• Tunaambiwa Uwanja wa klabu ya Real Madrid (๐—ฆ๐—ฎ๐—ป๐˜๐—ถ๐—ฎ๐—ด๐—ผ ๐—•๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—ฏ๐—ฒฬ๐˜‚) unaandaliwa vyema kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya klabu ya Arsenal FC ambao iliitwanga Real Madrid mabao matatu kwa sifuri (0-3).

    Klabu ya Real Madrid inatakiwa kufunga angalau mabao matatu ili kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) ilihali klabu ya Arsenal FC ina rekodi ya kutokufungwa mabao matatu katika mchezo mmoja tangu Desemba 2023 yaani mechi 83 zimepita kwa klabu ya Arsenal FC bila kuruhusu mabao matatu.

    Tunaambiwa Uwanja wa klabu ya Real Madrid (๐—ฆ๐—ฎ๐—ป๐˜๐—ถ๐—ฎ๐—ด๐—ผ ๐—•๐—ฒ๐—ฟ๐—ป๐—ฎ๐—ฏ๐—ฒฬ๐˜‚) unaandaliwa vyema kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya klabu ya Arsenal FC ambao iliitwanga Real Madrid mabao matatu kwa sifuri (0-3). Klabu ya Real Madrid inatakiwa kufunga angalau mabao matatu ili kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) ilihali klabu ya Arsenal FC ina rekodi ya kutokufungwa mabao matatu katika mchezo mmoja tangu Desemba 2023 yaani mechi 83 zimepita kwa klabu ya Arsenal FC bila kuruhusu mabao matatu.
    Like
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท406 Views
  • #SportsElite
    #UEFAConferenceligue
    #SportsElite #UEFAConferenceligue
    Like
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท596 Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue
    0 Comments ยท0 Shares ยท587 Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue
    Wow
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท590 Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue Round 16
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue Round 16
    Wow
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท594 Views
  • #SportsElite
    #UEFAEUROPALigue Round 16
    #SportsElite #UEFAEUROPALigue Round 16
    Love
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท613 Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue FT
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue FT
    Sad
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท655 Views
  • “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu.

    Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets.

    Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake?

    Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini?

    Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.

    “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu. Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets. Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake? Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini? Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Comments ยท0 Shares ยท1K Views
  • #SportsElite ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: David Alaba atarejea kwenye mchezo was UEFA thidi ya Man City,mchezo wa awali Madrid walishinda 3-2
    #SportsElite๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: David Alaba atarejea kwenye mchezo was UEFA thidi ya Man City,mchezo wa awali Madrid walishinda 3-2
    Yay
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท513 Views
  • #SportsElite
    #UEFA
    #SportsElite #UEFA
    Love
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท327 Views
  • #SprtsElite
    #UEFA FT
    #SprtsElite #UEFA FT
    Sad
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท460 Views
  • #SportsElite #UEFA
    #SportsElite #UEFA
    Love
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท281 Views
  • #SportsElite #UEFA...Manchester City itamenyana na Real Madrid katika nusu fainali ya kombe la Ligi ya Mabingwa siku ya Jumanne Uwanjani Etihad.

    City ilifikia kiwango hiki baada ya kumaliza nafasi ya 22 kwenye jedwali lililopangwa upya la kombe la Ligi ya Mabingwa kuanzia msimu huu.

    Real Madrid, ambao walishinda Ligi ya Mabingwa mara ya 15 kwa jumla msimu uliopita, walimaliza katika nafasi ya 11 kwenye jedwali, wakiwa wameshinda mechi tano kati ya nane na kupoteza tatu.

