• .DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA!

    Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF!

    ---

    WALIOSAJILIWA (RASMI):

    1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi.

    2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki!

    3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu.

    4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa.

    ---

    WALIOUZWA (CONFIRMED):

    Aziz Ki

    Djigui Diarra

    Clement Mzize

    Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa.

    ---

    HAWAMO KWENYE MPANGO:

    Kennedy Musonda

    Aboubakar Khomeiny

    Yao Kouassi

    Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao.

    ---

    WANAOWINDWA:

    Aishi Manula

    Pascal Msindo

    Kelvin Nashon

    Henock Inonga Baka

    Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi.

    ---

    WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit):

    Jonas Mkude

    Aziz Andambwile

    Sureboy

    Farid Musa

    Jonathan Ikangalombo

    Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho.

    ---

    MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!
    .DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA! Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF! --- ✅ WALIOSAJILIWA (RASMI): 1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi. ✍️ 2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki! ⚔️ 3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu. 🔥 4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa. 🧤 --- 🔁 WALIOUZWA (CONFIRMED): Aziz Ki Djigui Diarra Clement Mzize Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa. --- ⛔ HAWAMO KWENYE MPANGO: Kennedy Musonda Aboubakar Khomeiny Yao Kouassi Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao. --- 🎯 WANAOWINDWA: Aishi Manula Pascal Msindo Kelvin Nashon Henock Inonga Baka Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi. --- 🕵️‍♂️ WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit): Jonas Mkude Aziz Andambwile Sureboy Farid Musa Jonathan Ikangalombo Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho. --- MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!
    Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·862 Views
  • #pascal
    #pascal
    Love
    Like
    4
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·94 Views