• https://www.databridgemarketresearch.com/reports/global-luxury-perfume-market
    https://www.databridgemarketresearch.com/reports/global-luxury-perfume-market
    Luxury Perfume Market – Global Market – Industry Trends and Forecast to 2028 | Data Bridge Market Research
    The Luxury Perfume market was valued at USD 0.00 in 2023 and is expected to reach USD 0.00 by 2030, growing at a CAGR of 0% (2023-2030). Get insights on trends, segmentation, and key players with Data Bridge Market Research Reports.
    0 Commenti 0 condivisioni 118 Views
  • Lisandro Martinez ni hatari kuliko mastraika wa pale United

    Amechangia kupatikana kwa alama 10 msimu huu za moja kwa moja

    Nimemwandika jana tu anavyoibeba United

    Na iwe kheri maana timu unatazama kama umebugizwa viazi vya moto mdomoni

    @ryno_perfume
    Lisandro Martinez ni hatari kuliko mastraika wa pale UnitedπŸ˜‚πŸ”₯πŸ™Œ Amechangia kupatikana kwa alama 10 msimu huu za moja kwa mojaβœ… Nimemwandika jana tu anavyoibeba Unitedβœ…πŸ™Œ Na iwe kheri maana timu unatazama kama umebugizwa viazi vya moto mdomoniπŸ™Œ @ryno_perfume
    Haha
    1
    1 Commenti 0 condivisioni 581 Views
  • *FAHAMU MAAJABU YA WANAWAKE YALIYOWASHINDA HATA WANA FALSAFA KUELEWA*

    Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, Manabii na busara zao zote walishindwa kuwaelewa wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa akili. Sasa najiuliza ni jambo gani unaweza kufanya nao bila kutumia akili?, hapa ndipo napata ushahidi kwamba kumbe wanawake walishindikana tangu zama za mwanzo kabisa!.

    Wanasaikolojia wanasema kuwa kama utamuoa/kuishi na mwanamke mwenye miaka 25 basi itakuchukua miaka 25 mingine kumuelewa huyo mwanamke angalau kwa 90% maana hawa kila siku hubadilika na kuwa wapya kimatendo na kifikra.

    Mwanamke unaweza mnunulia BMW X6 akatoka nayo kwenda kutembea, akiwa njiani akaombwa lift na kijana akampa akipitia sheli hela ya mafuta ikawa haitoshi, yule kijana akaamua kumuongeza ata elfu 20 basi mwanamke huweza kubadili mawazo na kumuona yule kijana ni bora kisa tu kachangia mafuta kuliko wewe uliyenunua BMW X6.

    Mfano akitoka hapo akapitia supermarket kununua bidhaa labda akapungukiwa kiasi mfano anadaiwa elfu 20, na yule kijana akasema hiyo ntalipa mimi basi basi hapo atasahau zile zawadi zote huwa unambebea na hiyo elfu 20 inaweza kumfanya awaze kumtunuku yule kijana penzi.

    Mwanamke unaweza mpa hela akanunue nyama kilo 5 buchani, mwenye bucha akimuongeza robo tu hilo litamfurahisha kiasi kwamba anaweza kumpa mwenye bucha penzi na akusahau wewe ulieyota hela ya nyama kilo 5.

    Mwanamke unaweza kumnunulia nguo, weaving, mafuta, perfume na urembo mzuri akavutia ila akipita mtaani akasifiwa na mwanaume kuwa kapendeza inaweza kuwa chanzo cha kumtunuku penzi na akakusahu wewe uliyegharamika na kufanya asifiwe!.

    Mwanamke unaweza kumpa mimba na ukamhudumia mwanzo mwisho na familia ukalea kwa juhudi zako zote ila siku mkikosana anakwambia niache na watoto wangu, apo ashasahau kuwa wewe ndiye uliyempa mimba na kumlea yeye na watoto!.

