• TANZANIA TUNAFUZU AFCON 2025

    Shusheni makopa yakutosha kwa wapambanaji wetu wa TAIFASTARS

    #paulswai
    TANZANIA TUNAFUZU AFCON 2025 🎉 Shusheni makopa yakutosha kwa wapambanaji wetu wa TAIFASTARS 🇹🇿🇹🇿 #paulswai
    Like
    Love
    7
    1 Commentaires 0 Parts 511 Vue
  • TAIFASTARS 💪🏾

    #paulswai
    TAIFASTARS 🇹🇿💪🏾 #paulswai
    Like
    Love
    2
    0 Commentaires 0 Parts 417 Vue 55
  • KIKOSI CHA TAIFASTARS NA CHA GUINEA

    #paulswai
    🚨 KIKOSI CHA TAIFASTARS NA CHA GUINEA #paulswai
    Like
    Love
    2
    1 Commentaires 0 Parts 404 Vue
  • Wapambanaji wetu kwenye mchezo wa kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia

    TAIFASTARS

    #paulswai
    Wapambanaji wetu kwenye mchezo wa kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia TAIFASTARS #paulswai
    Love
    Like
    Haha
    6
    1 Commentaires 0 Parts 325 Vue
  • Timu ya Taifa TaifaStars_ ilifanya mazoezi kwenye uwanja wa KMC, Mwenge kujiandaa na michezo ya kufuzu fainali za Mataifa Bingwa Afrika CHAN dhidi ya Sudan itakayochezwa Oktoba 27 na Novemba 3, 2024

    #paulswai
    Timu ya Taifa TaifaStars_ ilifanya mazoezi kwenye uwanja wa KMC, Mwenge kujiandaa na michezo ya kufuzu fainali za Mataifa Bingwa Afrika CHAN dhidi ya Sudan itakayochezwa Oktoba 27 na Novemba 3, 2024 #paulswai
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 235 Vue
  • Kikosi cha Timu ya Taifa (Taifa Stars) kitakachoingia kambini kwa michezo ya kufuzu CHAN dhidi ya Sudan taifastars_

    #paulswai
    Kikosi cha Timu ya Taifa (Taifa Stars) kitakachoingia kambini kwa michezo ya kufuzu CHAN dhidi ya Sudan taifastars_ #paulswai
    Like
    1
    2 Commentaires 0 Parts 256 Vue
  • KUFUZU AFCON 2025

    TANZANIA DR CONGO
    16:00
    Mkapa.

    Wachezaji wanatakiwa wajitoe kwa nguvu zote kulibeba taifa kwani mechi ya leo ni nzito na ina thamani kubwa ya kuhakikisha wanapata matokeo mazuri. Kila la Kheri @TaifaStars_

    #paulswai
    KUFUZU AFCON 2025 🇹🇿 TANZANIA 🆚 DR CONGO 🇨🇩 ⏰ 16:00 🏟️ Mkapa. Wachezaji wanatakiwa wajitoe kwa nguvu zote kulibeba taifa kwani mechi ya leo ni nzito na ina thamani kubwa ya kuhakikisha wanapata matokeo mazuri. Kila la Kheri @TaifaStars_ 🇹🇿 #paulswai
    Like
    Love
    2
    1 Commentaires 0 Parts 284 Vue
  • Leo tunajambo la kitaifa kila la kheri #taifastars_

    #paulswai
    Leo tunajambo la kitaifa kila la kheri #taifastars_ #paulswai
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 283 Vue 14
  • KUFUZU AFCON 2025

    DR CONGO TANZANIA
    19:00
    🏟 Stade des Martys.

