• Habari ya jioni ni siku ya tano leo kati ya saba katika mwendelezo wa somo linaloitwa ndoto na namna ya kutafsiri ndoto yako.

    Je umewai kuota ndoto mwanaume wa zamani kabisa wa ujanani au muliachana miaka 6 lakin qnajirudia rudia na saiz umeolewa ni mume wa mtu tayr au mke wa mtu .?
    Nini maana yake ?

    1.Kuna agano la ujanani uliingia na huyo mwanamke au mwanaume na ujatoka kwenye agano hilo kiroho.

    Zaburi 25:7 "usiyakumbuke makosa ya ujanani"

    Makosa hayo yamepelekea kufungwa na kukunajusi wewe katika ulimwengu wa roho.

    Naombaje

    1.Omba toba juu ya uovu wa ujanani .

    2.Omba maombi maalumu ya kujitenga na maagano ya ujanani .

    3.Muone kuhani aliye pakwa mafuta na Bwana kwa msada zaidi.

    Ahsante sana kwa majina naitwa sylvester Mwakabende wa (Build new eden)

    #Build new eden
    #Restoremenposition
    Habari ya jioni ni siku ya tano leo kati ya saba katika mwendelezo wa somo linaloitwa ndoto na namna ya kutafsiri ndoto yako. Je umewai kuota ndoto mwanaume wa zamani kabisa wa ujanani au muliachana miaka 6 lakin qnajirudia rudia na saiz umeolewa ni mume wa mtu tayr au mke wa mtu .? Nini maana yake ? 1.Kuna agano la ujanani uliingia na huyo mwanamke au mwanaume na ujatoka kwenye agano hilo kiroho. Zaburi 25:7 "usiyakumbuke makosa ya ujanani" Makosa hayo yamepelekea kufungwa na kukunajusi wewe katika ulimwengu wa roho. Naombaje 1.Omba toba juu ya uovu wa ujanani . 2.Omba maombi maalumu ya kujitenga na maagano ya ujanani . 3.Muone kuhani aliye pakwa mafuta na Bwana kwa msada zaidi. Ahsante sana kwa majina naitwa sylvester Mwakabende wa (Build new eden) #Build new eden #Restoremenposition
    0 Comments ·0 Shares ·48 Views
  • WAKO WAPI WASHITAKI WAKO ?

    Yohana 8:3-11
    Mafarisayo walimpeleka mwanamke waliye mfumania kwa Yesu ili atoe hukumu .

    *Walipo mpeleka si kwa sababu ya kuwa mwanamke amekosea peke yake walitaka kumjaribu Yesu kupitia yule mwanamke .*

    Lakini wao ambacho hawakujua ni kuwa Yesu yeye ndo anaye tazama mioyo kabla hawajafika.

    *Ukisoma torati ya Musa unaweza dhani walikuwa wameenda kwa nia njema lkn kumbe lengo ni kumtega.*

    *Na kwa sababu walienda kwa mtego Yesu naye akawapa jibu la mtego vile vile kuwa yeyote asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga huyu mtu.*
    Yohana 8:7
    [7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.

    Yes kabla ujamshitaki mwingine lazima ujiangalie vipi kuhusu wewe hawa walikuwa washitaki wazuri lakini kumbe bado na wao ni wadhinifu tu.

    *Jiulize wewe ambaye unajiona malaika vipi wewe una dhambi yeyote kweli ni kweli umevuka zinaa lakini mbona wivu na husda bado unao*

    Baada ya hapo Yesu anampa njia impasayo *wokovu Nenda zako usitende dhambi tena*

    Kumbe njia nzuri si kumuhukumu mtu kwa kumpiga mawe badala yake mpe njia ya kushinda hiyo zinaa.

    Sababu ya kusema wengine kumeharibu mwili w Kristo hasa watu wanao jifanya wana kirohost wakati ni mafarisayo.

    Ukimkuta ndugu yako anadumbukia shimoni msaidie atoke si kwenda kumtangaza na kumbe huyo mtu kaokoka wiki moja mfuate mtie moyo na mpe njia uliyo tumia kushinda dhambi nayeye ajifunze na hapo ndipo tutita Upendo wa kristo.

    *Siyo unapeleka kwa mchungaji arafu nyuma ya pazia unamtega mchungaji akiamua kumfukuza upate la kumsema akimuonya upate la kumsema.*

    *Dada angu usikubali maneno ya watu na mashitaka ya watu yakukosanishe Mungu ni ukianguka mrudie Bwana ambaye atasimama na wewe na kukusamehe na kukupa onyo ,*

    Walokole wengi tumepoteza radha ya wokovu kwa majungu na kujihesabia sana haki kumbe ni sadukayo na farisayo.

    Kukulia machinjioni haimaanishi lazima ujue kuchinjz nyama kumbe hata wewe dada wengine unawaona wamesimama leo ni
    kwasababu waliamua kujifunza nq si kutumia uzoefu..

    Naweza kwambia kuwa Yesu anakuja ni muhimu kutengeneza.

