• Match Day | SEMI FINAL

    ⚪️ UEFA Nations League

    Ⓜ  Spain France
      Midnight
    EAT | 22:00 PM
    EAT | 22:00 PM
      IND | 12:30 AM
      UAE | 11:00 PM
    ZIM | 09:00 PM
    GMT | 19:00
      Live Link
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match


    𝗠𝗼𝗿𝗲 𝗠𝗮𝘁𝗰𝗵𝗲𝘀:
    ⚪️ World Cup Qualification CONMEBOL

    Ecuador Vs Brazil 02:00 EAT
    Paraguay Vs Uruguay 02:00 EAT
    Chile Vs Argentina 04:00 EAT
      https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match

    #Share

    𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V5
    ▶︎ ●────────── 0:41
    ⚡ Match Day | SEMI FINAL ✨ ⚪️🟢 UEFA Nations League Ⓜ  Spain 🇪🇸 🆚 France 🇫🇷 📅  Midnight 🇹🇿 EAT | 22:00 PM 🇰🇪 EAT | 22:00 PM 🇮🇳  IND | 12:30 AM 🇦🇪  UAE | 11:00 PM 🇿🇼 ZIM | 09:00 PM 🌎 GMT | 19:00 📺  Live Link 👉 https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match 🔴🔴 𝗠𝗼𝗿𝗲 𝗠𝗮𝘁𝗰𝗵𝗲𝘀: ⚪️🟢 World Cup Qualification CONMEBOL Ecuador 🇪🇨 Vs Brazil 🇧🇷 02:00 EAT Paraguay 🇵🇾 Vs Uruguay 🇺🇾 02:00 EAT Chile 🇨🇱 Vs Argentina 🇦🇷 04:00 EAT 👉  https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match #Share ⚽🔜 𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙 V5 ▶︎ ●────────── 0:41
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·393 Visualizações
  • Match Day | SEMI FINAL

    ⚪️ UEFA Nations League

    Ⓜ  Germany Portugal
      Midnight
    EAT | 22:00 PM
    EAT | 22:00 PM
      IND | 12:30 AM
      UAE | 11:00 PM
    ZIM | 09:00 PM
      Live Link
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match


    𝗠𝗼𝗿𝗲 𝗠𝗮𝘁𝗰𝗵𝗲𝘀:
      https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match

    #Share
    ⚡ Match Day | SEMI FINAL ✨ ⚪️🟢 UEFA Nations League Ⓜ  Germany 🆚 Portugal 📅  Midnight 🇹🇿 EAT | 22:00 PM 🇰🇪 EAT | 22:00 PM 🇮🇳  IND | 12:30 AM 🇦🇪  UAE | 11:00 PM 🇿🇼 ZIM | 09:00 PM 📺  Live Link 👉 https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match 🔴🔴 𝗠𝗼𝗿𝗲 𝗠𝗮𝘁𝗰𝗵𝗲𝘀: 👉  https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match #Share ⚽🔜
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·406 Visualizações
  • UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL MATCH

    Psg Vs Inter milan 22:00 EAT
    🏟 Allianz Arena

    Live at
    https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
    UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL MATCH Psg Vs Inter milan 22:00 EAT 🏟 Allianz Arena Live at 👇👇 https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·367 Visualizações
  • OFFICIAL Chelsea ni timu ya kwanza katika historia kushinda michuano minne tofauti ya UEFA.

    UEFA Europa Conference
    UEFA Champions League
    UEFA Europa League
    UEFA Cup Winner's Cup

    #SportsElite
    🏆💣 OFFICIAL Chelsea ni timu ya kwanza katika historia kushinda michuano minne tofauti ya UEFA. 🏆 UEFA Europa Conference 🏆🏆 UEFA Champions League 🏆🏆 UEFA Europa League 🏆🏆 UEFA Cup Winner's Cup #SportsElite
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·385 Visualizações
  • Tunaambiwa Uwanja wa klabu ya Real Madrid (𝗦𝗮𝗻𝘁𝗶𝗮𝗴𝗼 𝗕𝗲𝗿𝗻𝗮𝗯𝗲́𝘂) unaandaliwa vyema kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya klabu ya Arsenal FC ambao iliitwanga Real Madrid mabao matatu kwa sifuri (0-3).

    Klabu ya Real Madrid inatakiwa kufunga angalau mabao matatu ili kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) ilihali klabu ya Arsenal FC ina rekodi ya kutokufungwa mabao matatu katika mchezo mmoja tangu Desemba 2023 yaani mechi 83 zimepita kwa klabu ya Arsenal FC bila kuruhusu mabao matatu.

