• Paris Saint-Germain pamoja na Aston Villa FC zipo mbioni kufikia makubaliano juu ya uhamisho wa Marco Asensio.

    Awali Villa ilituma ofa ya €15M lakini PSG imeomba €20M na uhamisho huo upo mbioni kukamilika.

    (Source: Tanziloic)

    #SportsElite
    🚨 Paris Saint-Germain pamoja na Aston Villa FC zipo mbioni kufikia makubaliano juu ya uhamisho wa Marco Asensio. Awali Villa ilituma ofa ya €15M lakini PSG imeomba €20M na uhamisho huo upo mbioni kukamilika. (Source: Tanziloic) #SportsElite
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 347 Visualizações
  • Aston Villa FC inayo imani huwenda ikamsajili Marco Asensio baada ya kumpata kwa mkopo kutoka Paris Saint-Germain.. .

    (Source: Telegraph)

    🚨 Aston Villa FC inayo imani huwenda ikamsajili Marco Asensio baada ya kumpata kwa mkopo kutoka Paris Saint-Germain.. . (Source: Telegraph)
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 105 Visualizações
  • Aston Villa iko karibu kukamilisha usajiri wa golikipa wa Brest Marco Bizot.

    (Source: Sky Sports)

    #SportsElite
    🚨 Aston Villa iko karibu kukamilisha usajiri wa golikipa wa Brest Marco Bizot. (Source: Sky Sports) #SportsElite
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 229 Visualizações
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Fenerbahçe iko karibu kukamilisha usajiri wa Marco Asensio kutoka Paris St Germain

    Asensio tayari amekubali ofa hiyo na mpango wa Mourinho msimu ujao
    Kinachosubiriwa ni PSG kubariki uhamisho huo

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Fenerbahçe iko karibu kukamilisha usajiri wa Marco Asensio kutoka Paris St Germain 💛💙🇹🇷 Asensio tayari amekubali ofa hiyo na mpango wa Mourinho msimu ujao Kinachosubiriwa ni PSG kubariki uhamisho huo🇪🇸🏁 #SportsElite
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 365 Visualizações
  • Balozi wa Afrika Kusini Nchini Marekani , Ebrahim Rasool ambaye ametimuliwa na Nchi ya Marekani kutokana na kukosoa sera za Donald Trump, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe na mamia ya Wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town Nchini Afrika Kusini.

    Balozi huyo na mkewe, Rosieda, waliwasili jana katika Uwanda wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town baada ya kusafari kutoka Nchini Marekani kupitia Qatar na wamekaribishwa vyema na kwa shangwe na mamia ya Wafuasi wao. Mapema mwezi huu, Balozi Rasool alitangazwa na Serikali ya Marekani kuwa ni Mtu asiyetakiwa kuweko Nchini humo baada ya kukosoa sera za Donald Trump, hatua ambayo inaonesha wazi jinsi madai ya uhuru wa kusema yasivyothaminiwa Nchini Marekani licha ya majigambo makubwa ya Nchi Marekani ya kupigania haki za Binadamu na demokrasia.

    Akiwahutubia mamia ya Mashabiki wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cape Town, Balozi Rasool amesema kwamba ingawa ametakiwa kuondoka huko Marekani lakini jambo hilo limeshindwa kufikia lengo lake kwani Viongozi wa Marekani wanadhani wamemdhalilisha wakati yeye anaona fakhari kwa maneno aliyotoa na Wananchi wa Afrika Kusini nao wanajivunia msimamo huo ndio maana wamejitokea kwa mamia kumpokea kishujaa.

    "Unaporejea nyumbani na kupokewa kwa shangwe na umati kama huu wa watu, mtu unaona fakhari na unajivunia msimamo wako." alisema Rasool.

    Alipoulizwa iwapo diplomasia imeshindwa, amesema ukweli kwamba matamshi yake yamemfanya Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio kuwa makini na hatua ya Serikali ya Marekani ya kumtangaza kuwa ni Mtu asiyetakiwa nchini humo ni ushahidi kwamba ujumbe wake umefika ngazi za juu kabisa za serikali ya Marekani.