    Ahsante.naitwa Sylvester Mwakabende wa BUILD NEW EDEN

    #RESTORE MEN POSITION
    WAKO WAPI WASHITAKI WAKO ? Yohana 8:3-11 Mafarisayo walimpeleka mwanamke waliye mfumania kwa Yesu ili atoe hukumu . *Walipo mpeleka si kwa sababu ya kuwa mwanamke amekosea peke yake walitaka kumjaribu Yesu kupitia yule mwanamke .* Lakini wao ambacho hawakujua ni kuwa Yesu yeye ndo anaye tazama mioyo kabla hawajafika. *Ukisoma torati ya Musa unaweza dhani walikuwa wameenda kwa nia njema lkn kumbe lengo ni kumtega.* *Na kwa sababu walienda kwa mtego Yesu naye akawapa jibu la mtego vile vile kuwa yeyote asiye na dhambi na awe wa kwanza kumpiga huyu mtu.* Yohana 8:7 [7]Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe. Yes kabla ujamshitaki mwingine lazima ujiangalie vipi kuhusu wewe hawa walikuwa washitaki wazuri lakini kumbe bado na wao ni wadhinifu tu. *Jiulize wewe ambaye unajiona malaika vipi wewe una dhambi yeyote kweli ni kweli umevuka zinaa lakini mbona wivu na husda bado unao* Baada ya hapo Yesu anampa njia impasayo *wokovu Nenda zako usitende dhambi tena* Kumbe njia nzuri si kumuhukumu mtu kwa kumpiga mawe badala yake mpe njia ya kushinda hiyo zinaa. Sababu ya kusema wengine kumeharibu mwili w Kristo hasa watu wanao jifanya wana kirohost wakati ni mafarisayo. Ukimkuta ndugu yako anadumbukia shimoni msaidie atoke si kwenda kumtangaza na kumbe huyo mtu kaokoka wiki moja mfuate mtie moyo na mpe njia uliyo tumia kushinda dhambi nayeye ajifunze na hapo ndipo tutita Upendo wa kristo. *Siyo unapeleka kwa mchungaji arafu nyuma ya pazia unamtega mchungaji akiamua kumfukuza upate la kumsema akimuonya upate la kumsema.* *Dada angu usikubali maneno ya watu na mashitaka ya watu yakukosanishe Mungu ni ukianguka mrudie Bwana ambaye atasimama na wewe na kukusamehe na kukupa onyo ,* Walokole wengi tumepoteza radha ya wokovu kwa majungu na kujihesabia sana haki kumbe ni sadukayo na farisayo. Kukulia machinjioni haimaanishi lazima ujue kuchinjz nyama kumbe hata wewe dada wengine unawaona wamesimama leo ni kwasababu waliamua kujifunza nq si kutumia uzoefu.. Naweza kwambia kuwa Yesu anakuja ni muhimu kutengeneza. Ahsante.naitwa Sylvester Mwakabende wa BUILD NEW EDEN #RESTORE MEN POSITION
    0 Comments ·0 Shares ·53 Views
  • Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .

    *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*

    *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .


    Zaburi 22:16
    *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
    Wamenizua mikono na miguu*
    For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.

    1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati

    Mithali26:11 SUV

    *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*

    Kutoka 22:31 BHN
    *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*

    Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .

    Torati 23:18 BHN
    *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
    2wafalme 9;10

    Zaburi 22;20 BHN
    *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*

    *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
    .
    2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.

    Isaya 56:11 BHN
    *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*

    Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA

    1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .

    2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia

    3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .

    4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.

    Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
    Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
    Simu no :0622625340
    Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia . *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza* *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? . Zaburi 22:16 *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenizua mikono na miguu* For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet. 1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati Mithali26:11 SUV *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.* Kutoka 22:31 BHN *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.* Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila . Torati 23:18 BHN *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.* 2wafalme 9;10 Zaburi 22;20 BHN *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!* *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .* . 2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani. Isaya 56:11 BHN *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.* Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA 1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango . 2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia 3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi . 4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka. Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi. Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden) Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine. Simu no :0622625340
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·51 Views
  • Habari ya jion tena .leo tunaendelea tena na tafsiri ya ndoto kiroho kwa kutumia biblia .

    Ukiota ndoto umekaa na viongozi wakuu wanchi ,unawawakilisha au hata unashare nao majukumu au company ywko ndotoni nini maana yake.?

    Mithali 18:16

    1.Ndoto hii inaashiria karama au kibali kinacho kuja mbele yako au uwezo wako wa ndani rohoni jinsi unavyo tizamwa.

    2.Inawakilisha kuwa kuna msimu mpya unakuja na nafasi mpya njema katika maisha yako.

    3. Inaonyesha pia unaweza ukawa unashare naye destiny huyo kiongozi yaani rohoni mko level moja sasa inategemea huyo uongozi wake msingi wake ni upi?


    Mwanzo 40:9-23 wote waliota ndoto zinazo elekeana lakini hazikufanana

    4.Unaukuu ndani yako wa kiuongozi ni vile tu umejisahau sana .anza kuliishi kusudi lako ili uifikie hatma yako.
    Zaburi 113:7-8

    Maana ya jumla .
    Viongozi katika ndotocwanawakilisha roho yenye mamlaka ya kutawala na yenye nguvu wakutawala na kumiliki juu ya nchi.

    Unapo wakilisha wakuu au kuona nafasi ya ukuu ndani yako wanawakikisha kutiwa mafuta kwa nafsi yako ili upate kuwa mtu fulani katika nchi.

