• KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI

    kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa

    Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele

    Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli

    Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda

    Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona

    Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu

    Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga

    Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja

    Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·444 Visualizações
  • "Wakati tunazilaumu Simba Sports na Azam Football Club Kuukosa Ubingwa,tukumbuke pia Mazingira Yao Magumu ya Kushindana

    Parameters za Simba Sports na Azam Fc Kuchukua Ubingwa zimebadilika Kabisa na ni tofauti Washindani wenzao Kwenye Ligi

    Kuna hoja Lazy sana eti Mbona Simba Sports alicheza na Tabora United Dhaifu?

    Kwenye Mechi zote 2 Tabora wana uwezo wa Ku justifie Kwanini walichezesha Vikosi vile na ukawaelewa vizuri tu.

    Mechi ya Kwanza n issue ya Vibali,na mechi ya Pili Heritier Makambo alikuwa na Kadi 3 za njano. Yacouba Sogne alikuwa ni Majeruhi..

    Kuna hoja Lazy nyingine Kwamba mbona Kikosi bora cha Singida Black Stars Kilifungwa 2-0 na KMC ambayo ilifungwa 6-1 na Yanga?

    Kwanza Kwenye hiyo hoja hapo wote tumekubaliana Kwamba Singida Black Stars wamepanga Kikosi Dhaifu

    Pili, Sisi hatusemi Singida Black Stars angepanga Kikosi bora lazima angeshinda dhidi ya Yanga au asingepoteza mechi

    Mbona ile Mechi ya Kwanza Kule Amani Complex Zanzibar Singida Black Stars waliweka Full Mkoko na bado Yanga alishinda 1-0 bao la Paccome ?

    Swali ni Sababu ipi ya Singida Black Stars Kubadilisha wachezaji 6 Kutoka Kwenye Kikosi Kilichomfunga Jkt Tanzania 1-0?

    Mbaya zaidi Kuna wachezaji walichezeshwa Kabisa nje ya Maeneo ya ya asili na wachezaji wenye nafasi zao wakiwa bench

    Singida black stars Dhaifu ilipigwa 2-0 Kipindi Cha Kwanza na Stars bora ilishinda 1-0 Kipindi cha Pili.

    Ligi yetu tukufu inachezewa na watu ambao hawana nia njema na Mpira wetu na Kama tusipotwanga sasa hivi tutakuja Kuula Mbichi" - Wilson Orumo, Mchambuzi.

    "Wakati tunazilaumu Simba Sports na Azam Football Club Kuukosa Ubingwa,tukumbuke pia Mazingira Yao Magumu ya Kushindana Parameters za Simba Sports na Azam Fc Kuchukua Ubingwa zimebadilika Kabisa na ni tofauti Washindani wenzao Kwenye Ligi Kuna hoja Lazy sana eti Mbona Simba Sports alicheza na Tabora United Dhaifu? Kwenye Mechi zote 2 Tabora wana uwezo wa Ku justifie Kwanini walichezesha Vikosi vile na ukawaelewa vizuri tu. Mechi ya Kwanza n issue ya Vibali,na mechi ya Pili Heritier Makambo alikuwa na Kadi 3 za njano. Yacouba Sogne alikuwa ni Majeruhi.. Kuna hoja Lazy nyingine Kwamba mbona Kikosi bora cha Singida Black Stars Kilifungwa 2-0 na KMC ambayo ilifungwa 6-1 na Yanga? Kwanza Kwenye hiyo hoja hapo wote tumekubaliana Kwamba Singida Black Stars wamepanga Kikosi Dhaifu Pili, Sisi hatusemi Singida Black Stars angepanga Kikosi bora lazima angeshinda dhidi ya Yanga au asingepoteza mechi Mbona ile Mechi ya Kwanza Kule Amani Complex Zanzibar Singida Black Stars waliweka Full Mkoko na bado Yanga alishinda 1-0 bao la Paccome ? Swali ni Sababu ipi ya Singida Black Stars Kubadilisha wachezaji 6 Kutoka Kwenye Kikosi Kilichomfunga Jkt Tanzania 1-0? Mbaya zaidi Kuna wachezaji walichezeshwa Kabisa nje ya Maeneo ya ya asili na wachezaji wenye nafasi zao wakiwa bench Singida black stars Dhaifu ilipigwa 2-0 Kipindi Cha Kwanza na Stars bora ilishinda 1-0 Kipindi cha Pili. Ligi yetu tukufu inachezewa na watu ambao hawana nia njema na Mpira wetu na Kama tusipotwanga sasa hivi tutakuja Kuula Mbichi" - Wilson Orumo, Mchambuzi.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·469 Visualizações
  • #SportsElite 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Pau Cubarsí ameingeza kandarasi mpya hadi June 2029, club clabu ya Barcelona imethibitisha hilo
    #SportsElite🇪🇸 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Pau Cubarsí ameingeza kandarasi mpya hadi June 2029, club clabu ya Barcelona imethibitisha hilo 🔵🔴✨
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·210 Visualizações
  • muda mwingi yeye yeye utamkuta anaiongoza camera drone (ndege isiyo na rubani) au anakuwa na peni na karatasi yako muda mwingi anaandika baadhi ya vitu

    huyu ndo mfungua code wa kocha fadlu davies , huyu ndo anampa mifumo na uwezo wa timu inayotarajiwa kucheza na SIMBA , huyu ndo humpa udhaifu na ubora wa timu pinzani inayotarajiwa kucheza na SIMBA huyu ndo anajifungia ndani na kocha fadlu kumpa mrejesho wa perfomance ya mchezaji mmoja mmoja wa SIMBA baada ya kumalizika mazoezi

    Ni bwanamdogo sana ila uwezo wake unatisha sana ukizungumzia mafanikio ya RAJA CASABLANCA msimu uliopita basi moja kati ya waliochangia ni huyu jamaa na raja ikamaliza msimu uliopita ligi ya moroco wakiwa mabingwa na walimaliza msimu bila kufungwa (unbeaten)

    anaitwa MUEEZKAJEE ni mchambuzi wa video wa SIMBA SPORTS CLUB ( video &perfomance analysis) ni kijana mzaliwa wa africa kusini ila uwezo mkubwa sana , hata ile siku anaenda kuuambia uongozi wa RAJA kuwa anaondoka na anamfata kocha fadlu viongozi wa RAJA waliumia sana

    wote kwa pamoja walikuwa raja na msimu uliopita na wakaipa ubingwa namsimu huu wapo SIMBA wanaendelea kuwapa furaha wanasimba.


