• The Southwest terminal Atlanta is located in the Domestic Terminal North at Hartsfield-Jackson Atlanta International Airport, one of the world’s busiest airports. Known officially as Concourse C, this terminal is where all Southwest Airlines departures and arrivals operate. The Southwest terminal Atlanta provides convenient access for travelers flying to major destinations across the United States.
    https://airlinesairportterminals.com/southwest-airlines/southwest-airlines-hartsfield-jackson-atlanta-international-airport-atl-terminal/
    The Southwest terminal Atlanta is located in the Domestic Terminal North at Hartsfield-Jackson Atlanta International Airport, one of the world’s busiest airports. Known officially as Concourse C, this terminal is where all Southwest Airlines departures and arrivals operate. The Southwest terminal Atlanta provides convenient access for travelers flying to major destinations across the United States. https://airlinesairportterminals.com/southwest-airlines/southwest-airlines-hartsfield-jackson-atlanta-international-airport-atl-terminal/
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·677 مشاهدة
  • kids ballet academy singapore
    Creative movement curriculum for children 3-5 years old

    Suitable for children to prepare foundations for classical ballet
    Based on Leap ‘N Learn curriculum by Beverly F. Spell and Maria Inzerella
    Designed to meet the gross motor skills development milestones as it relates to movement & musicality for both boys & girls
    Designed to introduce the dancer to various habitats like African Savanna, Arctic North, South American Rainforest, etc to explore and learn how different animals move in a fun and receptive way for the young dancer
    Paced and progressed in an age appropriate format
    Build basic psychomotor skills, stability, coordination, musicality, core control, spatial awareness, and classroom etiquette
    Coloring template homework
    Read more : https://www.jaimeballetacademy.com/
    kids ballet academy singapore Creative movement curriculum for children 3-5 years old Suitable for children to prepare foundations for classical ballet Based on Leap ‘N Learn curriculum by Beverly F. Spell and Maria Inzerella Designed to meet the gross motor skills development milestones as it relates to movement & musicality for both boys & girls Designed to introduce the dancer to various habitats like African Savanna, Arctic North, South American Rainforest, etc to explore and learn how different animals move in a fun and receptive way for the young dancer Paced and progressed in an age appropriate format Build basic psychomotor skills, stability, coordination, musicality, core control, spatial awareness, and classroom etiquette Coloring template homework Read more : https://www.jaimeballetacademy.com/
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
  • Discover the top reasons to visit the best chiropractor in North Ryde for expert pain relief, holistic care, and improved mobility with safe, personalized treatments.
    https://samualpaul83.medium.com/5-reasons-to-visit-the-best-chiropractor-in-north-ryde-today-a7df4753db85
    Discover the top reasons to visit the best chiropractor in North Ryde for expert pain relief, holistic care, and improved mobility with safe, personalized treatments. https://samualpaul83.medium.com/5-reasons-to-visit-the-best-chiropractor-in-north-ryde-today-a7df4753db85
    5 Reasons to Visit the Best Chiropractor in North Ryde Today
    samualpaul83.medium.com
    For maintaining good health and pain pain-free life, a good and experienced chiropractor can be massively helpful. When seeking the best…
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·397 مشاهدة
  • Unbelievable weather is raging for Hungarians. Snow and sleet are falling in the northeastern part of the country.
    Unbelievable weather is raging for Hungarians. Snow and sleet are falling in the northeastern part of the country.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·527 مشاهدة
  • YAJUE MAENEO AMBAYO HURUHUSIWI KUFIKA KAMWE.

    Katika ulimwengu wa leo tunaoishi tunaweza kufanya vitu vingi vinavyotufurahisha ikiwemo kusafiri kwenda maeneo mbalimbali ulimwenguni kwa malengo mbalimbali mfano kibiashara,kiutalii na hata kwa lengo la kuburudika tu.lakini hayo yote yanaweza kufanyika isipokuwa kwa baadhi ya maeneo,yafuatayo ni maeneo manne (4) ambayo huruhusiwi kufika.