    Ndoto za ukuu mara nyingi zinakuwaga na vita sana zinataka kusimama sana na Mungu kwani ukitaka kuona msome yusuph katika mwanzo 37

    NB .Kuota swala moja na kutimia swala moja ili litimie lazima ujifunze namna ya kuomba Mungu.

    Namna ya kuomba .

    1.kuwa mtu wa imani amini anza kuomba rehema na shukrani.

    2.Omba Mungu aifanikishe isibaki kuwa ndoto tu (ndoto iliyo zuiwa rohoni)

    3.Chuchumilia mbele za Mungu mpaka itimie kwa mifungo mingi na maombi mengi sana.

    4.Kama kuna nafasi chuku hatua ya kuomba Mungu akusogezee watu sahii ambao wanaweza kuwa wakuu.

    Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden.
    Habari ya jion tena .leo tunaendelea tena na tafsiri ya ndoto kiroho kwa kutumia biblia . Ukiota ndoto umekaa na viongozi wakuu wanchi ,unawawakilisha au hata unashare nao majukumu au company ywko ndotoni nini maana yake.? Mithali 18:16 1.Ndoto hii inaashiria karama au kibali kinacho kuja mbele yako au uwezo wako wa ndani rohoni jinsi unavyo tizamwa. 2.Inawakilisha kuwa kuna msimu mpya unakuja na nafasi mpya njema katika maisha yako. 3. Inaonyesha pia unaweza ukawa unashare naye destiny huyo kiongozi yaani rohoni mko level moja sasa inategemea huyo uongozi wake msingi wake ni upi? Mwanzo 40:9-23 wote waliota ndoto zinazo elekeana lakini hazikufanana 4.Unaukuu ndani yako wa kiuongozi ni vile tu umejisahau sana .anza kuliishi kusudi lako ili uifikie hatma yako. Zaburi 113:7-8 Maana ya jumla . Viongozi katika ndotocwanawakilisha roho yenye mamlaka ya kutawala na yenye nguvu wakutawala na kumiliki juu ya nchi. Unapo wakilisha wakuu au kuona nafasi ya ukuu ndani yako wanawakikisha kutiwa mafuta kwa nafsi yako ili upate kuwa mtu fulani katika nchi. Ndoto za ukuu mara nyingi zinakuwaga na vita sana zinataka kusimama sana na Mungu kwani ukitaka kuona msome yusuph katika mwanzo 37 NB .Kuota swala moja na kutimia swala moja ili litimie lazima ujifunze namna ya kuomba Mungu. Namna ya kuomba . 1.kuwa mtu wa imani amini anza kuomba rehema na shukrani. 2.Omba Mungu aifanikishe isibaki kuwa ndoto tu (ndoto iliyo zuiwa rohoni) 3.Chuchumilia mbele za Mungu mpaka itimie kwa mifungo mingi na maombi mengi sana. 4.Kama kuna nafasi chuku hatua ya kuomba Mungu akusogezee watu sahii ambao wanaweza kuwa wakuu. Ok naitwa sylvester kutoka (build new eden.
    Share on WhatsApp
    w.app
    WhatsApp Messenger: More than 2 billion people in over 180 countries use WhatsApp to stay in touch with friends and family, anytime and anywhere. WhatsApp is free and offers simple, secure, reliable messaging and calling, available on phones all over the world.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·67 Views
  • THANK YOU.

    Luke 17:11-19
    We look at the story of the ten lepers who were all healed.

    However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus.

    Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?"

    This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks.

    What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart."

    In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level.

    He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19)

    So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus.

    With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward.

    If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?"

    This is where you understand that giving thanks is a way to praise God.

    "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9)

    To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful."

    After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21)

    To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57)

    After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2)

    Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7)

    You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards.

    My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340.


    #buildneweden

    ##restoremenposition
    THANK YOU. Luke 17:11-19 We look at the story of the ten lepers who were all healed. However, only one of them, a Samaritan, returned to thank Jesus. Jesus asked, "Aren't all ten healed? Where are the other nine?" This reflects the reality of today's church and world. When we face difficulties, we pray a lot to God. Yet, when we receive blessings, we often forget to return and give thanks. What we don’t realize is that God Himself says, "He is pleased with a thankful heart." In every act of gratitude, there is a blessing that takes you to another level. He told the Samaritan, "Get up and go; your faith has healed you." (Luke 17:19) So, after giving thanks, he was blessed with healing directly from Jesus. With every expression of gratitude, you give God the opportunity to trust you more and help you move forward. If thankfulness wasn’t important, Jesus wouldn’t have asked, "Was there no one to return and give praise to God except this foreigner?" This is where you understand that giving thanks is a way to praise God. "Let us come before Him with thanksgiving; let us make a joyful noise to Him with songs." (Psalm 9:1, Psalm 52:9) To have the peace of Christ, you must be a person of gratitude. "And let the peace of Christ rule in your hearts, to which indeed you were called in one body. And be thankful." After receiving what you asked for, you must also thank Him. "I will give thanks to You for You have answered me and have become my salvation." (Psalm 118:21) To be a winner, you must be a person of gratitude. "But thanks be to God, who gives us the victory through our Lord Jesus Christ." (1 Corinthians 15:57) After you pray, you should start planting seeds of gratitude. "Devote yourselves to prayer, being watchful in it with thanksgiving." (Colossians 4:2) Even if you haven't prayed for something specific, learn to thank God daily so He can guide you in His ways. "For He led them by a straight way to a city where they could settle; so they thanked the Lord." (Psalm 107:7) You might think that gratitude is just a simple act, but it carries great rewards. My name is Sylvester Mwakabende (build new eden). For more learning, advice, or spiritual help, call 0622625340. #buildneweden ##restoremenposition
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·135 Views
  • Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ?