    Hii itakuwa mara ya tano kwa City na Real kukutana katika misimu sita iliyopita.
    #SportsElite #UEFA...Manchester City itamenyana na Real Madrid katika nusu fainali ya kombe la Ligi ya Mabingwa siku ya Jumanne Uwanjani Etihad. City ilifikia kiwango hiki baada ya kumaliza nafasi ya 22 kwenye jedwali lililopangwa upya la kombe la Ligi ya Mabingwa kuanzia msimu huu. Real Madrid, ambao walishinda Ligi ya Mabingwa mara ya 15 kwa jumla msimu uliopita, walimaliza katika nafasi ya 11 kwenye jedwali, wakiwa wameshinda mechi tano kati ya nane na kupoteza tatu. Hii itakuwa mara ya tano kwa City na Real kukutana katika misimu sita iliyopita.
    Love
    1
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท426 Views
  • Ila UEFA
    Ila UEFA ๐Ÿคฃ
    Haha
    1
    ยท 1 Comments ยท0 Shares ยท328 Views
  • Msimamo wa UEFA Champions League hadi sasa
    Msimamo wa UEFA Champions League hadi sasa๐Ÿ‘
    Like
    1
    ยท 1 Comments ยท0 Shares ยท419 Views
  • Timu gani unaipa nafasi kushinda Kombe la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA CL)?

    1. Liverpool
    2. Barcelona
    3. Inter Milan
    4. Arsenal
    5. Real Madrid
    Timu gani unaipa nafasi kushinda Kombe la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA CL)? 1. Liverpool 2. Barcelona 3. Inter Milan 4. Arsenal 5. Real Madrid
    Like
    1
    ยท 1 Comments ยท0 Shares ยท696 Views
  • HIZI NI PICHA TU MWANANGU 2

    Hizi ni Picha Tu mwanangu Picha Ya kwanza inatoka Katika Maktaba Ya Philippe Desmazes.

    Na sio picha iliyotoka kwa Lukamba wa Zamani Wa Nasibu Nyange La hasha

    Ni Ndani Ndani picha za Madrid Wanamtambulisha marcelo Aliyetoka Nchini kwao Fluminense.

    Akiwa na Miaka 15 pekee kwenye soka la kukuza vijana ndani ya klabu ya Madrid.

    Usajili Wa kijana Mdogo Kutoka Kule Rio De Janeiro Nchini Brazil.

    Picha Nyingine Ya Pili Kutoka Katika Maktaba Ya Simon stackpole.

    Marcelo Viera Da silva Junior Alicheza Mechi Ya Kwanza Ndani Ya Uzi Wa Madrid mwaka 2007 Tarehe 7 January.

    Siku Iliyomtambulisha Marcelo Duniani Katika Soka.

    Anacheza mechi Dhidi Ya Deportivo.
    Akitokea Bench Ndani Ya dakika 80.

    Hizi ni picha 2 Mwanangu picha mojawapo za Kumbukumbu kwake marcelo ndani ya madrid.

    Marcelo Ameshinda Makombe 22 Ndani Ya Uzi Madrid.

    4x UCL
    5x La Liga
    2x Copa del Rey
    4x Supercopa
    4x Club World Cup
    3x UEFA Super Cup

    OYA HIZI NI PICHA TU MWANANGU
    #neliudcosiah


    HIZI NI PICHA TU MWANANGU 2 โœ๏ธ Hizi ni Picha Tu mwanangu Picha Ya kwanza inatoka Katika Maktaba Ya Philippe Desmazes. Na sio picha iliyotoka kwa Lukamba wa Zamani Wa Nasibu Nyange La hasha Ni Ndani Ndani picha za Madrid Wanamtambulisha marcelo Aliyetoka Nchini kwao Fluminense. Akiwa na Miaka 15 pekee kwenye soka la kukuza vijana ndani ya klabu ya Madrid. Usajili Wa kijana Mdogo Kutoka Kule Rio De Janeiro Nchini Brazil. Picha Nyingine Ya Pili Kutoka Katika Maktaba Ya Simon stackpole. Marcelo Viera Da silva Junior Alicheza Mechi Ya Kwanza Ndani Ya Uzi Wa Madrid mwaka 2007 Tarehe 7 January. Siku Iliyomtambulisha Marcelo Duniani Katika Soka. Anacheza mechi Dhidi Ya Deportivo. Akitokea Bench Ndani Ya dakika 80. Hizi ni picha 2 Mwanangu picha mojawapo za Kumbukumbu kwake marcelo ndani ya madrid. Marcelo Ameshinda Makombe 22 Ndani Ya Uzi Madrid. ๐Ÿ†4x UCL ๐Ÿ†5x La Liga ๐Ÿ†2x Copa del Rey ๐Ÿ†4x Supercopa ๐Ÿ†4x Club World Cup ๐Ÿ†3x UEFA Super Cup OYA HIZI NI PICHA TU MWANANGUโœ๏ธ #neliudcosiah
    Like
    2
    ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท761 Views
  • Matokeo ya michezo ya Jana.