    Mchukue rafiki yako mwende bar, wewe uwe na laki 5 na yeye awe na elfu 30 kisha mkae meza moja na muagize unywaji, wewe agiza soda na yeye aagize bia. halafu baada ya nusu saa iteni warembo utaona wewe na laki 5 yako unapitwa tu ila yeye mwenye slfu 30 anaibuka kidedea kisa kaweza kumudu gharama ya bia, Hao ndio wanawake ndugu!

    Mwanamke ndiye kiumbe pekee anayeweza kukupenda bila sababu ama kukuchukia bila sababu tofauti na viumbe wengine.
    Mwanamke ndiye mwigizaji mkubwa ulimwenguni, anaweza kulia kwa furaha na akacheka kwa huzuni, bado hujawajua tu wanawake!

    Mwanamke akisema ndio humaanisha hapana, na akisema hapana humaanisha ndio, pia anaweza kucheka bila kujua sababu lakini pia anaweza kulia pasipo sababu ya msingi ya kumfanya alie, hivyo chunga sana usijejichanganya!.

    Mwanamke hupendi vutu vigumu na vyenye hatari mfano wanaume wenye nguvu, mlevi, muhuni (playboy), jambazi, mgomvi anayeogopwa hata na wanaume wenzie ila ukimuuliza anakuambia mie napenda kuwa na mwanaume mpole mwenye hofu ya Mungu tifauti na sisi wanaume tunavyopenda vitu vipole na vinyenyekevu na vyenye ukarimu, sasa wewe jifanye kumuamini mwanamke!

    Jinsi unavyozidi kumpenda na kumthibutishia upendo wa dhati ndivyo unavyozidi kujiweka mbali nayeye, mwanamke hupenda migogoro isiyo na maana, ukijua hili ndoa haitokusumbua. Mwanamke hupendi utulivu kamwe!, usipomchokoa atakuchokoa tuu na usipomuendesha lazima akuendeshe yeye, Hawa viumbe hawana hiyana aisee!.

    Mwanamke hupendi vitu vikubwa wala vidogo, kiufupi hana chaguo maalumu. Ukimnunulia gari sio garantii ya yeye kutulia nawewe bali anaweza kukusaliti hata na muosha gari wako. Ukimjengea nyumba nzuri na kumuwekea kila kitu sio njia ya kumteka kimahaba kwani anaweza kumtunuku penzi ata mtunza bustani wa nyumba yako.

    Mwanamke hapendi ukweli, Ukimpa ukweli akija mwenye uongo basi we andika maumivu. Unaweza kuwa na elfu 50 ukamueleza ukweli kuwa "mke wangu leo hali mbaya chukua hii elfu 30,"... akatokea jamaa akamuongopea kuwa "Chukua hii elfu 15 ngoja nimesahau ATM card yangu nyumbani ikifuka saa 10 jioni ntakutumia laki 2 kwenye simu", Usishangae mkeo akakusaliti hata kabla ya hiyo saa 10 na iyo laki 2 asiione katu!.

    Unamuoa hana ishu akiwa kwao amekaa tu, unaamua kumfungulia biashara hata ya duka unamjazia kila kitu. anatokea mshikaji mmoja kumuunga pale dukani kila siku na kumuachia soda tu na hicho kinakuwa kigezo tosha cha kuona mshikaji anamjali kwa kumuachia ya soda kila siku kuliko wewe uliyemfungulia duka zima na kinachofuata ni usaliti tu.
    Yapo mengi mno kuliko hayo ila kwa leo naishia hapo... ukiweza shea kwenye groups zingine.

    πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½
    Wamekuwa viumbe walioshindikana kwa Maana nyingine
    *ni mawazo tu wadau msijenge chuki*πŸƒπŸ½
    *FAHAMU MAAJABU YA WANAWAKE YALIYOWASHINDA HATA WANA FALSAFA KUELEWA* Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, Manabii na busara zao zote walishindwa kuwaelewa wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa akili. Sasa najiuliza ni jambo gani unaweza kufanya nao bila kutumia akili?, hapa ndipo napata ushahidi kwamba kumbe wanawake walishindikana tangu zama za mwanzo kabisa!. Wanasaikolojia wanasema kuwa kama utamuoa/kuishi na mwanamke mwenye miaka 25 basi itakuchukua miaka 25 mingine kumuelewa huyo mwanamke angalau kwa 90% maana hawa kila siku hubadilika na kuwa wapya kimatendo na kifikra. Mwanamke unaweza mnunulia BMW X6 akatoka nayo kwenda kutembea, akiwa njiani akaombwa lift na kijana akampa akipitia sheli hela ya mafuta ikawa haitoshi, yule kijana akaamua kumuongeza ata elfu 20 basi mwanamke huweza kubadili mawazo na kumuona yule kijana ni bora kisa tu kachangia mafuta kuliko wewe uliyenunua BMW X6. Mfano akitoka hapo akapitia supermarket kununua bidhaa labda akapungukiwa kiasi mfano anadaiwa elfu 20, na yule kijana akasema hiyo ntalipa mimi basi basi hapo atasahau zile zawadi zote huwa unambebea na hiyo elfu 20 inaweza kumfanya awaze kumtunuku yule kijana penzi. Mwanamke unaweza mpa hela akanunue nyama kilo 5 buchani, mwenye bucha akimuongeza robo tu hilo litamfurahisha kiasi kwamba anaweza kumpa mwenye bucha penzi na akusahau wewe ulieyota hela ya nyama kilo 5. Mwanamke unaweza kumnunulia nguo, weaving, mafuta, perfume na urembo mzuri akavutia ila akipita mtaani akasifiwa na mwanaume kuwa kapendeza inaweza kuwa chanzo cha kumtunuku penzi na akakusahu wewe uliyegharamika na kufanya asifiwe!. Mwanamke unaweza kumpa mimba na ukamhudumia mwanzo mwisho na familia ukalea kwa juhudi zako zote ila siku mkikosana anakwambia niache na watoto wangu, apo ashasahau kuwa wewe ndiye uliyempa mimba na kumlea yeye na watoto!. Mchukue rafiki yako mwende bar, wewe uwe na laki 5 na yeye awe na elfu 30 kisha mkae meza moja na muagize unywaji, wewe agiza soda na yeye aagize bia. halafu baada ya nusu saa iteni warembo utaona wewe na laki 5 yako unapitwa tu ila yeye mwenye slfu 30 anaibuka kidedea kisa kaweza kumudu gharama ya bia, Hao ndio wanawake ndugu! Mwanamke ndiye kiumbe pekee anayeweza kukupenda bila sababu ama kukuchukia bila sababu tofauti na viumbe wengine. Mwanamke ndiye mwigizaji mkubwa ulimwenguni, anaweza kulia kwa furaha na akacheka kwa huzuni, bado hujawajua tu wanawake! Mwanamke akisema ndio humaanisha hapana, na akisema hapana humaanisha ndio, pia anaweza kucheka bila kujua sababu lakini pia anaweza kulia pasipo sababu ya msingi ya kumfanya alie, hivyo chunga sana usijejichanganya!. Mwanamke hupendi vutu vigumu na vyenye hatari mfano wanaume wenye nguvu, mlevi, muhuni (playboy), jambazi, mgomvi anayeogopwa hata na wanaume wenzie ila ukimuuliza anakuambia mie napenda kuwa na mwanaume mpole mwenye hofu ya Mungu tifauti na sisi wanaume tunavyopenda vitu vipole na vinyenyekevu na vyenye ukarimu, sasa wewe jifanye kumuamini mwanamke! Jinsi unavyozidi kumpenda na kumthibutishia upendo wa dhati ndivyo unavyozidi kujiweka mbali nayeye, mwanamke hupenda migogoro isiyo na maana, ukijua hili ndoa haitokusumbua. Mwanamke hupendi utulivu kamwe!, usipomchokoa atakuchokoa tuu na usipomuendesha lazima akuendeshe yeye, Hawa viumbe hawana hiyana aisee!. Mwanamke hupendi vitu vikubwa wala vidogo, kiufupi hana chaguo maalumu. Ukimnunulia gari sio garantii ya yeye kutulia nawewe bali anaweza kukusaliti hata na muosha gari wako. Ukimjengea nyumba nzuri na kumuwekea kila kitu sio njia ya kumteka kimahaba kwani anaweza kumtunuku penzi ata mtunza bustani wa nyumba yako. Mwanamke hapendi ukweli, Ukimpa ukweli akija mwenye uongo basi we andika maumivu. Unaweza kuwa na elfu 50 ukamueleza ukweli kuwa "mke wangu leo hali mbaya chukua hii elfu 30,"... akatokea jamaa akamuongopea kuwa "Chukua hii elfu 15 ngoja nimesahau ATM card yangu nyumbani ikifuka saa 10 jioni ntakutumia laki 2 kwenye simu", Usishangae mkeo akakusaliti hata kabla ya hiyo saa 10 na iyo laki 2 asiione katu!. Unamuoa hana ishu akiwa kwao amekaa tu, unaamua kumfungulia biashara hata ya duka unamjazia kila kitu. anatokea mshikaji mmoja kumuunga pale dukani kila siku na kumuachia soda tu na hicho kinakuwa kigezo tosha cha kuona mshikaji anamjali kwa kumuachia ya soda kila siku kuliko wewe uliyemfungulia duka zima na kinachofuata ni usaliti tu. Yapo mengi mno kuliko hayo ila kwa leo naishia hapo... ukiweza shea kwenye groups zingine. πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½ Wamekuwa viumbe walioshindikana kwa Maana nyingine πŸ˜…πŸ‘€ *ni mawazo tu wadau msijenge chuki*πŸƒπŸ½
    0 Commenti 0 condivisioni 2K Views
  • Mfahamu aliyekua mwanamziki na mwigizaji kutoka congo:

