• Chukua hii tumia Hizi “Sheria 20 za 2025 kuelekea mafanikio yako..

    1. Hakuna ngono. Epuka kitu chochote kitakachokuchochea kuitazama.

    2. Fanya mazoezi mara tatu hadi nne kila wiki.

    3. Soma kurasa 10 za kitabu cha kujiboresha au kitabu cha historia kila siku.

    4. Hasira si rafiki yako. Idhibiti kabla ya kukudhibiti.

    5. kila wakati jitahidi kukaa nadhifu 80% ya wakati.

    6. Usiwe mcheshi ili kumvutia mtu yeyote. Hasa w0m£n.

    7. Fanya kazi kabla ya Burudani. Fanya kile unachohitaji kufanya kabla ya kwenda kwa kile unachotaka kufanya.

    8. Uvutaji sigara hudhuru zaidi kuliko inavyopenda. Achana nayo.

    9.samehe lakini usisahau somo ulilojifunza.

    10. Kuwa na Maono. Kuwa na kusudi. Pambana kuelekea hilo.

    11. Usikubali Kudharauliwa.

    12. Usifanye mzaha na maisha yako ya kifedha.

    13. Pesa inayotumika kununulia mapenzi, itaendelea kutumika kudumisha upendo huo. Usijihusishe na kitendo kama hicho.

    14.usijitambulishe kama "mwanaume halisi", hakuna kitu kama "mwanaume halisi". SIMP pekee ndizo zinazoitwa hivyo. Wewe ni wa thamani kubwa au huna.

    15. Jifunze jinsi ya kujitetea.

    16. Haijalishi umeanguka mara ngapi, pumua kwa kina na uinuke tena.

    17.dakika sh£ inakukataa, misheni imefutwa. Usiamue kuwa rafiki wa h£r. Songa mbele haraka iwezekanavyo. Kuna wanawake bilioni 3.97 duniani.

    18. Marafiki zako watakujenga au watakuvunja. Chagua kwa busara.

    19. Waheshimu na wapende wazazi wako. Walikuleta kwenye ulimwengu huu.

    20.anza 2025 na Mungu. Maliza na Mungu. Kaa Savage”.

    Plz like & follow
    Chukua hii tumia Hizi “Sheria 20 za 2025 kuelekea mafanikio yako.. 1. Hakuna ngono. Epuka kitu chochote kitakachokuchochea kuitazama. 2. Fanya mazoezi mara tatu hadi nne kila wiki. 3. Soma kurasa 10 za kitabu cha kujiboresha au kitabu cha historia kila siku. 4. Hasira si rafiki yako. Idhibiti kabla ya kukudhibiti. 5. kila wakati jitahidi kukaa nadhifu 80% ya wakati. 6. Usiwe mcheshi ili kumvutia mtu yeyote. Hasa w0m£n. 7. Fanya kazi kabla ya Burudani. Fanya kile unachohitaji kufanya kabla ya kwenda kwa kile unachotaka kufanya. 8. Uvutaji sigara hudhuru zaidi kuliko inavyopenda. Achana nayo. 9.samehe lakini usisahau somo ulilojifunza. 10. Kuwa na Maono. Kuwa na kusudi. Pambana kuelekea hilo. 11. Usikubali Kudharauliwa. 12. Usifanye mzaha na maisha yako ya kifedha. 13. Pesa inayotumika kununulia mapenzi, itaendelea kutumika kudumisha upendo huo. Usijihusishe na kitendo kama hicho. 14.usijitambulishe kama "mwanaume halisi", hakuna kitu kama "mwanaume halisi". SIMP pekee ndizo zinazoitwa hivyo. Wewe ni wa thamani kubwa au huna. 15. Jifunze jinsi ya kujitetea. 16. Haijalishi umeanguka mara ngapi, pumua kwa kina na uinuke tena. 17.dakika sh£ inakukataa, misheni imefutwa. Usiamue kuwa rafiki wa h£r. Songa mbele haraka iwezekanavyo. Kuna wanawake bilioni 3.97 duniani. 18. Marafiki zako watakujenga au watakuvunja. Chagua kwa busara. 19. Waheshimu na wapende wazazi wako. Walikuleta kwenye ulimwengu huu. 20.anza 2025 na Mungu. Maliza na Mungu. Kaa Savage”. Plz like & follow🙏
    Like
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·820 Visualizações
  • WALAU UNAWEZA KUCHUKUA KITU KUELEKEA 2025