    Hakuna namna zaidi ya Ushindi au Sare. Ndivyo hesabu zilivyo kwa timu ya Taifa. Kila la kheri #TaifaStars_

    #paulswai
    KUFUZU AFCON 2025 🇨🇩 DR CONGO 🆚 TANZANIA 🇹🇿 ⏰ 19:00 🏟 Stade des Martys. Hakuna namna zaidi ya Ushindi au Sare. Ndivyo hesabu zilivyo kwa timu ya Taifa. Kila la kheri #TaifaStars_ 🇹🇿🇹🇿 #paulswai
    Like
    Love
    2
    1 Commentaires 0 Parts 314 Vue
  • Mchezaji Valentino Mashaka akikabidhiwa mpira baada ya kufunga mabao matatu mchezo wa kufuzu AFCON kanda ya CECAFA Tanzania dhidi ya Djibouti

    #TaifaStars_
    #paulswai
    Mchezaji Valentino Mashaka akikabidhiwa mpira baada ya kufunga mabao matatu mchezo wa kufuzu AFCON kanda ya CECAFA Tanzania dhidi ya Djibouti #TaifaStars_ #paulswai
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 293 Vue
  • KUFUZU AFCON 2025
    .
    GUINEA TANZANIA
    19:00
    Charles Konan Banny
    .
    Stars ina kazi kubwa ya kufanya katika mchezo wa leo kwani tangu kuingia kwa mwaka 2024, imeshinda mechi tatu pekee kati ya 16 za kimashindano na kirafiki.
    .
    Kila la kheri @taifastars_
    #paulswai
    KUFUZU AFCON 2025 . 🇬🇳 GUINEA 🆚 TANZANIA 🇹🇿 ⏰ 19:00 🏟️ Charles Konan Banny . Stars ina kazi kubwa ya kufanya katika mchezo wa leo kwani tangu kuingia kwa mwaka 2024, imeshinda mechi tatu pekee kati ya 16 za kimashindano na kirafiki. . Kila la kheri @taifastars_ 🇹🇿 #paulswai
    Like
    Love
    3
    0 Commentaires 0 Parts 341 Vue
  • KUFUZU AFCON 2025

    HT’ @TaifaStars_ 0️⃣-0️⃣ Ethiopia
    KUFUZU AFCON 2025 HT’ @TaifaStars_ 🇹🇿 0️⃣-0️⃣ 🇪🇹Ethiopia
    0 Commentaires 0 Parts 320 Vue
  • Kikosi cha Timu ya Taifa @TaifaStars_ kinachoanza kwenye mchezo wa kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia

    #TaifaStars
    #paulswai
    Kikosi cha Timu ya Taifa @TaifaStars_ kinachoanza kwenye mchezo wa kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia #TaifaStars #paulswai
    0 Commentaires 0 Parts 323 Vue
  • KUFUZU AFCON 2025

    TANZANIA ETHIOPIA
    19:00
    Mkapa.

    Tunaweza kufuzu kwa kuanza kampeni vyema dhidi ya Ethiopia tunayoikaribisha leo ikiwa na rekodi zisizovutia. Ethiopia haijapata ushindi wowote katika mechi 11 za kimashindano zilizopita, ikipoteza sita na kuambulia sare tano.

    Tunawakumbusha wachezaji wetu kupambana hadi mwisho na mashabiki wajitokeze kusapoti. Kwa sababu hawa Waethiopia ni wetu kabisa hawa. Kila la kheri @TaifaStars_
    #paulswai
    KUFUZU AFCON 2025 🇹🇿 TANZANIA 🆚 ETHIOPIA 🇪🇹 ⏰ 19:00 🏟️ Mkapa. Tunaweza kufuzu kwa kuanza kampeni vyema dhidi ya Ethiopia tunayoikaribisha leo ikiwa na rekodi zisizovutia. Ethiopia haijapata ushindi wowote katika mechi 11 za kimashindano zilizopita, ikipoteza sita na kuambulia sare tano. Tunawakumbusha wachezaji wetu kupambana hadi mwisho na mashabiki wajitokeze kusapoti. Kwa sababu hawa Waethiopia ni wetu kabisa hawa. Kila la kheri 🇹🇿@TaifaStars_ #paulswai
    Like
    2
    1 Commentaires 0 Parts 390 Vue