• (B)
    Dr. Harold Frederick Shipman alizaliwa mnamo 1946 huko Nottingham, Uingereza.

    Alikua katika familia yenye maisha ya kawaida, lakini kitu kimoja kilimtofautisha na watoto wengine—upendo wake kwa mama yake.

    Mama yake, Vera, alikuwa kila kitu kwake. Lakini alipofikisha miaka 17, alishuhudia kitu ambacho pengine kingemuumba kuwa mtu wa kutisha zaidi katika historia ya madaktari.

    Mama yake aligunduliwa kuwa na saratani ya mapafu.

    Katika miezi ya mwisho ya ugonjwa wake, alikuwa akipewa dawa za kupunguza maumivu—morphine—na Harold kijana aliona jinsi dawa hizo zilivyomfanya mama yake awe mtulivu kabla ya kufariki.

    Ilikuwa ni tukio lililobadilisha maisha yake.

    Lakini hakuna aliyefikiria kwamba tukio hili lingekuwa chanzo cha wimbi la vifo visivyoelezeka.
    (B) Dr. Harold Frederick Shipman alizaliwa mnamo 1946 huko Nottingham, Uingereza. Alikua katika familia yenye maisha ya kawaida, lakini kitu kimoja kilimtofautisha na watoto wengine—upendo wake kwa mama yake. Mama yake, Vera, alikuwa kila kitu kwake. Lakini alipofikisha miaka 17, alishuhudia kitu ambacho pengine kingemuumba kuwa mtu wa kutisha zaidi katika historia ya madaktari. Mama yake aligunduliwa kuwa na saratani ya mapafu. Katika miezi ya mwisho ya ugonjwa wake, alikuwa akipewa dawa za kupunguza maumivu—morphine—na Harold kijana aliona jinsi dawa hizo zilivyomfanya mama yake awe mtulivu kabla ya kufariki. Ilikuwa ni tukio lililobadilisha maisha yake. Lakini hakuna aliyefikiria kwamba tukio hili lingekuwa chanzo cha wimbi la vifo visivyoelezeka.
    Like
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·503 Views
  • MADHARA YA KUVUTA SIGARA NA TIBA YAKE
    ✦Magonjwa ya macho
    ✦Kukunjana kwa ngozi
    ✦Magonjwa ya masikio
    ✦Saratani ya ngozi
    ✦Magonjwa ya meno
    ✦Magonjwa ya mapafu,Mifupa,Kucha kungoka kwenye vidole na miguu.
    ✦Magonjwa ya ngozi.

    𝐈𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐡𝐢𝐥𝐨 𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐠𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞,𝐓𝐰𝐚𝐢𝐛 𝐇𝐞𝐫𝐛𝐬 𝐭𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐯𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐲𝐨𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐚 𝐩𝐨𝐦𝐛𝐞.

    #𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐀_𝐍𝐀𝐒𝐈
    ✦WHATSAP BUSSNESS CATALOGUE
    https://wa.me/c/255767607724

    ✦Instagram:
    https://www.instagram.com/twaibherbs

    ✦Facebook:
    https://www.facebook.com/twaibherbs

    ✦Google/blog.
    https://www.twaibherbs.blogspot.com
    MADHARA YA KUVUTA SIGARA NA TIBA YAKE ✦Magonjwa ya macho ✦Kukunjana kwa ngozi ✦Magonjwa ya masikio ✦Saratani ya ngozi ✦Magonjwa ya meno ✦Magonjwa ya mapafu,Mifupa,Kucha kungoka kwenye vidole na miguu. ✦Magonjwa ya ngozi. 𝐈𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐡𝐢𝐥𝐨 𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐠𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞,𝐓𝐰𝐚𝐢𝐛 𝐇𝐞𝐫𝐛𝐬 𝐭𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐯𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐲𝐨𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐚 𝐩𝐨𝐦𝐛𝐞. #𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐀_𝐍𝐀𝐒𝐈 ✦WHATSAP BUSSNESS CATALOGUE https://wa.me/c/255767607724 ✦Instagram: https://www.instagram.com/twaibherbs ✦Facebook: https://www.facebook.com/twaibherbs ✦Google/blog. https://www.twaibherbs.blogspot.com
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·535 Views
  • MAMBO 8 YA KUSHANGAZA YANAYOFANYWA NA MWILI WAKO KUKULINDA PASIPO WEWE KUJUA.