    1. Peleka watoto shule unazoweza kumudu ada yake, kimsingi shule kuwa na gharama kubwa hakumaanishi inakuhakikishia ufaulu mzuri Kwa watoto. Hakikisha tu wanahudhuria vizuri shule yoyote watafaulu tu.

    2. Panga nyumba au chumba ambacho utaweza kulipia kwa urahisi. Usiishi katika nyumba kubwa au eneo ambalo unahangaika kulipa kila mwaka Kwa jasho na damu.

    3. Panga maisha yako na uishi kulingana na uwezo weko. Weka akiba zaidi na utumie kidogo.

    4. Kuna wanawake mnanunua chakula cha watoto wenu kila asubuhi kabla ya kwenda shuleni au hata kwa familia nzima, hivi hamjui kuwa ni nafuu mno kupika nyumbani?

    5. Watu wengine hamna pesa nyingi, lakini mnalipia DSTV na AZAM TV nyumbani vifurushi vikubwa na hamshindi hapo, Lipia vifurushi vya kawaida na siyo lazima Kila mwezi, kama ni mlevi wa mpira wakati mwingine kaangalie mpira na washkaji bar au vibanda umiza.

    6. Kula milo yenye afya na linda familia yako dhidi ya mbu uepuke kwenda hospitali hovyo.

    7. Nunua Mahitaji ya chakula kwenye masoko makubwa Kwa bei nafuu na tumia vizuri msimu ya vyakula tofauti na matunda kwa kuwa ubunifu kuunda milo inayoendana na Chakula Cha msimu huo.

    8.Usiige maisha ya jirani yako, hujui kipato chake ni kikubwa kiasi gani na anapataje ama mume wake ni 'mtu mkubwa'

    9. Usifuatishe mitindo ya uvaaji kadiri inavyobadilika, nunua mavazi pale unapohitaji tu siyo style zinapokuhitaji. Weka nywele zako nadhifu, suka style rahisi inayokupendeza.

    10. Punguza idadi ya watu wanaokuzunguka... Chagua marafiki wa kweli wachache wenye mambo ya msingi na wewe.

    11. Juu ya vitu vyote tuweke hofu ya Mungu, uadilifu na tusiwe wavivu wa kusali na kumuomba Mwenyezi Mungu Jaalia.

    12. Kupanga ni ufunguo wa mambo mengi, UKIFELI KUPANGA UNAPANGA KUFELI

    13. Usifanye mambo yanayozidi bajeti yako safari hii, hakuna tuzo inayotolewa kwa Familia Bora iliyovaa nguo za gharama kubwa, iliyochangia michango mingi ya sherehe au iliyokula bata sana Kwa mwaka.