    #paulswai
    muda mwingi yeye yeye utamkuta anaiongoza camera drone (ndege isiyo na rubani) au anakuwa na peni na karatasi yako muda mwingi anaandika baadhi ya vitu huyu ndo mfungua code wa kocha fadlu davies , huyu ndo anampa mifumo na uwezo wa timu inayotarajiwa kucheza na SIMBA , huyu ndo humpa udhaifu na ubora wa timu pinzani inayotarajiwa kucheza na SIMBA huyu ndo anajifungia ndani na kocha fadlu kumpa mrejesho wa perfomance ya mchezaji mmoja mmoja wa SIMBA baada ya kumalizika mazoezi Ni bwanamdogo sana ila uwezo wake unatisha sana ukizungumzia mafanikio ya RAJA CASABLANCA msimu uliopita basi moja kati ya waliochangia ni huyu jamaa na raja ikamaliza msimu uliopita ligi ya moroco wakiwa mabingwa na walimaliza msimu bila kufungwa (unbeaten) anaitwa MUEEZKAJEE ni mchambuzi wa video wa SIMBA SPORTS CLUB ( video &perfomance analysis) ni kijana mzaliwa wa africa kusini ila uwezo mkubwa sana , hata ile siku anaenda kuuambia uongozi wa RAJA kuwa anaondoka na anamfata kocha fadlu viongozi wa RAJA waliumia sana wote kwa pamoja walikuwa raja na msimu uliopita na wakaipa ubingwa namsimu huu wapo SIMBA wanaendelea kuwapa furaha wanasimba. 👍👍👍👍🦁🦁🦁🦁 #paulswai
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·722 Visualizações
  • "Natamani kuziona timu zote zinazotoa wachezaji kwenye timu za taifa ziwe zinanufaika na hao wachezaji maana wao ndio wanawatunza hao wachezaji kwa kila kitu na hata mchezaji akiumia timu ya taifa atarudi kwenye klabu yake ili imtibie na wao ndio wanagharamika na hayo matibabu, natakani kuona chama chetu ACA kikipigania hili iwe kama ilivyokuwa kwenye kombe la Dunia pale Qatar kila klabu ilinufaika na wachezaji wao waliokuna timu zao taifa nchini Qatar."

    "Kwa muda mfupi ACA tumepiga kelele angalau hata zile timu ambazo zinazoanzia hatua ya awali na kutolewa kwenye mashindano ya CAF Interclub ziwe zinalipwa sio hadi zifuzu makundi na tumefanikiwa mwaka huu CAF wametoa dollars Elfu 50, tunataka ikiwezekana kila klabu ambayo itakuwa mwanachama wa ACA hata isipocheza haya mashindano ya Afrika iwe inanufaika."- Eng. Hersi Said M/Kiti wa ACA
    "Natamani kuziona timu zote zinazotoa wachezaji kwenye timu za taifa ziwe zinanufaika na hao wachezaji maana wao ndio wanawatunza hao wachezaji kwa kila kitu na hata mchezaji akiumia timu ya taifa atarudi kwenye klabu yake ili imtibie na wao ndio wanagharamika na hayo matibabu, natakani kuona chama chetu ACA kikipigania hili iwe kama ilivyokuwa kwenye kombe la Dunia pale Qatar kila klabu ilinufaika na wachezaji wao waliokuna timu zao taifa nchini Qatar." "Kwa muda mfupi ACA tumepiga kelele angalau hata zile timu ambazo zinazoanzia hatua ya awali na kutolewa kwenye mashindano ya CAF Interclub ziwe zinalipwa sio hadi zifuzu makundi na tumefanikiwa mwaka huu CAF wametoa dollars Elfu 50, tunataka ikiwezekana kila klabu ambayo itakuwa mwanachama wa ACA hata isipocheza haya mashindano ya Afrika iwe inanufaika."- Eng. Hersi Said M/Kiti wa ACA
    Love
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·314 Visualizações
  • .𝐓𝐀𝐍𝐙𝐈𝐀

    Uongozi wa Young Africans Sports Club tunapenda kutoa pole kwa mchezaji wetu Chadrack Boka, kufuatia kifo cha Baba yake Mzazi kilichotokea Tarehe 11/01/ 2025, nyumbani kwao Kinshasa DR Congo.

    Uongozi wa Young Africans unaungana na wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na unawataka wanafamilia wote kuwa na subira.

    Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, Amina

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .𝐓𝐀𝐍𝐙𝐈𝐀 Uongozi wa Young Africans Sports Club tunapenda kutoa pole kwa mchezaji wetu Chadrack Boka, kufuatia kifo cha Baba yake Mzazi kilichotokea Tarehe 11/01/ 2025, nyumbani kwao Kinshasa DR Congo. Uongozi wa Young Africans unaungana na wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na unawataka wanafamilia wote kuwa na subira. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, Amina #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    Love
    7
    · 10 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1KB Visualizações
  • Baada ya matokeo ya sare, klabu ya Simba SC imefuzu kucheza hatua ya robo fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF Confederation Cup).

    FT': FC BRAVOS 1-1 SIMBA SPORTS CLUB
    ⚽️ 13” Abednego

    ⚽️ 69” Ateba

    FT': CS CONSTANTINE 3-0 CS SFAXIEN
    ⚽️ 30” Benchaa
    ⚽️ 70” Benchaa
    ⚽️ 90” Temine