    1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha .

    2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) .

    Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio .

    Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa .

    NOTE :

    1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli)

    2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi )

    3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo nimependa Energy ya Maabad

    4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake )

    FT: Yanga 1-0 Coastal Union .
    (Kelvin Rabson).

    Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ? 1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha . 2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) . ✍️ Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio . ✍️ Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa . NOTE : 1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli) 2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi 🔥) 3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo 👏 nimependa Energy ya Maabad ✅ 4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake ) FT: Yanga 1-0 Coastal Union . (Kelvin Rabson).
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·552 Views
  • Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA )

    ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ?

    1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ?

    2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free .

    3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji

    ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili .

    NOTE

    1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri

    2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi )

    3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses )

    4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo

    5: Bacca + Job

    6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka

    7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga )

    8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy )

    FT: Yanga 3-1 TP Mazembe

    Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA ) ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ? 1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ? 2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free . 3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili . NOTE 1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri 2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi ) 3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses ) 4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo 5: Bacca + Job 🔥🔥 6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka🔥 7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga ) 8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 🔥💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy ) FT: Yanga 3-1 TP Mazembe
    0 Comments ·0 Shares ·707 Views
  • ✍🏻Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA )

    ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ?

    1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ?

    2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free .

    3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji

    ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili .

    NOTE

    1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri

    2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi )

    3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses )

    4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo

    5: Bacca + Job

    6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka

    7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga )

    8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy )
    #neliudcosiah
    ✍🏻Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA ) ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ? 1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ? 2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free . 3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili . NOTE 1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri 2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi ) 3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses ) 4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo 5: Bacca + Job 🔥🔥 6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka🔥 7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga ) 8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 🔥💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy ) #neliudcosiah
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·724 Views
  • Kwenye Press yake ya kwanza aliyofanya baada ya kukabidhiwa timu, Kocha Sead Ramovic akiielezea style na Falsafa zake za uchezaji alisema;

    "I like this kind of heavy rock and roll game to attack and press, not to let the opponent breath"

    1. Kuzuia kwa shinikizo kubwa kwaajili ya kupora umiliki wa mpira pindi ukiwa kwa wapinzani wao (High Pressure defensive style), na kuanza kuzuia kwa haraka na shinikizo kubwa pindi wanapopoteza umiliki wa mpira (Counter Pressing)

    2. Kushambulia kwa mashambulizi ya moja kwa moja na kushambulia kwa kujibu pindi wanapopokonya umiliki wa mpira baada ya kuzuia kwa presha kubwa

    - Hichi ndicho wanachokionesha kwasasa

    Yanga leo msingi wa Ubora wao ulianzia Kwa namna Wanavyozuia kwa "NJAA KALI" wakiwa na miundo miwili ya kimkakati hasa kuzuia Dodoma Kupita katikati kwa viungo wa kati.

    - Kuna nyakati Yanga Walizuia na 4-2-3-1, hizi ni nyakati Dodoma wakijenga shambulizi na Kiungo mmoja, Daudi
    - Kuna nyakati Yanga Walizuia na 4-1-4-1, hizi ni nyakati Dodoma wakijenga shambulizi na Viungo wawili wa kati, Daudi na Hoza

    Hii ina maana Yanga walikuwa wana adapt idadi ya wachezaji wa Dodoma wanaoweza ku-progress build up kutoka nyuma, ambapo;

    - Aziz na Mudathir waliwa-mark Daudi na Hoza kuzuia Central Progressions
    - Mzize na Pacome walisimama katikati ya Full Backs na Center Backs wa Dodoma kuzuia Wide Progressions
    - Yanga walimsimamisha Dube mbele, akawa dhidi ya mabeki wawili na kipa wa Dodoma kutowapa uhuru

    Lengo la pili la Yanga likawa kupora mipira na kujibu mashambulizi kwenye moment ndiyo MECHANISM ya magoli yote yalipochorwa;

    - Wachezaji walijua tendo linalofuata baada ya kupora mpira
    - wakishambulia space behind haraka, wakafaidika na kasi yao iliyozidi RECOVERY RUNS za wachezaji wa Dodoma

    Siyo kwamba Dodoma hawakuwa wafanisi, bali kasi yao ya Ufanisi ilizidiwa na Presha ya Yanga, baada ya Presha;

    - Quick Runs behind
    - Wapo kwa idadi kubwa
    - Energetic
    - Accuracy ya matendo

