• ✍🏿RASMI :Klabu ya soka ya Young Africans imeendelea kuimarisha benchi lake la ufundi kwa kuongeza watu wawili ambao ni

    Manu Rodriguez - kocha msaidizi

    Tshephang Makaila - Kocha wa mazoezi ya viungo

    #BaseTvsportnews #NBCPremierLeague #sokalaAfrika #yangasc
    #SportsElite
    🚨📜✍🏿🔰RASMI :Klabu ya soka ya Young Africans imeendelea kuimarisha benchi lake la ufundi kwa kuongeza watu wawili ambao ni Manu Rodriguez - kocha msaidizi Tshephang Makaila - Kocha wa mazoezi ya viungo #BaseTvsportnews #NBCPremierLeague #sokalaAfrika #yangasc #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·2 Views
  • Cassius Mailula aaga rasmi Wydad AC ⚪️

    Mshambuliaji kutoka Afrika Kusini, Cassius Mailula, ameaga rasmi klabu ya Wydad AC baada ya mkopo wake kutoka Toronto FC kumalizika.

    Mailula ameushukuru uongozi wa klabu, wachezaji wenzake, na mashabiki wa Wydad kwa sapoti waliompa katika kipindi chake kifupi lakini chenye kumbukumbu ya kipekee jijini Casablanca.

    Tunamtakia kila la heri anaporejea Toronto FC kuendelea na safari yake ya soka.

    #DimaWydad #WydadAC #CassiusMailula #SokaLaAfrika #TorontoFC #HabariZaSoka

    #SportsElite
    🔚 Cassius Mailula aaga rasmi Wydad AC 🔴⚪️ Mshambuliaji kutoka Afrika Kusini, Cassius Mailula, ameaga rasmi klabu ya Wydad AC baada ya mkopo wake kutoka Toronto FC kumalizika. Mailula ameushukuru uongozi wa klabu, wachezaji wenzake, na mashabiki wa Wydad kwa sapoti waliompa katika kipindi chake kifupi lakini chenye kumbukumbu ya kipekee jijini Casablanca. Tunamtakia kila la heri anaporejea Toronto FC kuendelea na safari yake ya soka. 🇿🇦⚽ #DimaWydad #WydadAC #CassiusMailula #SokaLaAfrika #TorontoFC #HabariZaSoka #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·420 Views