    #01.NORTH SENTINEL ISLAND (KISIWA CHA SENTINEL YA KASKAZINI)
    Kisiwa cha NORTH SENTINEL ni sehemu ya visiwa vya ANDAMAN na NICOBAR vilivyopo kwenye bay ya BENGAL kwenye bahari ya hindi kati ya MYANMAR na INDONESIA.Eneo hili ndipo mahali ambapo wakazi wake hawaruhusu mawasiliano kabisa na ulimwengu ulioendelea/mataifa mengine.
    Kuna visa kadhaa vya kuthibitisha 'marufuku' ya kuingia kisiwani huko kutoka kwa wakazi wake.
    -Mwezi DISEMBA mwaka 2004 tsunami ilipopiga kwenye bahari ya hindi waokoaji walihitaji kusaidia wahanga wa kisiwa hiko lakini haikuwa rahisi kutokana na upinzani waliokutana nao kutoka kwa wakazi wa kisiwa hicho,walijaribu kushusha vyakula wakiwa kwenye helikopta ya jeshi la maji la INDIA kilichotokea ni kwamba moja ya helikopta hizo ilishambuliwa na 'shujaa' mmoja wa kisiwa hiko aliepiga mkuki kwenye helikopta kuonesha kuwa watu hao hawakuhitaji msaada wala mawasiliano na mataifa jirani.
    Kimsingi INDIA ndio inayomiliki kisiwa hicho.
    -Kisa kingine ni cha mwaka 1896 cha mfungwa mmoja alietoroka kutoka kwenye gereza lililopo katika kisiwa cha ANDAMAN ambae alikimbilia kwenye kisiwa hiki,siku chache baadae mwili wake ulikutwa pembezoni mwa bahari ukiwa na alama za kupigwa na mishale na huku koo lake likiwa limekatwa.
    Sijui kama wakazi wa kisiwa hiki wanajua kama kuna nchi inaitwa TANZANIA,shughuli wanazofanya kuendesha maisha yao ni uwindaji,uvuvi pia wanakula matunda na asali.
    Huwezi kuamini kuwa maeneo haya hakuna SIMU wala INTANETI.

    #02.ROOM 39 (CHUMBA NAMBA 39)
    Kwa majina mengine huitwa BUREAU 39 au DIVISION 39 au OFFICE 39,jengo hili lipo nchini KOREA KASKAZINI na linakaliwa na tasisi ya siri ya chama cha KOREA KASKAZINI (KOREAN WORKERS' PARTY) lengo lake ni kuchangia uongezekaji wa fedha za kigeni nchini KOREA KASKAZINI,ROOM 39 inaaminika kuendesha shughuli zote zinazohusiana na uingizwaji wa fedha za kigeni nchini humo na mjini PYONGYANG ikiwa pamoja na mahoteli yaliyopo PYONGYANG na uchimbaji wa madini ya ZINC na DHAHABU. Taasisi ya ROOM 39 inaaminika kumiliki baadhi ya makampuni mafano ZOKWANG TRADING na benki ya TAESONG BANK.
    Tasisi hii iliundwa na KIM IL-SUNG miaka ya 1970,kwa mwaka tasisi hii ya siri inasadikika inaiingizia nchi ya KOREA KASKAZINI mapato ya kati ya milioni $500 (dola za kimarekani) mpaka billioni $1 (dola za kimarekani).
    Vyanzo kadhaa vya nchi za magharibi vinaeleza kuwa taasisi hii inaingiza fedha hizo kwa kuendesha shughuli za kihalifu,mfano ripoti moja ya WASHINGTON POST ilieleza ubadhilifu uliotokea katika sekta ya BIMA duniani na kudai kuwa ulifanywa na serikali ya KOREA KASKAZINI kwa kutumia taasisi yake ya KOREA NATIONAL INSURANCE CORP (KNIC).
    Jengo hili la ROOM 39 hakika huruhusiwi kuingia ndani yake,kutokana na sababu za kiusalama hivyo hutaweza kuwemo ndani yake.

