sheria iwe kwa shuruti au bila shuruti. Heads up boys, come finish your job. TANZANIA KWANZA" - Jemedari Said, Mchambuzi.

    "Simba SC wamepoteza lakini HII WANAVUKA, NO DOUBT. Sioni Al Masry wakileta ubishi kwa Mkapa, dhahiri watatii Sheria iwe kwa shuruti au bila shuruti. Heads up boys, come finish your job. TANZANIA 🇹🇿 KWANZA" - Jemedari Said, Mchambuzi.
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·817 Views
  • Trunk roads
    Trunk roads
    0 Comments ·0 Shares ·229 Views
  • Ver Película Completa Panda Plan Online en Español - Disfruta Gratis de la Pelicula Completa en HD con Audio Español y Subtitulado.


    ¿Cómo ver Panda Plan gratis? HQ Panda Plandit Video Panda Plan (2024) Película Completa Ver en línea gratis Dailymotion [#Panda Plan] Google Drive / [DvdRip-USA / Eng-Subs] Panda Plan !



    𝐕𝐄𝐑/ 𝐎𝐍𝐥𝐢𝐧𝐞 ⬇https://t.co/XrLPIMkHQq

    𝐕𝐄𝐑/ 𝐎𝐍𝐥𝐢𝐧𝐞 ⬇https://t.co/XrLPIMkHQq

    Descargar Panda Plan 2024 - Descargar Panda Plan NetFlix Película Completa | Descargar Panda Plan Películas Gratis Y Legal Ilimitado | Descargar Panda Plan Descargar Panda Plan BitTorrent | Torrente | Yify torrent | Utorrent ES | Avi | YouTube | 4K | WEBRIP LATINO | VOSTFR | 720p-1080p HD



    Ver Panda Plan online y sur gratis en HD, es fácil en gracias a sus servidores, rapidos y sin ads. ¿Cómo ver Panda Plan película Completa en
    2024-10-01 de 2024 en cines / 99 min / Acción, Comedia
    Dirigida por Olivia Wilde Panda Plan Jackie Chan, Shi Ce, Wei Xiang, Han Yanbo, Danny Ray, 许君聪 , Emei Film Studio




    Panda Plan pelicula Completa en Español latino

    ver online Panda Plan pelicula Completa en Español latino

    Panda Plan pelicula Completa

    Panda Plan pelicula Completa online

    Panda Plan pelicula Completa en Español latino cuevana

    Panda Plan pelicula Completa en Español latino pelisplus

    ver pelicula Panda Plan online latino

    ver Panda Plan pelicula Completa en Español latino

    Panda Plan pelicula online latino

    Panda Plan pelicula Completa repelis

    Panda Plan pelicula Completa en Español

    ver pelicula Completa de Panda Plan en Español latino
    Ver Película Completa Panda Plan Online en Español - Disfruta Gratis de la Pelicula Completa en HD con Audio Español y Subtitulado. ¿Cómo ver Panda Plan gratis? HQ Panda Plandit Video Panda Plan (2024) Película Completa Ver en línea gratis Dailymotion [#Panda Plan] Google Drive / [DvdRip-USA / Eng-Subs] Panda Plan ! ⬇▶️ 𝐕𝐄𝐑/ 𝐎𝐍𝐥𝐢𝐧𝐞 ⬇▶️☛ https://t.co/XrLPIMkHQq ⬇▶️ 𝐕𝐄𝐑/ 𝐎𝐍𝐥𝐢𝐧𝐞 ⬇▶️☛ https://t.co/XrLPIMkHQq Descargar Panda Plan 2024 - Descargar Panda Plan NetFlix Película Completa | Descargar Panda Plan Películas Gratis Y Legal Ilimitado | Descargar Panda Plan Descargar Panda Plan BitTorrent | Torrente | Yify torrent | Utorrent ES | Avi | YouTube | 4K | WEBRIP LATINO | VOSTFR | 720p-1080p HD Ver Panda Plan online y sur gratis en HD, es fácil en gracias a sus servidores, rapidos y sin ads. ¿Cómo ver Panda Plan película Completa en 2024-10-01 de 2024 en cines / 99 min / Acción, Comedia Dirigida por Olivia Wilde Panda Plan Jackie Chan, Shi Ce, Wei Xiang, Han Yanbo, Danny Ray, 许君聪 , Emei Film Studio Panda Plan pelicula Completa en Español latino ver online Panda Plan pelicula Completa en Español latino Panda Plan pelicula Completa Panda Plan pelicula Completa online Panda Plan pelicula Completa en Español latino cuevana Panda Plan pelicula Completa en Español latino pelisplus ver pelicula Panda Plan online latino ver Panda Plan pelicula Completa en Español latino Panda Plan pelicula online latino Panda Plan pelicula Completa repelis Panda Plan pelicula Completa en Español ver pelicula Completa de Panda Plan en Español latino
    0 Comments ·0 Shares ·740 Views
  • Mtandao wa Threads unaomilikiwa na META (Facebook, Instagram, WhatsApp, ...) ambao ni mshindani wa X(Twitter) umefanya mabadiliko kwenye Wasifu (profile) wa Watumiaji wake. Kwa sasa Threads imefika Watumiaji zaidi ya milioni (300) kwa mwezi.

