• CAF CONFEDERATION CUP
    .
    STELLENBOSCH SIMBA SC
    16:00
    Moses Mabhida
    .
    Jioni ya leo, Tanzania Yote itasimama kwa dakika 90 kuanzia saa 10:00 jioni. Ni mchezo ambao SIMBA SC wanahitaji sare au ushindi ili waweze Kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
    .
    Kila la kheri @SimbaSCTanzania

    #paulswai
    CAF CONFEDERATION CUP 🏆 . 🇿🇦 STELLENBOSCH 🆚 SIMBA SC 🇹🇿 ⏰ 16:00 🏟️ Moses Mabhida . Jioni ya leo, Tanzania 🇹🇿 Yote itasimama kwa dakika 90 kuanzia saa 10:00 jioni. Ni mchezo ambao SIMBA SC wanahitaji sare au ushindi ili waweze Kutinga Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. . Kila la kheri @SimbaSCTanzania 🇹🇿 #paulswai
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·374 Views
  • Kila la heri @SimbaSCTanzania kwenye mchezo wa leo wa Kombe la Shirikisho Afrika.

    @CAF_Online @CAFCLCC @ligikuu
    Kila la heri @SimbaSCTanzania kwenye mchezo wa leo wa Kombe la Shirikisho Afrika. @CAF_Online @CAFCLCC @ligikuu
    Like
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·913 Views
  • CAF CONFEDERATION CUP

    FC BRAVOS SIMBA SC
    01:00 usiku
    11 de Novembro

    Ni mechi ya mapema. Itapigwa pale nchini Angola. Wote wawili hapa wana nafasi ya kufuzu. Wanatofautiana pointi tatu tu, Ushindi au sare tu, kwa Simba utaifanya ifuzu moja kwa moja robo fainali. Kila la kheri Mnyama #simbasctanzania

    #paulswai
    CAF CONFEDERATION CUP 🇦🇴 FC BRAVOS 🆚 SIMBA SC 🇹🇿 ⏰ 01:00 usiku 🏟️ 11 de Novembro Ni mechi ya mapema. Itapigwa pale nchini Angola. Wote wawili hapa wana nafasi ya kufuzu. Wanatofautiana pointi tatu tu, Ushindi au sare tu, kwa Simba utaifanya ifuzu moja kwa moja robo fainali. Kila la kheri Mnyama #simbasctanzania 🇹🇿🇹🇿 #paulswai
    Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·934 Views
  • CAF CONFEDERATION CUP

    CS SFAXIEN SIMBA SC
    19:00
    Hammadi Agrebi

    Simba inakutana na Sfaxien, timu ambayo haijashinda mechi yoyote katika kundi hilo baada ya kupoteza michezo mitatu ikishika mkia bila pointi yoyote. Kucheza mechi ya leo bila ya mashabiki inaweza kuwa nafuu kwa Simba katika kuifukuzia rekodi yao ya kucheza robo fainali kwa mara ya sita katika kipindi cha misimu saba kuanzia 2018/19.

    Kila la kheri Wenyenchi @simbasctanzania

    #paulswai
    CAF CONFEDERATION CUP 🇹🇳 CS SFAXIEN 🆚 SIMBA SC 🇹🇿 ⏰ 19:00 🏟️ Hammadi Agrebi Simba inakutana na Sfaxien, timu ambayo haijashinda mechi yoyote katika kundi hilo baada ya kupoteza michezo mitatu ikishika mkia bila pointi yoyote. Kucheza mechi ya leo bila ya mashabiki inaweza kuwa nafuu kwa Simba katika kuifukuzia rekodi yao ya kucheza robo fainali kwa mara ya sita katika kipindi cha misimu saba kuanzia 2018/19. Kila la kheri Wenyenchi @simbasctanzania 🇹🇿🇹🇿 #paulswai
    Like
    4
    · 2 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • CAF CONFEDERATION CUP

    CS CONSTANTINE SIMBA SC
    19:00
    Chahid Hamlaoui

    Hakuna namna ya kufanya kwa Simba zaidi ya kutoka na ushindi au angalau sare ikiwa ugenini kwa nia ya kuiweka pazuri kutinga makundi. Kila la kheri #simbasctanzania

    #paulswai
    CAF CONFEDERATION CUP 🇩🇿 CS CONSTANTINE 🆚 SIMBA SC 🇹🇿 ⏰ 19:00 🏟️ Chahid Hamlaoui Hakuna namna ya kufanya kwa Simba zaidi ya kutoka na ushindi au angalau sare ikiwa ugenini kwa nia ya kuiweka pazuri kutinga makundi. Kila la kheri #simbasctanzania 🇹🇿 #paulswai
    Like
    Love
    5
    · 0 Comments ·0 Shares ·839 Views
  • CAF CONFEDERATION CUP

    SIMBA SC BRAVOS
    16:00
    MKapa

    Kila la kheri @simbasctanzania

    #paulswai
    CAF CONFEDERATION CUP 🇹🇿 SIMBA SC 🆚 BRAVOS 🇦🇴 ⏰ 16:00 🏟️ MKapa Kila la kheri @simbasctanzania 🇹🇿🇹🇿 #paulswai
    Like
    Love
    6
    · 7 Comments ·0 Shares ·533 Views
  • CAF CONFEDERATION CUP
    .
    SIMBA SC AL AHLI TRIPOLI
    16:00
    Machinjioni kwa Mkapa
    .
    Mnyama anatupa karata muhimu leo akihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, tayari Walibya walioonyesha kuingiwa ubaridi mapema tangu walipokuja nchini kwa kuweka ulinzi wa mabaunsa na kukimbilia katika ubalozi wa nchi hiyo kama kujihami pengine kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao wiki iliyopita kuwafanyia fujo Wekundu hao baada ya kutoka suluhu.
    .
    Kila la Kheri @SimbaSCTanzania
    #paulswai
    CAF CONFEDERATION CUP 🏆 . 🇹🇿 SIMBA SC 🆚 AL AHLI TRIPOLI 🇱🇾 ⏰ 16:00 🏟️ Machinjioni kwa Mkapa . Mnyama anatupa karata muhimu leo akihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, tayari Walibya walioonyesha kuingiwa ubaridi mapema tangu walipokuja nchini kwa kuweka ulinzi wa mabaunsa na kukimbilia katika ubalozi wa nchi hiyo kama kujihami pengine kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao wiki iliyopita kuwafanyia fujo Wekundu hao baada ya kutoka suluhu. . Kila la Kheri @SimbaSCTanzania 🇹🇿 #paulswai
    Like
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·558 Views
  • Safari ya Ligi Kuu ya #NBCPREMIERLEAGUE inaanza leo hii! @simbasctanzania Tabora United
    #paulswai
    🛣️ Safari ya Ligi Kuu ya #NBCPREMIERLEAGUE inaanza leo hii! @simbasctanzania 🆚 Tabora United #paulswai
    Like
    Love
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·461 Views
  • UTAVAA ‘MTOKO’ GANI SIKU YA #KARIAKOODERBY AGOSTI 8, 2024?
    #simbasctanzania

    #paulswai
    UTAVAA ‘MTOKO’ GANI SIKU YA #KARIAKOODERBY AGOSTI 8, 2024? 🔥🔥 #simbasctanzania #paulswai
    Like
    4
    · 31 Comments ·0 Shares ·822 Views