    #03.AREA 51
    Hili ni eneo linalomilkiwa na JESHI LA ANGA LA MAREKANI lipo NEVADA.
    Taarifa nyingi na za uhakika kuhusu mambo yanayofanyika katika eneo hili ni 'highly classified' ila tu kuna nadharia kadhaa zinazoeleza mambo yanayofanyika katika eneo hili baadhi ya nadharia hizo ni;
    >Inaaminika kuwa AREA 51 ni mahali wanapofanya tafiti za teknolojia za viumbe wa sayari nyingine (ALLIEN) ambapo jeshi la anga la marekani limehifadhi masalia ya ndege za viumbe hao zilizopata ajali,na pia wanatengeneza ndege kutokana na teknolojia ya ALLIENS.
    >Inaaminika wanaendesha program/mpango wa kutengeneza silaha za kujilinda za awali yaani STRATEGIC DEFENSE INITIATIVE (SDI) na program za silaha nyingine.
    >Inaaminika kuwa ndani ya eneo hilo wanatengeneza teknolojia itakayoweza ku'control' hali ya hewa.
    >Inaaminika kuwa wanafanya program ya kutengeneza teknolojia ya TIME TRAVEL (uwezo wa kumwezesha mtu kurudi wakati uliopita au kwenda wakati ujao,mfano mtu atoke hivi sasa na asafiri kwenda miaka 50 ijayo) na TELEPORTATION (yaani mtu aweze kusafiri kutoka eneo moja hadi jingine pasina usafiri wowote ule na kwa haraka.nadharia hii imeelezwa kwenye filamu/movie/series ya TOMORROW PEOPLE kama ushawahi kuiona basi hivyo ndivyo watu wanavyo teleport).
    >Inaaminika kuwa pengine wanaendesha shughuli zitakazochangia kuwepo kwa serikali moja duniani (ONE WORLD GOVERMENT)
    Moja ya mambo yanayoweza kutumika kama ushahidi juu ya nadharia inayohusisha uwepo wa viumbe kutoka sayari nyingine yaani ALLIENS ndani ya AREA 51 ni baadhi ya watu waliowahi kukiri kuwa wafanyakazi wa AREA 51
    **Mmoja wao ni bwana BOB LAZAR ambae mwaka 1989 alisema kuwa alifanya kazi ndani ya AREA 51 SECTOR FOUR (S-4) ambapo eneo hili lipo chini ya ardhi,bwana BOB LAZAR alisema kuwa alipokuwa ndani ya SECTOR FOUR alifanya kazi na ndege ya anga la juu(spacecraft) ya ALLIENS ambayo inashikiliwa na serikali ya MAREKANI ndani ya AREA 51.
    **Documentary moja iitwayo DREAMLAND iliotoka mwaka 1996 ilioongozwa na BRUCE BURGESS ilijumuisha interview aliofanya na mzee wa umri wa miaka 71 ambae ni injinia (mechanical engeneer) aliekiri kuwa alishawahi kuwa muajiriwa aliefanya kazi ndani ya AREA 51 katika miaka ya 1950,alikiri kuwa alifanya kazi kwenye kitu chenye uwezo wa kupaaa angani kilicho mfano wa sahani kiitwacho "FLYING DISK SIMULATOR" alisema kitu hicho mfano wa sahani kubwa kilitokana na ndege ya anga za juu iliopoata ajali na kilitumika kuwafundishia marubani wa jeshi la MAREKANI,pia alikiri kuwa alifanya kazi na kiumbe kutoka sayari nyingine ambae aliitwa "J-ROD".
    **Mwaka 2004 DAN BURISCH alikiri kufanya kazi ndani ya AREA 51 pamoja na ALLIEN aliefahamika kwa jina la "J-ROD"
    Kuingia katika eneo hili kumezuiwa vikali, na wanajeshi wanaolinda eneo hilo wamepewa mamlaka ya kumfyatulia risasi yeyote atakaeingia ambae hana ruhusa ya kuwepo eneo hilo,Hivyo basi katika eneo hili hautaweza kufika labda uwe mfanyikazi wa humu.
    (KWA WALE WANAOCHEZA SANA VIDEO GAMES AU WALE WALIOWAHI KUCHEZA "GTA SAN ANDREAS" WANAJUA UKIFIKA SEHEMU MOJA INAYOITWA AREA 51 UNASHAMBULIWA KULIKO KAWAIDA)