    Balozi wa Afrika Kusini 🇿🇦 Nchini Marekani 🇺🇸, Ebrahim Rasool ambaye ametimuliwa na Nchi ya Marekani kutokana na kukosoa sera za Donald Trump, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe na mamia ya Wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town Nchini Afrika Kusini. Balozi huyo na mkewe, Rosieda, waliwasili jana katika Uwanda wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town baada ya kusafari kutoka Nchini Marekani kupitia Qatar na wamekaribishwa vyema na kwa shangwe na mamia ya Wafuasi wao. Mapema mwezi huu, Balozi Rasool alitangazwa na Serikali ya Marekani kuwa ni Mtu asiyetakiwa kuweko Nchini humo baada ya kukosoa sera za Donald Trump, hatua ambayo inaonesha wazi jinsi madai ya uhuru wa kusema yasivyothaminiwa Nchini Marekani licha ya majigambo makubwa ya Nchi Marekani ya kupigania haki za Binadamu na demokrasia. Akiwahutubia mamia ya Mashabiki wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cape Town, Balozi Rasool amesema kwamba ingawa ametakiwa kuondoka huko Marekani lakini jambo hilo limeshindwa kufikia lengo lake kwani Viongozi wa Marekani wanadhani wamemdhalilisha wakati yeye anaona fakhari kwa maneno aliyotoa na Wananchi wa Afrika Kusini nao wanajivunia msimamo huo ndio maana wamejitokea kwa mamia kumpokea kishujaa. "Unaporejea nyumbani na kupokewa kwa shangwe na umati kama huu wa watu, mtu unaona fakhari na unajivunia msimamo wako." alisema Rasool. Alipoulizwa iwapo diplomasia imeshindwa, amesema ukweli kwamba matamshi yake yamemfanya Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio kuwa makini na hatua ya Serikali ya Marekani ya kumtangaza kuwa ni Mtu asiyetakiwa nchini humo ni ushahidi kwamba ujumbe wake umefika ngazi za juu kabisa za serikali ya Marekani.
    Love
    Like
    3
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 2KB Visualizações
  • Orodha ya Watayarishaji bora kwenye historia ya muziki wa Tanzania.

    1. P Funk
    2. Master Jay
    3. Miika Mwamba
    4. Bonny Love
    5. Prof Ludigo

    6. Bizzman
    7. Enrico
    8. Marco Chali
    9. Hermy B
    10. Lamar

    11. Man Walter
    12. Alain Mapigo
    13. Said Comorean
    14. Ambrose Dunga
    15. Pancho Latino

    16. J Ryder
    17. T Touch
    18. Kameta
    19. Mona Gangster
    20. Shaddy Clever

    21. Complex
    22. Manecky
    23. Abbah
    24. KGT
    25. Bob Junior

    26. Mensen Selekta
    27. Duke
    28. S2Kezzy
    29. Laizer
    30. Abby Daddy

    31. Bonga
    32. Emma The Boy
    33. Nahreel
    34. Mangustino
    35. Kidbway

    36. Shirko
    37. Fundi Samuel
    38. Ali Baucha.

    Panga orodha yako Watayarishaji wa tano bora wa muda wote.
    Orodha ya Watayarishaji bora kwenye historia ya muziki wa Tanzania. 1. P Funk 2. Master Jay 3. Miika Mwamba 4. Bonny Love 5. Prof Ludigo 6. Bizzman 7. Enrico 8. Marco Chali 9. Hermy B 10. Lamar 11. Man Walter 12. Alain Mapigo 13. Said Comorean 14. Ambrose Dunga 15. Pancho Latino 16. J Ryder 17. T Touch 18. Kameta 19. Mona Gangster 20. Shaddy Clever 21. Complex 22. Manecky 23. Abbah 24. KGT 25. Bob Junior 26. Mensen Selekta 27. Duke 28. S2Kezzy 29. Laizer 30. Abby Daddy 31. Bonga 32. Emma The Boy 33. Nahreel 34. Mangustino 35. Kidbway 36. Shirko 37. Fundi Samuel 38. Ali Baucha. Panga orodha yako Watayarishaji wa tano bora wa muda wote.
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 1KB Visualizações
  • Kikao cha mazungumzo ya kumaliza mzozo wa Nchi ya Ukraine na Nchi ya Urusi kinaendelea Nchini Saudi Arabia 🇸 ambapo Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Urusi chini ya Sergie Lavrov na Marekani chini ya Marco Rubio. Hata hivyo, Ukraine na Umoja wa Ulaya (EU) hawajashirikishwa huku Ukraine upande wake inapinga kikao hicho kuwa makubaliano yoyote haitayatambua.

    Katika kusisitiza hilo Ukraine imeendelea kusisitiza kwamba itaendelea kupigana vita kwa kutegemea Ulaya sio Marekani kama mwanzo huku Rais wa Nchi hiyo Volodmiry Zelensky akisema Ukraine ni Taifa huru, hivyo haliwezi kuamuliwa mambo yake na Marekani, itautetea uhuru wake hadi tone la mwisho. Marekani imejibu kwa kusema inaitaka Ukraine irejeshe haraka deni lote la usaidizi wa vita lililotolewa na Marekani tangu Februari 2022 Oparesheni ya Urusi ilipoanza.

    Kikao hiki kinachoendelea ni hatua muhimu kuelekea mkutano wa Rais Putin na Rais Trump uliopangwa mwezi Mei katika sherehe za Mashujaa wa Urusi utakaofanyika Jijini Moscow, Urusi ambapo pia mkutano huo utamwalika Rais wa China Xi Ping kama Mgeni mwalikwa muhimu.