    Threads imeongeza "tab" mpya ya “Media” ambayo itakuwa ni maalum kwa kuona picha na video ambazo zimepostiwa na akaunti. Pia Threas imeanza kuweka mfumo wa matangazo kwa baadhi ya Watumiaji na mabadiliko haya yameanza kwa Watumiaji wa Nchini Marekani na Japan .

    Mtandao wa Threads unaomilikiwa na META (Facebook, Instagram, WhatsApp, ...) ambao ni mshindani wa X(Twitter) umefanya mabadiliko kwenye Wasifu (profile) wa Watumiaji wake. Kwa sasa Threads imefika Watumiaji zaidi ya milioni (300) kwa mwezi. Threads imeongeza "tab" mpya ya “Media” ambayo itakuwa ni maalum kwa kuona picha na video ambazo zimepostiwa na akaunti. Pia Threas imeanza kuweka mfumo wa matangazo kwa baadhi ya Watumiaji na mabadiliko haya yameanza kwa Watumiaji wa Nchini Marekani 🇺🇸 na Japan 🇯🇵.
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·799 Views
  • NJIA MPYA YA KUJIINGIZIA PESA FACEBOOK KUPITIA POSTS ZA MAANDISHI, VIDEO NA REELS.

    October 2, 2024 Facebook Walizindua Programu Mpya waliyoipa Jina “Content Monetization” ambayo imezijumuisha kwa Pamoja category ambazo mwanzo zilijitegemea, Category hizo zilikuwa,

    ⬜️ Ads On Reels
    ⬜️ InStream Ads
    ⬜️ Performance Bonus

    Category hizi kwasasa zimejumuishwa kwa Pamoja na Kupewa Jina “Content Monetization” ambapo Mtu yeyote kwasasa mwenye Page ya Facebook au Account ambayo iko “on Professional Mode” iliyo na Video, Picha, Post au Maudhui yoyote ambayo yatakuwa yanafaa Kulipwa basi Facebook watapachika Matangazo yao na Mhusika ataanza Kulipwa kwa Ukubwa zaidi kuliko Mwanzo. Malipo ni kila Tarehe 21-23 ya Kila Mwezi na kiwango cha Chini cha Kutoa Pesa ni $100 (Tshs 271,500), yaani ikiwa Page au Account yako haijafikisha Kiwango hicho hutoruhusiwa Kutoa mpaka utakapofikisha au kupita kiwango hicho na Ni rahisi kufikisha ikiwa unatengeneza Video zaidi na zinatazamwa zaidi.

    Hii Itawapa Motisha zaidi Content Creators kutengeneza Video zaidi katika Platform hiyo.

    Mfumo huu kwasasa unatolewa kwa Mualiko Pekee, ikiwa Una Page au Account yenye Video au Posts zilizo tazamwa zaidi fuata hatua zifuatazo hapo chini kuomba Mualiko wa Kuunganishwa na Programu hii BURE.