    #04.ILHA DE QUEIMEDA/SNAKE ISLAND (KISIWA NA NYOKA)
    Kisiwa cha ILHA DE QUEIMEDA kipo umbali wa maili kadhaa kutoka katika pwani ya mji wa SAO PAOLO nchini BRAZIL.
    Kisiwa hiki ni makazi ya nyoka hatari zaidi duniani tena wenye sumu ilio kali kabisa,idadi ya kukadiria ya nyoka waliopo kisiwani humo ni takriban nyoka 4000,nyoka aina ya 'lancehead vipers' wapatikanao kisiwani humo wanakua kwa wastani wa urefu wa SENTIMITA 70 (70 CM) pia wanaweza kufikia hata urefu wa SENTIMITA 118 mpaka 120,vifo vingi vinavyotokea amerika ya kusini miongoni mwao husababishwa na nyoka hawa.
    > Chakula chao cha kawaida mara nyingi ni ndege na imeripotiwa kuwa huwa wanakula mijusi na kula hata nyoka wengine.
    > Nyoka wa aina hii akimng'ata/akimgonga binadamu mara moja basi binadamu anakuwa kwenye hatari ya kufa kwa aslimia 7 (7%) yaani anakuwa na uwezekano wa kufa kwa asilimia 7.
    Moja ya kisa kilichoripitiwa kutokea kisiwani huko ni cha mvuvi mmoja aliekuwa akivua samaki na mara boti yake ikapata tatizo la injini akaamua kuweka makazi kwa muda katika kisiwa hicho pasina kujua hatari iliopo ndani yake, baada ya boti kuonekana ndipo alipopatikana akiwa amekufa huku akiwa na alama za kung'atwa na nyoka.
    Kwa miaka 15 iliopita idadi ya nyoka kisiwani humo imepungua kwa asilimia 15 (15%) kutokana na magonjwa na kupungua kwa uoto ndani ya kisiwa,lakini hii leo bado maelfu ya nyoka bado ndio makazi yao ndani ya kisiwa.Serikali ya BRAZIL imezuia utembeleaji na shughuli za kitalii ndani ya kisiwa hicho isipokuwa kwa wanasayansi na wanajeshi wa majini wa BRAZIL.
    YAJUE MAENEO AMBAYO HURUHUSIWI KUFIKA KAMWE. Katika ulimwengu wa leo tunaoishi tunaweza kufanya vitu vingi vinavyotufurahisha ikiwemo kusafiri kwenda maeneo mbalimbali ulimwenguni kwa malengo mbalimbali mfano kibiashara,kiutalii na hata kwa lengo la kuburudika tu.lakini hayo yote yanaweza kufanyika isipokuwa kwa baadhi ya maeneo,yafuatayo ni maeneo manne (4) ambayo huruhusiwi kufika. #01.NORTH SENTINEL ISLAND (KISIWA CHA SENTINEL YA KASKAZINI) Kisiwa cha NORTH SENTINEL ni sehemu ya visiwa vya ANDAMAN na NICOBAR vilivyopo kwenye bay ya BENGAL kwenye bahari ya hindi kati ya MYANMAR na INDONESIA.Eneo hili ndipo mahali ambapo wakazi wake hawaruhusu mawasiliano kabisa na ulimwengu ulioendelea/mataifa mengine. Kuna visa kadhaa vya kuthibitisha 'marufuku' ya kuingia kisiwani huko kutoka kwa wakazi wake. -Mwezi DISEMBA mwaka 2004 tsunami ilipopiga kwenye bahari ya hindi waokoaji walihitaji kusaidia wahanga wa kisiwa hiko lakini haikuwa rahisi kutokana na upinzani waliokutana nao kutoka kwa wakazi wa kisiwa hicho,walijaribu kushusha vyakula wakiwa kwenye helikopta ya jeshi la maji la INDIA kilichotokea ni kwamba moja ya helikopta hizo ilishambuliwa na 'shujaa' mmoja wa kisiwa hiko aliepiga mkuki kwenye helikopta kuonesha kuwa watu hao hawakuhitaji msaada wala mawasiliano na mataifa jirani. Kimsingi INDIA ndio inayomiliki kisiwa hicho. -Kisa kingine ni cha mwaka 1896 cha mfungwa mmoja alietoroka kutoka kwenye gereza lililopo katika kisiwa cha ANDAMAN ambae alikimbilia kwenye kisiwa hiki,siku chache baadae mwili wake ulikutwa pembezoni mwa bahari