    Real Madrid 3๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ Pachuca

    EFL CUP

    - Arsenal 3๏ธโƒฃ-2๏ธโƒฃ Crystal Palace
    - Newcastle 3๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Brentford
    - Southampton 1๏ธโƒฃ-2๏ธโƒฃ Liverpool

    LA LIGA

    - Espanyol 1๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Valence
    - Villarreal 1๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Rayo Vallecano

    COPPA ITALIA

    - Atalanta 6๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Cesena
    - Roma 4๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Sampdoria

    LIGUE 1

    - Monaco 2๏ธโƒฃ-4๏ธโƒฃ PSG

    KNVB BEKER

    - Katwijk 2๏ธโƒฃ-3๏ธโƒฃ Twente
    - AFC 0๏ธโƒฃ-8๏ธโƒฃ Utrecht
    - ASWH 0๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Heerenveen
    - Heracles Almelo 0๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ NEC (AP 1๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ)
    - Sparta Rotterdam 1๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Go Ahead Eagles (4๏ธโƒฃ-5๏ธโƒฃ)
    - AZ 3๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Groningue

    TACA DE PORTUGAL

    - Sporting 1๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Santa Clara (2๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ)

    PSL

    - Stellenbosch 0๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Mamelodi Sundowns

    UEFA Champions League (Wanawake)

    - FC Barcelona 3๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ Manchester City
    - St.Pölten 1๏ธโƒฃ-2๏ธโƒฃ Hammarby
    - Arsenal 3๏ธโƒฃ-2๏ธโƒฃ Bayern Munich
    - Juventus 3๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ Valerenga

    SEGUNDA DIVISION

    - Ferrol 1๏ธโƒฃ-4๏ธโƒฃ Almeria
    - Malaga 3๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ Eldense
    - Mirandes 1๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Sporting Gijon

    Matokeo ya michezo ya Jana. Real Madrid 3๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ Pachuca ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ EFL CUP - Arsenal 3๏ธโƒฃ-2๏ธโƒฃ Crystal Palace - Newcastle 3๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Brentford - Southampton 1๏ธโƒฃ-2๏ธโƒฃ Liverpool ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ LA LIGA - Espanyol 1๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Valence - Villarreal 1๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Rayo Vallecano ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น COPPA ITALIA - Atalanta 6๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Cesena - Roma 4๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Sampdoria ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท LIGUE 1 - Monaco 2๏ธโƒฃ-4๏ธโƒฃ PSG ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ KNVB BEKER - Katwijk 2๏ธโƒฃ-3๏ธโƒฃ Twente - AFC 0๏ธโƒฃ-8๏ธโƒฃ Utrecht - ASWH 0๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Heerenveen - Heracles Almelo 0๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ NEC (AP 1๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ) - Sparta Rotterdam 1๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Go Ahead Eagles (4๏ธโƒฃ-5๏ธโƒฃ) - AZ 3๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Groningue ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น TACA DE PORTUGAL - Sporting 1๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Santa Clara (2๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ) ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ PSL - Stellenbosch 0๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Mamelodi Sundowns ๐ŸŒ UEFA Champions League (Wanawake) - FC Barcelona 3๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ Manchester City - St.Pölten 1๏ธโƒฃ-2๏ธโƒฃ Hammarby - Arsenal 3๏ธโƒฃ-2๏ธโƒฃ Bayern Munich - Juventus 3๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ Valerenga ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ SEGUNDA DIVISION - Ferrol 1๏ธโƒฃ-4๏ธโƒฃ Almeria - Malaga 3๏ธโƒฃ-0๏ธโƒฃ Eldense - Mirandes 1๏ธโƒฃ-1๏ธโƒฃ Sporting Gijon
    0 Comments ยท0 Shares ยท972 Views
  • ๐—™๐—”๐—–๐—ง๐—ฆ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ญ๐—”