    ⬜️ Ingia >> hapa https://creators.facebook.com/tools/facebook-content-monetization
    ⬜️ Chagua >> I'm Interested
    ⬜️ Jaza Taarifa zako
    ⬜️ Sehemu ya Email Address, Weka Email yako yoyote iliyo hewani (Ni Vizuri ukitumia uliyo Link katika Account yako)
    ⬜️ Sehemu ya Facebook Account URL, Weka Link ya Account au Page yako unayohitaji Iwe na Programu hiyo.
    ⬜️ Sehemu ya Other Social Media Accounts, Weka Link ya Account yako katika Mtandao Mwingine (Hasa Instagram).
    Baadae Bofya LET'S DO THIS


    Utapokea Email ya Uthibitisho baada ya Siku kadhaa ikiwa Account au Page yako imeruhusiwa Kutumia Programu hiyo.

    Programu hii ni Programu nzuri na Bora zaidi kwa Content Creators wadogo, Wakubwa na Wanaochipukia (Upcoming Creators). Ni Programu Rafiki kwa kila Mmoja, itakusaidia Kupata Chochote kupitia Kazi zako.
    NJIA MPYA YA KUJIINGIZIA PESA FACEBOOK KUPITIA POSTS ZA MAANDISHI, VIDEO NA REELS. October 2, 2024 Facebook Walizindua Programu Mpya waliyoipa Jina “Content Monetization” ambayo imezijumuisha kwa Pamoja category ambazo mwanzo zilijitegemea, Category hizo zilikuwa, ⬜️ Ads On Reels ⬜️ InStream Ads ⬜️ Performance Bonus Category hizi kwasasa zimejumuishwa kwa Pamoja na Kupewa Jina “Content Monetization” ambapo Mtu yeyote kwasasa mwenye Page ya Facebook au Account ambayo iko “on Professional Mode” iliyo na Video, Picha, Post au Maudhui yoyote ambayo yatakuwa yanafaa Kulipwa basi Facebook watapachika Matangazo yao na Mhusika ataanza Kulipwa kwa Ukubwa zaidi kuliko Mwanzo. Malipo ni kila Tarehe 21-23 ya Kila Mwezi na kiwango cha Chini cha Kutoa Pesa ni $100 (Tshs 271,500), yaani ikiwa Page au Account yako haijafikisha Kiwango hicho hutoruhusiwa Kutoa mpaka utakapofikisha au kupita kiwango hicho na Ni rahisi kufikisha ikiwa unatengeneza Video zaidi na zinatazamwa zaidi. Hii Itawapa Motisha zaidi Content Creators kutengeneza Video zaidi katika Platform hiyo. Mfumo huu kwasasa unatolewa kwa Mualiko Pekee, ikiwa Una Page au Account yenye Video au Posts zilizo tazamwa zaidi fuata hatua zifuatazo hapo chini kuomba Mualiko wa Kuunganishwa na Programu hii BURE. ⬜️ Ingia >> hapa https://creators.facebook.com/tools/facebook-content-monetization ⬜️ Chagua >> I'm Interested ⬜️ Jaza Taarifa zako ⬜️ Sehemu ya Email Address, Weka Email yako yoyote iliyo hewani (Ni Vizuri ukitumia uliyo Link katika Account yako) ⬜️ Sehemu ya Facebook Account URL, Weka Link ya Account au Page yako unayohitaji Iwe na Programu hiyo. ⬜️ Sehemu ya Other Social Media Accounts, Weka Link ya Account yako katika Mtandao Mwingine (Hasa Instagram). 🔗 Baadae Bofya LET'S DO THIS Utapokea Email ya Uthibitisho baada ya Siku kadhaa ikiwa Account au Page yako imeruhusiwa Kutumia Programu hiyo. Programu hii ni Programu nzuri na Bora zaidi kwa Content Creators wadogo, Wakubwa na Wanaochipukia (Upcoming Creators). Ni Programu Rafiki kwa kila Mmoja, itakusaidia Kupata Chochote kupitia Kazi zako.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • New Job at TANROADS-Pwani

    Tsh344 - Tsh455 / Hour
    Location
    Pwani
    Type
    Full Time
    Status
    Open
    ⭕️ *APPLY NOW*: NAFASI TANROADS PWANI