    PIRA ,GUSA, ACHIA TWENDE KWAO

    👉 Kwenye Press yake ya kwanza aliyofanya baada ya kukabidhiwa timu, Kocha Sead Ramovic akiielezea style na Falsafa zake za uchezaji alisema; 🗣️ "I like this kind of heavy rock and roll game to attack and press, not to let the opponent breath" 1. Kuzuia kwa shinikizo kubwa kwaajili ya kupora umiliki wa mpira pindi ukiwa kwa wapinzani wao (High Pressure defensive style), na kuanza kuzuia kwa haraka na shinikizo kubwa pindi wanapopoteza umiliki wa mpira (Counter Pressing) 2. Kushambulia kwa mashambulizi ya moja kwa moja na kushambulia kwa kujibu pindi wanapopokonya umiliki wa mpira baada ya kuzuia kwa presha kubwa - Hichi ndicho wanachokionesha kwasasa 👉 Yanga leo msingi wa Ubora wao ulianzia Kwa namna Wanavyozuia kwa "NJAA KALI" wakiwa na miundo miwili ya kimkakati hasa kuzuia Dodoma Kupita katikati kwa viungo wa kati. - Kuna nyakati Yanga Walizuia na 4-2-3-1, hizi ni nyakati Dodoma wakijenga shambulizi na Kiungo mmoja, Daudi - Kuna nyakati Yanga Walizuia na 4-1-4-1, hizi ni nyakati Dodoma wakijenga shambulizi na Viungo wawili wa kati, Daudi na Hoza 👉 Hii ina maana Yanga walikuwa wana adapt idadi ya wachezaji wa Dodoma wanaoweza ku-progress build up kutoka nyuma, ambapo; - Aziz na Mudathir waliwa-mark Daudi na Hoza kuzuia Central Progressions - Mzize na Pacome walisimama katikati ya Full Backs na Center Backs wa Dodoma kuzuia Wide Progressions - Yanga walimsimamisha Dube mbele, akawa dhidi ya mabeki wawili na kipa wa Dodoma kutowapa uhuru 👉 Lengo la pili la Yanga likawa kupora mipira na kujibu mashambulizi kwenye moment ndiyo MECHANISM ya magoli yote yalipochorwa; - Wachezaji walijua tendo linalofuata baada ya kupora mpira - wakishambulia space behind haraka, wakafaidika na kasi yao iliyozidi RECOVERY RUNS za wachezaji wa Dodoma 👉 Siyo kwamba Dodoma hawakuwa wafanisi, bali kasi yao ya Ufanisi ilizidiwa na Presha ya Yanga, baada ya Presha; - Quick Runs behind - Wapo kwa idadi kubwa - Energetic - Accuracy ya matendo PIRA ,GUSA, ACHIA TWENDE KWAO 🙌
    0 Comments ·0 Shares ·625 Views
  • Yanga wamekuwa bora kwenye nyakati 2 muhimu kimbinu;

    - Turn-Overs, kuzuia vizuri na kujibu mashambulizi, moment iliyowapa magoli mawili
    - Mipira ya kutenga, moment iliyowapa magoli mawili

    Yanga walipata mtihani kwenye moment wakiwa na mpira, kwasababu;

    1. Namna Prison walivyokuwa wanazuia, wakiwa na shape ya 4-1-4-1;

    - mbele walimsimamisha Chanongo dhidi ya Bacca na Job, LAKINI target yao kubwa ilikuwa kwenye mstari wa pili wa Yanga, viungo wawili wa kati na mabeki wa pembeni

    - Kwenye mstari huo waliweka watu wanne, Tariq na Sengati dhidi ya Mudathir na Aucho, Segeja na Ngassa dhidi ya Kibwana na Kibabage

    - Hao Walizuia mstari huo wa Yanga ku-progress build up zinazanzia nyuma baada ya Job na Bacca dhidi ya Chanongo

    - Mara nyingi Aziz na Farid kushuka usawa wa viungo kuisaidia timu kusogea juu

    2. Kwenye build up play zao walikuwa na mapungufu kadhaa;

    - Ufanisi wa pasi
    - Combinations play
    - Viungo washambuliaji walipenda kucheza maeneo nje ya blocks

    Turn-Overs za Yanga zimekuwa bora kwasababu ya;

    - Ubora wa kiuzuiaji, Presha nzuri, kuwa pamoja, recovery runs bora
    - Ubora wa kujibu shambulizi, runs , kushambulia nafasi, uharaka, ufanisi was pasi za mwisho na Umaliziaji bora

    Set Plays siri kuu ni;

    - Kushinda mipira ya juu na ya pili (Aerial duels & second balls)
    - Wapigaji wazuri