    Kikao cha mazungumzo ya kumaliza mzozo wa Nchi ya Ukraine 🇺🇦 na Nchi ya Urusi 🇷🇺 kinaendelea Nchini Saudi Arabia 🇸 ambapo Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Urusi chini ya Sergie Lavrov na Marekani 🇺🇸 chini ya Marco Rubio. Hata hivyo, Ukraine na Umoja wa Ulaya (EU) hawajashirikishwa huku Ukraine upande wake inapinga kikao hicho kuwa makubaliano yoyote haitayatambua. Katika kusisitiza hilo Ukraine imeendelea kusisitiza kwamba itaendelea kupigana vita kwa kutegemea Ulaya sio Marekani kama mwanzo huku Rais wa Nchi hiyo Volodmiry Zelensky akisema Ukraine ni Taifa huru, hivyo haliwezi kuamuliwa mambo yake na Marekani, itautetea uhuru wake hadi tone la mwisho. Marekani imejibu kwa kusema inaitaka Ukraine irejeshe haraka deni lote la usaidizi wa vita lililotolewa na Marekani tangu Februari 2022 Oparesheni ya Urusi ilipoanza. Kikao hiki kinachoendelea ni hatua muhimu kuelekea mkutano wa Rais Putin na Rais Trump uliopangwa mwezi Mei katika sherehe za Mashujaa wa Urusi utakaofanyika Jijini Moscow, Urusi ambapo pia mkutano huo utamwalika Rais wa China 🇨🇳 Xi Ping kama Mgeni mwalikwa muhimu.
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 1KB Visualizações
  • Kikundi cha misaada cha Denmark kimetoa dola trilioni moja (1) kwa ajili ya kulinunua Jimbo la California Nchini Marekani siku chache baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kusema anataka kulinunua eneo la Greenland lililoko Nchini Denmark. Raia Denmark hao ambao wameonesha kumkejeli Rais trump wamesema watasambaza keki za Denmark katika Jimbo hilo bila kikomo ikiwa wazo lao litapokelewa.

    Trump amekuwa akijadili mara kwa mara kuhusu ununuzi wa Greenland eneo lenye uhuru la Denmark akionyesha thamani yake ya kimkakati na kiuchumi kwa Marekani. Hata hivyo, Maafisa wa Denmark na Greenland wamepinga vikali wazo hilo.

    Trump amesisitiza anaweza kutumia nguvu za kijeshi na kiuchumi ili kupata eneo hilo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, alisisitiza mwezi uliopita kwamba ununuzi wa Greenland ni lengo la kweli na "si jambo la kuchekesha."

    Kikundi cha misaada cha Denmark 🇩🇰 kimetoa dola trilioni moja (1) kwa ajili ya kulinunua Jimbo la California Nchini Marekani 🇺🇸 siku chache baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kusema anataka kulinunua eneo la Greenland lililoko Nchini Denmark. Raia Denmark hao ambao wameonesha kumkejeli Rais trump wamesema watasambaza keki za Denmark katika Jimbo hilo bila kikomo ikiwa wazo lao litapokelewa. Trump amekuwa akijadili mara kwa mara kuhusu ununuzi wa Greenland eneo lenye uhuru la Denmark akionyesha thamani yake ya kimkakati na kiuchumi kwa Marekani. Hata hivyo, Maafisa wa Denmark na Greenland wamepinga vikali wazo hilo. Trump amesisitiza anaweza kutumia nguvu za kijeshi na kiuchumi ili kupata eneo hilo. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, alisisitiza mwezi uliopita kwamba ununuzi wa Greenland ni lengo la kweli na "si jambo la kuchekesha."
    Love
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 333 Visualizações
  • Mamlaka ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo inasema vikosi vya serikali na washirika wao wanaopigana katika eneo la Mashariki ya nchi hiyo bado wana udhibiti wa baadhi ya maeneo huko Goma, licha ya kuingia kwa M23 jijini siku ya Jumatatu.

    Rais Felix Tshisekedi alifanya mkutano na viongozi wa taasisi kadhaa za serikali mwishoni mwa Jumatatu, ili kutathmini hali ilivyo huko Goma ambo ni mji mkuu wa Mkoa wa Kivu Kaskazini ambao kikundi cha M23 kinadai kuwa imeuteka.

    "Wanajeshi wetu na Wazalendo wanaendelea kushikilia maeneo fulani jijini" alisema Vital Kamerhe, msemaji wa Bunge la Kitaifa la DRC baada ya mkutano na rais.

    Serikali ya Kongo ilisema wanajeshi walifanya mashambulizi ya kujilinda kushinikiza waasi kurejea nyuma ambayo bado inasisitiza kuwa, waliungwa mkono na vikosi vya Rwanda.

