• Eberechi Eze apewa jezi namba 10 ndani ya Arsenal

    Mashabiki wanatarajia makubwa kutoka kwake akiwa sehemu ya kikosi cha Mikel Arteta.

    Eze amesema: "Ninajua majina makubwa yaliyowahi kuivaa jezi hii kabla yangu. Nafasi hii naiona kama baraka kubwa. Kuwa hapa ni heshima, na nitatoa kila kitu nilichonacho kulipa heshima hii."

    #AFC #Eze10 #PremierLeague

    ---------follow Csmahona update

    #SportsElite
    🔴⚪✨ Eberechi Eze apewa jezi namba 10 ndani ya Arsenal Mashabiki wanatarajia makubwa kutoka kwake akiwa sehemu ya kikosi cha Mikel Arteta. 🙌🔥 🗣️ Eze amesema: "Ninajua majina makubwa yaliyowahi kuivaa jezi hii kabla yangu. Nafasi hii naiona kama baraka kubwa. Kuwa hapa ni heshima, na nitatoa kila kitu nilichonacho kulipa heshima hii." #AFC #Eze10 #PremierLeague ---------follow Csmahona update #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·5 Vue