    Tunaambiwa Uwanja wa klabu ya Real Madrid (𝗦𝗮𝗻𝘁𝗶𝗮𝗴𝗼 𝗕𝗲𝗿𝗻𝗮𝗯𝗲́𝘂) unaandaliwa vyema kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya klabu ya Arsenal FC ambao iliitwanga Real Madrid mabao matatu kwa sifuri (0-3). Klabu ya Real Madrid inatakiwa kufunga angalau mabao matatu ili kufufua matumaini ya kufuzu hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champions League) ilihali klabu ya Arsenal FC ina rekodi ya kutokufungwa mabao matatu katika mchezo mmoja tangu Desemba 2023 yaani mechi 83 zimepita kwa klabu ya Arsenal FC bila kuruhusu mabao matatu.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·695 Visualizações
  • #SportsElite
    #UEFAConferenceligue
    #SportsElite #UEFAConferenceligue
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·952 Visualizações
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·940 Visualizações
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue
    Wow
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·934 Visualizações
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue Round 16
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue Round 16
    Wow
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·935 Visualizações
  • #SportsElite
    #UEFAEUROPALigue Round 16
    #SportsElite #UEFAEUROPALigue Round 16
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·995 Visualizações
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue FT
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue FT
    Sad
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu.

    Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets.

    Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake?

    Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini?

    Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.

    “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu. Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets. Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake? Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini? Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • #SportsElite 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: David Alaba atarejea kwenye mchezo was UEFA thidi ya Man City,mchezo wa awali Madrid walishinda 3-2
    #SportsElite🇪🇸 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: David Alaba atarejea kwenye mchezo was UEFA thidi ya Man City,mchezo wa awali Madrid walishinda 3-2
    Yay
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·775 Visualizações
  • #SportsElite
    #UEFA
    #SportsElite #UEFA
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·543 Visualizações
  • #SprtsElite
    #UEFA FT
    #SprtsElite #UEFA FT
    Sad
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·713 Visualizações
  • #SportsElite #UEFA
    #SportsElite #UEFA
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·468 Visualizações
  • #SportsElite #UEFA...Manchester City itamenyana na Real Madrid katika nusu fainali ya kombe la Ligi ya Mabingwa siku ya Jumanne Uwanjani Etihad.

    City ilifikia kiwango hiki baada ya kumaliza nafasi ya 22 kwenye jedwali lililopangwa upya la kombe la Ligi ya Mabingwa kuanzia msimu huu.

    Real Madrid, ambao walishinda Ligi ya Mabingwa mara ya 15 kwa jumla msimu uliopita, walimaliza katika nafasi ya 11 kwenye jedwali, wakiwa wameshinda mechi tano kati ya nane na kupoteza tatu.

    Hii itakuwa mara ya tano kwa City na Real kukutana katika misimu sita iliyopita.
    #SportsElite #UEFA...Manchester City itamenyana na Real Madrid katika nusu fainali ya kombe la Ligi ya Mabingwa siku ya Jumanne Uwanjani Etihad. City ilifikia kiwango hiki baada ya kumaliza nafasi ya 22 kwenye jedwali lililopangwa upya la kombe la Ligi ya Mabingwa kuanzia msimu huu. Real Madrid, ambao walishinda Ligi ya Mabingwa mara ya 15 kwa jumla msimu uliopita, walimaliza katika nafasi ya 11 kwenye jedwali, wakiwa wameshinda mechi tano kati ya nane na kupoteza tatu. Hii itakuwa mara ya tano kwa City na Real kukutana katika misimu sita iliyopita.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·641 Visualizações
  • Ila UEFA
    Ila UEFA 🤣
    Haha
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·515 Visualizações
  • Msimamo wa UEFA Champions League hadi sasa
    Msimamo wa UEFA Champions League hadi sasa👐
    Like
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·597 Visualizações
  • Timu gani unaipa nafasi kushinda Kombe la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA CL)?

    1. Liverpool
    2. Barcelona
    3. Inter Milan
    4. Arsenal
    5. Real Madrid
    Timu gani unaipa nafasi kushinda Kombe la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA CL)? 1. Liverpool 2. Barcelona 3. Inter Milan 4. Arsenal 5. Real Madrid
    Like
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·976 Visualizações
Páginas Impulsionadas