    โžœ Mtoto wa Cristiano Ronaldo, Ronaldo Junior na mtoto wa Lionel Messi, Thiago Andreas Messi wanapishana siku (869) za kuzaliwa, sawa na umri wanaopishana baba zao Lionel Messi na Cristiano Ronaldo

    โžœ Kocha Jose Mourinho hakuwahi kupoteza mechi nyumbani kwa muda wa miaka (9) sawa na Michezo (150) akiwa kocha wa FC Porto, Chelsea, Inter Milan na Real Madrid kuanzia 16 March 2002 hadi 2 April 2011.

    โžœ Beki wa kati, John Terry amefunga magoli mengi (EPL) akiwa Chelsea (68 ) kumzidi fundi Andres Iniesta aliyefunga mabao (35) tu La Liga akiwa FC Barcelona.

    โžœ Mark Hughes na Cole Palmer ndio wachezaji (2) pekee ambao walicheza mechi (2) tofauti (rasmi) ndani ya siku moja.

    • Asubuhi Mark Hughes aliitumikia timu ya Taifa ya Wales na Alasiri ya siku hiyo hiyo akaitumikia klabu ya Bayern Munich

    • Cole Palmer aliitumikia klabu ya Manchester city (Senior team) Alasiri na Jioni na akafunga Hattrick akiwa team (B U23).

    โžœ 2016 Cristiano Ronaldo alitwaa makombe (4) kuzidi idadi ya mechi alizopoteza (3).

    โžœ Lionel Messi ndiye mchezaji pekee aliyetwaa tuzo ya Ballon d'or katika Decades | Miongo (3) tofauti kwenye historia.

    โžœ Left Fullback,, Layvin Kurzawa ana hat-trick nyingi UEFA champions league kuwazidi Xavi, Zidane, Kroos na Suarez kwa pamoja !!

    โžœ Raphinha ana hatricks nyingi La liga kumzidi Ronaldinho Gaucho !.

    โžœ Neymar alikuwa mchezaji wa kwanza wa FC Barcelona kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi La liga (November 2015).

    โžœ Klabu ya Nottingham Forest imetwaa makombe mengi ya European Cup mara nyingi zaidi kuliko klabu za Manchester City, Arsenal, Atletico Madrid na Tottenham kwa pamoja Kabla ya Kombe Hilo kuitwa UEFA champions league.

    โžœ Klabu ya Chelsea ilishashuka daraja mara (6), mara nyingi kuliko idadi ya makombe ya (EPL) waliyotwaa mpaka sasa (5).

    โžœ Harry Maguire ndiye mchezaji pekee England aliyewahi kushuka daraja mara mbili katika msimu mmoja na amewahi kushuka daraja mara (5) kwenye career yake

    โžœ Kingsley Coman ndiye mchezaji pekee Ulaya kwa sasa mwenye makombe mengi zaidi (29) kuliko umri wake (28 yrs)

    โžœ Real Madrid ndiyo timu pekee Ulaya iliyocheza mechi rasmi ya ushindani kwenye fainali dhidi ya timu yake (B).