    Ndani ya DRC, shutuma dhidi ya mashambulizi ya M23 huko Goma zimeongezeka. Chama cha vikundi tofauti vya asasi za kiraia viliwasihi watu kote nchini humo kutofika mjini leo, wakati kiongozi wa upinzaji Martin Fayulu akitaka wananchi kuandamana siku ya Jumamosi kukemea vitendo vya M23.

    Kupitia mazungumzo ya simu hapo awali, Waziri mpya wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio "alilaani mashambulizi katika mji wa Goma yanayotekelezwa na M23 yenye kuungwa mkono na Rwanda na kudhibitisha kuwa Marekani inaheshimu uhuru wa DRC," kulingana na taarifa kutoka kwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Tammy Bruce.

    Kikao cha pili cha Baraza la Usalama la UN juu ya hali ya mashariki mwa DRC kitafanyika leo, pamoja na mkutano tofauti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika.
    (Cc: BBC Swahili)

    Mamlaka ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo inasema vikosi vya serikali na washirika wao wanaopigana katika eneo la Mashariki ya nchi hiyo bado wana udhibiti wa baadhi ya maeneo huko Goma, licha ya kuingia kwa M23 jijini siku ya Jumatatu. Rais Felix Tshisekedi alifanya mkutano na viongozi wa taasisi kadhaa za serikali mwishoni mwa Jumatatu, ili kutathmini hali ilivyo huko Goma ambo ni mji mkuu wa Mkoa wa Kivu Kaskazini ambao kikundi cha M23 kinadai kuwa imeuteka. "Wanajeshi wetu na Wazalendo wanaendelea kushikilia maeneo fulani jijini" alisema Vital Kamerhe, msemaji wa Bunge la Kitaifa la DRC baada ya mkutano na rais. Serikali ya Kongo ilisema wanajeshi walifanya mashambulizi ya kujilinda kushinikiza waasi kurejea nyuma ambayo bado inasisitiza kuwa, waliungwa mkono na vikosi vya Rwanda. Ndani ya DRC, shutuma dhidi ya mashambulizi ya M23 huko Goma zimeongezeka. Chama cha vikundi tofauti vya asasi za kiraia viliwasihi watu kote nchini humo kutofika mjini leo, wakati kiongozi wa upinzaji Martin Fayulu akitaka wananchi kuandamana siku ya Jumamosi kukemea vitendo vya M23. Kupitia mazungumzo ya simu hapo awali, Waziri mpya wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio "alilaani mashambulizi katika mji wa Goma yanayotekelezwa na M23 yenye kuungwa mkono na Rwanda na kudhibitisha kuwa Marekani inaheshimu uhuru wa DRC," kulingana na taarifa kutoka kwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Tammy Bruce. Kikao cha pili cha Baraza la Usalama la UN juu ya hali ya mashariki mwa DRC kitafanyika leo, pamoja na mkutano tofauti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika. (Cc: BBC Swahili)
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 721 Visualizações
  • Wakati wa utawala wa Rais Fernand Marcos nchini Ufilipino, miaka ya 1965 mpaka alipofurushwa Madarakani mwaka 1986 Mkewe alikuwa ni kipenzi cha Viatu na Mikufu ya dhahabu!

    Imelda Marcos akiwa Mke wa Rais alikuwa na jozi za viatu vya kike zipatazo 1700 yaani alikuwa anauwezo wa kuvaa viatu bila kurudia kwa miaka 4. Mwaka 1986 Marcos alipopinduliwa mapambo ya mkewe na viatu vilihamishiwa kwenye Makumbusho ya Jiji la Marikina!

    Hivi karibuni kumefanyika mnada wa viatu 420 na kupatikana kwa fedha nyingi.

    Imelda anabaki katika historia kama "Mke wa Rais aliyekuwa na viatu vingi ulimwenguni"
    Wakati wa utawala wa Rais Fernand Marcos nchini Ufilipino, miaka ya 1965 mpaka alipofurushwa Madarakani mwaka 1986 Mkewe alikuwa ni kipenzi cha Viatu na Mikufu ya dhahabu! Imelda Marcos akiwa Mke wa Rais alikuwa na jozi za viatu vya kike zipatazo 1700 yaani alikuwa anauwezo wa kuvaa viatu bila kurudia kwa miaka 4. Mwaka 1986 Marcos alipopinduliwa mapambo ya mkewe na viatu vilihamishiwa kwenye Makumbusho ya Jiji la Marikina! Hivi karibuni kumefanyika mnada wa viatu 420 na kupatikana kwa fedha nyingi. Imelda anabaki katika historia kama "Mke wa Rais aliyekuwa na viatu vingi ulimwenguni"
    Like
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 278 Visualizações