    14. Usifanye ushindani na mtu yeyote kwenye suala lolote bali shindana na mipango yako.

    HERI YA MWAKA MPYA
    WALAU UNAWEZA KUCHUKUA KITU KUELEKEA 2025 1. Peleka watoto shule unazoweza kumudu ada yake, kimsingi shule kuwa na gharama kubwa hakumaanishi inakuhakikishia ufaulu mzuri Kwa watoto. Hakikisha tu wanahudhuria vizuri shule yoyote watafaulu tu. 2. Panga nyumba au chumba ambacho utaweza kulipia kwa urahisi. Usiishi katika nyumba kubwa au eneo ambalo unahangaika kulipa kila mwaka Kwa jasho na damu. 3. Panga maisha yako na uishi kulingana na uwezo weko. Weka akiba zaidi na utumie kidogo. 4. Kuna wanawake mnanunua chakula cha watoto wenu kila asubuhi kabla ya kwenda shuleni au hata kwa familia nzima, hivi hamjui kuwa ni nafuu mno kupika nyumbani? 5. Watu wengine hamna pesa nyingi, lakini mnalipia DSTV na AZAM TV nyumbani vifurushi vikubwa na hamshindi hapo, Lipia vifurushi vya kawaida na siyo lazima Kila mwezi, kama ni mlevi wa mpira wakati mwingine kaangalie mpira na washkaji bar au vibanda umiza. 6. Kula milo yenye afya na linda familia yako dhidi ya mbu uepuke kwenda hospitali hovyo. 7. Nunua Mahitaji ya chakula kwenye masoko makubwa Kwa bei nafuu na tumia vizuri msimu ya vyakula tofauti na matunda kwa kuwa ubunifu kuunda milo inayoendana na Chakula Cha msimu huo. 8.Usiige maisha ya jirani yako, hujui kipato chake ni kikubwa kiasi gani na anapataje ama mume wake ni 'mtu mkubwa' 9. Usifuatishe mitindo ya uvaaji kadiri inavyobadilika, nunua mavazi pale unapohitaji tu siyo style zinapokuhitaji. Weka nywele zako nadhifu, suka style rahisi inayokupendeza. 10. Punguza idadi ya watu wanaokuzunguka... Chagua marafiki wa kweli wachache wenye mambo ya msingi na wewe. 11. Juu ya vitu vyote tuweke hofu ya Mungu, uadilifu na tusiwe wavivu wa kusali na kumuomba Mwenyezi Mungu Jaalia. 12. Kupanga ni ufunguo wa mambo mengi, UKIFELI KUPANGA UNAPANGA KUFELI 13. Usifanye mambo yanayozidi bajeti yako safari hii, hakuna tuzo inayotolewa kwa Familia Bora iliyovaa nguo za gharama kubwa, iliyochangia michango mingi ya sherehe au iliyokula bata sana Kwa mwaka. 14. Usifanye ushindani na mtu yeyote kwenye suala lolote bali shindana na mipango yako. HERI YA MWAKA MPYA
    Like
    Love
    Sad
    4
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·761 Visualizações
  • Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu
    Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu
    Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu
    Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu
    Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu
    Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu
    Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu
    Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu
    Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu
    Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu
    Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu
    Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu
    Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu
    Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu
    Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu
    Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu
    Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu
    Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu
    Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu
    Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club
    Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu
    Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    Nikicheki muda Ni saa 4 usiku Napiga Dua namshukuru mungu🎤 Kwa kunilinda Hii Siku na Wenye #Bifu Naomba Tena Atulinde huu usiku #Mrefu Mungu Mimi kwako si #Mkamilifu Najua nakosea Nina mengi #Madhaifu Kwa wema wako nioshe niwe #Nadhifu Nakusifu kwa mdomo maana hujaniumba #BuBu Wape Tumaini wenye matatizo yanayo #Wasibu Wagonjwa mahospitali wema wako #Ukawatibu Wategemee Dua na sio sangoma Wala #Chifu Waombewe na watumishi mashekh wakina #Sharifu Wasirogane kwa kuvunjiana Nazi na #Madafu Nashukuru kwa hii pumzi inayoingia kwenye #Mapafu Nitimize sakramenti takwa Mimi nilie #Mkristu Niepushe Na zinaa niogope kufungua #Zipu Niepushe Na tamaa nisipende Sana #Chipu Niwe mwema ndugu zangu nisiwachezee #Rafu Niiheshimu ndoa nilale chumbani niogee #Bafu Kesho nijalie riziki yangu niingojee kwa #Safu Nisishawishike na ulevi nikaja lala #Club Ee mungu tulinde Huu usiku na kila #Tabu Dua zetu zipokee kwako ndo liliko #Jawabu
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·2K Visualizações