    • 1980 Real Madrid walitwaa kombe la Copa Del Rey kwa kuifunga Real Madrid (B) mabao (6-1), Mechi hiyo ilichezwa Bernabeu.

    โžœ Jamie Carragher amejifunga magoli mengi (7) kuliko idadi ya magoli aliyoifungia klabu ya Liverpool (3) !

    โžœ Juventus waliuza jezi (0) za Lord Nicklas Bendtner katika msimu mzima.

    โžœ Zidane ndiye mchezaji pekee aliyeoneshwa kadi nyekundu (Straight red card) kisha akatwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano (World cup 2006) siku hiyohiyo aliyooneshwa red card.

    โ™  Fundi Wa Mpira Kevin De Bruyne Ajawahi kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Wa Mwenzi wowote Toka aanze kuitumikia Manchester City

    FACTS gani imekushangaza ?

    ๐Ÿšจ๐—™๐—”๐—–๐—ง๐—ฆ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ญ๐—” โžœ Mtoto wa Cristiano Ronaldo, Ronaldo Junior na mtoto wa Lionel Messi, Thiago Andreas Messi wanapishana siku (869) za kuzaliwa, sawa na umri wanaopishana baba zao Lionel Messi ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท na Cristiano Ronaldo ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น โžœ Kocha Jose Mourinho hakuwahi kupoteza mechi nyumbani kwa muda wa miaka (9) sawa na Michezo (150) akiwa kocha wa FC Porto, Chelsea, Inter Milan na Real Madrid kuanzia 16 March 2002 hadi 2 April 2011. โžœ Beki wa kati, John Terry amefunga magoli mengi (EPL) akiwa Chelsea (68 โšฝ) kumzidi fundi Andres Iniesta aliyefunga mabao (35) tu La Liga akiwa FC Barcelona. โžœ Mark Hughes na Cole Palmer ndio wachezaji (2) pekee ambao walicheza mechi (2) tofauti (rasmi) ndani ya siku moja. • Asubuhi Mark Hughes aliitumikia timu ya Taifa ya Wales ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ท๓ ฌ๓ ณ๓ ฟ na Alasiri ya siku hiyo hiyo akaitumikia klabu ya Bayern Munich ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช • Cole Palmer aliitumikia klabu ya Manchester city (Senior team) Alasiri na Jioni na akafunga Hattrick akiwa team (B U23). โžœ 2016 Cristiano Ronaldo alitwaa makombe (4) kuzidi idadi ya mechi alizopoteza (3). โžœ Lionel Messi ndiye mchezaji pekee aliyetwaa tuzo ya Ballon d'or katika Decades | Miongo (3) tofauti kwenye historia. โžœ Left Fullback,, Layvin Kurzawa ana hat-trick nyingi UEFA champions league kuwazidi Xavi, Zidane, Kroos na Suarez kwa pamoja !! โžœ Raphinha ana hatricks nyingi La liga kumzidi Ronaldinho Gaucho !. โžœ Neymar alikuwa mchezaji wa kwanza wa FC Barcelona kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi La liga (November 2015). โžœ Klabu ya Nottingham Forest imetwaa makombe mengi ya European Cup mara nyingi zaidi kuliko klabu za Manchester City, Arsenal, Atletico Madrid na Tottenham kwa pamoja Kabla ya Kombe Hilo kuitwa UEFA champions league. โžœ Klabu ya Chelsea ilishashuka daraja mara (6), mara nyingi kuliko idadi ya makombe ya (EPL) waliyotwaa mpaka sasa (5). โžœ Harry Maguire ndiye mchezaji pekee England aliyewahi kushuka daraja mara mbili katika msimu mmoja na amewahi kushuka daraja mara (5) kwenye career