    Bofya Hapa https://jamiichecktz.com/job/cad-technician-job-at-tanroads/


    Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofyahttps://cv.jamiichecktz.com

    Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup

    Junge na CHANNEL YA WHATSAPP
    kupata update na msaada
    https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k

    KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/

    🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    ⭕️ *APPLY NOW*: NAFASI TANROADS PWANI Bofya Hapa 👉https://jamiichecktz.com/job/cad-technician-job-at-tanroads/ Tengeneza CV na Barua yako(stationary services) Hapa kwa hatua Chache Bofya👉https://cv.jamiichecktz.com Tafadhali Share link hii na rafiki au Magroup🙏🙏 💥Junge na CHANNEL YA WHATSAPP kupata update na msaada 👉https://whatsapp.com/channel/0029VaEGsli6LwHnfhKhO81k KUTAZAMA NAFASI NYINGINE MPYA, BONYEZA  HAPA 👉https://jamiichecktz.com/jobs-in-tanzania/ 🙏🏼SAIDIA WANAOTAFUTA FURSA NA AJIRA, SHARE MAGROUP MENGINE TAFADHALI
    0 Comments ·0 Shares ·568 Views


  • CAFCC : SIMBA SC vs CS CONSTANTINE 19 JAN 2025 saa 04:00PM (Jioni)

    Michezo Yote Itakua Live Kupitia App Hii Download Sasa

    https://uploadapk.store/view-app.php?id=57uploads/apk/apk_6782b7f1b77c4MPINGO_TV_1.3.apk
    ⚽ CAFCC : SIMBA SC vs CS CONSTANTINE 19 JAN 2025 saa 04:00PM (Jioni) Michezo Yote Itakua Live Kupitia App Hii Download Sasa 👇👇👇 https://uploadapk.store/view-app.php?id=57uploads/apk/apk_6782b7f1b77c4MPINGO_TV_1.3.apk
    0 Comments ·0 Shares ·804 Views
  • TUJIKUMBUSHE MATUMIZI YA KALAMU KWA KUFUATA RANGI

    Nakuja tu na maswali chokonozi

    1. Hivi ni Kwa Nini Waalimu wanatumia kalamu ya rangi nyekundu na si bluu kama wanafunzi?

    2. Ni Kwa Nini pia Maraisi ndio Huandikia peni nyekundu?
    Kwa nini Wakaguzi aghalabu wa Hesabu hutumia peni ya kijani?
    3. Vipi Kuhusu Kalamu Nyeusi?

    nauliza hivi kwa sababu hizi rangi ukigeukia muktadha mwingine zinamaana tofauti sana mfano wengine husema unapotumia kalamu nyeusi inaa maana unatengeneza pesa na bluu maana yake unapoteza pesa ilihali nyekundu ikielekezwa zaidi kwenye mikosi

    MAJADILIANO COMPILED

    RANGI ZA KALAMU NA MATUMIZI YAKE .......@@!!!

    Mara Nyingi sana tumekuwa tukitumia pen bila kujipa angalizo fulani hivi ama kujua mantiki yake ..................

    1. Kalamu ya rangi ya Samawi/samawati (Bluu) ndiyo maarufu kutumika na wengi na hasa kwenye official document za kawaida (not mandated or authentic)
    We basically have two choices when it comes to pens: black or blue. Unless you are a teacher in which case you get to use red as well........."Of course blue pens. Because they contrast better with the documents you're writing on..................The modern tradition is THAT only blue ink for all in Government.

    2. Kalamu Nyeusi aghalabu hutumika kwenye miamala ya Kibiashara zaidi............."Black edges it on the grounds that it looks more professional and is a legal requirement for signing legal documents and form-filling............."Some entities are now requiring signatures in blue ink in order to differentiate the original from a copy.......Black ink is used ( where bold remarks are needed ) for business deals, display credit in a bank statement, headings etc.