    C&P

    Mwili wa binadamu unafanya mambo mengi ya kibaiolojia ambayo mara nyingi ni vigumu kuyaelewa.

    Mwili una mifumo mbalimbali ya ulinzi ambayo inatulinda na hatari zinazoweza kutudhuru. Mifumo hiyo inatulinda masaa 24 ya siku, Siku zote 7 za wiki, katika mambo yote yanayoweza kuhatarisha maisha yetu.

    Yafuatayo ni mambo yanayofanywa na mwili ambayo ni kati ya hiyo mifumo ya ulinzi wa mwili wa binadamu.

    1. KUPIGA MIAYO (YAWNING)
    Lengo kubwa la kupiga muayo ni kuupoza ubongo baada ya joto kuzidi kwenye ubongo au baada ya ubongo kuchoka kufanya kazi.

    Vile vile kama ukiwa umechoka au una njaa husabababisha oxygen kupungua kwenye damu na kwenye mapafu, hii hupelekea tatizo la kupumua, hivyo kupiga miayo husaidia kuingiza oxygen ya ziada mwilini ili irudishe mwili katika hali yake ya kawaida.

    2. KUPIGA CHAFYA (SNEEZING)
    Mara nyingi tunapiga chafya pale pua zetu zinapokua zimejaa bakteria wa magonjwa ambao hawahitajiki mwilini, Vumbi pamoja na takataka mbali mbali zilizoingia kupitia pua.

    Hivyo kupiga chafya ni kitenda cha mwili kujisafisha kwa kuyatoa hayo matakataka nje yaliyoingia mwilini.

    3. KUJINYOOSHA (STRETCHING)
    Kuninyoosha mwili ni kitendo kisicho cha hiari ambacho lengo lake ni kuuandaa mwili kwa ajili ya kazi mbalimbali za kutumia nguvu utakazokabiliana nazo kwa siku nzima. Lakini pia kujinyoosha kunaipa misuli ya mwili mazoezi na kuiweka sawa vilevile kunarudisha mzunguko wa damu katika hali yake ya kawaida na kumtoa mtu katika uchovu.

    4. KWIKWI (HICCUPING)
    Najua umewahi kupata kwikwi, na mara nyingi mara baada ya kumaliza kula chakula. Je umeshawahi kujiuliza ile sauti ya ajabu ya kwikwi inasababishwa na nini au kwa sabababu gani watu hushikwa na kwikwi?

    Hiyo yote husababishwa na DIAPHRAGM (tamka DAYA - FRAM) kiungo kinachopatikana ndani ya mwili wa binadamu chini kabisa ya kifua baada ya mapafu(lungs). Kazi kubwa ya diaphragm ni kusaidia katika upumuaji, (inhale) na (exhale). Pale unapoingiza hewa ndani (inhale) diaphragm hushuka chini ili kusaidia kuivuta hewa ifike kwenye mapafu. Na unapotoa hewa nje (exhale) diaphragm hutulia kwa kubakia sehem yake ili kuwezesha hewa chafu kutoka nje kupitia pua na mdomo.

    Sasa basi, kuna wakati diaphragm kubugudhiwa na kuisababisha kushuka chini kwa kasi sana jambo linalosababisha wewe kuvuta hewa (inhale) kwa kasi isiyo ya kawaida kupitia koromeo la sauti, hewa ikifika kwenye box la sauti (larynx), sehem hiyo hujifunga kwa haraka sana ili kuzuia hewa isipite huko na ndipo KWIKWI hutokea.

    Mambo mengine yanayoweza kuibugudhi diaphragm na kuisababisha kufanya kazi vibaya mpaka kupelekea kwikwi ni kitendo cha kula haraka haraka au kuvimbewa.

