• "Naweza kudate na kumvumilia Mwanaume asiyekuwa na pesa, Lakini siwezi kudumu hata kidogo na Mwanaume bahili kwenye swala la pesa."

    - Poshy Queen, Mwanamitandao maarufu Tanzania.

    Toa maoni yako
    #Udaku
    "Naweza kudate na kumvumilia Mwanaume asiyekuwa na pesa, Lakini siwezi kudumu hata kidogo na Mwanaume bahili kwenye swala la pesa." - Poshy Queen, Mwanamitandao maarufu Tanzania. Toa maoni yako #Udaku
    0 Kommentare 0 Anteile 17 Ansichten
  • Karen Bujulu afunguka kuhusu Juma Jux: “Moyo wangu ni mweupe, sina kinyongo”.

    Mrembo Karen Bujulu, ambaye aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mkali wa RnB kutoka Tanzania, Juma Jux, amevunja ukimya na kueleza hisia zake kufuatia ndoa ya aliyekuwa Mpenzi wake huyo.

    Kupitia maelezo yake ya hivi karibuni, Karen amesisitiza kuwa hana chuki wala kinyongo chochote, licha ya watu wengi kudhani kuwa bado anaumizwa na uamuzi wa Jux kufunga ndoa.

    “Hadi leo watu wengi wanadhani moyo wangu unapitia maumivu makali mno kwa kitendo cha Ex wangu kufunga ndoa, hilo jambo halipo. Mnapaswa kujua kuwa moyo wangu ni mweupe na sina kinyongo chochote, nimeisha achilia kila kitu. Nimefungua ukurasa mpya kabisa na ninafurahia maisha haya mapya.”

    Kauli hiyo imeibua mjadala mpana mitandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakimpongeza kwa ukomavu wa kiakili na kihisia, na wengine wakichambua kwa kina historia ya uhusiano wao.

    Ikumbukwe kuwa wakati uhusiano wao ulipovunjika, baadhi ya wanablogu waliibua madai kuwa chanzo kilikuwa ni Karen kuhusishwa kimapenzi na Ommy Dimpoz. Hata hivyo, Karen aliwahi kukanusha taarifa hizo na kueleza kuwa hazikuwa na ukweli wowote.

    Tangu wakati huo, kila mmoja ameendelea na maisha yake, huku Jux akiingia katika hatua mpya ya ndoa na Karen akisisitiza kuwa yeye pia ameanza safari mpya ya maisha.

    (Maoni Yangu)

    Kwa mtazamo wa kijamii na kisaikolojia, kauli ya Karen inaonyesha kiwango fulani cha ukomavu wa kihisia (emotional maturity). Katika uhusiano ya hadharani, mara nyingi presha ya mitandao ya kijamii huongeza maumivu au kuzalisha simulizi zisizo sahihi.

    Kukubali hali, kuachilia yaliyopita na kuendelea mbele ni ishara ya mtu aliyeamua kulinda amani yake ya ndani. Aidha, ni fundisho kwa jamii kuwa si kila uhusiano unaovunjika lazima uishe kwa chuki au visasi.

    Kwa upande mwingine, ni muhimu pia kutambua kuwa watu mashuhuri huishi chini ya lenzi ya umma, hivyo kila kauli au tukio huwa na tafsiri nyingi tofauti.

    Wewe unaonaje? Je, unaamini kweli hakuna maumivu yaliyobaki, au ni njia ya kulinda heshima yake mbele ya umma?