    KUNDI LILIVYO
    CS CONSTANTINE : 12
    SIMBA SPORTS CLUB : 10

    FC BRAVOS : 7
    CS SFAXIEN : 0

    Baada ya matokeo ya sare, klabu ya Simba SC imefuzu kucheza hatua ya robo fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF Confederation Cup). FT': FC BRAVOS 🇦🇴 1-1 SIMBA SPORTS CLUB 🇹🇿 ⚽️ 13” Abednego ⚽️ 69” Ateba FT': CS CONSTANTINE 🇩🇿 3-0 CS SFAXIEN 🇹🇳 ⚽️ 30” Benchaa ⚽️ 70” Benchaa ⚽️ 90” Temine KUNDI LILIVYO 🇩🇿 CS CONSTANTINE : 12 🇹🇿 SIMBA SPORTS CLUB : 10 🇦🇴 FC BRAVOS : 7 🇹🇳 CS SFAXIEN : 0
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·466 Visualizações
  • Manchester City na Arsenal Football Club wanapewa nafasi kubwa ya kuweza kumsajili kiungo wa kati wa klabu ya Bayern Munich Joshua Kimmich ikiwa ataondoka klabuni hapo.
    Manchester City na Arsenal Football Club wanapewa nafasi kubwa ya kuweza kumsajili kiungo wa kati wa klabu ya Bayern Munich Joshua Kimmich ikiwa ataondoka klabuni hapo.
    Like
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·389 Visualizações
  • HIZI NI PICHA TU MWANANGU 2

    Hizi ni Picha Tu mwanangu Picha Ya kwanza inatoka Katika Maktaba Ya Philippe Desmazes.

    Na sio picha iliyotoka kwa Lukamba wa Zamani Wa Nasibu Nyange La hasha

    Ni Ndani Ndani picha za Madrid Wanamtambulisha marcelo Aliyetoka Nchini kwao Fluminense.

    Akiwa na Miaka 15 pekee kwenye soka la kukuza vijana ndani ya klabu ya Madrid.

    Usajili Wa kijana Mdogo Kutoka Kule Rio De Janeiro Nchini Brazil.

    Picha Nyingine Ya Pili Kutoka Katika Maktaba Ya Simon stackpole.

    Marcelo Viera Da silva Junior Alicheza Mechi Ya Kwanza Ndani Ya Uzi Wa Madrid mwaka 2007 Tarehe 7 January.

    Siku Iliyomtambulisha Marcelo Duniani Katika Soka.

    Anacheza mechi Dhidi Ya Deportivo.
    Akitokea Bench Ndani Ya dakika 80.

    Hizi ni picha 2 Mwanangu picha mojawapo za Kumbukumbu kwake marcelo ndani ya madrid.

    Marcelo Ameshinda Makombe 22 Ndani Ya Uzi Madrid.

    4x UCL
    5x La Liga
    2x Copa del Rey
    4x Supercopa
    4x Club World Cup
    3x UEFA Super Cup

    OYA HIZI NI PICHA TU MWANANGU
    #neliudcosiah


    HIZI NI PICHA TU MWANANGU 2 ✍️ Hizi ni Picha Tu mwanangu Picha Ya kwanza inatoka Katika Maktaba Ya Philippe Desmazes. Na sio picha iliyotoka kwa Lukamba wa Zamani Wa Nasibu Nyange La hasha Ni Ndani Ndani picha za Madrid Wanamtambulisha marcelo Aliyetoka Nchini kwao Fluminense. Akiwa na Miaka 15 pekee kwenye soka la kukuza vijana ndani ya klabu ya Madrid. Usajili Wa kijana Mdogo Kutoka Kule Rio De Janeiro Nchini Brazil. Picha Nyingine Ya Pili Kutoka Katika Maktaba Ya Simon stackpole. Marcelo Viera Da silva Junior Alicheza Mechi Ya Kwanza Ndani Ya Uzi Wa Madrid mwaka 2007 Tarehe 7 January. Siku Iliyomtambulisha Marcelo Duniani Katika Soka. Anacheza mechi Dhidi Ya Deportivo. Akitokea Bench Ndani Ya dakika 80. Hizi ni picha 2 Mwanangu picha mojawapo za Kumbukumbu kwake marcelo ndani ya madrid. Marcelo Ameshinda Makombe 22 Ndani Ya Uzi Madrid. 🏆4x UCL 🏆5x La Liga 🏆2x Copa del Rey 🏆4x Supercopa 🏆4x Club World Cup 🏆3x UEFA Super Cup OYA HIZI NI PICHA TU MWANANGU✍️ #neliudcosiah
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·484 Visualizações
  • USICHOJUA KUHUSU WANAOTUMIA MASHOTO

    Mashoto ni watu waliokithiri katika utumiaji wa mkono wa kushoto

    Sasa leo nakujuza juu ya watu wanaotumia mkono wa kushoto

    1. Zaidi ya watu 836, 000, 000 wanatumia mkono wa kushoto duniani....ambapo ni sawa na asilimia kati ya 8 hadi 15 ya watu wote duniani....kumbuka hadi sasa hivi kuna watu bilion 7 duniani

    2. Wanaitumia mikono ya kushoto wengi wao ni wanaume

    3. Katika tafiti zilizofanyika hakuna iliyokuja na jibu la moja kwa moja ni kwa nini kuwa watu wengi wanatumia mkono wa kulia kuliko wa kushoto....lakini baadhi ya wataalamu walisema kuwa sehemu kubwa ya akili inatawala upande wa kulia

    4. Tar 13 mwezi 8 kila mwaka ni siku ya watu wanaotukia mkono wa kushoto duniani ....ambapi siku hiyo inatumika kuielimisha jamii juu ya matumuzi ya mkono wa kushoto na kutoa yale mawazo mabaya juu ya wanaotumia mkono wa kushoto...hapa Tanzania huwa wanauita mkonk wa shetani au mkono wa mavi kitu ambacho kwa namna moja au nyengine huweza kumuathiri mtu aliyezaliwa akiwa anatumia mkono wa kushoto....na pia kuna klabu ya watu wanaotumua mkono wa kushoto duniani (LEFT HANDERS CLUB)

    5. Wanaotumia mkono wa kushoto huwa wanapenda sana pombe

    6. Wanaotumia mkono wa kushoto huwa na akili sana kuliko wanaotumua mkono wa kulia

    7. Huwa ni wagumu katika kujifunza lugha

    8. Wanauwezo wakufanya kazi zaidi ya moja (mult-tasking) na pia wana uwezo wa kukumbuka zaidi

    9. Wanaishi maisha mafupi zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia... Wanaotumia mkono wa kulia wanaishi miaka 9 zaidi ya wanaotumia mkono wa kushoto

    10. Wanauwezo wa kupona ugonjwa wa kupooza (stroke) haraka zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia

    11. Ni wazuri zaidi kwenye masuala ya michezo....kwa mfano asilimia 40 ya wachezaji bora wa tenis duniani wanatumia mkono wa kushoto