    5. KUJIKUNJA KWA NGOZI YA VIDOLE VYA MIKONO BAADA YA KULOWA AU KUKAA MUDA MREFU KWENYE MAJI.
    Je umewahi shuhudia jinsi ngozi ya vidole vyako inavyojikunja baada ya kufua nguo muda mrefu au kushika maji muda mrefu? Unajua ni kwa sababu gani ngozi hujikunja kama ya mtu aliyezeeka angali yu kijana mara baada ya kukaa sana kwenye maji?

    Watu wengi kabla walizani kwamba kujikunja kwa ngozi hiyo hutokana na maji kuingia kwenye ngozi na hivyo ngozi hujikunja baada ya kulowa.

    Lakini wanasayansi baada ya kufanya utafiti kwa muda merefu juu ya nini hasa hupelekea ngozi kujikunja? Walisema HAPANA si kwa sababu ya ngozi kulowana. Na walikuja na majibu haya.

    Mwili unapokutana na majimaji mara moja hupeleka taarifa na kutafsiri kwamba mazingira hayo yana UTELEZI (Slippery) hivyo kutasababisha mikono kushindwa kushika (Grip) au kukamata vitu kwa urahisi kutokana na utelezi huo. Hapo mwili huchukua hatua ya haraka kuikunja ngozi ya mikono yako ili kurahisisha ushikaji wa vitu vinavyoteleza ndani ya maji pamoja na kutembea kwenye utelezi.

    6. VIPELE VIPELE VYA BARIDI KWENYE NGOZI (GOOSEBUMPS)
    Kazi kubwa ya vipele hivi ni kupunguza kiasi cha joto la mwili linalopotea kupitia matundu ya ngozi. Hivyo kwa kufanya hivi humfanya binadamu kutunza joto la mwili hata katika mazingira ambayo hali yake ya hewa si rafiki kwa mwili wa mwanadamu au ni yenye baridi sana.

    7. MACHOZI (TEARS)
    Zaidi ya kuwa majimaji (MUCOUS MEMBRANE ) yanayopatikana kwenye Macho ambayo kazi zake ni kulilinda jicho dhidi ya kitu chochote kigeni kinachoingia jichoni (mfano unapokata vitunguu au mdudu anapoingia jichoni huwa unatoa machozi mengi eeeh!! Pia dhidi ya upepo na moshi) na pia hutumika kama kilainishi cha jicho pale linapokuwa linazunguka zunguka (blink).

    Vilevile machozi yana kazi ya kupunguza HISIA ZA HUDHUNI zinazozalishwa mwilini. Wanasayansi wanaamini kuwa mtu anapokua mwenye msongo wa mawazo (stress) mwili hutengeneza kitu kipya ili kwenda kubugudhi na kuharibu maumivu yote ambayo mtu anajisikia. Hivyo machozi yanayozalishwa hapa huwa na kemikali na yanafahamika kama NATURAL PAINKILLER. Machozi haya ni tofauti na machozi ya kawaida, lengo lake hasa la kuzalishwa ni kwa ajili ya kuondoa kabisa maumivu yaliyozalishwa mwilini

    Hivyo mpaka hapa tumeona kua kuna machozi ya aina tatu ambayo ni
    i. Basal tears (vilainishi)
    ii. Reflex tears (mlinzi)
    iii. Emotion tears (mtuliza maumivu)

    8. KUSHTUKA USINGIZINI (MYOCLONIC JERKS or HYPNIC JERK).
    Je! Ushawahi kutokewa na hali hii? umelala halafu ghafla unashtuka usingizini kwa mguvu nyingi kama umepigwa na shoti ya umeme na akili inakurudi ghafla huku mapigo ya moyo yakikuenda mbio? Na hali hii ikakutokea pasipo hata kuota ndoto yoyote?

    Basi usiogope au kuwasingizia watu uchawi, hii ni hali ya sayansi ya mwili.na ni njia moja wapo katika ile mifumo ya mwili kujilinda.

    Je hutokeaje?

    Hii ni hali ya ajabu sana isiyofanywa kwa hiari ambayo huwatokea watu mara tu wamejinyoosha kitandani na kupitiwa na usingizi, mwili hutetemeshwa na kusukumwa kwa nguvu na mtu hushtuka katika hali kama vile kapigwa na shoti ya umeme. Hali hii inaweza kupelekea mtu hata kuanguka kitandani na humwamsha mara moja kutoka usingizini.