    3. Kalamu Nyekundu Aghalabu Hutumiwa na wenye Mamlaka Katika Kusaini Official Documents na hasa Sheria na Hati fulani fulani na mara nyingi anayeruhusiwa kutumia kalamu nyekundu ni Mh Rais na Waalimu katika kujitofautisha na wanafunzi na kuweka msisitizo zaidi kwenye masahihisho ingawa utafiti uliofanywa Marekani umewezesha kupelekea kupigwa marufuku kwa kalamu nyekundu kwa wanafunzi kutokana na wengi kutaarifu kwamba zinawatisha (psychological trauma)
    http://www.dailymail.co.uk/news/article-2263874/Teachers-shouldnt-use-red-coloured-pens-mark-homework-like-shouting-upsets-pupils.html

    4. Kalamu ya Chanikiwiti (KIJANI) inatakiwa kutumiwa na Wakaguzi na hasa wa HESABU, aghalabu Peni ya kijani hutumiwa pia na Mawaziri...Majaji....ma RCs na Kamishna wa kiapo...aghalabu wataalamu wa dawa/wafamasia pia hutumia kalamu ya kijani .....Green ink is used by very senior bureaucrats as well as Ministers to sign files indicating their approval....also green color pen are used by Managers, gazetted officers, Judges and big people. Green testifies the high position and no one can question the authenticity when signed by the green color.

    5. Kimsingi na KISHERIA, UNATAKIWA KILA MTU KUWA NA PENI MAALUM YA SIGNATURE. tumewahi kupata kesi ya mtu ambaye saini yake ilidukuliwa na yeye kukiri dhahiri shari kwamba ni saini yake kabisaaaa ila kwenye utetezi akasema kwamba peni iliyotumika siyo peni yake kwani ana peni maalum ya kuweka saini nyaraka zake zote za kisheria
    https://keetonsonline.wordpress.com/2013/02/18/how-to-choose-the-right-pen/

    6. Si salama sana kutumia kalamu nyeusi kwenye maandishi meusi, kisheria hiyo ni kopi na si halisi, jitahidi sana kutumia kalamu ya bluu kwenye maandishi meusi na hasa typed (Many copiers are so good now that black ink can look like part of a photocopy."-

    7. Ball Pen ndiyo offical pen kwa nchi nyingi duniani. kumbuka Kama unatumia 'jel pen' basi ukitumia 'ball pen' mwandiko 'kitaalamu' unatofautiana (hasa kama kalamu hizo zikiwa na ukubwa wa maandishi unaotofautiana.)
    "bic, speedo, cello, etc" ndio ballpoint pens.Na jell pens ni kama zile kalamu za zamani za kuchovya wino "tulikuwa tunaziita fountain - ambazo siku hizi zimeboreshwa zinawekewa wino.

    8. Kuna Baadhi ya nchi;
    i. mwanafunz unaruhusiwa kuandika kwa penseli na kalamu ya rangi yeyote ile (bluu, kijani, nyekundu, nk).

    ii. Hawaruhusu kuweka sahihi (signature) kwa kalamu ya rangi nyingine yeyote ile isipokuwa 'bluu'. Kuna sehemu zingine hata kujaza fomu iliyochapwa ni lazima utumie kalamu ya rangi ya bluu......kalamu ya bluu ndiyo inayotambulika duniani kote (official pen)

    iii. Wanatumia kalamu nyekundu kuandika jina la mtu aliyefariki (marehemu). Yaani hairuhusiwi na huwezi kuandika jina la mtu aliyehai kwa kalamu nyekundu.Mathalani ukiwa Ureno na unatumia kalamu nyekundu unahesabika ni mkaidi ama mleta mikosi ( It's considered rude to write in red ink in Portugal.)

    iv: Jeshi la Marekani utatumia rangi kulingana na wadhifa (rank) wako Jeshini
    In US Navy there is a long tradition of prescribed ink colors for officers - blue color for officers, black color for departmental heads, green color for Executive officers and red color for commanding officers.

    v. Huko Ujerumani, rangi ya Hudhurungi (Brown) hutumika kuweka saini HUKUMU YA KIFO ILIHALI huko Pakistan wao hutumia kalamu nyekundu kwa lengo hilohilo-Brown color ink is used to sign death warrants in Germany and red color ink was used for same purpose in Pakistan.