yake ๐Ÿ˜€ โžœ Kingsley Coman ndiye mchezaji pekee Ulaya kwa sasa mwenye makombe mengi zaidi (29) kuliko umri wake (28 yrs) โžœ Real Madrid ndiyo timu pekee Ulaya iliyocheza mechi rasmi ya ushindani kwenye fainali dhidi ya timu yake (B). • 1980 Real Madrid walitwaa kombe la Copa Del Rey kwa kuifunga Real Madrid (B) mabao (6-1), Mechi hiyo ilichezwa Bernabeu. โžœ Jamie Carragher amejifunga magoli mengi (7) kuliko idadi ya magoli aliyoifungia klabu ya Liverpool (3) ! ๐Ÿ˜€ โžœ Juventus waliuza jezi (0) za Lord Nicklas Bendtner katika msimu mzima. โžœ Zidane ndiye mchezaji pekee aliyeoneshwa kadi nyekundu (Straight red card) kisha akatwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashindano (World cup 2006) siku hiyohiyo aliyooneshwa red card. ♠ Fundi Wa Mpira Kevin De Bruyne Ajawahi kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora Wa Mwenzi wowote Toka aanze kuitumikia Manchester City FACTS gani imekushangaza ? ๐Ÿ˜Ž
    0 Comments ยท0 Shares ยท1K Views
  • RADA YETU; Jana katika mchezo wa Yanga Al hilal Omdurman baada ya yanga kupeteza mchezo na kufungwa goli 2 Kwa 0, ilionekana kuwa kocha mpya SEAD RAMOVIC Hana uwezo wakuinoa timu kubwa Dar young Africa na wengine wakasema wachezaji wote wa yanga wameshuka kiwango!! Hii sio kweli baada ya kuwashia RADA yetu ituoneshe nini kimeisibu timu ya yanga tumepata majibu kwamba Wachezaji wote wana AGENDA NYETI waliyo nayo Kwa uongozi wa yanga sema wanakosa muda wataiwasilisha vip ndiomaana wanaionesha wazi wanapo kuwa mchezoni (wanacheza chini ya kiwango ) ili kusudi waketishwe na mjadara uanze, anaye Pinga hili basi atapata majibu sahihi baada ya kusikia wachezaji wa yanga waketishwa chini ( PLAYERS MEETING), hii itasaidia timu kurudi katika ubora wake na Kono lanyani Back again .
    #sokachampions
    #soccersportstz
    #uefachampionsleague2024
    #tanzania
    #sports
    #milardayo
    #AzamTVBurudaniKwaWote
    #YoungAfricans
    #cafchampionsleague2024
    RADA YETU๐ŸŒ; Jana katika mchezo wa Yanga ๐Ÿ†š Al hilal Omdurman baada ya yanga kupeteza mchezo na kufungwa goli 2 Kwa 0, ilionekana kuwa kocha mpya SEAD RAMOVIC Hana uwezo wakuinoa timu kubwa Dar young Africa na wengine wakasema wachezaji wote wa yanga wameshuka kiwango!! Hii sio kweli baada ya kuwashia RADA yetu ituoneshe nini kimeisibu timu ya yanga tumepata majibu kwamba Wachezaji wote wana AGENDA NYETI waliyo nayo Kwa uongozi wa yanga sema wanakosa muda wataiwasilisha vip ndiomaana wanaionesha wazi wanapo kuwa mchezoni (wanacheza chini ya kiwango ) ili kusudi waketishwe na mjadara uanze, anaye Pinga hili basi atapata majibu sahihi baada ya kusikia wachezaji wa yanga waketishwa chini ( PLAYERS MEETING)๐Ÿซ‚, hii itasaidia timu kurudi katika ubora wake na ๐Ÿ–๏ธKono lanyani Back again ๐Ÿ™. #sokachampions #soccersportstz #uefachampionsleague2024 #tanzania #sports #milardayo #AzamTVBurudaniKwaWote #YoungAfricans #cafchampionsleague2024
    Like
    Love
    Haha
    6
    ยท 3 Comments ยท0 Shares ยท2K Views
More Results