    Toa maoni yako
    #Udaku
    #Habari
    Karen Bujulu afunguka kuhusu Juma Jux: “Moyo wangu ni mweupe, sina kinyongo”. Mrembo Karen Bujulu, ambaye aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mkali wa RnB kutoka Tanzania, Juma Jux, amevunja ukimya na kueleza hisia zake kufuatia ndoa ya aliyekuwa Mpenzi wake huyo. Kupitia maelezo yake ya hivi karibuni, Karen amesisitiza kuwa hana chuki wala kinyongo chochote, licha ya watu wengi kudhani kuwa bado anaumizwa na uamuzi wa Jux kufunga ndoa. “Hadi leo watu wengi wanadhani moyo wangu unapitia maumivu makali mno kwa kitendo cha Ex wangu kufunga ndoa, hilo jambo halipo. Mnapaswa kujua kuwa moyo wangu ni mweupe na sina kinyongo chochote, nimeisha achilia kila kitu. Nimefungua ukurasa mpya kabisa na ninafurahia maisha haya mapya.” Kauli hiyo imeibua mjadala mpana mitandaoni, huku baadhi ya mashabiki wakimpongeza kwa ukomavu wa kiakili na kihisia, na wengine wakichambua kwa kina historia ya uhusiano wao. Ikumbukwe kuwa wakati uhusiano wao ulipovunjika, baadhi ya wanablogu waliibua madai kuwa chanzo kilikuwa ni Karen kuhusishwa kimapenzi na Ommy Dimpoz. Hata hivyo, Karen aliwahi kukanusha taarifa hizo na kueleza kuwa hazikuwa na ukweli wowote. Tangu wakati huo, kila mmoja ameendelea na maisha yake, huku Jux akiingia katika hatua mpya ya ndoa na Karen akisisitiza kuwa yeye pia ameanza safari mpya ya maisha. (Maoni Yangu) Kwa mtazamo wa kijamii na kisaikolojia, kauli ya Karen inaonyesha kiwango fulani cha ukomavu wa kihisia (emotional maturity). Katika uhusiano ya hadharani, mara nyingi presha ya mitandao ya kijamii huongeza maumivu au kuzalisha simulizi zisizo sahihi. Kukubali hali, kuachilia yaliyopita na kuendelea mbele ni ishara ya mtu aliyeamua kulinda amani yake ya ndani. Aidha, ni fundisho kwa jamii kuwa si kila uhusiano unaovunjika lazima uishe kwa chuki au visasi. Kwa upande mwingine, ni muhimu pia kutambua kuwa watu mashuhuri huishi chini ya lenzi ya umma, hivyo kila kauli au tukio huwa na tafsiri nyingi tofauti. Wewe unaonaje? Je, unaamini kweli hakuna maumivu yaliyobaki, au ni njia ya kulinda heshima yake mbele ya umma? Toa maoni yako #Udaku #Habari
    0 Kommentare 0 Anteile 18 Ansichten
  • DRC SAGA - PART 1

    (TAHADHARI: kama wwe ni mpenzi wa udaku au story fupifupi usisome. Hii ni kwa ajili ya watu wenye "solid mind" na wanaopenda kujifunza).
    ______
    Mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) umebeba historia ndefu inayohitaji muda mrefu kuielezea, lakini nitajaribu kuifupisha kwa kuangazia mambo machache muhimu.

    Mpelelezi wa Kiingereza, John Speke, katika kitabu chake Journal of the Discovery of the Source of the Nile (1863), aliandika kuwa asili ya Watutsi ni Pembe ya Afrika (Ethiopia, Somalia, Djibouti), na kwamba walihama katika karne ya 12 wakielekea eneo la Maziwa Makuu. Walifanya makazi yao katika maeneo ya kaskazini-magharibi mwa Ziwa Tanganyika, eneo ambalo kwa sasa ni Rwanda, Burundi, na Congo. Walipowasili, walikuta wenyeji ambao Wahutu na Watwa, ambao waliishi nao kwa amani. Wahutu na Watwa walikuwa wakulima, huku Watutsi wakiwa wafugaji.

    Karne ya 18, wakoloni walipofika, waligawa maeneo ya kiutawala bila kuzingatia mipaka ya kijamii iliyokuwepo. Badala yake, walizingatia maslahi yao binafsi, jambo lililosababisha baadhi ya jamii kugawanyika katika mataifa mawili tofauti. Kwa mfano, jamii ya Wamasai iligawanywa kati ya Kenya na Tanganyika. Wahutu waligawanyika kati ya Rwanda na Burundi, huku Watutsi wakigawanyika Rwanda, Burundi na Congo maeneo ya Kivu kusini.

    Watutsi pamoja na kuwa wachache kwa idadi lakini walijikuta wameathirika zaidi kwa kugawanyika maeneo mengi. Waligawanyika katika mataifa matatu tofauti ingawa walikuwa watu wa jamii moja, walioongea lugha moja, wenye mila na desturi zinazofanana.

    Baada ya mipaka kuwekwa Watutsi waliojikuta katika eneo la Kivu (Congo) walitengwa na jamii nyingine za watu wa eneo hilo kama Wabembe, Wavira, na Wanyindu. Kwa kuwa sehemu kubwa ya Watutsi ilikua Rwanda, wale waliojikuta Congo walionekana kama wageni (externals) maana walikua 6% tu ya watu wa Kivu.