    M'bilia Be..

    M'bilia Bel (amezaliwa Januari 10, 1956) ni mwimbaji wa rumba na muziki wa dunia kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Anajulikana kama "Malkia wa Kongo na Rumba ya Kiafrika " Alipata umaarufu baada ya kugunduliwa kwanza na Sam Manguana na baadaye na Tabu Ley Rochereau ambaye alimsaidia kujiamini, kumudu sauti yake yenye nguvu ya soprano, na kupata sifa kama mmoja wa waimbaji bora wa kike wa Kongo. M'bilia Bel alipata mafanikio mwanzoni mwa miaka ya 1980 alipojiunga na bendi ya Tabu Ley Rochereau ( Afrisa International ). Walitengeneza albamu kadhaa pamoja. Katikati ya miaka ya 1980, kuzaliwa kwa mtoto wao wa kwanza kulimfanya apumzike kutokana na kuigiza kwa mwaka mmoja; hata hivyo, baada ya albamu yake ya mwisho na Tabu Ley mnamo 1988, alihamia Paris. Huko alianza kufanya kazi na mpiga gitaa Rigo Star Bamundele na, kati ya 1989 na 1990, alizuru Marekani, Ulaya, na Afrika Magharibi.

    KAZI YA MUZIKI

    Katika umri wa miaka kumi na saba, Mbilia Bel alianza kazi yake ya uigizaji, akiimba kama mwimbaji mbadala wa Abeti Masikini , "Malkia wa Perfumed Soukous ," na baadaye na Sam Mangwana . Kama mfuasi wa Tabu Ley , alitumia kipaji chake cha utunzi na sauti yake mwenyewe kutoa vibao vingi vya l'Orchestre Afrisa International. Wimbo wa kwanza wa Mbilia Bel na Afrisa, uliotolewa mwaka wa 1981, ulikuwa "Mpeve Ya Longo" ("Roho Mtakatifu" katika Kikongo), wimbo unaogusa hisia kuhusu unyanyasaji wa wanandoa. Katika wimbo huo, anasimulia kisa cha mwanamke ambaye aliachwa na mume wake na kulazimika kulea watoto wake peke yake. Wimbo huo ulikuwa maarufu, haswa miongoni mwa wanawake wa Zaire.