    mfano nchi ya Australia officials pen ni NYEUSI TU! hata baadh ya benki hapa kwetu mfano NBC official pen ni nyeusi ingawa pia si salama sana kisheria .....NMB official ink ni blue,kwa documents zao....tofauti na hapo....hupokelewi.
    Exim.....nyeusi na blue, CRDB.....Blue ama nyeusi; nyekundu, kwa wenye uoni hafifu na maafisa wa benki hasa kuthibitisha nyaraka
    TUJIKUMBUSHE MATUMIZI YA KALAMU KWA KUFUATA RANGI Nakuja tu na maswali chokonozi 1. Hivi ni Kwa Nini Waalimu wanatumia kalamu ya rangi nyekundu na si bluu kama wanafunzi? 2. Ni Kwa Nini pia Maraisi ndio Huandikia peni nyekundu? Kwa nini Wakaguzi aghalabu wa Hesabu hutumia peni ya kijani? 3. Vipi Kuhusu Kalamu Nyeusi? nauliza hivi kwa sababu hizi rangi ukigeukia muktadha mwingine zinamaana tofauti sana mfano wengine husema unapotumia kalamu nyeusi inaa maana unatengeneza pesa na bluu maana yake unapoteza pesa ilihali nyekundu ikielekezwa zaidi kwenye mikosi MAJADILIANO COMPILED RANGI ZA KALAMU NA MATUMIZI YAKE .......@@!!! Mara Nyingi sana tumekuwa tukitumia pen bila kujipa angalizo fulani hivi ama kujua mantiki yake .................. 1. Kalamu ya rangi ya Samawi/samawati (Bluu) ndiyo maarufu kutumika na wengi na hasa kwenye official document za kawaida (not mandated or authentic) We basically have two choices when it comes to pens: black or blue. Unless you are a teacher in which case you get to use red as well........."Of course blue pens. Because they contrast better with the documents you're writing on..................The modern tradition is THAT only blue ink for all in Government. 2. Kalamu Nyeusi aghalabu hutumika kwenye miamala ya Kibiashara zaidi............."Black edges it on the grounds that it looks more professional and is a legal requirement for signing legal documents and form-filling............."Some entities are now requiring signatures in blue ink in order to differentiate the original from a copy.......Black ink is used ( where bold remarks are needed ) for business deals, display credit in a bank statement, headings etc. 3. Kalamu Nyekundu Aghalabu Hutumiwa na wenye Mamlaka Katika Kusaini Official Documents na hasa Sheria na Hati fulani fulani na mara nyingi anayeruhusiwa kutumia kalamu nyekundu ni Mh Rais na Waalimu katika kujitofautisha na wanafunzi na kuweka msisitizo zaidi kwenye masahihisho ingawa utafiti uliofanywa Marekani umewezesha kupelekea kupigwa marufuku kwa kalamu nyekundu kwa wanafunzi kutokana na wengi kutaarifu kwamba zinawatisha (psychological trauma) http://www.dailymail.co.uk/news/article-2263874/Teachers-shouldnt-use-red-coloured-pens-mark-homework-like-shouting-upsets-pupils.html 4. Kalamu ya Chanikiwiti (KIJANI) inatakiwa kutumiwa na Wakaguzi na hasa wa HESABU, aghalabu Peni ya kijani hutumiwa pia na Mawaziri...Majaji....ma RCs na Kamishna wa kiapo...aghalabu wataalamu wa dawa/wafamasia pia hutumia kalamu ya kijani .....Green ink is used by very senior bureaucrats as well as Ministers to sign files indicating their approval....also green color pen are used by Managers, gazetted officers, Judges and big people. Green testifies the high position and no one can question the authenticity when signed by the green color. 5. Kimsingi na KISHERIA, UNATAKIWA KILA MTU KUWA NA PENI MAALUM YA SIGNATURE. tumewahi kupata kesi ya mtu ambaye saini yake ilidukuliwa na yeye kukiri dhahiri shari kwamba ni saini yake kabisaaaa ila kwenye utetezi akasema kwamba peni iliyotumika siyo peni yake kwani ana peni maalum ya kuweka saini nyaraka zake zote za kisheria https://keetonsonline.wordpress.com/2013/02/18/how-to-choose-the-right-pen/ 6. Si salama sana kutumia kalamu nyeusi kwenye maandishi meusi, kisheria hiyo ni kopi na si halisi, jitahidi sana kutumia kalamu ya bluu kwenye maandishi meusi na hasa typed (Many copiers are so good now that black ink can look like part of a photocopy."- 7. Ball Pen ndiyo offical pen kwa nchi nyingi duniani. kumbuka Kama unatumia 'jel pen' basi ukitumia 'ball pen' mwandiko 'kitaalamu' unatofautiana (hasa kama kalamu hizo zikiwa na ukubwa wa maandishi unaotofautiana.) "bic, speedo, cello, etc" ndio ballpoint pens.Na jell pens ni kama zile kalamu za zamani za kuchovya wino "tulikuwa tunaziita fountain - ambazo siku hizi zimeboreshwa zinawekewa wino. 8. Kuna Baadhi ya nchi; i. mwanafunz unaruhusiwa kuandika kwa penseli na kalamu ya rangi yeyote ile (bluu, kijani, nyekundu, nk). ii. Hawaruhusu kuweka sahihi (signature) kwa kalamu ya rangi nyingine yeyote ile isipokuwa 'bluu'. Kuna sehemu zingine hata kujaza fomu iliyochapwa ni lazima utumie kalamu ya rangi ya bluu......kalamu ya bluu ndiyo inayotambulika duniani kote (official pen) iii. Wanatumia