    12. Watu wanaotumia mkono wa kushoto ni wabunifu zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia

    13. Kama ulikuwa hujui Kucha za mkono wa kushoto hukua zaidi ya mkono wa kulia

    14. Hawa ndio watu maarufu wanaotumia mkonobwa kushoto... Amitha bachan,.. Charlie Chaplin, Angelina Jolie , Brad Pitt , Rambo, celine Dion, Aristotle, Albert Eistein , Napoleon Bornaparte, Julius Cesar, Neil Armstrong .. Boby Charlton, Pele, Maradona , Barack Obama, Bill Clinton, Justin Bieber
    USICHOJUA KUHUSU WANAOTUMIA MASHOTO Mashoto ni watu waliokithiri katika utumiaji wa mkono wa kushoto Sasa leo nakujuza juu ya watu wanaotumia mkono wa kushoto 1. Zaidi ya watu 836, 000, 000 wanatumia mkono wa kushoto duniani....ambapo ni sawa na asilimia kati ya 8 hadi 15 ya watu wote duniani....kumbuka hadi sasa hivi kuna watu bilion 7 duniani 2. Wanaitumia mikono ya kushoto wengi wao ni wanaume 3. Katika tafiti zilizofanyika hakuna iliyokuja na jibu la moja kwa moja ni kwa nini kuwa watu wengi wanatumia mkono wa kulia kuliko wa kushoto....lakini baadhi ya wataalamu walisema kuwa sehemu kubwa ya akili inatawala upande wa kulia 4. Tar 13 mwezi 8 kila mwaka ni siku ya watu wanaotukia mkono wa kushoto duniani ....ambapi siku hiyo inatumika kuielimisha jamii juu ya matumuzi ya mkono wa kushoto na kutoa yale mawazo mabaya juu ya wanaotumia mkono wa kushoto...hapa Tanzania huwa wanauita mkonk wa shetani au mkono wa mavi kitu ambacho kwa namna moja au nyengine huweza kumuathiri mtu aliyezaliwa akiwa anatumia mkono wa kushoto....na pia kuna klabu ya watu wanaotumua mkono wa kushoto duniani (LEFT HANDERS CLUB) 5. Wanaotumia mkono wa kushoto huwa wanapenda sana pombe 6. Wanaotumia mkono wa kushoto huwa na akili sana kuliko wanaotumua mkono wa kulia 7. Huwa ni wagumu katika kujifunza lugha 8. Wanauwezo wakufanya kazi zaidi ya moja (mult-tasking) na pia wana uwezo wa kukumbuka zaidi 9. Wanaishi maisha mafupi zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia... Wanaotumia mkono wa kulia wanaishi miaka 9 zaidi ya wanaotumia mkono wa kushoto 10. Wanauwezo wa kupona ugonjwa wa kupooza (stroke) haraka zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia 11. Ni wazuri zaidi kwenye masuala ya michezo....kwa mfano asilimia 40 ya wachezaji bora wa tenis duniani wanatumia mkono wa kushoto 12. Watu wanaotumia mkono wa kushoto ni wabunifu zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia 13. Kama ulikuwa hujui Kucha za mkono wa kushoto hukua zaidi ya mkono wa kulia 14. Hawa ndio watu maarufu wanaotumia mkonobwa kushoto... Amitha bachan,.. Charlie Chaplin, Angelina Jolie , Brad Pitt , Rambo, celine Dion, Aristotle, Albert Eistein , Napoleon Bornaparte, Julius Cesar, Neil Armstrong .. Boby Charlton, Pele, Maradona , Barack Obama, Bill Clinton, Justin Bieber
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·324 Visualizações
  • Manchester United ilianzishwa mwaka 1878 na wafanyakazi wa reli ikijulikana kama Newton Heath LYR Football Club.

    Rangi za kwanza zilizotumiwa na Manchester United wakati klabu hiyo ikiitwa Newton Heath LYR Football Club, zilikuwa kijani na dhahabu.

    Rangi hizo zilikuwa sehemu ya jezi zao za awali na baadaye jina la klabu lilibadilishwa kuwa Manchester United mwaka 1902, na kubadilisha rangi rasmi kuwa nyekundu, nyeupe na nyeusi, ambazo ndizo zinazoihusisha klabu hiyo hadi leo.

    #neliudcosiah
    Manchester United ilianzishwa mwaka 1878 na wafanyakazi wa reli ikijulikana kama Newton Heath LYR Football Club. Rangi za kwanza zilizotumiwa na Manchester United wakati klabu hiyo ikiitwa Newton Heath LYR Football Club, zilikuwa kijani na dhahabu. Rangi hizo zilikuwa sehemu ya jezi zao za awali na baadaye jina la klabu lilibadilishwa kuwa Manchester United mwaka 1902, na kubadilisha rangi rasmi kuwa nyekundu, nyeupe na nyeusi, ambazo ndizo zinazoihusisha klabu hiyo hadi leo. #neliudcosiah
    Like
    Haha
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·315 Visualizações
  • UPDATES

    Simba Sports Club ina mechi tatu mfululizo za Kombe la shirikisho barani Afrika (CAFCC), ambazo zitapigwa Januari 05, Januari 12 na Januari 19.

    Januari 05.
    - CS Sfaxien Vs Simba Sports Club.

    Januari 12.
    - FC Bravo Vs Simba Sports Club.

    Januari 19.
    - Simba Sports Club Vs CS Constantine.

    #paulswai
    UPDATES 👇 Simba Sports Club ina mechi tatu mfululizo za Kombe la shirikisho barani Afrika (CAFCC), ambazo zitapigwa Januari 05, Januari 12 na Januari 19. Januari 05. - CS Sfaxien Vs Simba Sports Club. Januari 12. - FC Bravo Vs Simba Sports Club. Januari 19. - Simba Sports Club Vs CS Constantine. #paulswai
    Like
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·664 Visualizações
  • HOJA/NONDO (6) SITA ZA LISSU AKIWA LIVE CLUBHOUSE LEO USIKU

    1. SUALA LA MGAO WA RUZUKU

    "Suala la mgao wa Ruzuku ya chama kwenda kwenye ngazi za Wilaya na Mikoa hata kama ni kidogo lilishakuwa changamoto kubwa sana ndani ya chama chetu licha ya kelele nyingi tunazopiga".