    Wanasayansi wanatuambia kua, pale tu unapopata usingizi kiwango cha upumuaji kinashuka ghafla, mapigo ya moyo nayo taratibu yanapungua, misuli inatulia kwa ku-relax, Kitu cha AJABU hapa ubongo unatafsiri hali hii kama ni DALILI ZA KIFO (brain's misinterpretation of muscle relaxation), hivyo huchukua hatua za haraka za kuushtua mwili kwa kuutetemesha au kuuskuma kwa nguvu, hali ambayo humfanya mtu kuamka kutoka usingizini kwa KURUKA kitu ambacho ni hali isiyo ya kawaida.

    Hali hii ikimtokea mtu huambatana na kuongezeka kwa mapigo ya moyo (rapid heartbeat), kuhema haraka haraka, na wakati mwingine mtu hutokwa na jasho jingi.

    Wakati mwingine mtu huamka ametoa macho na kama ukimwangalia, nae huishia hukuangalia tu huku akikosa la kukujibu endapo utamuuliza vipi kuna tatizo gani?

    MWILI WAKO NI ZAIDI YA UNAVYOUJUA. JAMBO LA MSINGI NI KUONDOA HOFU KWANI MWILI WAKO UNAJUA NINI UFANYE NA WAKATI GANI ILI KUKULINDA USIKU NA MCHANA KATIKA SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO.