kalamu nyekundu kuandika jina la mtu aliyefariki (marehemu). Yaani hairuhusiwi na huwezi kuandika jina la mtu aliyehai kwa kalamu nyekundu.Mathalani ukiwa Ureno na unatumia kalamu nyekundu unahesabika ni mkaidi ama mleta mikosi ( It's considered rude to write in red ink in Portugal.) iv: Jeshi la Marekani utatumia rangi kulingana na wadhifa (rank) wako Jeshini In US Navy there is a long tradition of prescribed ink colors for officers - blue color for officers, black color for departmental heads, green color for Executive officers and red color for commanding officers. v. Huko Ujerumani, rangi ya Hudhurungi (Brown) hutumika kuweka saini HUKUMU YA KIFO ILIHALI huko Pakistan wao hutumia kalamu nyekundu kwa lengo hilohilo-Brown color ink is used to sign death warrants in Germany and red color ink was used for same purpose in Pakistan. mfano nchi ya Australia officials pen ni NYEUSI TU! hata baadh ya benki hapa kwetu mfano NBC official pen ni nyeusi ingawa pia si salama sana kisheria .....NMB official ink ni blue,kwa documents zao....tofauti na hapo....hupokelewi. Exim.....nyeusi na blue, CRDB.....Blue ama nyeusi; nyekundu, kwa wenye uoni hafifu na maafisa wa benki hasa kuthibitisha nyaraka
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA )

    ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ?

    1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ?

    2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free .

    3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji

    ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili .

    NOTE

    1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri

    2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi )

    3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses )

    4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo

    5: Bacca + Job

    6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka

    7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga )

    8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy )

    FT: Yanga 3-1 TP Mazembe

    Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA ) ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ? 1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ? 2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free . 3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili . NOTE 1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri 2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi ) 3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses ) 4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo 5: Bacca + Job 🔥🔥 6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka🔥 7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga ) 8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 🔥💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy ) FT: Yanga 3-1 TP Mazembe
    0 Comments ·0 Shares ·938 Views
  • ✍🏻Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA )

    ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ?

    1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ?

    2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free .

    3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji

    ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili .

    NOTE

    1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri

    2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi )

    3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses )

    4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo

    5: Bacca + Job

    6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka

    7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga )

    8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy )
    #neliudcosiah
    ✍🏻Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA ) ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ? 1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ? 2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free . 3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili . NOTE 1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri 2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi ) 3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses ) 4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo 5: Bacca + Job 🔥🔥 6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka🔥 7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga ) 8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 🔥💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy ) #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·949 Views
More Results