    NOTE

    1: Dube magoli yanakuja na assist pia

    2: Mzize powerful runs zake kila upande akicheza ana madhara sana

    3: Ngassa kuna kipaji mule shida wenzake wapo wachache mbele

    4: Kibwana anaendelea alipoishia dhidi ya Mashujaa mpaka leo

    5: Aziz KI playmaking inaanza kurudi

    6: Bacca ameongeza magoli tena kwenye game yake

    FT: Yanga 4-0 Prisons

    👉 Yanga wamekuwa bora kwenye nyakati 2 muhimu kimbinu; - Turn-Overs, kuzuia vizuri na kujibu mashambulizi, moment iliyowapa magoli mawili - Mipira ya kutenga, moment iliyowapa magoli mawili 👉 Yanga walipata mtihani kwenye moment wakiwa na mpira, kwasababu; 1. Namna Prison walivyokuwa wanazuia, wakiwa na shape ya 4-1-4-1; - mbele walimsimamisha Chanongo dhidi ya Bacca na Job, LAKINI target yao kubwa ilikuwa kwenye mstari wa pili wa Yanga, viungo wawili wa kati na mabeki wa pembeni - Kwenye mstari huo waliweka watu wanne, Tariq na Sengati dhidi ya Mudathir na Aucho, Segeja na Ngassa dhidi ya Kibwana na Kibabage - Hao Walizuia mstari huo wa Yanga ku-progress build up zinazanzia nyuma baada ya Job na Bacca dhidi ya Chanongo - Mara nyingi Aziz na Farid kushuka usawa wa viungo kuisaidia timu kusogea juu 2. Kwenye build up play zao walikuwa na mapungufu kadhaa; - Ufanisi wa pasi - Combinations play - Viungo washambuliaji walipenda kucheza maeneo nje ya blocks 👉 Turn-Overs za Yanga zimekuwa bora kwasababu ya; - Ubora wa kiuzuiaji, Presha nzuri, kuwa pamoja, recovery runs bora - Ubora wa kujibu shambulizi, runs , kushambulia nafasi, uharaka, ufanisi was pasi za mwisho na Umaliziaji bora 👉 Set Plays siri kuu ni; - Kushinda mipira ya juu na ya pili (Aerial duels & second balls) - Wapigaji wazuri NOTE 1: Dube magoli yanakuja na assist pia 🔥 2: Mzize powerful runs zake kila upande akicheza ana madhara sana 3: Ngassa kuna kipaji mule shida wenzake wapo wachache mbele 4: Kibwana anaendelea alipoishia dhidi ya Mashujaa mpaka leo 5: Aziz KI playmaking inaanza kurudi 6: Bacca ameongeza magoli tena kwenye game yake FT: Yanga 4-0 Prisons
    0 Comments ·0 Shares ·727 Views
  • Privaldinho amjibu Wilson Orumo, Mchambuzi.

    Hizi nazo ni porojo. Kusema mpira bila takwimu ni stori zenu za vijiwe vya kahawa huko. Wewe ni mmoja kati ya watu mashuhuri kwa takwimu zako. Leo hutaki takwimu kwa sababu utawaudhi maboss zako.

    Unataka tuchambue mpira kwa kutumia nini? Hisia?

    Mnapoteza credibility kwa sababu kuna kundi mnataka kuliridhisha huku mnadidimiza lingine.

    Hivi jana nani hakuona performance ya @jobdick05 ? Nani hakuona fighting spirit ya @auchokhalidofficial ? Jana Djigui Diarra kacheza na maumivu, Chama kacheza na maumivu ulitaka nini kwa hawa vijana?

    Mwalimu alifanya top analysis yake, kaleta vijana watatu kwenye mchezo, Aziz, Dube, Mzize na Chama and yes build up ya goli ilitokea kwake.

    Defence yetu ilikuwa proper and well organized jana, what a performance kutoka kwa Bacca na Yao. Kipindi cha pili no shot on target kutoka kwa Mazembe. Second half tulimanage mchezo kwa 61%.

    Dickson Job jana, tackles 4/4 (100%), aerial won 3/3 (100%), shot off target 2, hajapokonywa mpira, the most touches, ulitaka hawa vijana wafanye nini mechi ya away against semi finalist? Bro tumecheza na timu aliyofika nusu fainal msimu uliopita na sio mabinam zao Libolo

    Takwimu pekee tunazokataa ni takwimu za aina moja. But everything kwa upande wetu we did better katika eneo la ulinzi, tempo ya mchezo na kwenye attacking attributes.

    Second half tulipiga pasi 159 wao 88, tulipiga mashuti 14. Imagine ulitaka nini?

    Individual art Pacome was superb, Yao aliimgia mwenye boksi mara kibao, Duke Abuya what match kwake.

    Mnawatengenezea mashabiki wetu tension ya kijinga ilimradi muwape presha ili wavimba macho wawe kwenye comfortable zone.