    Share pia wengine wajue sio kila kitu ni uchawi
    MAMBO 8 YA KUSHANGAZA YANAYOFANYWA NA MWILI WAKO KUKULINDA PASIPO WEWE KUJUA. C&P Mwili wa binadamu unafanya mambo mengi ya kibaiolojia ambayo mara nyingi ni vigumu kuyaelewa. Mwili una mifumo mbalimbali ya ulinzi ambayo inatulinda na hatari zinazoweza kutudhuru. Mifumo hiyo inatulinda masaa 24 ya siku, Siku zote 7 za wiki, katika mambo yote yanayoweza kuhatarisha maisha yetu. Yafuatayo ni mambo yanayofanywa na mwili ambayo ni kati ya hiyo mifumo ya ulinzi wa mwili wa binadamu. 1. KUPIGA MIAYO (YAWNING) Lengo kubwa la kupiga muayo ni kuupoza ubongo baada ya joto kuzidi kwenye ubongo au baada ya ubongo kuchoka kufanya kazi. Vile vile kama ukiwa umechoka au una njaa husabababisha oxygen kupungua kwenye damu na kwenye mapafu, hii hupelekea tatizo la kupumua, hivyo kupiga miayo husaidia kuingiza oxygen ya ziada mwilini ili irudishe mwili katika hali yake ya kawaida. 2. KUPIGA CHAFYA (SNEEZING) Mara nyingi tunapiga chafya pale pua zetu zinapokua zimejaa bakteria wa magonjwa ambao hawahitajiki mwilini, Vumbi pamoja na takataka mbali mbali zilizoingia kupitia pua. Hivyo kupiga chafya ni kitenda cha mwili kujisafisha kwa kuyatoa hayo matakataka nje yaliyoingia mwilini. 3. KUJINYOOSHA (STRETCHING) Kuninyoosha mwili ni kitendo kisicho cha hiari ambacho lengo lake ni kuuandaa mwili kwa ajili ya kazi mbalimbali za kutumia nguvu utakazokabiliana nazo kwa siku nzima. Lakini pia kujinyoosha kunaipa misuli ya mwili mazoezi na kuiweka sawa vilevile kunarudisha mzunguko wa damu katika hali yake ya kawaida na kumtoa mtu katika uchovu. 4. KWIKWI (HICCUPING) Najua umewahi kupata kwikwi, na mara nyingi mara baada ya kumaliza kula chakula. Je umeshawahi kujiuliza ile sauti ya ajabu ya kwikwi inasababishwa na nini au kwa sabababu gani watu hushikwa na kwikwi? Hiyo yote husababishwa na DIAPHRAGM (tamka DAYA - FRAM) kiungo kinachopatikana ndani ya mwili wa binadamu chini kabisa ya kifua baada ya mapafu(lungs). Kazi kubwa ya diaphragm ni kusaidia katika upumuaji, (inhale) na (exhale). Pale unapoingiza hewa ndani (inhale) diaphragm hushuka chini ili kusaidia kuivuta hewa ifike kwenye mapafu. Na unapotoa hewa nje (exhale) diaphragm hutulia kwa kubakia sehem yake ili kuwezesha hewa chafu kutoka nje kupitia pua na mdomo. Sasa basi, kuna wakati diaphragm kubugudhiwa na kuisababisha kushuka chini kwa kasi sana jambo linalosababisha wewe kuvuta hewa (inhale) kwa kasi isiyo ya kawaida kupitia koromeo la sauti, hewa ikifika kwenye box la sauti (larynx), sehem hiyo hujifunga kwa haraka sana ili kuzuia hewa isipite huko na ndipo KWIKWI hutokea. Mambo mengine yanayoweza kuibugudhi diaphragm na kuisababisha kufanya kazi vibaya mpaka kupelekea kwikwi ni kitendo cha kula haraka haraka au kuvimbewa. 5. KUJIKUNJA KWA NGOZI YA VIDOLE VYA MIKONO BAADA YA KULOWA AU KUKAA MUDA MREFU KWENYE MAJI. Je umewahi shuhudia jinsi ngozi ya vidole vyako inavyojikunja baada ya kufua nguo muda mrefu au kushika maji muda mrefu? Unajua ni kwa sababu gani ngozi hujikunja kama ya mtu aliyezeeka angali yu kijana mara baada ya kukaa sana kwenye maji? Watu wengi kabla walizani kwamba kujikunja kwa ngozi hiyo hutokana na maji kuingia kwenye ngozi na hivyo ngozi hujikunja baada ya kulowa. Lakini wanasayansi baada ya kufanya utafiti kwa muda merefu juu ya nini hasa hupelekea ngozi kujikunja? Walisema HAPANA si kwa sababu ya ngozi kulowana. Na walikuja na majibu haya. Mwili unapokutana na majimaji mara moja hupeleka taarifa na kutafsiri kwamba mazingira hayo yana UTELEZI (Slippery) hivyo kutasababisha mikono kushindwa kushika (Grip) au kukamata vitu kwa urahisi kutokana na utelezi huo. Hapo mwili huchukua hatua ya haraka kuikunja ngozi ya mikono yako ili kurahisisha ushikaji wa vitu vinavyoteleza ndani ya maji pamoja na kutembea kwenye utelezi. 