    "Tumefanya ugatuaji wa madaraka kwenda kwenye Kanda, lakini masuala yote yahusuyo fedha tumeshikilia sisi Makao Makuu. Hata Mikutano ya hadhara inaandaliwa na Sekretarieti ya Taifa badala ya kugatua madaraka kwa walio chini ili chama kifanye kazi kama team work".

    "Hili tutalifanyia Kazi kwa weledi wa hali ya juu sana; baada ya uchaguzi kama tukiaminiwa na wanachama wenzetu na wakaamua kutupa dhamana ya kuunda mfumo dhabiti wa uongozi".

    2. SUALA LA WABUNGE VITI WA MAALUM

    "Siku ile ya hotuba yangu nilisema, kama wanachama wenzetu wakituamini kuunda mfumo mpya wa uongozi ndani ya chama chetu, tutaweka ukomo wa muda wa kuutumikia ubunge wa viti maalum ili kutoa fursa kwa wamama wa BAWACHA wengi zaidi kuipata hii fursa; kwa mfano, tunaweza kuweka kwamba;

    "Ukishatumikia viti maalum kwa kipindi cha miaka (5) mitano unatafuta jimbo ukapambane kwenye ubunge wa jimbo maana baada ya hiyo miaka (5) mitano xya kuwepo bungeni unakuwa umepata kianzio cha kukuwezesha ili uwapishe na wengine wapate fursa maana wote wanakipigania chama hiki kwa gharama kubwa na mapito magumu sana".

    3. KUYUMBA KWA MISIMAMO YETU YA CHAMA

    "Itakuwa ni makosa sana kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakuna mabadiliko ya mambo ya msingi ambayo mara zote yamekuwa vipaumbele vyetu kama chama. Tumefanya makosa huko nyuma mara nyingi sana kuigeuka kama sio kuisaliti kwa maksudi kabisa misimamo yetu ya kuibana dola ya CCM ikiwemo misimamo yetu ya kutoshiriki hizi chaguzi za ajabu; na ndio maana hawa CCM na dola yao wamepata kiburi cha kufanya yale wanayotaka na tunaufyata".

    "Kama wanachama wenzetu wakituamini, tutaonyesha njia nini kifanyike ili hawa ambao miaka yote wameshindwa kutusikia tunadai yapi, watatusikia maana hakuna namna zaidi ya kusimama kwenye misimamo yetu kama chama cha upinzani kinachotegemewa na umma kuipumzisha hii CCM"

    4. SUALA LA MPANGO WA VURUGU SIKU YA UCHAGUZI

    "Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi. Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama Wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura watakapogundua kwamba, mambo ya upande wao hayako sawa; na mhusika amenidokeza kwamba;

    "Vyovyote vile itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki".

    "Taarifa hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa uchaguzi ulio huru na wa haki".

    5. SUALA LA HALI YA CHAMA HUKO TUENDAKO

    "Tazameni chama chetu kinavyozidi kupoteza ile ARI na MORALI ya umma kutuunga mkono kama chama kikuu cha upinzani. Tazameni hata ile nguvu yetu ya vijana iliyokuwa inapelekea chama chetu kiitwe chama cha vijana leo hakuna tena nguvu ya vijana ambao ndio nguvu tegemeo ya chama hasa chama kama CHADEMA kinacholenga kukiondoa chama dola madarakani".

    Leo hii vijana wanaona bora wakacheze pool table na ku-bet mitaani kuliko kukipigania chama chao. Ni kwa nini tumefika kwenye hali hii? Hili ndilo swali la msingi sana ambalo wanachama wenzetu wanaokuja kwenye mkutano mkuu wanapaswa kujiuliza na watafakari hali ya hiki chama chetu itakuwaje miaka mitano mingine ijayo kama hatutabadili mifumo ya uongozi wa chama kupitia uchaguzi huu wa januari".

    6. SUALA LA WENJE NA ABDUL KUHONGA WATU

    "Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo".

    "Kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu ya jambo hili kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti yake tu ili umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu wale wale".