    Walishauriwa kuhamia Rwanda, lakini hawakua wanyarwanda. Ni Wakongomani waliozaliwa hapo. Babu zao walifika hapo karne ya 12 kama nilivyoeleza juu. Kabla ya ukoloni Watutsi wote walikua jamii moja. Lakini baada ya mipaka ya wakoloni wakajikuta wamegawanywa katika nchi 3 tofauti. Sasa wafanjeje?
    (Malisa GJ)

    DRC SAGA - PART 1 (TAHADHARI: kama wwe ni mpenzi wa udaku au story fupifupi usisome. Hii ni kwa ajili ya watu wenye "solid mind" na wanaopenda kujifunza). ______ Mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) umebeba historia ndefu inayohitaji muda mrefu kuielezea, lakini nitajaribu kuifupisha kwa kuangazia mambo machache muhimu. Mpelelezi wa Kiingereza, John Speke, katika kitabu chake Journal of the Discovery of the Source of the Nile (1863), aliandika kuwa asili ya Watutsi ni Pembe ya Afrika (Ethiopia, Somalia, Djibouti), na kwamba walihama katika karne ya 12 wakielekea eneo la Maziwa Makuu. Walifanya makazi yao katika maeneo ya kaskazini-magharibi mwa Ziwa Tanganyika, eneo ambalo kwa sasa ni Rwanda, Burundi, na Congo. Walipowasili, walikuta wenyeji ambao Wahutu na Watwa, ambao waliishi nao kwa amani. Wahutu na Watwa walikuwa wakulima, huku Watutsi wakiwa wafugaji. Karne ya 18, wakoloni walipofika, waligawa maeneo ya kiutawala bila kuzingatia mipaka ya kijamii iliyokuwepo. Badala yake, walizingatia maslahi yao binafsi, jambo lililosababisha baadhi ya jamii kugawanyika katika mataifa mawili tofauti. Kwa mfano, jamii ya Wamasai iligawanywa kati ya Kenya na Tanganyika. Wahutu waligawanyika kati ya Rwanda na Burundi, huku Watutsi wakigawanyika Rwanda, Burundi na Congo maeneo ya Kivu kusini. Watutsi pamoja na kuwa wachache kwa idadi lakini walijikuta wameathirika zaidi kwa kugawanyika maeneo mengi. Waligawanyika katika mataifa matatu tofauti ingawa walikuwa watu wa jamii moja, walioongea lugha moja, wenye mila na desturi zinazofanana. Baada ya mipaka kuwekwa Watutsi waliojikuta katika eneo la Kivu (Congo) walitengwa na jamii nyingine za watu wa eneo hilo kama Wabembe, Wavira, na Wanyindu. Kwa kuwa sehemu kubwa ya Watutsi ilikua Rwanda, wale waliojikuta Congo walionekana kama wageni (externals) maana walikua 6% tu ya watu wa Kivu. Walishauriwa kuhamia Rwanda, lakini hawakua wanyarwanda. Ni Wakongomani waliozaliwa hapo. Babu zao walifika hapo karne ya 12 kama nilivyoeleza juu. Kabla ya ukoloni Watutsi wote walikua jamii moja. Lakini baada ya mipaka ya wakoloni wakajikuta wamegawanywa katika nchi 3 tofauti. Sasa wafanjeje? (Malisa GJ)
    0 Kommentare 0 Anteile 1KB Ansichten
  • Udaku umetazamwa (view) na Watu zaidi laki nne (4) ila wimbo mpya Watazamaji (views) ni zaidi ya elfu (59) pekee... Yaani hawa ndio Ndugu wa Watazamaji .

    Ni umbea au udaku kwanza, mengine baadaye

    Udaku umetazamwa (view) na Watu zaidi laki nne (4) ila wimbo mpya Watazamaji (views) ni zaidi ya elfu (59) pekee... Yaani hawa ndio Ndugu wa Watazamaji 😂. Ni umbea au udaku kwanza, mengine baadaye 😂
    Like
    1
    0 Kommentare 0 Anteile 733 Ansichten
  • Udaku umetazamwa (view) na Watu zaidi laki nne (4) ila wimbo mpya Watazamaji (views) ni zaidi ya elfu (59) pekee... Yaani hawa ndio Ndugu wa Watazamaji .

    Ni umbea au udaku kwanza, mengine baadaye

    Udaku umetazamwa (view) na Watu zaidi laki nne (4) ila wimbo mpya Watazamaji (views) ni zaidi ya elfu (59) pekee... Yaani hawa ndio Ndugu wa Watazamaji 😂. Ni umbea au udaku kwanza, mengine baadaye 😂
    Like
    1
    0 Kommentare 0 Anteile 385 Ansichten