6. VIPELE VIPELE VYA BARIDI KWENYE NGOZI (GOOSEBUMPS) Kazi kubwa ya vipele hivi ni kupunguza kiasi cha joto la mwili linalopotea kupitia matundu ya ngozi. Hivyo kwa kufanya hivi humfanya binadamu kutunza joto la mwili hata katika mazingira ambayo hali yake ya hewa si rafiki kwa mwili wa mwanadamu au ni yenye baridi sana. 7. MACHOZI (TEARS) Zaidi ya kuwa majimaji (MUCOUS MEMBRANE ) yanayopatikana kwenye Macho ambayo kazi zake ni kulilinda jicho dhidi ya kitu chochote kigeni kinachoingia jichoni (mfano unapokata vitunguu au mdudu anapoingia jichoni huwa unatoa machozi mengi eeeh!! Pia dhidi ya upepo na moshi) na pia hutumika kama kilainishi cha jicho pale linapokuwa linazunguka zunguka (blink). Vilevile machozi yana kazi ya kupunguza HISIA ZA HUDHUNI zinazozalishwa mwilini. Wanasayansi wanaamini kuwa mtu anapokua mwenye msongo wa mawazo (stress) mwili hutengeneza kitu kipya ili kwenda kubugudhi na kuharibu maumivu yote ambayo mtu anajisikia. Hivyo machozi yanayozalishwa hapa huwa na kemikali na yanafahamika kama NATURAL PAINKILLER. Machozi haya ni tofauti na machozi ya kawaida, lengo lake hasa la kuzalishwa ni kwa ajili ya kuondoa kabisa maumivu yaliyozalishwa mwilini Hivyo mpaka hapa tumeona kua kuna machozi ya aina tatu ambayo ni i. Basal tears (vilainishi) ii. Reflex tears (mlinzi) iii. Emotion tears (mtuliza maumivu) 8. KUSHTUKA USINGIZINI (MYOCLONIC JERKS or HYPNIC JERK). Je! Ushawahi kutokewa na hali hii? umelala halafu ghafla unashtuka usingizini kwa mguvu nyingi kama umepigwa na shoti ya umeme na akili inakurudi ghafla huku mapigo ya moyo yakikuenda mbio? Na hali hii ikakutokea pasipo hata kuota ndoto yoyote? Basi usiogope au kuwasingizia watu uchawi, hii ni hali ya sayansi ya mwili.na ni njia moja wapo katika ile mifumo ya mwili kujilinda. Je hutokeaje? Hii ni hali ya ajabu sana isiyofanywa kwa hiari ambayo huwatokea watu mara tu wamejinyoosha kitandani na kupitiwa na usingizi, mwili hutetemeshwa na kusukumwa kwa nguvu na mtu hushtuka katika hali kama vile kapigwa na shoti ya umeme. Hali hii inaweza kupelekea mtu hata kuanguka kitandani na humwamsha mara moja kutoka usingizini. Wanasayansi wanatuambia kua, pale tu unapopata usingizi kiwango cha upumuaji kinashuka ghafla, mapigo ya moyo nayo taratibu yanapungua, misuli inatulia kwa ku-relax, Kitu cha AJABU hapa ubongo unatafsiri hali hii kama ni DALILI ZA KIFO (brain's misinterpretation of muscle relaxation), hivyo huchukua hatua za haraka za kuushtua mwili kwa kuutetemesha au kuuskuma kwa nguvu, hali ambayo humfanya mtu kuamka kutoka usingizini kwa KURUKA kitu ambacho ni hali isiyo ya kawaida. Hali hii ikimtokea mtu huambatana na kuongezeka kwa mapigo ya moyo (rapid heartbeat), kuhema haraka haraka, na wakati mwingine mtu hutokwa na jasho jingi. Wakati mwingine mtu huamka ametoa macho na kama ukimwangalia, nae huishia hukuangalia tu huku akikosa la kukujibu endapo utamuuliza vipi kuna tatizo gani? MWILI WAKO NI ZAIDI YA UNAVYOUJUA. JAMBO LA MSINGI NI KUONDOA HOFU KWANI MWILI WAKO UNAJUA NINI UFANYE NA WAKATI GANI ILI KUKULINDA USIKU NA MCHANA KATIKA SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO. Share pia wengine wajue sio kila kitu ni uchawi
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·982 Views
  • MADHARA YA KUVUTA SIGARA NA TIBA YAKE
    ✦Magonjwa ya macho
    ✦Kukunjana kwa ngozi
    ✦Magonjwa ya masikio
    ✦Saratani ya ngozi
    ✦Magonjwa ya meno
    ✦Magonjwa ya mapafu,Mifupa,Kucha kungoka kwenye vidole na miguu.
    ✦Magonjwa ya ngozi.