ukiwa na alama za kupigwa na mishale na huku koo lake likiwa limekatwa. Sijui kama wakazi wa kisiwa hiki wanajua kama kuna nchi inaitwa TANZANIA,shughuli wanazofanya kuendesha maisha yao ni uwindaji,uvuvi pia wanakula matunda na asali. Huwezi kuamini kuwa maeneo haya hakuna SIMU wala INTANETI. #02.ROOM 39 (CHUMBA NAMBA 39) Kwa majina mengine huitwa BUREAU 39 au DIVISION 39 au OFFICE 39,jengo hili lipo nchini KOREA KASKAZINI na linakaliwa na tasisi ya siri ya chama cha KOREA KASKAZINI (KOREAN WORKERS' PARTY) lengo lake ni kuchangia uongezekaji wa fedha za kigeni nchini KOREA KASKAZINI,ROOM 39 inaaminika kuendesha shughuli zote zinazohusiana na uingizwaji wa fedha za kigeni nchini humo na mjini PYONGYANG ikiwa pamoja na mahoteli yaliyopo PYONGYANG na uchimbaji wa madini ya ZINC na DHAHABU. Taasisi ya ROOM 39 inaaminika kumiliki baadhi ya makampuni mafano ZOKWANG TRADING na benki ya TAESONG BANK. Tasisi hii iliundwa na KIM IL-SUNG miaka ya 1970,kwa mwaka tasisi hii ya siri inasadikika inaiingizia nchi ya KOREA KASKAZINI mapato ya kati ya milioni $500 (dola za kimarekani) mpaka billioni $1 (dola za kimarekani). Vyanzo kadhaa vya nchi za magharibi vinaeleza kuwa taasisi hii inaingiza fedha hizo kwa kuendesha shughuli za kihalifu,mfano ripoti moja ya WASHINGTON POST ilieleza ubadhilifu uliotokea katika sekta ya BIMA duniani na kudai kuwa ulifanywa na serikali ya KOREA KASKAZINI kwa kutumia taasisi yake ya KOREA NATIONAL INSURANCE CORP (KNIC). Jengo hili la ROOM 39 hakika huruhusiwi kuingia ndani yake,kutokana na sababu za kiusalama hivyo hutaweza kuwemo ndani yake. #03.AREA 51 Hili ni eneo linalomilkiwa na JESHI LA ANGA LA MAREKANI lipo NEVADA. Taarifa nyingi na za uhakika kuhusu mambo yanayofanyika katika eneo hili ni 'highly classified' ila tu kuna nadharia kadhaa zinazoeleza mambo yanayofanyika katika eneo hili baadhi ya nadharia hizo ni; >Inaaminika kuwa AREA 51 ni mahali wanapofanya tafiti za teknolojia za viumbe wa sayari nyingine (ALLIEN) ambapo jeshi la anga la marekani limehifadhi masalia ya ndege za viumbe hao zilizopata ajali,na pia wanatengeneza ndege kutokana na teknolojia ya ALLIENS. >Inaaminika wanaendesha program/mpango wa kutengeneza silaha za kujilinda za awali yaani STRATEGIC DEFENSE INITIATIVE (SDI) na program za silaha nyingine. >Inaaminika kuwa ndani ya eneo hilo wanatengeneza teknolojia itakayoweza ku'control' hali ya hewa. >Inaaminika kuwa wanafanya program ya kutengeneza teknolojia ya TIME TRAVEL (uwezo wa kumwezesha mtu kurudi wakati uliopita au kwenda wakati ujao,mfano mtu atoke hivi sasa na asafiri kwenda miaka 50 ijayo) na TELEPORTATION (yaani mtu aweze kusafiri kutoka eneo moja hadi jingine pasina usafiri wowote ule na kwa haraka.nadharia hii imeelezwa kwenye filamu/movie/series ya TOMORROW PEOPLE kama ushawahi kuiona basi hivyo ndivyo watu wanavyo teleport). >Inaaminika kuwa pengine wanaendesha shughuli zitakazochangia kuwepo kwa serikali moja duniani (ONE WORLD GOVERMENT) Moja ya mambo yanayoweza kutumika kama ushahidi juu ya nadharia inayohusisha uwepo wa viumbe kutoka sayari nyingine yaani ALLIENS ndani ya AREA 51 ni baadhi ya watu waliowahi kukiri kuwa wafanyakazi