    Tundu A. Lissu,
    Mgombea Uenyekiti CHADEMA,
    Live Clubhouse Usiku.
    23 Desemba, 2024.
    HOJA/NONDO (6) SITA ZA LISSU AKIWA LIVE CLUBHOUSE LEO USIKU 1. SUALA LA MGAO WA RUZUKU "Suala la mgao wa Ruzuku ya chama kwenda kwenye ngazi za Wilaya na Mikoa hata kama ni kidogo lilishakuwa changamoto kubwa sana ndani ya chama chetu licha ya kelele nyingi tunazopiga". "Tumefanya ugatuaji wa madaraka kwenda kwenye Kanda, lakini masuala yote yahusuyo fedha tumeshikilia sisi Makao Makuu. Hata Mikutano ya hadhara inaandaliwa na Sekretarieti ya Taifa badala ya kugatua madaraka kwa walio chini ili chama kifanye kazi kama team work". "Hili tutalifanyia Kazi kwa weledi wa hali ya juu sana; baada ya uchaguzi kama tukiaminiwa na wanachama wenzetu na wakaamua kutupa dhamana ya kuunda mfumo dhabiti wa uongozi". 2. SUALA LA WABUNGE VITI WA MAALUM "Siku ile ya hotuba yangu nilisema, kama wanachama wenzetu wakituamini kuunda mfumo mpya wa uongozi ndani ya chama chetu, tutaweka ukomo wa muda wa kuutumikia ubunge wa viti maalum ili kutoa fursa kwa wamama wa BAWACHA wengi zaidi kuipata hii fursa; kwa mfano, tunaweza kuweka kwamba; "Ukishatumikia viti maalum kwa kipindi cha miaka (5) mitano unatafuta jimbo ukapambane kwenye ubunge wa jimbo maana baada ya hiyo miaka (5) mitano xya kuwepo bungeni unakuwa umepata kianzio cha kukuwezesha ili uwapishe na wengine wapate fursa maana wote wanakipigania chama hiki kwa gharama kubwa na mapito magumu sana". 3. KUYUMBA KWA MISIMAMO YETU YA CHAMA "Itakuwa ni makosa sana kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 kama hakuna mabadiliko ya mambo ya msingi ambayo mara zote yamekuwa vipaumbele vyetu kama chama. Tumefanya makosa huko nyuma mara nyingi sana kuigeuka kama sio kuisaliti kwa maksudi kabisa misimamo yetu ya kuibana dola ya CCM ikiwemo misimamo yetu ya kutoshiriki hizi chaguzi za ajabu; na ndio maana hawa CCM na dola yao wamepata kiburi cha kufanya yale wanayotaka na tunaufyata". "Kama wanachama wenzetu wakituamini, tutaonyesha njia nini kifanyike ili hawa ambao miaka yote wameshindwa kutusikia tunadai yapi, watatusikia maana hakuna namna zaidi ya kusimama kwenye misimamo yetu kama chama cha upinzani kinachotegemewa na umma kuipumzisha hii CCM" 4. SUALA LA MPANGO WA VURUGU SIKU YA UCHAGUZI "Nimepewa taarifa na mtu wa heshima sana kuhusu maandalizi ya vurugu kwenye uchaguzi. Kuna watu wanaandaliwa waje waingie ukumbini kama Wanachama, kumbe wapo kwa kazi maalum ya kutorosha masanduku ya kura watakapogundua kwamba, mambo ya upande wao hayako sawa; na mhusika amenidokeza kwamba; "Vyovyote vile itakavyokuwa, tuhakikishe uchaguzi unafanyika wakati wa mchana na ameonya uchaguzi usifanyike usiku kwa sababu kuna possibility ya wenzetu kuzima taa zote ili kufanikisha utoroshaji wa kura ama kuingiza ndani kura feki". "Taarifa hizi tumezipokea; lakini Katibu Mkuu wa Chama anapaswa kutoa ufafanuzi kuhusu huu mchakato wa uchaguzi utakavyokuwa ili kuhakikisha unakuwa uchaguzi ulio huru na wa haki". 5. SUALA LA HALI YA CHAMA HUKO TUENDAKO "Tazameni chama chetu kinavyozidi kupoteza ile ARI na MORALI ya umma kutuunga mkono kama chama kikuu cha upinzani. Tazameni hata ile nguvu yetu ya vijana iliyokuwa inapelekea chama chetu kiitwe chama cha vijana leo hakuna tena nguvu ya vijana ambao ndio nguvu tegemeo ya chama hasa chama kama CHADEMA kinacholenga kukiondoa chama dola madarakani". Leo hii vijana wanaona bora wakacheze pool table na ku-bet mitaani kuliko kukipigania chama chao. Ni kwa nini tumefika kwenye hali hii? Hili ndilo swali la msingi sana ambalo wanachama wenzetu wanaokuja kwenye mkutano mkuu wanapaswa kujiuliza na watafakari hali ya hiki chama chetu itakuwaje miaka mitano mingine ijayo kama hatutabadili mifumo ya uongozi wa chama kupitia uchaguzi huu wa januari". 6. SUALA LA WENJE NA ABDUL KUHONGA WATU "Katika hili niseme wazi hapa, kama kweli nimewahi kuomba msamaha kwenye Kamati Kuu kuhusu suala hilo la Abdul kama Wenje alivyosikika akisema, niombe watoe hadharani ile video nzima iliyokuwa inarekodiwa kikaoni pasipo kuihariri jambo lolote kama watathubutu kufanya hivyo". "Kwa kuwa walirekodi ili itumike kama ushahidi wa kuondoa sintofahamu ya jambo hili kwa umma, mimi napendekeza iwekwe hadharani ama hata sauti yake tu ili umma usikilize halafu umma wenyewe utasema umeelewa nini kuhusu chama chao kilipofika na kinapoelekea kama ni salama ama sio salama chini ya watu wale wale". Tundu A. Lissu, Mgombea Uenyekiti CHADEMA, Live Clubhouse Usiku. 23 Desemba, 2024.
    Love
    Like
    5
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·825 Visualizações
  • UJUMBE MUHIMU KUTOKA KWA MSEMAJI WA KLABU NDUGU ALLY KWAMWE

    "TUAMKE TUPAMBANE WANANCHI. Tunazihitaji sana Pointi 3 za kesho pale KMC. Hakuna Unyonge, Matawi yote ya Dar Es Salaam Tuhakikishe Tunahamasisha watu wetu wanakwenda uwanjani kesho

    Sauti Zetu ni Muhimu sana kuwainua wachezaji wetu. Tunahitaji Pointi 3 na Magoli ya kutosha Kesho, Tusikae nyumbani na Kusubiri kulaumu tu

    Tufanye Jukumu Letu kesho bila kuchoka kwa maana Yanga ni Yetu na Ni Lazima Tuipambanie furaha YetU

    KuLe Chamaz Mlisema ni mbali na Mkaupigia sana Kelele uongozi wahame Kule .. Wamepambana Tumehama sasa Ni sisi Kwenda kuonyesha Tulikuwa sahihi

    Uwanja ni mdogo sana Ule, Itakuwa aibu kubwa kwetu Tusipokajaza kale kauwanja kwa wingi wetu…

    Wanayanga Tuamke twendeni KMC kesho Kuipambania Timu yetu

    Tukizembea Makolo watazidi kuongeza Pointi na tuje kushituka Tumeshachelewa.. Twende nao Jino kwa Jino hivi sasa

    SAA 9:00 MCHANA UWANJA UWE UMESHAJAA"

    *Ally Kamwe*
    *Mkuu wa Idara ya Habari*
    *Young Africans Sports Club*
    UJUMBE MUHIMU KUTOKA KWA MSEMAJI WA KLABU NDUGU ALLY KWAMWE "TUAMKE TUPAMBANE WANANCHI. Tunazihitaji sana Pointi 3 za kesho pale KMC. Hakuna Unyonge, Matawi yote ya Dar Es Salaam Tuhakikishe Tunahamasisha watu wetu wanakwenda uwanjani kesho Sauti Zetu ni Muhimu sana kuwainua wachezaji wetu. Tunahitaji Pointi 3 na Magoli ya kutosha Kesho, Tusikae nyumbani na Kusubiri kulaumu tu Tufanye Jukumu Letu kesho bila kuchoka kwa maana Yanga ni Yetu na Ni Lazima Tuipambanie furaha YetU KuLe Chamaz Mlisema ni mbali na Mkaupigia sana Kelele uongozi wahame Kule .. Wamepambana Tumehama sasa Ni sisi Kwenda kuonyesha Tulikuwa sahihi Uwanja ni mdogo sana Ule, Itakuwa aibu kubwa kwetu Tusipokajaza kale kauwanja kwa wingi wetu… Wanayanga Tuamke twendeni KMC kesho Kuipambania Timu yetu Tukizembea Makolo watazidi kuongeza Pointi na tuje kushituka Tumeshachelewa.. Twende nao Jino kwa Jino hivi sasa SAA 9:00 MCHANA UWANJA UWE UMESHAJAA🔰🔰" *Ally Kamwe* *Mkuu wa Idara ya Habari* *Young Africans Sports Club*
    Like
    Love
    3
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·414 Visualizações
  • . CAF AWARDS LIVE UPDATES