    𝐈𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐡𝐢𝐥𝐨 𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐠𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞,𝐓𝐰𝐚𝐢𝐛 𝐇𝐞𝐫𝐛𝐬 𝐭𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐯𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐲𝐨𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐚 𝐩𝐨𝐦𝐛𝐞.

    #𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐀_𝐍𝐀𝐒𝐈
    ✦ TUPIGIE/SMS/WHATSAP.
    +255767607724.

    ✦WHATSAP BUSSNESS CATALOGUE
    https://wa.me/c/255767607724

    ✦Instagram:
    https://www.instagram.com/twaibherbs

    ✦Facebook:
    https://www.facebook.com/twaibherbs

    ✦Google/blog.
    https://www.twaibherbs.blogspot.com
    MADHARA YA KUVUTA SIGARA NA TIBA YAKE ✦Magonjwa ya macho ✦Kukunjana kwa ngozi ✦Magonjwa ya masikio ✦Saratani ya ngozi ✦Magonjwa ya meno ✦Magonjwa ya mapafu,Mifupa,Kucha kungoka kwenye vidole na miguu. ✦Magonjwa ya ngozi. 𝐈𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐧𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚 𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐡𝐢𝐥𝐨 𝐥𝐚 𝐬𝐢𝐠𝐚𝐫𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞,𝐓𝐰𝐚𝐢𝐛 𝐇𝐞𝐫𝐛𝐬 𝐭𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐨 𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐮𝐯𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐚𝐢𝐧𝐚 𝐲𝐨𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐚 𝐩𝐨𝐦𝐛𝐞. #𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐀_𝐍𝐀𝐒𝐈 ✦ TUPIGIE/SMS/WHATSAP. +255767607724. ✦WHATSAP BUSSNESS CATALOGUE https://wa.me/c/255767607724 ✦Instagram: https://www.instagram.com/twaibherbs ✦Facebook: https://www.facebook.com/twaibherbs ✦Google/blog. https://www.twaibherbs.blogspot.com
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·703 Views
  • Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu
    Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu
    Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu
    Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu
    Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu
    Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu
    Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu
    Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu
    Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu
    Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu
    Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu
    Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu
    Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu
    Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu
    Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu
    Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu
    Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu
    Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu
    Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu
    Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club
    Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu
    Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu🎤 Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·2K Views
  • Vikwazo lumbesa vyote vitaisha umaskini unatesa pesa inatakatisha

    Najua life nitait gumu Kama kusolve taichii

    Mshara wa uvivu huwa ni kupata umaskini

    Mashara kuungua mapafu kazi ilikua kuvuta sigara

    Msharavwa kinyozi ni kunyoa watu vipara.
    Vikwazo lumbesa vyote vitaisha umaskini unatesa pesa inatakatisha Najua life nitait gumu Kama kusolve taichii Mshara wa uvivu huwa ni kupata umaskini Mashara kuungua mapafu kazi ilikua kuvuta sigara Msharavwa kinyozi ni kunyoa watu vipara.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·264 Views
  • Nipo safari ya mbali.. Japo sijaona sayari..
    Bado nausaka ugali.. Japo ni msoto mkali..
    Nitarudi usijali.. Nasaka usiku silali.. Life bado kabali..
    Kwamungu nasali vizuli.. Naomba nipate mia nisije pata sifuli..
    Mvumilivu hula matunda mazuri.. Kua na amani epuka kibuli..
    Vikwazo lumbesa vyote vitaisha.. Umaskini unatesa pesa inatakatisha..
    Najua life nitait gumu Kama kusolve taichii..
    Mshara wa uvivu huwa ni kupata umaskini..
    Mashara kuungua mapafu kazi ilikua kuvuta sigara..
    Mshara wa kinyozi ni kupiga watu vipara..
    Nipo safari ya mbali.. Japo sijaona sayari.. Bado nausaka ugali.. Japo ni msoto mkali.. Nitarudi usijali.. Nasaka usiku silali.. Life bado kabali.. Kwamungu nasali vizuli.. Naomba nipate mia nisije pata sifuli.. Mvumilivu hula matunda mazuri.. Kua na amani epuka kibuli.. Vikwazo lumbesa vyote vitaisha.. Umaskini unatesa pesa inatakatisha.. Najua life nitait gumu Kama kusolve taichii.. Mshara wa uvivu huwa ni kupata umaskini.. Mashara kuungua mapafu kazi ilikua kuvuta sigara.. Mshara wa kinyozi ni kupiga watu vipara..
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·441 Views
  • YAJUE HAYA KUHUSU MISITU YA AMAZON.
    1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini.

    2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu umegawanyika katika nchi tisa nchi hizo ni Blazil 60% peru 13% colombia 10% na mataifa mengine kama Venezuela, Ecuador, bolvia, guyana, suriname na France guiana.

    3: Msitu huu una eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,500,000 ( Milioni 5) yani kwa ukubwa huu nchi ya TANZANIA iingie mara 6 kwenye msitu huo.