wa AREA 51 **Mmoja wao ni bwana BOB LAZAR ambae mwaka 1989 alisema kuwa alifanya kazi ndani ya AREA 51 SECTOR FOUR (S-4) ambapo eneo hili lipo chini ya ardhi,bwana BOB LAZAR alisema kuwa alipokuwa ndani ya SECTOR FOUR alifanya kazi na ndege ya anga la juu(spacecraft) ya ALLIENS ambayo inashikiliwa na serikali ya MAREKANI ndani ya AREA 51. **Documentary moja iitwayo DREAMLAND iliotoka mwaka 1996 ilioongozwa na BRUCE BURGESS ilijumuisha interview aliofanya na mzee wa umri wa miaka 71 ambae ni injinia (mechanical engeneer) aliekiri kuwa alishawahi kuwa muajiriwa aliefanya kazi ndani ya AREA 51 katika miaka ya 1950,alikiri kuwa alifanya kazi kwenye kitu chenye uwezo wa kupaaa angani kilicho mfano wa sahani kiitwacho "FLYING DISK SIMULATOR" alisema kitu hicho mfano wa sahani kubwa kilitokana na ndege ya anga za juu iliopoata ajali na kilitumika kuwafundishia marubani wa jeshi la MAREKANI,pia alikiri kuwa alifanya kazi na kiumbe kutoka sayari nyingine ambae aliitwa "J-ROD". **Mwaka 2004 DAN BURISCH alikiri kufanya kazi ndani ya AREA 51 pamoja na ALLIEN aliefahamika kwa jina la "J-ROD" Kuingia katika eneo hili kumezuiwa vikali, na wanajeshi wanaolinda eneo hilo wamepewa mamlaka ya kumfyatulia risasi yeyote atakaeingia ambae hana ruhusa ya kuwepo eneo hilo,Hivyo basi katika eneo hili hautaweza kufika labda uwe mfanyikazi wa humu. (KWA WALE WANAOCHEZA SANA VIDEO GAMES AU WALE WALIOWAHI KUCHEZA "GTA SAN ANDREAS" WANAJUA UKIFIKA SEHEMU MOJA INAYOITWA AREA 51 UNASHAMBULIWA KULIKO KAWAIDA) #04.ILHA DE QUEIMEDA/SNAKE ISLAND (KISIWA NA NYOKA) Kisiwa cha ILHA DE QUEIMEDA kipo umbali wa maili kadhaa kutoka katika pwani ya mji wa SAO PAOLO nchini BRAZIL. Kisiwa hiki ni makazi ya nyoka hatari zaidi duniani tena wenye sumu ilio kali kabisa,idadi ya kukadiria ya nyoka waliopo kisiwani humo ni takriban nyoka 4000,nyoka aina ya 'lancehead vipers' wapatikanao kisiwani humo wanakua kwa wastani wa urefu wa SENTIMITA 70 (70 CM) pia wanaweza kufikia hata urefu wa SENTIMITA 118 mpaka 120,vifo vingi vinavyotokea amerika ya kusini miongoni mwao husababishwa na nyoka hawa. > Chakula chao cha kawaida mara nyingi ni ndege na imeripotiwa kuwa huwa wanakula mijusi na kula hata nyoka wengine. > Nyoka wa aina hii akimng'ata/akimgonga binadamu mara moja basi binadamu anakuwa kwenye hatari ya kufa kwa aslimia 7 (7%) yaani anakuwa na uwezekano wa kufa kwa asilimia 7. Moja ya kisa kilichoripitiwa kutokea kisiwani huko ni cha mvuvi mmoja aliekuwa akivua samaki na mara boti yake ikapata tatizo la injini akaamua kuweka makazi kwa muda katika kisiwa hicho pasina kujua hatari iliopo ndani yake, baada ya boti kuonekana ndipo alipopatikana akiwa amekufa huku akiwa na alama za kung'atwa na nyoka. Kwa miaka 15 iliopita idadi ya nyoka kisiwani humo imepungua kwa asilimia 15 (15%) kutokana na magonjwa na kupungua kwa uoto ndani ya kisiwa,lakini hii leo bado maelfu ya nyoka bado ndio makazi yao ndani ya kisiwa.Serikali ya BRAZIL imezuia utembeleaji na shughuli za kitalii ndani ya kisiwa hicho isipokuwa kwa wanasayansi na wanajeshi wa majini wa BRAZIL.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·3كيلو بايت مشاهدة
  • MECHI ZA LEO IJUMAA

