• Mwigizaji wa mrefu Tanzania, Jacqueline Wolper ametangaza rasmi kuachana na aliyekuwa Mumewe.

    "Hellow Mashabiki zangu, marafiki na Watanzania wote mnao nitakia mema.

    Ni kwa masikitiko mengi sana mmekuwa mkinitumia message, links, na Clips mbalimbali, huku mkinishauri, kuniombea na kunitia moyo. Nimepokea msg zenu zote kwa moyo wa Shukrani sana. Na Mungu awabariki wote mnao nitakia mema, na hata wale wenye nia tofauti na njema pia mbarikiwe.

    Lakini naomba niwatoe wasiwasi na mashaka juu ya furaha na amani ya moyo wangu. Mimi na mzazi mwenzangu Rich (Baba P) hatupo pamoja (TUMEACHANA). Nipo kwenye process za Divorce/Talaka. Hivyo, mashauri yote na huruma juu ya mambo yanayo endelea na mzazi mwenzangu, msiyalete kwangu tena. Ni mtu ambae yupo huru kufanya chochote kinacho mpendeza.

    Na hii niseme tu si kwa ubaya haijalishi mtalipokeaje wengine lakini maisha halisi ya ndoa yangu nayajua mimi na mwenzangu kwahiyo tutabaki kuheshimiana kama wazazi na kulea watoto wetu lakini swala la mahusiano ya ndoa hilo halipo!

    Nawapenda sana nashukuru kwa msg zenu nyingi za kunitia moyo kutokana na mambo mnayoyaona huko lakini niwaambie tu mimi nipo sawa na muache kunihusisha na mambo yanayoendelea kwa mzazi mwenzangu kwasababu hayanihusu na nisingependa kuongelea hayo 馃檹馃従馃檹馃従" ameandika Wolper.

    Mwigizaji wa mrefu Tanzania, Jacqueline Wolper ametangaza rasmi kuachana na aliyekuwa Mumewe. "Hellow Mashabiki zangu, marafiki na Watanzania wote mnao nitakia mema. Ni kwa masikitiko mengi sana mmekuwa mkinitumia message, links, na Clips mbalimbali, huku mkinishauri, kuniombea na kunitia moyo. Nimepokea msg zenu zote kwa moyo wa Shukrani sana. Na Mungu awabariki wote mnao nitakia mema, na hata wale wenye nia tofauti na njema pia mbarikiwe. Lakini naomba niwatoe wasiwasi na mashaka juu ya furaha na amani ya moyo wangu. Mimi na mzazi mwenzangu Rich (Baba P) hatupo pamoja (TUMEACHANA). Nipo kwenye process za Divorce/Talaka. Hivyo, mashauri yote na huruma juu ya mambo yanayo endelea na mzazi mwenzangu, msiyalete kwangu tena. Ni mtu ambae yupo huru kufanya chochote kinacho mpendeza. Na hii niseme tu si kwa ubaya haijalishi mtalipokeaje wengine lakini maisha halisi ya ndoa yangu nayajua mimi na mwenzangu kwahiyo tutabaki kuheshimiana kama wazazi na kulea watoto wetu lakini swala la mahusiano ya ndoa hilo halipo! Nawapenda sana nashukuru kwa msg zenu nyingi za kunitia moyo kutokana na mambo mnayoyaona huko lakini niwaambie tu mimi nipo sawa na muache kunihusisha na mambo yanayoendelea kwa mzazi mwenzangu kwasababu hayanihusu na nisingependa kuongelea hayo 馃檹馃従馃檹馃従" ameandika Wolper.
    Wow
    1
    0 Comments 0 Shares 768 Views
  • Touch and hold a clip to pin it. Unpinned clips will be deleted after 1 hour.
    Touch and hold a clip to pin it. Unpinned clips will be deleted after 1 hour.
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 483 Views
  • EVERY STEP LEAVES FOOTPRINT , NO MATTER HOW SMALL.

    Kung Fu Panda 4 (2024 movie )
    Don't miss to see po as the Dragon worrier and who will be his succesor 馃し馃徑
    For movie edditings and clip like this, follow up this page and link bio
    #movies #trendings #animations #clips #socialpop #kungfupanda #kungfupanda4 #entertainments
    EVERY STEP LEAVES FOOTPRINT 馃懀, NO MATTER HOW SMALL. Kung Fu Panda 4 (2024 movie ) 馃嵖馃敟馃イ Don't miss to see po as the Dragon worrier and who will be his succesor 馃し馃徑馃榾馃敟馃敟 For movie edditings and clip like this, follow up this page and link bio 馃檪馃檪 #movies #trendings #animations #clips #socialpop #kungfupanda #kungfupanda4 #entertainments 馃嵖鈽狅笍
    Like
    Love
    4
    1 Comments 0 Shares 2K Views
  • Haya wale wa mbinguni wa mbinguni

    #funny
    #socialpop
    #tanzaniasocialmedia
    #shortclips [Neemadish]
    Haya wale wa mbinguni wa mbinguni 馃槅馃槀馃槅馃槀馃槅馃槀馃槀馃槀馃槀馃槅馃槀馃槅馃槀 #funny #socialpop #tanzaniasocialmedia #shortclips [Neemadish]
    Like
    Love
    Haha
    6
    2 Comments 1 Shares 1K Views 41