    4: kwa mujibu wa wanasayansi wa mimea msitu wa Amazon una umri wa miaka zaidi ya million 55

    5: Msitu wa Amazon unakadiriwa kuwa na miti billion 400 na aina mbalimbali za miti zaidi ya 160,000 pia kuna miti ya matunda tofauti tofauti elfu tatu katika msitu huo.

    6: Mchanga wa jangwa la sahara hupeperushwa na upepo hupita juu ya bahari Atlantic hadi katika msitu wa amazon ambako hurutubisha katika msitu huo.

    7: katika msitu wa amazon kuna mto umekatisha mto huo unaitwa mto amazon huu ndio mtu mkubwa zaidi duniani na unaingiza maji baharini mara 5 ya mito mingine maajabu ya mto huu kuna muda haueleweki kuna kipindi unapeleka maji kinyume badala ya maji kwenda mashariki yana kuwa yana toka mashariki kwenda magharibi.

    8: Asilimia 20% ya oxygen iliyopo dunia inatengenezwa katika msitu wa amazon acha hili pia zaidi ya asilimia 70% ya madawa ya kisasa yana tengenezwa kwa kutumia miti inayo patikana ndani ya msitu wa amazon. Ndio maana unaitwa mapafu ya dunia.

    9: katika msitu wa amazon kuna makabila zaidi ya 50 yana ishi hapo watu wameishi kwa maelfu ya miaka iliyo pita lakini watu hao wamekuja kuonekana miaka ya hivi karibuni.

    10: Green anaconda
    Hawa ndio nyoka wakubwa zaidi duniani kwa sasa ni aina ya nyoka wanao patikana msitu wa amazon pekee wana rangi ya kijani na madoa meusi.

    11: poison dork frog
    Ni aina ya vyura wanaopatikana msitu wa amazon pekee wana sumu kali katika migongo yao ..
    YAJUE HAYA KUHUSU MISITU YA AMAZON. 1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini. 2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu umegawanyika katika nchi tisa nchi hizo ni Blazil 60% peru 13% colombia 10% na mataifa mengine kama Venezuela, Ecuador, bolvia, guyana, suriname na France guiana. 3: Msitu huu una eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,500,000 ( Milioni 5) yani kwa ukubwa huu nchi ya TANZANIA iingie mara 6 kwenye msitu huo. 4: kwa mujibu wa wanasayansi wa mimea msitu wa Amazon una umri wa miaka zaidi ya million 55 5: Msitu wa Amazon unakadiriwa kuwa na miti billion 400 na aina mbalimbali za miti zaidi ya 160,000 pia kuna miti ya matunda tofauti tofauti elfu tatu katika msitu huo. 6: Mchanga wa jangwa la sahara hupeperushwa na upepo hupita juu ya bahari Atlantic hadi katika msitu wa amazon ambako hurutubisha katika msitu huo. 7: katika msitu wa amazon kuna mto umekatisha mto huo unaitwa mto amazon huu ndio mtu mkubwa zaidi duniani na unaingiza maji baharini mara 5 ya mito mingine maajabu ya mto huu kuna muda haueleweki kuna kipindi unapeleka maji kinyume badala ya maji kwenda mashariki yana kuwa yana toka mashariki kwenda magharibi. 8: Asilimia 20% ya oxygen iliyopo dunia inatengenezwa katika msitu wa amazon👏 acha hili pia zaidi ya asilimia 70% ya madawa ya kisasa yana tengenezwa kwa kutumia miti inayo patikana ndani ya msitu wa amazon. Ndio maana unaitwa mapafu ya dunia. 9: katika msitu wa amazon kuna makabila zaidi ya 50 yana ishi hapo watu wameishi kwa maelfu ya miaka iliyo pita lakini watu hao wamekuja kuonekana miaka ya hivi karibuni. 10: Green anaconda Hawa ndio nyoka wakubwa zaidi duniani kwa sasa ni aina ya nyoka wanao patikana msitu wa amazon pekee wana rangi ya kijani na madoa meusi. 11: poison dork frog Ni aina ya vyura wanaopatikana msitu wa amazon pekee wana sumu kali katika migongo yao ..
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·581 Views