    Mpira ni takwimu, art ni sehemu ndogo sana ya mpira wa kisasa.
    Privaldinho amjibu Wilson Orumo, Mchambuzi. Hizi nazo ni porojo. Kusema mpira bila takwimu ni stori zenu za vijiwe vya kahawa huko. Wewe ni mmoja kati ya watu mashuhuri kwa takwimu zako. Leo hutaki takwimu kwa sababu utawaudhi maboss zako. Unataka tuchambue mpira kwa kutumia nini? Hisia? Mnapoteza credibility kwa sababu kuna kundi mnataka kuliridhisha huku mnadidimiza lingine. Hivi jana nani hakuona performance ya @jobdick05 ? Nani hakuona fighting spirit ya @auchokhalidofficial ? Jana Djigui Diarra kacheza na maumivu, Chama kacheza na maumivu ulitaka nini kwa hawa vijana? Mwalimu alifanya top analysis yake, kaleta vijana watatu kwenye mchezo, Aziz, Dube, Mzize na Chama and yes build up ya goli ilitokea kwake. Defence yetu ilikuwa proper and well organized jana, what a performance kutoka kwa Bacca na Yao. Kipindi cha pili no shot on target kutoka kwa Mazembe. Second half tulimanage mchezo kwa 61%. Dickson Job jana, tackles 4/4 (100%), aerial won 3/3 (100%), shot off target 2, hajapokonywa mpira, the most touches, ulitaka hawa vijana wafanye nini mechi ya away against semi finalist? Bro tumecheza na timu aliyofika nusu fainal msimu uliopita na sio mabinam zao Libolo Takwimu pekee tunazokataa ni takwimu za aina moja. But everything kwa upande wetu we did better katika eneo la ulinzi, tempo ya mchezo na kwenye attacking attributes. Second half tulipiga pasi 159 wao 88, tulipiga mashuti 14. Imagine ulitaka nini? Individual art Pacome was superb, Yao aliimgia mwenye boksi mara kibao, Duke Abuya what match kwake. Mnawatengenezea mashabiki wetu tension ya kijinga ilimradi muwape presha ili wavimba macho wawe kwenye comfortable zone. Mpira ni takwimu, art ni sehemu ndogo sana ya mpira wa kisasa.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·408 Views
  • SHALOM Builders TANZANIA.
    Karibu tufanye kazi na wewe za UJENZI na FINISHING Bora zilizo tukuka.
    #Call:0656807732||0756509772.
    #Mikoanitunaenda.
    SHALOM Builders TANZANIA. Karibu tufanye kazi na wewe za UJENZI na FINISHING Bora zilizo tukuka. #Call:0656807732||0756509772. #Mikoanitunaenda.
    0 Comments ·0 Shares ·544 Views
  • SHALOM Builders TANZANIA.
    Tunajishughulisha na UJENZI NA FINISHING za kisasa aina zote. #0656807732||0756509772
    Tupo Dar es salaam #Tunaenda_sehemu_yoyote
    SHALOM Builders TANZANIA. Tunajishughulisha na UJENZI NA FINISHING za kisasa aina zote. #0656807732||0756509772 Tupo Dar es salaam #Tunaenda_sehemu_yoyote
    0 Comments ·0 Shares ·488 Views ·9
  • BAADHI YA MAMBO YA KUFANYA KUZUIA KUUMIZWA NA MAHUSIANO.

    1. Sio mahusiano yote huishia ndoa. Mahusiano mengine yapo kama somo kwako, mengine ni ya msimu na machache ndio hua ya kudumu.

    Kama mahusiano yako hayaendi kama unavyohitaji, usijiue, usijilaumu, wala usikate tamaa. Tambua kusudi lako na endelea na maisha.

    2. Usimpe mwanamke au mwanaume moyo wako wote kabla hujampa Mungu wako. Mpende sana huyo mtu, lakini Mungu awe wa kwanza.

    3. Usibabaishwe na uzuri wa mtu au utajiri alionao, kama huyo mtu ameshindwa kukuweka moyoni, uzuri wake au pesa zake haziwezi kukuweka pia.
    .
    4. Mapenzi pekee hayatoshi. Kuelewana, kupendana, bali busara, uvumilivu, uaminifu ni vya muhimu zaidi.

    5. Pale dalili mbaya zinavyokua nyingi kuzidi dalili nzuri, ni vema ukajitoa mapema kabla hujaumia vibaya huko mbeleni.

    6. Ni wazi kwamba, wivu uliopitiliza kiwango ni dalili tosha ya mahusiano kuvunjika.

    7. Uaminifu kamwe hauombwi, haki yako kuupata, build it or show it!

    8. Kamwe usimfananshe uliye naye na ex wako au na mtu mwingine.

    9. Mahusiano yenu yasiendeshwe na 'SEX' tu bali, kujaliana, upendo na mawasiliano.

    10. Usimuoe au usiolewe nae kwa sababu umemuona kwenye nyumba ya ibada. Wengi wapo humo kwa madhumun mbalimbali. Usiangalie ni WAPI umekutana na huyo mtu, bali tizama ni mtu wa AINA gani.

    I CARE.
    BAADHI YA MAMBO YA KUFANYA KUZUIA KUUMIZWA NA MAHUSIANO. 1. Sio mahusiano yote huishia ndoa. Mahusiano mengine yapo kama somo kwako, mengine ni ya msimu na machache ndio hua ya kudumu. Kama mahusiano yako hayaendi kama unavyohitaji, usijiue, usijilaumu, wala usikate tamaa. Tambua kusudi lako na endelea na maisha. 2. Usimpe mwanamke au mwanaume moyo wako wote kabla hujampa Mungu wako. Mpende sana huyo mtu, lakini Mungu awe wa kwanza. 3. Usibabaishwe na uzuri wa mtu au utajiri alionao, kama huyo mtu ameshindwa kukuweka moyoni, uzuri wake au pesa zake haziwezi kukuweka pia. . 4. Mapenzi pekee hayatoshi. Kuelewana, kupendana, bali busara, uvumilivu, uaminifu ni vya muhimu zaidi. 5. Pale dalili mbaya zinavyokua nyingi kuzidi dalili nzuri, ni vema ukajitoa mapema kabla hujaumia vibaya huko mbeleni. 6. Ni wazi kwamba, wivu uliopitiliza kiwango ni dalili tosha ya mahusiano kuvunjika. 7. Uaminifu kamwe hauombwi, haki yako kuupata, build it or show it! 8. Kamwe usimfananshe uliye naye na ex wako au na mtu mwingine. 9. Mahusiano yenu yasiendeshwe na 'SEX' tu bali, kujaliana, upendo na mawasiliano. 10. Usimuoe au usiolewe nae kwa sababu umemuona kwenye nyumba ya ibada. Wengi wapo humo kwa madhumun mbalimbali. Usiangalie ni WAPI umekutana na huyo mtu, bali tizama ni mtu wa AINA gani. I CARE.
    0 Comments ·0 Shares ·540 Views
  • SHALOM Builders TANZANIA.
    Unahitaji nyumba ndogo ya Kuanzia maisha?
    Je, unahitaji kujengewa nyumba?
    Je,unahitaji nyumba yako ifanyiwe finishing za kisasa?
    Je,unahitaji paving blocks?
    #Call us:0656807732||0756509772.
    Tupo Dar es salaam,na mikoani tunaenda.
    SHALOM Builders TANZANIA. Unahitaji nyumba ndogo ya Kuanzia maisha? Je, unahitaji kujengewa nyumba? Je,unahitaji nyumba yako ifanyiwe finishing za kisasa? Je,unahitaji paving blocks? #Call us:0656807732||0756509772. Tupo Dar es salaam,na mikoani tunaenda.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·467 Views
  • 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4