    King Cup - Final:
    20:00 Al Hilal - Al Nassr

    Club Friendly:
    13:00 AS Roma - AC Milan

    Superliga - CL Final:
    19:00 FC Copenhagen - Randers FC

    Egypt Cup:
    16:00 Baladiyat El Mahalla - El Gouna
    16:00 National Bank Egypt - Petrojet

    Euro Women - Qualification:
    18:00 Austria - Iceland
    18:00 Norway - Italy
    18:30 Czech Republic - Belgium
    19:00 Denmark - Spain
    20:30 Germany - Poland
    20:30 Iceland - Sweden
    20:45 Netherlands - Finland
    21:00 England - France

    Euro Women - Qualification:
    17:00 Kosovo - Croatia
    18:00 Serbia - Slovakia
    19:00 Turkey - Azerbaijan
    19:30 Malta - Bosnia & Herzegovina
    20:00 Switzerland - Hungary
    20:05 Scotland - Israel
    20:15 Wales - Ukraine
    21:45 Portugal - Northern Ireland

    Euro Women - Qualification:
    15:00 Armenia - Kazakhstan
    17:00 Estonia - Albania
    17:00 Greece - Montenegro
    17:00 North Macedonia - Moldova
    17:45 Faroe Islands - Andorra
    18:00 Cyprus - Georgia
    18:00 Romania - Bulgaria
    18:00 Slovenia - Latvia