    MUZIKI WAKE

    Albamu ya kwanza ya Mbilia Bel, iliyotolewa mwaka wa 1982, ilikuwa Eswi yo wapi . Wimbo wa kichwa, ambao tafsiri yake ni kama "Ilikuumiza wapi?", ulitungwa na Tabu Ley na M'bilia Bel. Wimbo huu ulishinda tuzo ya wimbo bora zaidi wa 1982 nchini Zaire, na M'bilia Bel alishinda tuzo ya mgeni bora.
    Mfahamu aliyekua mwanamziki na mwigizaji kutoka congo: M'bilia Be.. M'bilia Bel (amezaliwa Januari 10, 1956) ni mwimbaji wa rumba na muziki wa dunia kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Anajulikana kama "Malkia wa Kongo na Rumba ya Kiafrika " Alipata umaarufu baada ya kugunduliwa kwanza na Sam Manguana na baadaye na Tabu Ley Rochereau ambaye alimsaidia kujiamini, kumudu sauti yake yenye nguvu ya soprano, na kupata sifa kama mmoja wa waimbaji bora wa kike wa Kongo. M'bilia Bel alipata mafanikio mwanzoni mwa miaka ya 1980 alipojiunga na bendi ya Tabu Ley Rochereau ( Afrisa International ). Walitengeneza albamu kadhaa pamoja. Katikati ya miaka ya 1980, kuzaliwa kwa mtoto wao wa kwanza kulimfanya apumzike kutokana na kuigiza kwa mwaka mmoja; hata hivyo, baada ya albamu yake ya mwisho na Tabu Ley mnamo 1988, alihamia Paris. Huko alianza kufanya kazi na mpiga gitaa Rigo Star Bamundele na, kati ya 1989 na 1990, alizuru Marekani, Ulaya, na Afrika Magharibi. KAZI YA MUZIKI Katika umri wa miaka kumi na saba, Mbilia Bel alianza kazi yake ya uigizaji, akiimba kama mwimbaji mbadala wa Abeti Masikini , "Malkia wa Perfumed Soukous ," na baadaye na Sam Mangwana . Kama mfuasi wa Tabu Ley , alitumia kipaji chake cha utunzi na sauti yake mwenyewe kutoa vibao vingi vya l'Orchestre Afrisa International. Wimbo wa kwanza wa Mbilia Bel na Afrisa, uliotolewa mwaka wa 1981, ulikuwa "Mpeve Ya Longo" ("Roho Mtakatifu" katika Kikongo), wimbo unaogusa hisia kuhusu unyanyasaji wa wanandoa. Katika wimbo huo, anasimulia kisa cha mwanamke ambaye aliachwa na mume wake na kulazimika kulea watoto wake peke yake. Wimbo huo ulikuwa maarufu, haswa miongoni mwa wanawake wa Zaire. MUZIKI WAKE Albamu ya kwanza ya Mbilia Bel, iliyotolewa mwaka wa 1982, ilikuwa Eswi yo wapi . Wimbo wa kichwa, ambao tafsiri yake ni kama "Ilikuumiza wapi?", ulitungwa na Tabu Ley na M'bilia Bel. Wimbo huu ulishinda tuzo ya wimbo bora zaidi wa 1982 nchini Zaire, na M'bilia Bel alishinda tuzo ya mgeni bora.
    Like
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 414 Views
  • Mtu anakuomba perfume yako vizuri tu Halafu anajipulizia, Fffyaaaaaaaaaaa, Fyoooooooo, Ffyyuuuuuuuuuu, Kwahiyo mimi ninaye jipuliziaga Fiii, Fiii, Ni mjinga?
    Mtu anakuomba perfume yako vizuri tu Halafu anajipulizia, Fffyaaaaaaaaaaa, Fyoooooooo, Ffyyuuuuuuuuuu, Kwahiyo mimi ninaye jipuliziaga Fiii, Fiii, Ni mjinga?
    Like
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 461 Views