    [12/16, 20:39]

    *YOUNG PLAYER OF THE YEAR (WOMEN)* :
    Doha El Madani (Morocco / AS FAR)

    [12/16, 20:40]
    *YOUNG PLAYER OF THE YEAR (MEN)* :
    Lamine Camara (Senegal / AS Monaco)

    [12/16, 20:40] *NATIONAL TEAM OF THE YEAR (WOMEN)* :
    Nigeria

    *NATIONAL TEAM OF THE YEAR (MEN)* :
    Ivory Coast
    [12/16, 21:11]

    *CLUB OF THE YEAR (MEN)* :
    Al Ahly (Egypt)
    [12/16, 21:12]

    *CLUB OF THE YEAR (WOMEN)* :
    TP Mazembe (DR Congo)

    [12/16, 21:12] *INTERCLUB PLAYER OF THE YEAR (MEN)*
    Ronwen Williams (South Africa / Mamelodi Sundowns)
    [12/16, 21:13]

    *INTERCLUB PLAYER OF THE YEAR (WOMEN)*
    Sanaâ Mssoudy (Morocco / AS FAR)
    [12/16, 21:15]

    *GOALKEEPER OF THE YEAR (WOMEN)*
    Chiamaka Nnadozie (Nigeria / Paris FC)
    [12/16, 21:28]

    *GOALKEEPER OF THE YEAR (MEN)*
    Ronwen Williams (South Africa / Mamelodi Sundowns)
    .🌟 CAF AWARDS LIVE UPDATES 🌟 [12/16, 20:39] *YOUNG PLAYER OF THE YEAR (WOMEN)* : Doha El Madani (Morocco / AS FAR) [12/16, 20:40] *YOUNG PLAYER OF THE YEAR (MEN)* : Lamine Camara (Senegal / AS Monaco) [12/16, 20:40] *NATIONAL TEAM OF THE YEAR (WOMEN)* : Nigeria *NATIONAL TEAM OF THE YEAR (MEN)* : Ivory Coast [12/16, 21:11] *CLUB OF THE YEAR (MEN)* : Al Ahly (Egypt) [12/16, 21:12] *CLUB OF THE YEAR (WOMEN)* : TP Mazembe (DR Congo) [12/16, 21:12] *INTERCLUB PLAYER OF THE YEAR (MEN)* Ronwen Williams (South Africa / Mamelodi Sundowns) [12/16, 21:13] *INTERCLUB PLAYER OF THE YEAR (WOMEN)* Sanaâ Mssoudy (Morocco / AS FAR) [12/16, 21:15] *GOALKEEPER OF THE YEAR (WOMEN)* Chiamaka Nnadozie (Nigeria / Paris FC) [12/16, 21:28] *GOALKEEPER OF THE YEAR (MEN)* Ronwen Williams (South Africa / Mamelodi Sundowns)
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·519 Visualizações
  • Matokeo ya "droo" ya makundi ya michuano ya klabu bingwa Duniani 2025.

    GROUP A
    Palmeiras
    FC Porto
    Al Ahly FC
    Inter Miami CF

    GROUP B
    Paris Saint Germainy
    Atletico Madrid
    Botafogo
    Seattle Sounders FC

    GROUP C
    Bayern Munich
    SL Benfica
    Boca Juniors
    Auckland City

    GROUP D
    Framingo
    Chelsea FC
    Club Leon
    Esperance De Tunis

    GROUP E
    River Plate
    Inter Milan
    CF Monterrey
    Urawa Red Diamonds

    GROUP F
    Fluminense FC
    Borussia Dortmund
    Ulsan HD FC
    Mamelodi Sundowns

    GROUP G
    Manchester City
    Juventus
    Wydad Athletic
    Al ain

    GROUP H
    Real Madrid CF
    RB Salzburg
    Al Hilal
    CF Pachuca

    Matokeo ya "droo" ya makundi ya michuano ya klabu bingwa Duniani 2025. GROUP A 🇧🇷 Palmeiras 🇵🇹 FC Porto 🇪🇬 Al Ahly FC 🇺🇸 Inter Miami CF GROUP B 🇫🇷 Paris Saint Germainy 🇪🇸 Atletico Madrid 🇧🇷 Botafogo 🇺🇸 Seattle Sounders FC GROUP C 🇩🇪 Bayern Munich 🇵🇹 SL Benfica 🇦🇷 Boca Juniors 🇳🇿 Auckland City GROUP D 🇧🇷 Framingo 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Chelsea FC 🇲🇽 Club Leon 🇹🇳 Esperance De Tunis GROUP E 🇦🇷 River Plate 🇮🇹 Inter Milan 🇲🇽 CF Monterrey 🇯🇵Urawa Red Diamonds GROUP F 🇧🇷 Fluminense FC 🇩🇪 Borussia Dortmund 🇰🇷 Ulsan HD FC 🇿🇦 Mamelodi Sundowns GROUP G 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Manchester City 🇮🇹 Juventus 🇲🇦 Wydad Athletic 🇶🇦 Al ain GROUP H 🇪🇸 Real Madrid CF 🇦🇹 RB Salzburg 🇸🇦 Al Hilal 🇲🇽 CF Pachuca
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·530 Visualizações
  • FT Athletic club 2-1 Real Madrid
    FT Athletic club 2-1 Real Madrid
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·95 Visualizações
  • DRAW FIFA CLUB WORLD CUP 2025, ALHAMISI 5 DECEMBER SAA3:00 USIKU
    DRAW FIFA CLUB WORLD CUP 2025, ALHAMISI 5 DECEMBER SAA3:00 USIKU
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·291 Visualizações
  • .TRANSFER NEWS

    Yanga yarudi tena DR Congo sasa ni zamu ya winga hatari JONATHAN LOMBO.