    New Update

    Make sure umedownload app ya MENDEZ

    Kuna updates mpya zinazidi kutolewaa

    UPDATES ZILIZO ONGEZWA
    - ADOBE PRO(premium)
    - CAPCUT (premium)
    - GO TV WITH DSTV CHANNEL
    - FREE HACKING TIPS


    Apps zinapatika sehemu ya MENDEZ STORE
    FREE TIPS Zinapatikana sehemu ya PREMIUM

    Username == DUDUU_MENDEZ
    Password == MENDEZ1234

    Kama utakuta sehemu inahitaji PASSWORD tu weka MENDEZ1234

    > NB: Tunafunga baadhi ya huduma zetu ili kuepusha watu kuwa wanaiba vitu vyetu na wanaanza kuuza wakati sisi tunatoa bure, HUDUMA HIZI WANAPATA WATU WALIOPO KWENYE DUDUU_MENDEZ COMMUNITY pekee

    Together we can build 💪🏾 BIG DREAMS

    Believe in GOD easy your MIND



    Kwa shida yyt wasiliana nasi kupitia
    https://wa.me/255749750707
    https://wa.me/255713840267
    https://wa.me/255628871373

    DOWNLOAD APP YA MENDEZ KUPITIA
    https://www.upload-apk.com/dcIYOs3z15m9juQ


    > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4
    ▶︎ ●────────── 0:41
    𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4 New Update Make sure umedownload app ya MENDEZ Kuna updates mpya zinazidi kutolewaa UPDATES ZILIZO ONGEZWA - ADOBE PRO(premium) - CAPCUT (premium) - GO TV WITH DSTV CHANNEL - FREE HACKING TIPS Apps zinapatika sehemu ya MENDEZ STORE FREE TIPS Zinapatikana sehemu ya PREMIUM Username == DUDUU_MENDEZ Password == MENDEZ1234 Kama utakuta sehemu inahitaji PASSWORD tu weka MENDEZ1234 > NB: Tunafunga baadhi ya huduma zetu ili kuepusha watu kuwa wanaiba vitu vyetu na wanaanza kuuza wakati sisi tunatoa bure, HUDUMA HIZI WANAPATA WATU WALIOPO KWENYE DUDUU_MENDEZ COMMUNITY pekee Together we can build 💪🏾 BIG DREAMS Believe in GOD easy your MIND Kwa shida yyt wasiliana nasi kupitia https://wa.me/255749750707 https://wa.me/255713840267 https://wa.me/255628871373 DOWNLOAD APP YA MENDEZ KUPITIA https://www.upload-apk.com/dcIYOs3z15m9juQ > 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V4 ▶︎ ●────────── 0:41
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·781 Views
  • SHALOM Builders TANZANIA.
    Je,Unataka kujengewa nyumba?
    Je,Unataka kupauliwa?
    Je, Unataka PAVING BLOCKS?
    Je, Unataka finishing za kisasa?
    #Tupigie:0656807732||0756509772.
    SHALOM Builders TANZANIA. Je,Unataka kujengewa nyumba? Je,Unataka kupauliwa? Je, Unataka PAVING BLOCKS? Je, Unataka finishing za kisasa? #Tupigie:0656807732||0756509772.
    0 Comments ·0 Shares ·336 Views
  • SHALOM Builders TANZANIA.
    Wakali wa hizi kazi ndio sisi.
    #Tupigie:0656807732.
    SHALOM Builders TANZANIA. Wakali wa hizi kazi ndio sisi. #Tupigie:0656807732.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·342 Views ·12
  • SHALOM Builders TANZANIA.
    Wataamu wakujenga nyumba za contemporary||hiding roof.
    #Tupigie:0656807732.
    SHALOM Builders TANZANIA. Wataamu wakujenga nyumba za contemporary||hiding roof. #Tupigie:0656807732.
    Like
    1
    · 3 Comments ·0 Shares ·347 Views
  • SHALOM Builders TANZANIA.
    Tunafanya finishing za kisasa aina zote. #Call us:0656807732.
    SHALOM Builders TANZANIA. Tunafanya finishing za kisasa aina zote. #Call us:0656807732.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·261 Views
More Results