    #Sportsviews
    MECHI ZA LEO IJUMAA 🇸🇦 King Cup - Final: 20:00 Al Hilal - Al Nassr 🌎 Club Friendly: 13:00 AS Roma - AC Milan 🇩🇰 Superliga - CL Final: 19:00 FC Copenhagen - Randers FC 🇪🇬 Egypt Cup: 16:00 Baladiyat El Mahalla - El Gouna 16:00 National Bank Egypt - Petrojet 🇪🇺 Euro Women - Qualification: 18:00 🇦🇹 Austria - Iceland 🇮🇸 18:00 🇳🇴 Norway - Italy 🇮🇹 18:30 🇨🇿 Czech Republic - Belgium 🇧🇪 19:00 🇩🇰 Denmark - Spain 🇪🇸 20:30 🇩🇪 Germany - Poland 🇵🇱 20:30 🇮🇪 Iceland - Sweden 🇸🇪 20:45 🇳🇱 Netherlands - Finland 🇫🇮 21:00 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 England - France 🇫🇷 🇪🇺 Euro Women - Qualification: 17:00 🇽🇰 Kosovo - Croatia 🇭🇷 18:00 🇷🇸 Serbia - Slovakia 🇸🇰 19:00 🇹🇷 Turkey - Azerbaijan 🇦🇿 19:30 🇲🇹 Malta - Bosnia & Herzegovina 🇧🇦 20:00 🇨🇭 Switzerland - Hungary 🇭🇺 20:05 🏴󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 Scotland - Israel 🇮🇱 20:15 🏴󠁧󠁢󠁷󠁬󠁳󠁿 Wales - Ukraine 🇺🇦 21:45 🇵🇹 Portugal - Northern Ireland 🇬🇧 🇪🇺 Euro Women - Qualification: 15:00 🇦🇲 Armenia - Kazakhstan 🇰🇿 17:00 🇪🇪 Estonia - Albania 🇦🇱 17:00 🇬🇷 Greece - Montenegro 🇲🇪 17:00 🇲🇰 North Macedonia - Moldova 🇲🇩 17:45 🇫🇴 Faroe Islands - Andorra 🇦🇩 18:00 🇨🇾 Cyprus - Georgia 🇬🇪 18:00 🇷🇴 Romania - Bulgaria 🇧🇬 18:00 🇸🇮 Slovenia - Latvia 🇱🇻 #Sportsviews
    Like
    Love
    7
    · 3 التعليقات ·0 المشاركات ·2كيلو بايت مشاهدة
  • @Ulimwengu_Wako

    Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Duke huko North Carolina wamegundua kwa nini sauti fulani kama kutafuna na kupumua zinaweza kuwa kero kubwa kwa baadhi ya watu, hali inayojulikana kama mizofonia.

    Mizofonia ni hali ambapo mtu hupata kero kali na hisia mbaya za kihisia na kisaikolojia, kama hasira na kero, kutokana na sauti za kawaida kama vile mtu anapopiga chafya au anapopumua kwa sauti.

    Wanasayansi wamegundua kuwa mizofonia inaweza kuwa na uhusiano na msongo wa mawazo mkubwa na ugonjwa wa mfadhaiko baada ya tukio la kiwewe (PTSD). Wameona kuwa asilimia 12 ya watu wenye mizofonia walikuwa na PTSD wakati wa utafiti, na asilimia 33 walikuwa wamewahi kupitia kiwewe angalau mara moja maishani mwao.

    Hivyo basi, kama unapata kero kali kutoka sauti za kawaida, huenda ikawa una mizofonia, hali ambayo inahitaji uelewa na msaada wa kitaalamu.

    Jiunge nasi kwa habari zaidi na makala za kuvutia kwenye @Ulimwengu_Wako!
    @Ulimwengu_Wako 🌏🤯 🔍 Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Duke huko North Carolina wamegundua kwa nini sauti fulani kama kutafuna na kupumua zinaweza kuwa kero kubwa kwa baadhi ya watu, hali inayojulikana kama mizofonia. 🧠 Mizofonia ni hali ambapo mtu hupata kero kali na hisia mbaya za kihisia na kisaikolojia, kama hasira na kero, kutokana na sauti za kawaida kama vile mtu anapopiga chafya au anapopumua kwa sauti. 🔗 Wanasayansi wamegundua kuwa mizofonia inaweza kuwa na uhusiano na msongo wa mawazo mkubwa na ugonjwa wa mfadhaiko baada ya tukio la kiwewe (PTSD). Wameona kuwa asilimia 12 ya watu wenye mizofonia walikuwa na PTSD wakati wa utafiti, na asilimia 33 walikuwa wamewahi kupitia kiwewe angalau mara moja maishani mwao. 💡 Hivyo basi, kama unapata kero kali kutoka sauti za kawaida, huenda ikawa una mizofonia, hali ambayo inahitaji uelewa na msaada wa kitaalamu. 🌐 Jiunge nasi kwa habari zaidi na makala za kuvutia kwenye @Ulimwengu_Wako!
    Like
    Love
    Haha
    3
    · 1 التعليقات ·0 المشاركات ·842 مشاهدة