    Winga wa kulia wa AS Vita Jonathan Ikangalombo Kapela yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na yanga sc
    kwenye dirisha dogo la usajili na tayari viongozi wa yanga sc wapo DR Congo na wanaendelea na
    mazungumzo ambayo yanakwenda vizuri hadi sasa.

    Winga huyu msumbufu na hatari mwenye umri wa miaka 22 alisajiliwa na As Vita club mwaka 2023
    akitokea DC Motema Pembe na sasa akiwa chini ya Kocha wa Zaman wa Azam fc Youssouph Dabo amekuwa na
    kiwango kizuri huku akishinda tuzo ya mchezaji bora wa mechi mwaka huu kwenye Derby baina ya As Vita club Vs
    Dc Motema Pembe

    Yanga imeamua kurudia asili yake ya kutumia mawinga kama ilivyo kuwa tamaduni yao huku kukiwa na
    mahusiano mazuri na As Vita Club ambapo yanga iliwahi kuwasajili Ducapel Moloko 2021-22,Djuma shabani na winga Tuisila Kisinda
    msimu wa 2020-21 hivyo kwa sasa ni dhahiri shahiri Jonathan Lombo anakwenda kuwa mchezaji wa yanga huku akiwa
    na kasi na mnyumbulifu sana.

    Utambulisho wake ni suala la Muda tu dirisha dogo litakapo funguliwa mapema.
    .🚨TRANSFER NEWS Yanga yarudi tena DR Congo sasa ni zamu ya winga hatari JONATHAN LOMBO. Winga wa kulia wa AS Vita Jonathan Ikangalombo Kapela yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na yanga sc kwenye dirisha dogo la usajili na tayari viongozi wa yanga sc wapo DR Congo na wanaendelea na mazungumzo ambayo yanakwenda vizuri hadi sasa. Winga huyu msumbufu na hatari mwenye umri wa miaka 22 alisajiliwa na As Vita club mwaka 2023 akitokea DC Motema Pembe na sasa akiwa chini ya Kocha wa Zaman wa Azam fc Youssouph Dabo amekuwa na kiwango kizuri huku akishinda tuzo ya mchezaji bora wa mechi mwaka huu kwenye Derby baina ya As Vita club Vs Dc Motema Pembe Yanga imeamua kurudia asili yake ya kutumia mawinga kama ilivyo kuwa tamaduni yao huku kukiwa na mahusiano mazuri na As Vita Club ambapo yanga iliwahi kuwasajili Ducapel Moloko 2021-22,Djuma shabani na winga Tuisila Kisinda msimu wa 2020-21 hivyo kwa sasa ni dhahiri shahiri Jonathan Lombo anakwenda kuwa mchezaji wa yanga huku akiwa na kasi na mnyumbulifu sana. Utambulisho wake ni suala la Muda tu dirisha dogo litakapo funguliwa mapema.
    Like
    Love
    4
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·520 Visualizações
  • TUTAREJEA KATIKA UIMARA WETU, NIAMINI - PACOME
    Mchezaji wa Yanga @pacom_zouzoua kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika

    "Habari za jioni, hivi karibuni klabu yetu imekuwa katika nyakati ngumu kwa kufungwa mfululizo, lakini niwahakikishie kuwa msimu ni mrefu sana na lazima tujifunze kutokana na vipigo vyetu ili tuweze kurejea Imara , si rahisi kwa shabiki kuuona timu yake aipendayo inafungwa kwa mara kwa mara hili tunalifahamu kwa sababu hatujawazoesha wapendwa Wananchi,

    lakini nawaahidi kuwa tutapambana kwelikweli, tutapambana kama msimu uliopita ili kurudisha heshima ya klabu bora nchini... sisi tutarejea katika muda uliopangwa ujao, niamini.
    Tunashindwa pamoja na tunashinda pamoja.

    Asanteni wapendwa Wananchi

    Profesa"

    Kwa lugha ya Kingereza

    Good evening everyone, lately, the club has been going through difficult times with successive defeats, but I assure you that the season is very long and we must learn from our defeats to bounce back, it is not easy for a supporter to see his favorite team chain defeats after defeats, we are aware of this because we have not accustomed you to this dear Citizens, but I promise you that we will really fight, fight like last season to restore the reputation of the best club in the country ... we will bounce back in the upcoming deadlines, believe me.
    We lose together and we win together.

    Thank you dear Wananchi

    The professor
    TUTAREJEA KATIKA UIMARA WETU, NIAMINI - PACOME Mchezaji wa Yanga @pacom_zouzoua kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika "Habari za jioni, hivi karibuni klabu yetu imekuwa katika nyakati ngumu kwa kufungwa mfululizo, lakini niwahakikishie kuwa msimu ni mrefu sana na lazima tujifunze kutokana na vipigo vyetu ili tuweze kurejea Imara , si rahisi kwa shabiki kuuona timu yake aipendayo inafungwa kwa mara kwa mara hili tunalifahamu kwa sababu hatujawazoesha wapendwa Wananchi, lakini nawaahidi kuwa tutapambana kwelikweli, tutapambana kama msimu uliopita ili kurudisha heshima ya klabu bora nchini... sisi tutarejea katika muda uliopangwa ujao, niamini. Tunashindwa pamoja na tunashinda pamoja. Asanteni wapendwa Wananchi 💚💛 Profesa✅" Kwa lugha ya Kingereza Good evening everyone, lately, the club has been going through difficult times with successive defeats, but I assure you that the season is very long and we must learn from our defeats to bounce back, it is not easy for a supporter to see his favorite team chain defeats after defeats, we are aware of this because we have not accustomed you to this dear Citizens, but I promise you that we will really fight, fight like last season to restore the reputation of the best club in the country ... we will bounce back in the upcoming deadlines, believe me. We lose together and we win together. Thank you dear Wananchi 💚💛 The professor✅
    Like
    Love
    3
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·722 Visualizações
Páginas impulsionada