• Na haya ni majukumu yakuteleza na hii rap...
    Ulie ndotoni ucjihukum you have to wake up...
    Huku majuu maisha magumu never give up...
    Tungo tata sio ngumu masela mmeketch it up...
    Life ni tough na hakuna was kupiga taff...
    kam nyambafu tafsiri zaid ya mkandala lufufu... mnyonge MPE dafu mbabe karate awe commando hio kwangu hafui dafu...
    hii ni tungo tata tafsiri hata ule nyamafu...
    utapiga kwata hata ukiwa unacheza rafu...
    nimemaliza kunielewa sio lazima mpk ule ndaf...
    Na haya ni majukumu yakuteleza na hii rap... Ulie ndotoni ucjihukum you have to wake up... Huku majuu maisha magumu never give up... Tungo tata sio ngumu masela mmeketch it up... Life ni tough na hakuna was kupiga taff... kam nyambafu tafsiri zaid ya mkandala lufufu... mnyonge MPE dafu mbabe karate awe commando hio kwangu hafui dafu... hii ni tungo tata tafsiri hata ule nyamafu... utapiga kwata hata ukiwa unacheza rafu... nimemaliza kunielewa sio lazima mpk ule ndaf...
    Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·543 Views
  • #mnyonge nakunyonga haki yako skupi...
    #kibonde nakugonga na hela yako sikulipi...
    #mnyonge nakunyonga haki yako skupi... #kibonde nakugonga na hela yako sikulipi...
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·178 Views
  • #mnyonge nakunyonga haki yako skupi...
    #kibonde nakugonga na hela yako sikulipi...
    #mnyonge nakunyonga haki yako skupi... #kibonde nakugonga na hela yako sikulipi...
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·178 Views
  • Mke ana SUKA,, ndani hamna SUKARI..
    Anapenda nyimbo za KUSA,, ashasahau ata KUSALI..
    kila panapo KUCHA,, anabadili KUCHA..
    Ukimzingua ana SUSA,, lini ataKUJA,, KUJALI..
    Kama BABA,, huwezi uka BABAISHWA..
    Cha msingi KAZA na kazalika..
    Ukijitia mnyonge FADHA,, uta FADHAIKA..
    Respect sana kwa wenye familia
    Nyie wengine
    BWANA awe NANYI
    Mke ana SUKA,, ndani hamna SUKARI.. Anapenda nyimbo za KUSA,, ashasahau ata KUSALI.. kila panapo KUCHA,, anabadili KUCHA.. Ukimzingua ana SUSA,, lini ataKUJA,, KUJALI.. Kama BABA,, huwezi uka BABAISHWA.. Cha msingi KAZA na kazalika.. Ukijitia mnyonge FADHA,, uta FADHAIKA.. Respect sana kwa wenye familia Nyie wengine BWANA awe NANYI
    0 Comments ·0 Shares ·128 Views
  • Nlkw mnyonge San leo Maan skuwa sehem yeny mtandao
    Nlkw mnyonge San leo Maan skuwa sehem yeny mtandao
    Like
    Love
    5
    · 1 Comments ·0 Shares ·627 Views
  • Usimnyang’anye maskini, kwa kuwa ni maskini; Wala usimdhulumu mtu mnyonge langoni; Kwa sababu BWANA atawatetea; Naye atawateka uhai wao waliowateka.~Mithali 22:22-23.”

    GOOD MORNING #socialpop family 23/5/2024
    Usimnyang’anye maskini, kwa kuwa ni maskini; Wala usimdhulumu mtu mnyonge langoni; Kwa sababu BWANA atawatetea; Naye atawateka uhai wao waliowateka.~Mithali 22:22-23.” GOOD MORNING #socialpop family 23/5/2024❣️
    Like
    Love
    6
    · 2 Comments ·0 Shares ·414 Views